heritage

231. IHADIKE LIDAKOMELAGWA KAYA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kulinamugi uyo agaigasijaga ikaya yakwe bhobhukali. Ikaya yiniyo igasalambanaga kunguno ya bhukalihilwa bhunubho. Hunagwene agawilagwa na bhiye giki, “ihadike lidakomelagwa kaya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhakalihilaga abhanhu abhahakaya jabho. Abhanhu bhenabho bhadabhizaga na bhutongeji bhowiza ukubhanhu bhabho bhenabho. Ubhukali bhunubho bhugabhasalambanyaga abhanhu abhahakaya jabho jinijo, kunguno ya wikaji bhenubho. Gashinaga lulu, goligong’hana igiki, ilihadike lidakomelagwa kaya.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na nhungwa ja gubhatongela chiza abhanhu bhahakaya jabho. Ubhutongeji ubhowiza bhunubho, bhugubhinha wiyabhi abhanu bhabho ubhogudula gutumama milimo yahahakaya yiniyo bho mholele na nduhu uguhadikijiwa.

Filimoni 1:14.

Yohane 8:31-32.

KISWAHILI:AMRI YA HAIJENGI FAMILIA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mzee wa familia aliyeishi kwa kuwalazimisha watu wake katika kutekeleza majukumu ya pale. Familia hiyo ilisambalatika kwa sababu ya watu wake kukalipiwa mara kwa mara na mzee huyo. Ndiyo maana watu humwambia mzee huyo kwamba, amri haijengi familia.

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwakalipia watu walioko kwenye familia zao. Ukali huo huwajengea hofu watu wao mpaka kufikia hatua ya kusambalatika pale nyumbani. Watu hao huwa hawana uongozi mzuri kwa watu wao. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, amri haijengi familia.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuweza kuwaongoza vizuri watu wao hao. Uongozi huo ndiyo ule ulio mzuri uwapao watu wao uhuru wa kutosha kuwawezesha kufanya kazi zao kwa amani na uhuru wa kujituma zaidi badala ya kusubiri kulazimishwa.

Filimoni 1:14.

Yohane 8:31-32.

entrepreneur1

ENGLISH: A COMMAND DOES NOT BUILD A FAMILY

The above saying examines how a family cannot be built through duress by the family elder, who forces people to carry out their duties. Such a family would crumble because of the constant harsh words or commands used by the elder to reproach people as they work. That is why people would tell such an elder that ‘a command does not build a family.’

The saying is comparable to people who use harsh language to admonish others in their families. Such hostility breeds fear in people to the point of breaking the home. And this is a symptom of poor leadership qualities in the elders. That is why such a leader or elder is told, ‘a command does not build a family.’

The saying teaches people about the character of leading others well. Sound leadership allows people sufficient freedom to enable them carry out their duties peacefully and freely rather than by compulsion.

Philemon 1:14.

John 8: 31-32.

230. NKANDIKIJA ADAB’INILAGWA MBINA

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhashike abho bhalibhina mbina ya winga, nulu ya jizunya iyo ili ya ng’wana o mshike ng’wichabho, uyo wingilile mulilika linilo. Unkandikija alimkima uyo agab’abhulagaga abhana bhakwe bhogub’akandikija ahikanza ilyagubyala, nulu bhogufunya Nda. Umunhu guti ng’wunuyo adub’inilwa imbina, kunguno ob’abhulaga abhana abhagung’weng’hela imbina ya gub’inilwa yiniyo.

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagab’injaga kuwelelo abhana bhabho bho nzila yoseyose.  Abhangi b’agab’abhulagaga abhana bhenabho haho b’adinabyalwa, bho njila yoseyose. Abhangi b’agab’alekanijaga b’acha na nzala. Ugwita chiniko ilenganilile na gub’akandikija abhana bhenabho. Kunguno yiniyo lulu, abhanhu bhenabho bhadub’inilwa imbina.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kukandikija bhana bho nzila yoseyose. Gashinaga lulu, igelelilwe abhanhu b’ab’alang’hane abhana bhenabho b’abyalwe chiza na b’akule chiza.

Ijinagongeja, akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’asomisha chiza abhana bhabho, kugiki bhadule gub’iza bhatumami b’atale, nulu b’ab’ize b’atongeji bhatale bha si jabho ni Kanisa. Ugub’alemeja ugusoma abhana ilenganilile na gub’akandikija abhana bhenabho. Gashinaga lulu, guligonhana igiki, unkandikija adab’inilagwa mbina.

