Joe Healey

579. GUSHIGA GWIBOLA NA TUNGE JALI GITI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile noni ijo jigitanagwa tunge. ITunge jinijo, jigafumilaga ahikanza lya limi lyaja kumagwilo. Kiyiniyo lulu, umugiti ijoyi jigamanaga julala bho madale madale, nugwibola nduhu. Hungwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gushiga gwibola na tunge jali giti.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’hungwa ja bhubhi. Abhanhu bhenabho, bhatogilwe guitumama imihayo ya bhubhi guti bhusambo, na bhushiya, ni yingi iyo yikolile yiniyo, mulikanza lya mugiti, kugiki bhadizubhonwa na bhanikili.

Abhoyi bhagikolaga ni tunge, kunguno nabhoyi bhatogilwe guitumamila mugiki imihayo iyabhubhi yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘gushiga gwibola na tunge jali giti.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu hugulya ya guleta ng’hungwa ja gwita mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 5:16-26.

Yohana 3:18-21

KISWAHILI: KUFIKIA KUGONGANA POPO UJUE KUWA LILIKUWA GIZA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ndege wanaoitwa popo.  Popo hao, hutokea wakati wa machoeo ya jua, kwa sababu wao hupenda kuruka wakati wa giza. Kwa hiyo basi, ndani ya giza hilo, wao huruka makundi wakifurahia hali hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufikia kugongana popo ujue kuwa lilikuwa giza.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale wenye tabia ya kutenda maovu katika maisha yao. Watu hao, hutenda maovu kama yale ya wizi, uzinzi, na mwengine mengi yanayofanana na hayo, wakati wa giza, ili wasionwe na wahusika.

Watu hao, hufanana na popo warukao gizani, kwa sababu nao wanapenda kutumia wakati huo wa giza kwa kutenda maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufikia kugongana popo ujue kuwa lilikuwa  giza.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kutenda maovu, maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao.

Wagalatia 5:16-26.

Yohana 3:18-21.

tunge

tunge2

tunge1

 

ENGLISH: REACHING THE TIME TO HIT EACH OTHER WITH BATS MEANS IT IS HEAVY DARKNESS.

The source of the proverb is bats that tend to fly during night time. Bats do not fly during day time. Therefore, at night, they enjoy flying from one point to another. That is why people can describe the movement of people during night hours to be likened to those of bats.

The proverb can be compared to those people who have a tendency to do evils in their lives. It can be stealing, commiting adultery and many other evils that people tend to commit in darkness so that they are not seen or caught. Such people with their evil deeds can be described using the proverb that ‘reaching the time to hit each other with bats means it is heavy darkness.’

The saying teaches people about giving up bad habits in their lives. This will enable them to have good relationship with their neighbours.

Galatians 5: 16-26. John 3: 18-21.

578. NGEGEMEJI IDIKOJAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola nzagamba ya Ng’ombe iyo idapandaga inhima. Inzagamba yiniyo, igamanaga yugegemela bho gujilimhila ng’hima, nugupanda nduhu. Iyiniyo, idudula ugwikoja nulu ng’wana (ndilanha). Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngegemeji idikojaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo bhogususanya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adiko gubyedecha nimo gosegose, kunguno ya gwikala bho nduhu ugutumama chiza imilimo yakwe.

Uweyi agikolaga ni nzagamba iyo igagegemelaga duhu, bho nguhu ugupanda, kunguno nuweyi agasusanyama uguitumama imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngegemeji idikojaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo bho nduhu ugususanya, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 7:21-28.

Waroma 12:11-12.

Yakobo 2:14-17.

KISWAHILI: ANAYESITASITA HAWEZI KUFANIKISHA KUPATA MTOTO ANAYEFANANA NAYE.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia fahari wa ng’ombe ambaye apandi majike. Fahari huyo, ni dume la ng’ome ambalo haliwezi kupata majike, badala yake lenyewe huishia kujalibia tu, bila kuyapanda. Yeye hawezi kuwa na ndama anayefanana naye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayesitasita hawezi kufanikisha kupata mtoto anayefanana naye.’

