Joe Healey

574. KALAGU- KIZE. NATALI INDO GIKI NANSEKELE NANI?:- NHOB’O YA B’ULUB’A.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile Nhob’o ya B’ulub’a iyo itali ndagana. Inhob’o yiniyo, ulu itali ndagana idatanduka, kunguno itali ugushigana aha bhutale bhoyo. Aliyo lulu, ulu yukula inhob’o yiniyo yigatanduka yafunya b’ub’a b’ope, ubho wikolile nu munhu uyo aliseka. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘natali ndo giki nansekele nani?:- Nhob’o ya B’ulub’a.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na wiyumilija bho gulindila mpaga lishige ligakanza lya gutumama nimo nhebhe, mukikalile kakwe. Uweyi agabhagukaja abhana bhakwe mpaga bhashiga ahikanza lya gutola, nulu gutolwa, kunguno adhebhile igiki abho bhagatolaga bhali bhanhu bhatale, idi bhadoo.

Abhana abhadoo bhikolile ni nhob’o ijo jitali ndagana, kunguno amasala gabho gatali ga nyanigini. Umunhu ng’wunuyo, agabhutumilaga chiza uwiyumilija bhokwe bhunuyo, bhogubhalanga abhiye higulya ya gulindila mpaga lishige likanza ilo lidakilwe uguitumamama imilimo yabho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘natali ndo giki nansekele nani?:- Nhob’o ya B’ulub’a.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhakuja chiza abhana bhabho, kugiki bhadule gudilila mihayo ya wiza na guleka iyo yili yabhubhi, umukikale kabho.

1Wakorintho 13:11.

Waefeso 5:8-10.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

BADO MDOGO HIVI NIMCHEKELEE NANI?:- NHOB’O JA B’ULUB’A.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia tunda la pamba. Tunda hilo, likiwa changa halipasuki, kwa sababu bado halijakomaa. Lakini basi, likikua na kukomaa, tunda hilo hupasuka na hutoa pamba nyeupe, ambayo hufananishwa na mtu anayecheka. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘bado mdogo hivi nimchekelee nani?: – tunda la pamba.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uvumilivu wa kusubiri hadi ufike wakati sahihi wa kuyatekeleza majukumu yake, katika maisha yake. Yeye huwakuza watu wake vizuri hadi wanafikia umri wa kuyatelekeleza majukumu yao, yakiwemo yale ya kuolewa na kuoa, kwa sababu yeye anafahamu kwamba, wanaooana ni watu wazima, sio watoto.

Watoto hao hufanana na tunda la pamba ambalo bado ni changa, kwa sababu naye ana uvumilivu wa kuwafundisha wenzake juu ya kusubiri wakati mwafaka wa kuyatekeleza majukumu yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘bado mdogo hivi nimchekelee nani?: – tunda la pamba.’

Kitendwawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwalea watoto wao hadi kuwakuza nyema, ili waweze kuzijali vizuri kazi ambazo ni njema, na kuacha uovu, katika maisha yao.

1Wakorintho 13:11.

Waefeso 5:8-10.

nhobho

nhobho1

nhobho2

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

AS YOUNG AS I AM TO WHOM SHOULD I LAUGH – A COTTON FRUIT.

The source of this riddle is the cotton fruit. The cotton fruit when it is immature it doesn’t burst to release its wool because it is yet to mature. But when it is mature enough it bursts and releases its wool thus being compared to a person who laughs. This is why people are being warned against doing some things. They have to wait until the right time comes. Such people are warned using the riddle ‘as young as I am to whom should I laugh? – a cotton fruit’. This riddle can be compared to a person who has patience to wait until the right time to fulfill his/her duties comes. Such a person nurtures well his/her people until they are old enough to carry out their responsibilities, including marriage. And, marriage is reserved for adults, not children. Therefore, cotton fruit represents children who are yet to take responsibilities of adults. They have to wait until the time for them to take adult responsibilities comes.

This riddle teaches people about patience in raising their children. It includes good parenting style that can enable children to have societal acceptable morals.