Akahayile kenako kalib’izukija abhanhu higulya ya gulikala ililagilo lya katano ilya ng’wa Mulungu, ilo lilemejije ugub’ulaga abhanhu bho guhaya giki, “udizub’ulaga.’

KISWAHILI: MKANDAMIZAJI HACHEZEWI MGOMA

Chanzo cha msemo huo huangalia wanawake walioolewa wachezayo ngoma ya harusi au ya kidini ambayo ni ya mtoto wa mmoja wao, aliyeingia kwenye lika hilo. Mkandamizaji ni mwanamke ambaye huwaua watoto wake kwa kuwakandamiza wakati wa kujifungua au kwa kutoa mimba. Mtu kama huyo hachezewi ngoma kwa sababu huwaua watoto wa kumletea hiyo ngoma.

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwaondoa watoto wao duniani kwa njia mbali mbali. Baadhi yao huwaua watoto hao kabla ya kuzaliwa, kwa njia yoyote ile. Wengine huwakandamiza kwa kuwatelekeza baada ya kuzaliwa, kwa njia mbali mbali, ikiwemo ile ya kuwaacha wakafa kwa njaa. Kufanya hivyo hulinganishwa na kuwakandamiza watoto hao. Kwa sababu hiyo, watu hao hawatachezewa ngoma.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwakandamiza watoto kwa njia yoyote ile. Kumbe basi, yafaa watu wawatunze watoto hao ili wazaliwe vizuri na wakue vizuri.

Zaidi ya hayo, msemo huo hufundisha watu juu ya kuwasomisha vizuri watoto wao kusudi waweze kupata elimu ya kuwawezesha kuwa viongozi wakubwa wa nchi zao au Kanisa. Kuwakataza kusoma watoto hao, hulinganishwa na kuwakandamiza. Kumbe basi, ni kweli kwamba, mkandamizaji hachezewi ngoma.

Msemo huo huwakumbusha watu juu ya kuiishi amri ya tano ya Mungu, ikatazayo kuua watu, kwa kusema, ‘Usiue.’

abortion

ENGLISH: THE OPPRESSOR IS NOT PLAYED DRUMS FOR

The overhead saying focuses on the dance that is usually carried out by married women to celebrate a wedding ceremony or a religious rite of passage of one of their children. An oppressor is a woman who kills her children either at childbirth or through abortion. Such a person is not celebrated because she would have killed the source of the celebration: children.

The saying targets people who eliminate their children from the world in various ways. Some of them use any means to destroy the babies even before they are born. Others oppress the children by abandoning them after they are born, for instance by leaving them to starve to death. Doing so amounts to oppression of those children. People who commit such deeds cannot be celebrated through a drum dance.

The saying teaches people to stop abusing children in any way. Instead, people should take care of their children so that they get to be born and grow up well.

In addition, the saying teaches people about giving their children education so that they can become great leaders of their country or the Church. Denying them a chance to get an education is akin to oppressing them. And indeed ‘the oppressor is not played drums for.’

The saying also reminds people about living by the fifth commandment of God which prohibits killing, and it says, ‘You shall not kill.’

229. WAJA KUBHINGI

Imbuki ya Lusumo lunulo ilolile munhu uyo ozumalika. Umunhu ulu winga kuwelelo abhanhu b’agibhujaga giki, umbati hali?’ Abho bhadebhile uko ali bhagushosha giki, ‘ung’wene waja kub’ingi.’ Ukwene huguhaya giki, ‘umunhu ng’wunuyo wazumalika.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadebhile ugubhalunguja abhichabho abho bhapandikile mayange ga guzumalikilwa na ng’wichab’o. Abhanhu bhenabho bhamanile igiki, abhanhu abho bhazumalika bhalibhingi gukila abho bhalimusi. Giko lulu, abhoyi, bhagab’alangaga abhichibho giki, bhuli munhu aguzumalika, nulu aguja kubhingi. Kuyiniyo lulu, itiho inguno ya munhu gupinhihala mpaga ugabhitilija ulu ozumalikilagwa na nduguye.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumani bho gubhalunguja abhanhu abho bhapandikaga mayange ga guzumalikilwa na ng’wichabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhakije ugupinhihala mpaka bhugabhitilija, kunguno umunhu ng’wunuyo, ojile kubhingi.

Marko 9:31-32.

