heritage

588. UGUJIBHONA IJIJIGANHUULUJA JIMINOGENI.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kumiito ga ng’wa Jiminogeni. UJiminogeni ng’wunuyo, oli munhu o miito mab’i, kunguno ya  bhushiya bhokwe. Aho adinading’wa oyombaga giki, ‘duguminogaga ndafu’ (ginhu) jinogoleku.

Aliyo lulu, oho oding’wa umunhu ng’wunuyo, agatulwa noyi na guliwa b’ushiya. Hunagwene abhanbhu bhagayombaga mpaga lelo ukubhanhu abho bhali na nhungwa ja bhubhiya, giki ‘ugujib’ona ijijiganhuuluja Jiminogeni.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, guti ya bhushiya yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile ugubhigwa abhanhu abho bhagang’wilaga giki, ajileke inhungwa jinijo, ija gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye.

Uweyi agikolaga nu jiminogeni, kunguno nuweyi agiitaga imahayo yiniyo iyabhubhi. Abhanhu abho bhajidebhile inhungwa jakwe jinijo, bhagang’wilaga giki, ‘ugujib’ona ijijiganhuuluja Jiminogeni.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka miito ga bhubhi, guti ga bhushiya na gangi, ayo giikolile na geneyo, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-28.

1Wakorintho 6:18-20.

Marko 7:20-23.

2Petro 2:4.

Ufunuo 2:21-22.

KISWAHILI: UTAKIONA KILICHOMFANYA JIMINOGENI ALIE.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye matendo ya mtu aliyeitwa Jiminogeni. Jiminogeni huyo, alikuwa mtu mwenye matendo maovu yakiwemo yale ya uzinzi. Alipokuwa bado hajakamatwa alikuwa akisema, ‘tunatafuta dafu, (kitu) laini.’

Lakini Jiminogeni huyo, alipokamatwa alipigwa sana, na kutozwa faini ya uzinzi. Ndiyo maana watu husema kwa watu wenye tabia kama hiyo hata leo, kwamba, ‘utakiona kilichomfanya jiminogeni alie.’

 Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu kama yale ya uzinzi, katika maisha yake. Mtu huyo, hataki kuonywa na wenzake juu ya kuiacha tabia yake hiyo mbaya.

Yeye hufanana na Jiminogeni, kwa sababu naye hutenda maovu kama hayo katika maisha yake. Watu wanaoifahamu tabia yake hiyo ya kutenda maovu, humwambia kwamba, ‘utakiona kilichomfanya jiminogeni alie.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha matendo maovu yakiwemo yale ya uzinzi, na mengine yanayofanana na hayo, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-28.

1Wakorintho 6:18-20.

Marko 7:20-23.

2Petro 2:4.

Ufunuo 2:21-22.

nshiya

 

ENGLISH: YOU WILL FACE WHAT MADE JIMINOGENI CRY.

The source of this saying is the actions of a man called Jiminogeni. This man was labelled my villagers as someone who is bad mannered. He could engage in immoral relationships like fornication. Before being caught red handed for his corrupt behaviour, he was boasting himself that he lives through eating “soft things”.

One day it happened that Jiminogeni was caught red handedly by people who disapproved of his behaviour. He was beaten off and fined for adultery. This scenario led to the formulation of the saying that ‘you will face what made Jiminogeni cry’ as a warning to others who have similar unacceptable behaviour.

 This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery in his/her life. This person does not want to be warned by his/her colleagues to stop his/her bad behaviour. He/she is like Jiminogeni who was adamant to accept people’s advice.

The saying teaches people to stop evil practices such as fornication, and the likes, in their lives.

Matthew 5: 27-28, 1Corinthians 6: 18-20, Mark 7: 20-23, 2 Peter 2: 4, Revelation 2: 21-22.

587. KALAGU – KIZE. KADANDA KADANDA KADALINHAGWA: – KASWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola nguzu ja kaswa. Akaswa kenako, kagabhizaga kadina nguzu kunguyo ya bhunogoleku bhogo. Akoyi mumo kagalihila adiko umunhu gukalinha, kunguno kalidodo noyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘kadanda kadanda kadalinhagwa:- kaswa.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agahadikijaga bhanhu gutumama milimo iyo ibhakilile. Umunhu ng’wunuyo, adulile nulu gubhinha nimo bhanigini, uyo gugatumamagwa na bhanhu abho bhalibhatale.