1 Corinthians 13:11. Ephesians 5: 8-10.

573. INGI AHO YUNYELA IGALEKAGA BHANA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ililola kikalile ka ingi, na kibyalile kayo. Ingi yiniyo, igagwilaga lulu mujiliwa yaleka bhana moyi. Abhana bhayo tugabhizaga tugino tudodo tope, uto tudulile guibhoza nulu nyama iyo yagwilagwa ni ingi yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingi aho yunyela ikalaekaga bhana.’

Ulusumo lunulo, lugalenaganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ya bhulomolomo iyo igabhipyaga kaya ja bhanhu.

Uweyi agikolaga ni ngi iyo igalekaga bhana abho bhagabhipyaga jiliwa ja bhanhu, kunguno nuweyi imihayo yakwe ya bhulomolomo yiniyo, igalisanyaga bhanhu, mpaga nose bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘ingi aho yunyela igalekaga bhana.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulomolomo umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 23:1.

Walawi 9:11.

Mathayo 7:15-18.

2Watorintho 4:2.

Yakobo 1:26.

KISWAHILI: INZI AKITUA POPOTE HUACHA WATOTO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia maisha ya inzi na kuzaliana kwake. Ingi huyo, hutua hata kwenye chakula na kuacha watoto. Watoto hao, huwa funza wadogo wadogo ambao huweza hata kuharibu nyama ambayo wameachwa juu yake na inzi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘inzi akitua popote huacha watoto.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo katika maisha yake. Mtu huyo, husema maneno ya uongo ambayo husababisha hata kugawanyika kwa wanafamilia, kwa sababu ya uchonganishi wake.

Yeye hufanana na inzi ambaye huwaacha watoto kila anapotua ambao huharibu chakula cha watu, kwa sababu naye hugonganisha watu hata kufikia hatua ya kuvunjika kwa mji wao, kwa sababu ya uongo wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘inzi akitua popote huacha watoto.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kusema uongo matika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu  wao, maishani mwao.

Kutoka 23:1.

Walawi 9:11.

Mathayo 7:15-18.

2Watorintho 4:2.

Yakobo 1:26.

ngi

ngi1

ngi2

 

ENGLISH: EVERYWHERE A FLY LANDS IT LEAVES ITS EGGS

The source of this saying is the life of a fly. Everywhere a fly lands it leaves eggs. These eggs can grow into larvae that can destroy something, for example, meat and other related things. To warn people against entertaining such insects, one can use the saying that ‘everywhere a fly lands it leaves its eggs/larvae.’

The saying can be compared to a person who is a liar in his or her life. This person is likely to affect family members by making false statements. In such a context of false statements, one can experience division among family members. Such a person who is a liar can be compared to a fly that always leaves impact wherever it lands.

This proverb teaches people to break the habit of lying in their lives. Rather, they have to be trusthworthy so that they can have peace with others in the society.

Exodus 23: 1. Leviticus 9:11. Matthew 7: 15-18. 2Corinthians 4: 2. James 1:26

572. INGILI YA BHANA IDALUMAGWA MATIMBA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iyi igitangwa ngili. Indimu yiniyo, igikalaga ikingilwe na bhana bhayo umumagulu gayo. Kuyiniyo lulu, abhana bhayo bhenabho, bhagagashigijaga amatimba gayo, kugiki gadizulung’wa na ginhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhana bhingi abho bhagang’wimbilijaga, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agagunanagwa na bhana bhenabho, ulu opandikaga makoye.

Uweyi agikolaga ni ngili iya bhana iyo idalumagwa matimba, kunguno nuweyi, agalanghanagwa na bhana bhake bhenabho, bho gwambilijiwa umumakoye gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gubhambilija chiza, ijinagubhinja umumakoye, umukikalile kabho.

Mathayo 28:16-20.

Marko 3:14-19.

Zaburi 127:3-5.

KISWAHILI: KIFARU MWENYE WATOTO HANG’ATWI MIGUUNI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mnyama poli anayeitwa ngili. Mnyaga huyo, huwa na watoto ambao huzunguka miguuni pake. Kwa hiyo basi, watoto hao huizuia miguu yake kung’atwa na kitu chochote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana watoto wengi wa kumsaidia katika maisha yake. Mtu huyo, hupata msaada wa kuyatatua matatizo mbalimbali maishani mwake.

