Imbuki ya kahayile kenako ilolile kalelelwe ka ng’wana na kakulile kakwe. Uneji ulu unanga ung’wana ng’wunuyo nhungwa ja wiza, agukula najo, na agub’iza munhu o wiza umukikalile kakwe. Aliyo lulu, uneji ng’wunuyo ulu unanga ung’wana nhungwa ja bhubhi, agukula najo umuwikaji bhokwe. Gashinaga lulu guligong’hana igiki ung’wana agakulaga guti umo alelelilwe.
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagadililaga chiza ugubhinha ubhulangwa ubhogubhiza na nhungwa ja wiza, abhanhu bhab’o, haho bhatali bhadoo. Abhanhu bhenabho bhalinabhukamu ubho gwikala na nhungwa jinijo ijawiza umuwikaji bhobho. Gubhitila wikaji bho nhungwa jinijo ijawiza, abhanhu bhabho bhagandyaga gupandika bhulangwa bho gwikala na mholele na bhichabho, haho bhatali bhadoo.
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza, abhanhu bhabho, gwandija haho bhatali bhadoo mpaga bhugab’iza bhanhu bhatale. Abhanhu bhabho bhenabho, bhagukula bhilangile isolobho ya gwikala na nhungwa jinijo ijawiza, kunguno ung’wana agakulaga guti umo alelelilwe.
Mithali 22:6.
Kuka 2:52.
KISWAHILI: MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO
Chanzo cha msemo huo huangalia kulelewa kwa mtoto na kukua kwake. Mlezi akimfundisha mtoto tabia njema, atakua nayo na atakuwa mtu mwenye upendo kwa wenzake, maishani mwake. Lakini kama mlezi akimfundisha mtoto huyo tabia mbaya, vile vile atakuwa nayo maishani mwake. Hatakuwa na upendo wa kuishi kwa amani na wenzake. Kumbe basi, ni kweli kwamba, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale wafuatiliao vizuri katika kuwapatia watu wao malezi ya kuwa na tabia njema toka utotoni mwao hadi kufikia umri wa kuweza kujitegemea, maishani mwao. Kupitia maisha hayo, watu wao huanza kupata malezi hayo ya kuishi katika tabia hiyo njema, kuanzia utotoni mwao. Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wao kuanzia
utotoni mwao hadi pale watakapofikia umri wa kujitegemea wenyewe maishani mwao. Watu hao watakuwa wamejifunza faida za kuishi maisha yenye tabia njema, kwa sababu mtoto alelewavyo ndivyo akuavyo.
Mithali 22:6.
Luka 2:52.
ENGLISH: HOW YOU NURTURE A CHILD IS HOW HE/SHE GROWS TO BECOME
The above saying focuses on the relationship between the nature of a child’s upbringing and his/her mannerisms or character. For instance, if the care giver cultivates good character in the child, he/she grows to become a loving person in life.
But if the child is taught bad behavior, it will certainly manifest itself in his/her future life. This means the fellow may not co-exist peacefully with other people in life because he/she will be deficient of love. Thus the truism, ‘How you nurture a child is how he/she grows to become.’
The saying is comparable to people who are keen on giving their offspring a good moral upbringing right from childhood. As a result of this consistency, the young people grow into well-mannered, responsible adults in life.
This saying teaches people on the virtue of instilling good morals in children right from their infancy stage. This is a guarantee of desirable character in the person’s adulthood. ‘How you nurture a child is how he/she grows to become.’
Proverbs 22: 6.
Luke 2:52.