Imbuki ya kahayile kenako yingilile kulinamugi uyo agaigasijaga ikaya yakwe bhobhukali. Ikaya yiniyo igasalambanaga kunguno ya bhukalihilwa bhunubho. Hunagwene agawilagwa na bhiye giki, “ihadike lidakomelagwa kaya.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhakalihilaga abhanhu abhahakaya jabho. Abhanhu bhenabho bhadabhizaga na bhutongeji bhowiza ukubhanhu bhabho bhenabho. Ubhukali bhunubho bhugabhasalambanyaga abhanhu abhahakaya jabho jinijo, kunguno ya wikaji bhenubho. Gashinaga lulu, goligong’hana igiki, ilihadike lidakomelagwa kaya.
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na nhungwa ja gubhatongela chiza abhanhu bhahakaya jabho. Ubhutongeji ubhowiza bhunubho, bhugubhinha wiyabhi abhanu bhabho ubhogudula gutumama milimo yahahakaya yiniyo bho mholele na nduhu uguhadikijiwa.
Filimoni 1:14.
Yohane 8:31-32.
KISWAHILI:AMRI YA HAIJENGI FAMILIA
Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mzee wa familia aliyeishi kwa kuwalazimisha watu wake katika kutekeleza majukumu ya pale. Familia hiyo ilisambalatika kwa sababu ya watu wake kukalipiwa mara kwa mara na mzee huyo. Ndiyo maana watu humwambia mzee huyo kwamba, amri haijengi familia.
Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwakalipia watu walioko kwenye familia zao. Ukali huo huwajengea hofu watu wao mpaka kufikia hatua ya kusambalatika pale nyumbani. Watu hao huwa hawana uongozi mzuri kwa watu wao. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, amri haijengi familia.
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuweza kuwaongoza vizuri watu wao hao. Uongozi huo ndiyo ule ulio mzuri uwapao watu wao uhuru wa kutosha kuwawezesha kufanya kazi zao kwa amani na uhuru wa kujituma zaidi badala ya kusubiri kulazimishwa.
Filimoni 1:14.
Yohane 8:31-32.
ENGLISH: A COMMAND DOES NOT BUILD A FAMILY
The above saying examines how a family cannot be built through duress by the family elder, who forces people to carry out their duties. Such a family would crumble because of the constant harsh words or commands used by the elder to reproach people as they work. That is why people would tell such an elder that ‘a command does not build a family.’
The saying is comparable to people who use harsh language to admonish others in their families. Such hostility breeds fear in people to the point of breaking the home. And this is a symptom of poor leadership qualities in the elders. That is why such a leader or elder is told, ‘a command does not build a family.’
The saying teaches people about the character of leading others well. Sound leadership allows people sufficient freedom to enable them carry out their duties peacefully and freely rather than by compulsion.
Philemon 1:14.
John 8: 31-32.
Oyee!
LikeLike