Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhashike abho bhalibhina mbina ya winga, nulu ya jizunya iyo ili ya ng’wana o mshike ng’wichabho, uyo wingilile mulilika linilo. Unkandikija alimkima uyo agab’abhulagaga abhana bhakwe bhogub’akandikija ahikanza ilyagubyala, nulu bhogufunya Nda. Umunhu guti ng’wunuyo adub’inilwa imbina, kunguno ob’abhulaga abhana abhagung’weng’hela imbina ya gub’inilwa yiniyo.
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagab’injaga kuwelelo abhana bhabho bho nzila yoseyose. Abhangi b’agab’abhulagaga abhana bhenabho haho b’adinabyalwa, bho njila yoseyose. Abhangi b’agab’alekanijaga b’acha na nzala. Ugwita chiniko ilenganilile na gub’akandikija abhana bhenabho. Kunguno yiniyo lulu, abhanhu bhenabho bhadub’inilwa imbina.
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kukandikija bhana bho nzila yoseyose. Gashinaga lulu, igelelilwe abhanhu b’ab’alang’hane abhana bhenabho b’abyalwe chiza na b’akule chiza.
Ijinagongeja, akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’asomisha chiza abhana bhabho, kugiki bhadule gub’iza bhatumami b’atale, nulu b’ab’ize b’atongeji bhatale bha si jabho ni Kanisa. Ugub’alemeja ugusoma abhana ilenganilile na gub’akandikija abhana bhenabho. Gashinaga lulu, guligonhana igiki, unkandikija adab’inilagwa mbina.
Akahayile kenako kalib’izukija abhanhu higulya ya gulikala ililagilo lya katano ilya ng’wa Mulungu, ilo lilemejije ugub’ulaga abhanhu bho guhaya giki, “udizub’ulaga.’
KISWAHILI: MKANDAMIZAJI HACHEZEWI MGOMA
Chanzo cha msemo huo huangalia wanawake walioolewa wachezayo ngoma ya harusi au ya kidini ambayo ni ya mtoto wa mmoja wao, aliyeingia kwenye lika hilo. Mkandamizaji ni mwanamke ambaye huwaua watoto wake kwa kuwakandamiza wakati wa kujifungua au kwa kutoa mimba. Mtu kama huyo hachezewi ngoma kwa sababu huwaua watoto wa kumletea hiyo ngoma.
Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwaondoa watoto wao duniani kwa njia mbali mbali. Baadhi yao huwaua watoto hao kabla ya kuzaliwa, kwa njia yoyote ile. Wengine huwakandamiza kwa kuwatelekeza baada ya kuzaliwa, kwa njia mbali mbali, ikiwemo ile ya kuwaacha wakafa kwa njaa. Kufanya hivyo hulinganishwa na kuwakandamiza watoto hao. Kwa sababu hiyo, watu hao hawatachezewa ngoma.
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwakandamiza watoto kwa njia yoyote ile. Kumbe basi, yafaa watu wawatunze watoto hao ili wazaliwe vizuri na wakue vizuri.
Zaidi ya hayo, msemo huo hufundisha watu juu ya kuwasomisha vizuri watoto wao kusudi waweze kupata elimu ya kuwawezesha kuwa viongozi wakubwa wa nchi zao au Kanisa. Kuwakataza kusoma watoto hao, hulinganishwa na kuwakandamiza. Kumbe basi, ni kweli kwamba, mkandamizaji hachezewi ngoma.
Msemo huo huwakumbusha watu juu ya kuiishi amri ya tano ya Mungu, ikatazayo kuua watu, kwa kusema, ‘Usiue.’
ENGLISH: THE OPPRESSOR IS NOT PLAYED DRUMS FOR
The overhead saying focuses on the dance that is usually carried out by married women to celebrate a wedding ceremony or a religious rite of passage of one of their children. An oppressor is a woman who kills her children either at childbirth or through abortion. Such a person is not celebrated because she would have killed the source of the celebration: children.
The saying targets people who eliminate their children from the world in various ways. Some of them use any means to destroy the babies even before they are born. Others oppress the children by abandoning them after they are born, for instance by leaving them to starve to death. Doing so amounts to oppression of those children. People who commit such deeds cannot be celebrated through a drum dance.
The saying teaches people to stop abusing children in any way. Instead, people should take care of their children so that they get to be born and grow up well.
In addition, the saying teaches people about giving their children education so that they can become great leaders of their country or the Church. Denying them a chance to get an education is akin to oppressing them. And indeed ‘the oppressor is not played drums for.’
The saying also reminds people about living by the fifth commandment of God which prohibits killing, and it says, ‘You shall not kill.’