Methali hiyo, hufananishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi kwa kusitasita, maishani mwake. Mtu huyo, hawezi kufanikiwa katika kazi yoyote ile, kwa sababu ya kuishi bila kuyatekeleza vizuri majukumu yake.

Yeye hufanana na fahari ambaye husitasita kupanda majike, kwa sababu naye husitasita kuyatekeleza majukumu yake. Mtu huyo, hajiwekei mikakati ya kufanya kazi kwa badii hadi kuzimaliza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayesitasita hawezi kufanikisha kupata mtoto anayefanana naye.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa ukamilifu hadi kuyamaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 7:21-28.

Waroma 12:11-12.

Yakobo 2:14-17.

nzagamba ngegemeji

bull

buli1

 

ENGLISH: HE WHO HESITATES WILL NEVER GET A CHILD THAT RESEMBLES HIM.

The source of this proverb is a bull that is hesitant to mount a cow. This bull fails to mount the cow, instead, ends up trying to mount it. Such a bull is not likely to have a calf that resembles it (the bull). This is why people can describe such a bull using the proverb that ‘he who hesitates will never get a child that resembles him.’

The proverb is likened to a person who works with hesitation in his/her life. Such a person will not be able to succeed in life because he or she is not living up to his or her responsibilities. He/she is like a bull that fails to fulfill its responsibilities. This person also does not make plans to work to the end.

This proverb teaches people to carry out their tasks to the fullest. This will enable them to have achievements in life.

Matthew 7: 15-20. Matthew 7: 21-28. Romans 12: 11-12. James 2: 14-17.

577. NG’HALA NINGI JIDISIMBILAGA MYOB’O.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iji jigitanagwa Ng’hala. Indimu jinijo, jigikalaga mu mang’ob’o. Bhuli Ng’hala igikalaga mung’ob’o goyo uyo yagusimba yoyi. Aliyo lulu, ulu jigwa ng’wichajo oyogolwa, pye jigafumaga gujung’wambilija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gwiyambilija wangu ulu ng’wichabho opandikaga makoye. Abhanhu bhenabho, bhiyiigwile chiza mukikalile kabho, kunguno bhuli ng’webe agatumamaga imilimo yakwe chiza, ukunhu alumanile nabhiye ijinagubhamilija abho bhapandikaga mayange.

Abhoyi bhagikolaga ni ng’hala, ijo jidisimbilaga myob’o, aliyo bhuli yene igajaga wangu ugujubhambilija abhichabho abho bhapandikaga makoye, kunguno nabhoyi bhali na ng’wigwano ugogwiyambilija chiza, umumakoye gabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwiyambilija umumakoye gabho, bho gudima malagilo ga ng’wa Mulungu na ga Kanisa, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:22-24.

1Timotheo 6:11-12.

Luka 12:58.

KISWAHILI: VICHECHE WENGI HAWACHIMBIANI MAPANGO/MASHIMO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia wanyama wanaoitwa vicheche. Vicheche hao, huishi kwenye mapango au mashimo mbalimbali ambayo kila mmoja amendaa. Kila mmoja huishi kwenye shimo lake alilolichimba. Lakini basi, vicheche hao wakisikia kwamba mmoja wao amevamiwa, wote hutoka mashimoni mwao, kwenda kumsaidia mwenzao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano mzuri wa kusaidiana haraka wanapoona kwamba mwenzao amepata matatizo. Watu hao, wanaelewana vizuri katika maisha yao, kwa sababu kila mmoja wao hufanya kazi zake, huku akiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzake wenye matatio, kwa haraka inavyo wezekana.

Wao hufanana na vicheche wanaojitegemea katika kuyatekeleza majukumu yao, huku wakiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzao waliopata matatizo, kwa sababu nao wana uelewano wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kusaidiana vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, kwa kuzishika amri za Mungu na za Kanisa, maishani mwao, ili aweze kuishi kwa amani na wenzao katika maisha yao.