Uweyi agikolaga nu guhadikija kulinha ahakaswa, akokadina nguzu, kunguno nuwei agabhinhaga milimo abhanhu abho bhadina nguzu ijaguitumamila imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga bho gwiganila giki, ‘kadanda kadanda kadalinhagwa:- kaswa.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo iyo bhaidulile, na guleka nhungwa ja gubhinha milimo iyo ibhakilile nguzu abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 34:2.

Kutoka 34:4.

Mathayo 19:26.

Luka 18:27.

KITENDAWILI – TEGA.

KADANDA KADANDA HAKAKWEWI: – UNYASI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia nguvu za unyasi. Unyasi huo, huwa haina nguvu, kwa sababu ya ulaini wake. Wenyewe hata ulefuke kiasi gani, hauwezi kupata uimara wa kumwezesha mtu kuukwea. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kadanda kadanda hakakwewi:- unyasi.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulazimisha watu kufanya kazi ambazo hawana uwezo nazo.  Mtu huyo, huweza hata kuwapa watoto kazi ambayo inatakiwa kufanywa na watu wazima.

Yeye hufanana na kitendo cha mtu kulazimisha kukwea unyasi, ambao hauna nguvu za kumbeba, kwa sababu naye huwalazimisha watu kufanya kazi ambazo hawana uwezo wa kuzitekeleza. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo, kwa huhadithiana kwamba, ‘kadanda kadanda hakakwewi:- unyasi.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zile ambazo wanauwezo nazo, na kuacha tabia ya kuwapatia watu wao kazi zilizowazidi nguvu, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Kutoka 34:2.

Kutoka 34:4.

Mathayo 19:26.

Luka 18:27.

iswa

nigini

zambia-

 

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

KADANDA KADANDA IS NOT CLIMBED- GRASS.

The source of this riddle is the strength of grass. The grass is always weak for a person to climb. However much one can struggle, he/she cannot succeed to climb grass. To justify this impossibility, people came with the riddle ‘kadanda kadanda is not climbed – grass.’

This riddle can be compared to a person who forces people to perform tasks that they are not capable of. The person may give children the work that even adults cannot manage to do it. Such a person can be likened to a person who forces to climb grass that cannot carry a person.

This riddle teaches people about doing works that they are capable of. They should avoid giving people tasks which they cannot manage. In so doing, they will be able to have respect and harmony with other people in a given society.

Exodus 34: 2, Exodus 34: 4, Matthew 19:26, Luke 18:27.

586. KALAGU:- KIZE. LITULA NA LITULA: – MAGOHE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola bhutumami bho ngohe. Ingohe jinijo, jigaitumamaga imilimo yajo bho gugobya, na gulanghana liso bho gugalemeja abhapalala ugwingila moyi. Ijoyi ulu munhu ugobya jigitulanyaga bho gwikumya. Ingohe jinijo jigisuyaga aha makanza ayo munhu olalaga du. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘litula na litula:- Ngohe.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe gwingila dilu mpaga mhindi. Umunhu ng’wunuyo, agayilanghana bho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, guti ni ngohe umo jigatumamilaga mpaga olala umunhu, hunajifula.

Uweyi agabhizaga jigemelo ja gutumama milimo bho bhukamu bhutale, ukubhiye, kunguno ya kikalile kakwe kenako, aka gutumama milimo gwingila dilu mpaga mhindi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘litula na litula:- Ngohe.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho guitumama imilimo yabho, umu makanza gose aga limi, na gwisuya ibhujiku, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Kuhiniyo, ijito ja gugobya go ngohe jinijo, jalanga bhanhu gutumama milimo bhuli makanza, na gwisuya ahikanza ilya bhujiku.

1Wakorintho 3:9-15.

1Wakorintho 15:10.

1Wathesalonike 2:9.

2Wathesalonike 3:8-10.

KITENDAWILI: – TEGA.