KISWAHILI: ALISHAENDA KWA WENGI

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu ambaye amefariki. Mtu akiaga dunia watu huulizana kwamba, ‘fulani wapi?’ Wale wafahamuo kule aliko hujibu kwamba, ‘huyo alishaenda kwa wengi.’ Ndiyo kusema kwamba, ‘mtu huyo alishafariki.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wafahamuo kuwafariji wenzao waliopata matatizo ya kuondokewa na wenzao. Watu hao wafahamu kwamba, watu waliofariki ni wengi kuliko wale walioko duniani. Hivyo, wao huwafundisha wenzao kwamba, ‘kila mtu atafariki, au ataenda kwa wengi. Kwa hiyo basi, hakuna sababu ya mtu kuhuzunika kupita kiasi pale ambapo ndugu yake atafariki dunia.

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewa wa kuwafariji wenzao waliopata matatizo ya kuondokewa na wapendwa wao. Yafaa watu hao waache kuhuzunika kupita kiasi kwa sababu mtu huyo alieshaenda kwa wengi.

Marko 9:31-32.

graves

ENGLISH: HE/SHE WENT TO MANY

The above proverb addresses the phenomenon of death. When a person dies, people ask each other, ‘Where is so and so?’ And those in the know would usually respond by saying, ‘He/she went to many,’ which implies that the person is deceased.

This proverb relates to people who understand how to comfort their friends who may have experienced distressing situations like loss of loved ones. Aware that the dead are more than the living, they use the wise saying to teach others that everyone will die, or ‘will go to many’. There is therefore no compelling need for the affected person to grieve too much for a kinsman’s demise.

The proverb teaches people to be understanding as they comfort others who may have suffered loss of loved ones. Bereaved people need not grieve extensively because, after all, the deceased ‘has gone to many.’

Mark 9: 31-32.

228. NGELELO IDAKILANYIAGWA

Imbuki ya kahayile kenako ilolile nhalikilo ya b’ulamu bho ng’wa munhu. Ubhulamu bho ng’wa munhu umusi munumu, bhuli na nhalikilo yaho, mumo agasab’ila, nulu mumo agayegela. Ulu yushiga ingelelo yakwe idakilanyiagwa, mumo agitila umunhu ng’wunuyo, nulu mumo bhagitila abhalang’hani bhakwe.

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagiganikaga giki, bhadulile ugubhongeja ubhulamu bhobho ubho musi munumu, bho bhudula bhobho. Abhoyi bhagiganikaga giki, isabho ijobhalinajo jidulile guilemeja ingelelo yabho, nulu ubhutale bhobho, bhudulile guilemeja ingelelo yiniyo. Abhanhu bhenabho bhagiganikaga giko, kunguno bhadamanile igiki ingelelo idakilanyiyagwa.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gumana igiki, bhuli munhu alinayo ingelelo yakwe, iyagwikala umusi munumu. Kuyiniyo lulu, yigelelilwe bhuling’wene ang’wisanye unsumbi okwe uyo ong’wenha ukuwelelo, gukila umo ajisanijije isabho jakwe. Umukikalile kenako umunhu ng’wunuyo agudula ugujitumamila chiza isabho jakwe, haho ingelelo yakwe itali ugushiga, kunguno ingelelo yiniyo, idakilanyiagwa. Kuyiniyo lulu, ulu munhu jushila ishigu jakwe, mumho jashilaga duhu, adadulile ugujongeja, nulu ugubhongeja ubhulamu bhokwe ubho musi munumu.

Waebrania 9:26-27.

Mathayo 6:27.

KISWAHILI: MWISHO HAUVUKWI

Chanzo cha msemo huo huangalia mwisho wa maisha ya mtu. Maisha ya mtu hapa duniani, yana mwisho wake, hata kama akitajirika namna gani au akifurahi namna gani. Ukifika mwisho wake huo, hauvukwi, hata akifanya nini mwanadamu huyo, au hata wafanyeje wale wamtunzao.

Msemo huo hulinganishwa  kwa watu wafikirio kwamba, waweza kuuongeza uhai wao, hapa duniani, kwa uwezo wao. Wao hudhani kuwa, mali zao zaweza kuuzuia mwisho huo, au ukubwa wao, waweza kuuzuia mwisho wao huo ukifika. Watu hao hufikiria hivyo, kwa sababu hawafahamu kwamba, mwisho huo hauvukwi.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa kwamba, kila mwanadamu ana mwisho wake wa kuishi hapa duniani. Kwa hiyo basi, yafaa kila mmoja amtegemee Muumba wake aliyemleta hapa duniani, kuliko azitegemeavyo mali zake.

Kupitia maisha hayo, watu hao wataweza kuzitumia vizuri mali zao, kabla haujaufika mwisho wao wa kuishi hapa duniani, kwa sababu mwisho huo hauvukwi. Kwa hiyo basi, mtu zikiisha siku zake za kuishi hapa duniani, ndiyo zimeisha tu, hawezi kuziongeza tena, wala kuuongeza uhai wake.