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:22-24.

1Timotheo 6:11-12.

Luka 12:58.

ng'hala3

ng'hala2

 

ENGLISH: MEERKATS DO NOT DIG HOLES FOR EACH OTHER.

The source of this proverb is the wild animal known by the name of meerkat. These animals always live in caves or pits, which each one of them digs. Each of these meerkats live in its cave/pit but when it comes that one of them is attacked by an enemy, all of them living around can come out to defend their fellow. This is why people came with this proverb to mean that meerkats do not dig caves/pits for others rather they dig them for their own but protection against enemies is the responsibility of each one of them.

This proverb can be compared to those people who have a good understanding of helping each other as soon as they find out that someone is in need of help. These people understand others well and they are able to help them. These people are highly needed during times of crisis.

The proverb teaches people about the need of helping each other in solving problems. It also teaches people to abide by God’s and Church’s commandments by ensuring that needy people are helped accordingly.

Matthew 7: 13-14. Luke 13: 22-24. 1Timothy 6: 11-12. Luke 12:58.

576. DASHINDIKAGA NSUMBA WITUNDILE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhushindiki bho nhumba uyo witundile. Unsumba ng’winuyo, agabhiza adadamile chiza, kunguno ulu ushindikwa agashigila hasi duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dashindikaga nsumba witundile.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo otumagwa nimo hanh’u na uja malali. Umunhu ng’wunuyo, agalekaga unimo uyo otumagwa gujugutumama. Uweyi agandyaga milimo yakwe iyo ayitogilwe weyi ng’winikili.

Umnhu ng’wunuyo, agikolaga nu gumshindika munhu uyo witundile uyo agashigila gugwa hasi duhu, kunguno nuwei agajaga malali bho gwiyibha igiki otumagwa nimo nhebhe nabhiye. Hunagwene abhanhu abho bhantumaga bhagayombaga giki, ‘dashindikaga nsumba witundile.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutimija chiza imilimo iyo bhatumagwa na bhichabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

1Timotheo 5:20-21.

2Wathesalonike 2:10-12.

Mathayo 23:37-39.

Yohana 1:10-12.

KISWAHILI: TUMESUKUMA KIJANA ALIYECHUCHUMAA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia usukumaji wa kijana ambaye amechuchumaa. Kijana huyo, hukosa uimara wakati huo, kwa sababu akisumwa huanguka chini. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumesukuma kijana aliyechuchumaa.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetumwa kutekeleza jambo fulani, akaenda kimoja. Mtu huyo, husahau kazi aliyotumwa kwenda kuitekeleza kwa yeye kuamua kufanya kazi yake mwenyewe. Yeye hujiingiza kwenye kazi nyingine anayoipenda mwenyewe.

Mtu huyo, hufanana na kitendo cha kumsukuma mtu aliyechuchumaa ambaye huishia kuanguka chini, kwa sababu naye hutumwa kitu na kwenda kimoja, bila kukitekeleza kile alichotumwa kukifanyia kazi. Ndiyo maana watu waliomtuma husema kwamba, ‘tumesukuma kijana aliyechuchumaa.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatimiza vizuri majukumu waliyotumwa kuyatekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.

1Timotheo 5:20-21.

2Wathesalonike 2:10-12.

Mathayo 23:37-39.

Yohana 1:10-12.

nsumba

witundile

 

ENGLISH: WE HAVE PUSHED A SQUATTING YOUNG MAN.

The source of this saying is pushing a young man who was squatting. This squatting young man will not have enough power to resist the push and therefore can easily fall down. To describe a scenario that relates to effortless winning in a certain competition, one can use the saying that ‘we have pushed a squatting young man.’

The saying can be compared to someone who was sent to do something and never came back to bring feedback. He/she is someone who appears to forget his/her responsibility. Such a person does things according to his/her wish. People of such behaviour are being compared to the act of pushing a squatting person who will end up falling down.

The saying teaches people how to properly fulfill the tasks they are assigned to carry out. This will enable them to have achievements in their lives.