Yeye hufanana na ngili mwenye watoto waizuiao miguu yake kung’atwa na kitu, kwa sababu naye ana watoto ambao humsaidia anapopata matatizo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wato, ili waweze kuwasaidia vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, katika maisha yao.

Mathayo 28:16-20.

Marko 3:14-19.

Zaburi 127:3-5.

ngili2

ENGLISH: THE RHINOCEROS THAT HAS BABIES IS NOT BITTEN ON HER LEGS.

The source of this proverb is the wild animal known by the name of Rhinoceros. This wild animal, when has children, its children will always surround their mother thus keeping their mothers’ legs always protected against any insect that is likely to harm them through their legs. It is through this kind of protection that people came up with this proverb that ‘the wild boar with children is not bitten on legs’ to communicate the power of children in protecting their mothers against enemies.

The proverb can be compared to a person who has children to support in his or her life. This person is capable of getting help from his/her children in his or her life. This person can be likened to wild boar with children who keep its feet from getting stuck. Children ensure the survival of their mother.

This proverb teaches people on how to take care of their children with hope that these children will help their parents when they are old enough to sustain their lives.

Matthew 28: 16-20. Mark 3: 14-19. Psalm 127: 3-5

571. AHA NHEGA BHADASAYAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile ligusha lya gutula Nhega. INhega yiniyo, igatulagwa yaja gwigulya guti boli. Ulu yutulwa chiniko, idulile guntula oseose ulu ishokile aha hasi. Uyo ilantule inhega yiniyo, adizusaya, kunguno adakililwe gwiyumilija duhu nulu agatulanijiwa na ng’wiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘aha nhega bhadasayaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilija ulu opandikaga makoye, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agaidililaga na witegeleja bhutale imilimo yakwe, kunguno iyiniyo, hiyo igang’winhaga sabho ja gudula gung’wambilija uguilanghana chiza, ikaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhaligusha na nhega, kunguno nuweyi agalabhukagaga ulu aliitumama imilimo yakwe, wiyumilija chiza mpaka oyimala. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga uweyi giki, ‘aha nhega bhadasayaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza bhiyumilija umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 10:13.

1Wathesalonike 1:6.

2Timotheo 4:4-8.

KISWAHILI: KWENYE MCHEZO WA TIARA HAWAKASIRIKI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mchezo wa tiara. Tiara hiyo, hupigwa na kwenda juu kama mpila. Ikipigwa hivyo, yaweza kumpiga yeyote, inaporudi chini. Yule itakayempiga asikasirike, kwa sababu ya yeye kutakiwa kuvumilia tu, kama sheria ya mchezo huo inavyodai. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kwenye mchezo wa tiara hawakasiriki.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia anapopata matatizo katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, huzijali kwa kuzitekeleza vizuri kazi zake, kwa sababu hizo, ndizo zinazompatia mali za kumwezesha kuiendesha vizuri familia yake.

Mtu huyo, hufanana na wale wachezao tiara, kwa sababu naye huvumilia anapoumia wakati wa utekelezaji wa majukumu yake. Yeye huyatekeleza majukumu hayo kwa uvumilivu mkubwa, hadi mwisho. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kwenye mchezo wa tiara hawakasiriki.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika kazi zao hizo, maishani mwao.

1Wakorintho 10:13.

1Wathesalonike 1:6.

2Timotheo 4:4-8.

africa-tanzania

ligusha1

 

ENGLISH: IN NHEGA’S GAME PLAYERS DO NOT GET ANGRY

The source of this saying is the nhega game. In the game, when the nhega is struck it goes up like a ball and when it falls down it can hit anyone around. The rules of this game say that anyone hit by the nhega is not supposed to become angry. This is why people are being forewarned that if one wants to play this game he/she is supposed to abide by the game rules by not becoming angry when hit by the nhega.