Waebrania 9:26-27.

Mathayo 6:27.

adult-

ENGLISH: THE END CANNOT BE SKIPPED

The overhead saying examines the life of a human being in relation to his/her lifespan. A person’s life on earth has an end, no matter how rich or happy he/she may be. When its end comes, the person cannot leap beyond that point, no matter what he/she or anyone else does.

The saying is comparable to a case where people think that they can lengthen or extend their lives here on earth. Such people think that their wealth or their might can forestall their demise. They nurse such foolish thoughts because they do not comprehend the fact that the end cannot be skipped.

The saying teaches people to understand that every human being has a definite life span here on earth. Therefore, it is prudent for each one to bank on his/her Creator rather than on earthly possessions.

By relying on the Creator, people will be able to take full advantage of their wealth before their end calls; after all, the end cannot be avoided or skipped. When a person’s life on earth ends, it is over; it cannot be extended at all.

Hebrews 9: 26-27.

Matthew 6:27.

227. NG’WANA AGAKULAGA GUTI UMO ALELELILWE

Imbuki ya kahayile kenako ilolile kalelelwe ka ng’wana na kakulile kakwe. Uneji ulu unanga ung’wana ng’wunuyo nhungwa ja wiza, agukula najo, na agub’iza munhu o wiza umukikalile kakwe. Aliyo lulu, uneji ng’wunuyo ulu unanga ung’wana nhungwa ja bhubhi, agukula najo umuwikaji bhokwe. Gashinaga lulu guligong’hana igiki ung’wana agakulaga guti umo alelelilwe.

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagadililaga chiza ugubhinha ubhulangwa ubhogubhiza na nhungwa ja wiza, abhanhu bhab’o, haho bhatali bhadoo. Abhanhu bhenabho bhalinabhukamu ubho gwikala na nhungwa jinijo ijawiza umuwikaji bhobho. Gubhitila wikaji bho nhungwa jinijo ijawiza, abhanhu bhabho bhagandyaga gupandika bhulangwa bho gwikala na mholele na bhichabho, haho bhatali bhadoo.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza, abhanhu bhabho, gwandija haho bhatali bhadoo mpaga bhugab’iza bhanhu bhatale. Abhanhu bhabho bhenabho, bhagukula bhilangile isolobho ya gwikala na nhungwa jinijo ijawiza, kunguno ung’wana agakulaga guti umo alelelilwe.

Mithali 22:6.

Kuka 2:52.

KISWAHILI: MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO

Chanzo cha msemo huo huangalia kulelewa kwa mtoto na kukua kwake. Mlezi akimfundisha mtoto tabia njema, atakua nayo na atakuwa mtu mwenye upendo kwa wenzake, maishani mwake. Lakini kama mlezi akimfundisha mtoto huyo tabia mbaya, vile vile atakuwa nayo maishani mwake. Hatakuwa na upendo wa kuishi kwa amani na wenzake. Kumbe  basi, ni kweli kwamba, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale wafuatiliao vizuri katika kuwapatia watu wao malezi ya kuwa na tabia njema toka utotoni mwao hadi kufikia umri wa kuweza kujitegemea, maishani mwao. Kupitia  maisha hayo, watu wao huanza kupata malezi hayo ya kuishi katika tabia hiyo njema, kuanzia utotoni mwao. Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wao kuanzia

utotoni mwao hadi pale watakapofikia umri wa kujitegemea wenyewe maishani mwao. Watu hao watakuwa wamejifunza faida za kuishi maisha yenye tabia njema, kwa sababu mtoto alelewavyo ndivyo akuavyo.

Mithali 22:6.

Luka 2:52.

motherhood

ENGLISH: HOW YOU NURTURE A CHILD IS HOW HE/SHE GROWS TO BECOME

The above saying focuses on the relationship between the nature of a child’s upbringing and his/her mannerisms or character. For instance, if the care giver cultivates good character in the child, he/she grows to become a loving person in life.

But if the child is taught bad behavior, it will certainly manifest itself in his/her future life. This means the fellow may not co-exist peacefully with other people in life because he/she will be deficient of love. Thus the truism, ‘How you nurture a child is how he/she grows to become.’

The saying is comparable to people who are keen on giving their offspring a good moral upbringing right from childhood. As a result of this consistency, the young people grow into well-mannered, responsible adults in life.

This saying teaches people on the virtue of instilling good morals in children right from their infancy stage. This is a guarantee of desirable character in the person’s adulthood. ‘How you nurture a child is how he/she grows to become.’

Proverbs 22: 6.

Luke 2:52.