PIGANO  NA PIGANO: – KOPE ZA MACHO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia utendaji kazi wa kope. Kope hizo, hufanya kazi zake kwa kufunga na kufungua macho, na kuyalinda macho kwa kuzuia takataka zisiingie ndani yake. Zenyewe, hupigana kwa kugusana mtu anapofumba na kufumbua macho yake. Kope hizo, hupumzika wakati wa mtu kulala. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘pigano na pigano:- kope za macho.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kuanzia asubuhi, hadi jioni. Mtu huyo, huzilinda kazi zake hizo kwa kuzitekeleza vizuri, kama kope za macho zinavyoyalinda macho, mpaka wakati wa mtu kulala.

Yeye huwa mfano wa kuigwa kwa wenzako katika kufanya kazi kwa bidii kubwa, kwa sababu ya maisha yake hayo, ya utendaji wa kazi kuanzia  asubuhi hadi jioni. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘pigano na pigano:- kope za macho.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii za kuyatelekeza vizuri majukumu yao wakati wa mchana, na kupumzika wakati  wa usiku, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Kwa hiyo, kitendo cha kupigana kwa kope za macho, hufundisha watu kuyatekeleza majukumu yao, kila wakati, na kupumzika wakati wa usiku.

1Wakorintho 3:9-15.

1Wakorintho 15:10.

1Wathesalonike 2:9.

2Wathesalonike 3:8-10.

ngohe5

ngohe6

ngohe1

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THEY FIGHT AND EMULATE EACH OTHER – EYELIDS.

The source of this riddle is the functions of eyelids. Eyelids work by opening and closing in an attempt to protect the eye from external substances that are likely to affect it. Eyelids tend to “fight” by touching each other when they close and when they open the eyes. These eyelids tend to rest when one is asleep. This is why people came with the riddle ‘they fight and emulate each other – eyelids’ to communicate cooperation between the two eyelids in protecting the eye from being entered by extenal objects.

This riddle can be compared to a person who performs his/her duties from morning to evening. The person protects his or her job by performing it properly, just as the eyelids protect the eyes until the person goes to sleep. Such a person can be regarded as a role model to his/her colleagues because of his/her hard work.

This riddle teaches people about how to work hard in their lives in order to achieve success in life. Thus, the act of eyelids teaches people about how to carry out their activities all the time.

1Corinthians 3: 9-15, 1Corinthians 15:10,1Thessalonians 2: 9, 2Thessalonians 3: 8-10.

585. KALAGU – KIZE. NG’OMBE YANE YAGUSHEMELA MKAYA AMAPEMBE HANZE:- LYOCHI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yingilile ku lyochi ilo ligafumaga hanze ulu munhu alizuga jiliwa umukaya. Ilyochi linilo, lililyapi ilo ligalolelagwa na bhuli ng’wene. Ilyoi ligabhizaga jimanyikijo ja bhuzugi bho jiliwa ahakaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘ng’ombe yane yagushemela mkaya amapembe hanze:- lyochi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga ya wiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agolechaga imihayo iyo agiiganikaga kubhitila mu miito gakwe ayo galigawiza.

Amiito gakwe agawiza genayo, gagikolaga ni lyochi ili ligolechaga giki jiliwa jilizugwa ahakaya iyo lilifumilila iyochi linilo. Umungu ng’wunuyo, agabhalanjaga nabhiye ahigulya ya gubhiza na miganiko gawiza, kugiki amiito gabho, gadule gubhiza masoga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘ng’ombe yane yagushemela mkaya amapembe hanze:- lyochi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na miganiko ga wiza, na gujidebha inhungwa ja bhanhu bhabho, bho gugalola amiito gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, bho gwikala bho mholele na chichabho, shigu jose.

Mathayo 12:33-37.

Mathayo 7:16-20.

Luka 6:43-45.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NG’OMBE WANGU WA KUKAMULIA NDANI PEMBE ZIKIWA NJE:– MOSHI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chatokea kwenye moshi unaotokea nje ya nyumba wakati mtu anapika chakula ndani yake. Moshi huo, ni mweusi ambao huonekana kwa kila mmoja.

Wenyewe ni ishara inayotambulisha wakati wa kupikwa kwa chakula katika familia hiyo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’ombe wangu wa kukamulia ndani pembe zikiwa nje:- moshi.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda matendo mema katika maisha yake. Mtu huyo, huonesha mawazo anayoyafikiria moyoni mwake, kwa kutenda matendo hayo mema.