The saying can be compared to a person who perseveres when he/she experiences difficulties in performing his/her duties. This person cares for himself/herself and he/she does his/her works well. He/she does so because he/she knows that it is this job that makes his/her family survive. Therefore, he/she has to tolerate whatever condition he/she faces in the work place. Patience is what makes him/her live well in the society.

This saying teaches people to be patient in carrying out their responsibilities. In so doing, they can achieve more in life.

1 Corinthians 10:13. 1Thessalonians 1: 6. 2Timothy 4: 4-8

570. GASONGA NAGO DILEKE NA NAMBA/NHUMBU.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulekeji bho mahoya ga bhitogwa. Abho bhitogilwe bhadamalaga imihayo iyagwilomela, kunguno bhuli ng’wene agikalaga na ng’humbu nhale ya gwikala bhalilomela nu nwani ng’wiye. Nose bhagilekaga ukunu bhali na ng’humbu yiniyo ya gumana bhalihoya kihamo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘gasonga nago dileke na namba/ng’humbu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na witogwa bho gwikala kihamo umubhutumami bho milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagahoyaga mihayo ya gwitogisha chiza, umukikalile ka bhutumami bhobho.

Abhoyi bhikolile na bhanhu abho bhali na bhunwani bho gutogwa gwilomela kihamo, kunguno nabho bhagilomelaga mihayo ya gwitogisha chiza umubhutumami bhobho.

Uwikaji bho bhanhu bhenabho bhugalangaga bhichabho gwikala na witogwa bhunubho, ubho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomgaba giki, ‘gasonga nago dileke na namba/ng’humbu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gwikala na witogwa bho gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

(2 Wafalme 2:11; Luka 21:13-23).

KISWAHILI: NI SILAHA PIA TUKIACHANA TUKIWA NA SHAUKU.

Chanzo cha methali hii chatokea katika hali ya kukatisha maongezi ya wapendanao. Wapendanao hao huwa hawaishi hamu ama shauku ya kutaka kuendelea kuongea, kwa sababu ya kila mmoja wao kutaka kuendelea kuongea na rafiki yake huyo. Mwishowe, watu hao huamua kuachana huku wakiwa bado wana hamu ya kuendelea kuongea wakiwa pamoja hivyo. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘ni silaha pia tukiachana tukiwa na shauku [ya kuendelea na maongezi].’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wanaopendana, katika maisha ya utekelezaji  wa majukumu yao. Watu hao huendelea kuongea maneno ya kufurahishana katika utendaji wa kazi zao.

Wao hufanana na marafiki wapendao kuongea pamoja, kwa sababu nao huongea maneno ya kufurahishana vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao.

Maisha ya watu hao huwafundisha wenzao kuishi kwa upendo huo wa kusaidiana katika utekelezaji wa kazi zao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘ni silaha tukiachana tukiwa na shauku [ya kuendelea na maongezi].’

Methali hiyo, hufundisha watu kuwa na upendo wa kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

(2 Wafalme 2:11; Luka 21:13-23).

bhakima bha madagascar

bhanwani africa

 

ENGLISH: IT IS A WEAPON TO PART WAYS WHILE STILL WITH DESIRE [TO CONTINUE THE CONVERSATION TO THE END].

The basis of this proverb is a need for two bosom friends to end a talk. Close friends would always not want finish speaking, because of each other’s desire to continued being close to a friend and keep talking to the him or her. In the end, when it is inevitable to do so, they decide to end the conversation while still with the desire to continue talking together to the end of the talk. That’s why those people say, ‘It is a weapon to part ways while still with desire to continue the conversation to the end.’

This proverb is used comparatively to refer to those people who love one another who work together in their life of carrying out their responsibilities. In performing their duties, such people always speak cheerful words.

They are like friends who like to talk together, because they speak cheerfully in the execution of their responsibilities, in their lives.

The lives of those people teach others how to live loving and helping each other. That’s why those people say, ‘It is a weapon to part ways while still with desire continue the conversation to the end.’

The proverb teaches people to appreciate carrying out their responsibilities by helping each other the result of which is to better in their lives and build strong families.

(2 Kings 2:11; Luke 21: 13-23).