1Timothy 5: 20-21. 2Thessalonians 2: 10-12. Matthew 23: 37-39. John 1: 10-12.

575. LYASHIGA AHA MAHEWA AGANG’ONHELA NKE.

Imbuki ya kahayile kenako, ilinola bhong’hi bho mabhele ga nke, bho ngosha umo uyo witanagwa Mahewa. Ungosha ng’wunuyo, agatub’a gub’itila ahikanza lya nzala. Unke oli na ng’wana uyo onh’aga. Nuwei agang’onha unke nguno ya nh’ub’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lyashiga aha mahewa agang’onhela unke.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadumaga ugwiyumilija ulu obhandikaga makoye. Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Mahewa uyo agatub’a mpaga unhong’ha unke, kunguno nuweyi adumile agwiyumilija umumakoye amadamu.

Umunhu ng’wunuyo, agadumaga ugubhalela abhana ahigulya ya gubhiza na wiyumilija, kunguno ya kikalile kakwe kenako. Abhanhu abho bhandebhile igiki agogohile amakoye, bhagilomelaga higulya yakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki,  ‘lyashiga aha mahewa agang’onhela unke.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija

Kahayile kenako kadulanga higulya ya gub’iza na wiyumilija umumayanga gose, ayo bhalinago, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujipandika wangu inzila ja gugamalila, na gujilanghana chiza ikaya jabho.

Zaburi 107: 5-6.

Mathayo 12:1-5.

KISWAHILI: UMEFIKA WAKATI AMBAO MAHEWA ALIMNYONYA ZIWA MKE WAKE.

Chanzo cha msemo huo, humwangalia mwanamume aliyeitwa Mahewa ambaye alimyonya ziwa mke wake. Mke mke wake huyo, alikuwa na mtoto aliyekuwa bado ananyonya. Mwanamume huyo, alijisikia njaa sana wakati wa kipindi cha njaa, akamua kumnyonya mke wake ziwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umefika wakati ambao Mahewa alimnyonya ziwa mke wake.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushindwa kuvumilia anapopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanana na mahewa ambaye alijisikia njaa mpaka akamnyonya mke wake ziwa, kwa sabahu naye hawezi kuvumilia katika matatizo anayopata ndani ya maisha yake.

Mtu huyo, hushindwa kuwalea watoto wake vizuri, ili waweze kuvumilia matatizo ya maisha ya kila siku, kwa sababu ya maisha yake hayo. Watu wanaomfahamu mtu huyo, kwamba hawezi kuvumilia, hali ambayo humpelekea kushindwa kuyakabiri matatizo yake, huongea juu yake.  Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘umefika wakati ambao Mahewa alimnyonya ziwa mke wake.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyakabiri vizuri matatozo yao, ili waweze kuwapa watoto wao, uwezo wa kutatua shida mbalimbali katika maisha yao kama watu wazima, maishani mwao.

Zaburi 107: 5-6.

Mathayo 12:1-5.

nzala

mom

 

nzala1

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

AS YOUNG AS I AM TO WHOM SHOULD I LAUGH – A COTTON FRUIT.

The source of this riddle is the cotton fruit. The cotton fruit when it is immature it doesn’t burst to release its wool because it is yet to mature. But when it is mature enough it bursts and releases its wool thus being compared to a person who laughs. This is why people are being warned against doing some things. They have to wait until the right time comes. Such people are warned using the riddle ‘as young as I am to whom should I laugh? – a cotton fruit’. This riddle can be compared to a person who has patience to wait until the right time to fulfill his/her duties comes. Such a person nurtures well his/her people until they are old enough to carry out their responsibilities, including marriage. And, marriage is reserved for adults, not children. Therefore, cotton fruit represents children who are yet to take responsibilities of adults. They have to wait until the time for them to take adult responsibilities comes.

This riddle teaches people about patience in raising their children. It includes good parenting style that can enable children to have societal acceptable morals.

1 Corinthians 13:11. Ephesians 5: 8-10.