Matendo yake hayo, hufanana na moshi unaonesha kupikwa kwa chakula katika familia ile ambayo moshi huo unatokea. Mtu huyo, huwafundisha wenzake juu ya kuwa na mawazo mema ili matendo yao yaweze kuwa mema pia. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’ombe wangu wa kukamulia ndani pembe zikiwa nje:- moshi.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na mawazo mema na kuzifahamu tabia za watu wao, kwa kuyaangalia matendo yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, katika kuishi kwa amani na wenzao, siku zote.

Mathayo 12:33-37.

Mathayo 7:16-20.

Luka 6:43-45.

lyochi2

lyochi

lyochi1

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY COW IS BEING MILKED FROM INSIDE BUT HER HORNS ARE OUTSIDE – SMOKE.

The source of this riddle comes from smoke that comes from one’s house when cooking food. When the smoke comes from one’s house it is an indication that there is a possibility of having food in that particular family. That is why people came with the riddle that ‘my cow is being milked from inside but her horns are outside – smoke’ to communicate the sense of seeing smoke outside someone’s house when cooking.

This riddle can be compared to a person who does good things in his/her life. The person’s actions can be likened to a smoke that shows how rich is the person in terms of his/her thoughts. This person teaches others about how to be good to others.

This riddle teaches people about having positive ideas and being aware of the behaviour of people by observing their actions. This can help to know each other well and take care of the society in a manner that shows peace and co-existence with others.

Matthew 12: 33-37, Matthew 7: 16-20, Luke 6: 43-45.

584. NDULU YAKOMANGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ndimu iyo igitanagwa ndulu. INdulu yiniyo, igasiminzaga lugendo lo gukangilija. Iyoyi igajaga bhutongi bho nduhu ugwigedyagedya, nulu gulabhula inuma. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ndulu yakomanga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nguzu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambija bho guja bhutongi duhu, ijinabhutumami bho miliyo yakwe yiniyo, guti numo igigulambigijaga guja bhutongi, indulu yiniyo.

Uweyi agabhizaga jigemelo ja wiza ukubhiye ijinagutumama milimo bho bhukamu bhutale, kunguno adahayile ugwigedyagedya; umubhutumami  bhokwe, bhunubho.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalanjaga abhanhu ahigulya ya guidilila bho guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘ndulu yakomanga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija guitumama imilimo yabho, bho nguzu na bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami, nu muzunya bhobho, umukikalile kabho.

Waroma 12:11.

2Petro 3:14.

Wagalatia 6:9.

Ufunuo 3:19.

KISWAHILI: PUNDA MILIA ALIEKAZA MWENDO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mnyama anayeitwa pumda milia. Punda milia huyo, hutembea mwendo wa kuharakisha. Mwenyewe hukaza mwendo kwenda mbele tu, bila kusimama, wala kurudi nyuma. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘punda milia aliyekaza mwendo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza majukumu yake kwa nguvu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha katika utendaji wake wa kazi, kwa kusonga mbele tu, kama afanyavyo punda milia. Utendaji huo humwezesha kupata mafanikio mengi, katika maisha yake.

Mtu huyo, huwa mfano wa kuigwa kwa wenzako katika kuyatekeleza majukumu yao, kwa bidii, kwa sababu yeye hataki uvivu katika utekelezaji wa majukumu yake.

Maisha yake mtu huyo, huwafundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kuzitekeleza kwa bidii, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu humwita, ‘punda milia aliyekaza mwendo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao, kwa nguvu na bidii kubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utumishi wao, na katika maisha yao ya kiroho, maishani mwao.

Waroma 12:11.

2Petro 3:14.

Wagalatia 6:9.

Ufunuo 3:19.

ndulu2

 

ENGLISH: A SERIOUS WALKING ZEBRA.

The source of this saying is an animal by the name of Zebra. This animal is featured by being a fast walker and when it is set to reach somewhere it goes straight without turning back until it reaches its final destination. It is through the seriousness of the zebra that people came with the saying that ‘a serious walking zebra.’

The saying can be compared to a person who performs his/her duties in a serious manner in his/her life. This person keeps on working hard until he/she achieves his/her goals. Such a person can become a role model to others who would like to be responsible in their duties for the aim of achieveing better life. This person also teaches others about hard work and respect for work.

The saying teaches people to strive to carry out their responsibilities with great effort so as to achieve great success in life.

Romans 12:11, 2 Peter 3:14, Galatians 6: 9, Revelation 3:19.