heritage

312. B’ULONGO B’O MUNA NGOKO AGUGIHYA NOMO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kungoko iyo yang’waga amagi gayo. Ingoko yiniyo aho yayugang’wa amagi gayo genayo, abhanhu bhagayihaya giki, yalihije unomo goyo, kunguno yandije kuita yabhub’i. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘b’ulongo bho muna ngoko agugihya nomo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinomolomo. Umunhu ng’wunuyo agajaga ulisanya bhanhu bho gubhawila  mihayo ya b’ulomolomo. Giko lulu, umunhu ng’wunuyo agikolaga ni ngoko, kunguno nag’hwe agitaka ya bhubhi ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘b’ulongo bho muna ngoko agugihya nomo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ulomolomo, umuwikaji bhobho, kugiki abhanhu bhenabho bhadule gwikala chiza na bichacho.’

Wakolosai 3:9.

KISWAHILI: UONGO WA KUKU ALICHONGEKA MDOMO

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kuku aliyekunywa mayayi yake. Kuku huyo aliyekunywa mayayi yake hayo, watu humsema kwamba, ni kuku aliyechongeka mdomo, kwa sababu ya kutenda matendo maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uongo wa kuku alichongeka mdomo.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni muongo. Mtu huyo huenda akigombanisha watu kwa kuwaambia maneno hayo ya uongo. Hivyo basi, mtu huyo hufanana na kuku aliyekunywa mayayi yake, kwa sababu naye hutenda maovu kwa wenzake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘uongo wa kuku alichongeka mdomo.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za uongo, maishani mwao, ili watu hao, waweze kuishi vizuri na wenzao.

Wakolosai 3:9.

animal cock

 

ENGLISH: A CHICKEN’S LIE SHARPENED ITS BEAK

This proverb comes from a chicken that pecked and drunk its eggs. Such a chicken is said to have a pointed beak because of its bad habits of destroying its eggs. That is why people say, “a chicken’s lie sharpened its beak.”

The proverb is used to a person who is a liar. Such a person goes around telling lies that cause conflicts among people. Thus, the person is likened to a chicken that pecked and drunk its eggs because he/she does evil things to others. That is why people tell such people that, “a chicken’ lie sharpened its beak.”

The proverb teaches people to break free from bad habits of lying in their lives so that they can live well with others.

Colossians 3: 9.

311. MALEKANA MIZA GAGIGENIHAGA NA HANTONTO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile gukalekanile kiza ka bhidumi bhabhili. Abhidumi bhenabho b’ikalaga halumo, ahobhatali ugwiduma. Aho bhiduma bhagiyangula kulekana mhola, kugiki, bhaladule gwiyelela ahashigu ijahabhutongi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ‘malekana miza gagigenihaga na ha ntondo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhiduma na gulekana bhadilumijije. Abhanhu bhenabho bhagigenihaga, kunguno bhalekana chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘malekana miza gagigenihaga na ha ntondo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhumala chiza widumi bhobho, bho njila ya mahoya ga mholele, kugiki bhadule ugwikala mhola, umuwikaji bhobho.

Yahane 18:9,

Ufunuo 3:20.

Waebrania 13:1-3.

KISWAHILI: MAACHANO MAZURI HUTEMBELEANA NA KESHO

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maachano mazuri ya watu wawili waliokosana. Watu hao waliokosana walikuwa wakiishi pamoja wakati wahajakosana. Walipokosana waliamua kuachana salama bila kuumizana, ili waweze kutembeleana kwenye siku za mbeleni. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘maachano mazuri hutembeleana na kesho.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa wanandoa waliokosana wakaachana bila kuumizana. Watu hao hutembeleana, kwa sababu waliachana vizuri na salama. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘maachano mazuri hutembeleana na kesho.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufikia maelewano mazuri ya kumaliza ugomvi wao, kwa kutumia njia ya amani, ili waweze kuishi salama, maishani mwao.

Yahane 18:9,

Ufunuo 3:20.

Waebrania 13:1-3.

goodye

 

ENGLISH: THOSE WHO PART AMICABLY MAY VISIT ONE ANOTHER IN FUTURE

This proverb emerges from a story of two people who parted amicably due to quarrel. The two people were living together before the quarrel.When they quarreled they decided to part peacefully so that they could visit one another in the future. That is why people say,” those who part amicably may visit each other in future.”

The proverb is compared to couples who quarrel and separate without hurting each other. The couples may visit each other because they parted peacefully. That is why people say, “those who part amicably may visit each other in future.”

The proverb teaches people about resolving conflicts amicably so that they live peacefully in their lives.

John 18: 9,

Revelation 3:20.

Hebrews 13: 1-3.

310. LUGEMBE MUNDA

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile lugembe ulo luli munda ya ng’wa munhu. Ulugembe lunulo luganchembaga umunda munumo. Gashinaga lugaminyaga ung’winikili nda yiniyo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘lugembe munda.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo opandika mamihayo gagunsunduhaja umumoyo gokwe. Amamihayo genayo gagab’izaga guti lugembe ulolulichembagula umunda yakwe, umunhu ng’wunuyo. Uweyi agadumaga nulu gulya wiguta, kunguno ya gusatya chiniko. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayangaga bhoguyomba giki, ‘lugembe munda.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gub’itila mihayo yabhub’i abhichabho, kunguno iyiniyo idulile gubhasunduhaja umuwikaji bhobho.

Waroma 9:2.

KISWAHILI: WEMBE TUMBONI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia wembe ulioko tumboni mwa mtu. Wembe huo humkata mwenye tumbo hilo. Kumbe huwa unamuumiza sana mtu huyo. Ndiyo maana yeye hulalamika kwa husema kwamba,  ‘wembe tumboni.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule aliyepata matatizo yaliyomhudhunisha moyoni mwake. Matatizo au maneno hayo, humpatia maumivu kama wembe unaomkatakata tumboni mwake mtu huyo. Maumivu hayo husababisha kwa mtu huyo kushindwa kula mpaka kutosheka. Ndiyo maana mtu huyo huhaangaika akisema hivi, ‘wembe tumboni.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwatendea maovu wenzao, kwa sababu matendo hayo kuwaumiza wenzao, maishani mwao.

Waroma 9:2.

razor-blade1

 

ENGLISH: A RAZOR IN THE STOMACH

This saying originated from a story of a person with a razor in his stomach. Such a razor cuts the person in the stomach and causes pain to him/her. That is why he/she complains, “a razor in the stomach.”

The saying is likened to a person who went through problems that caused grief to him/her. Such problems, or words, give him/her pains like a razor that cuts his/her stomach. The pains make the person not to eat well. That is why the person in such situation remarks, “a razor in the stomach.”

The proverb teaches people to stop doing bad things to others because bad things hurt others in their lives.

Romans 9: 2.

309. NANGULO GO MVA

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kukikalile kamva. Imva igikalaga igashije duhu, kunguno idajaga nulu kumilimo. Aliyo ijiliwa igalyaga duhu, bho nduhu nugumana nuko jigafumilaga ilijiwa jinijo, kunguno iyoyi igikalaga ifulile duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nangulo go mva.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga wigashije bho nduhu ninga gutumama milimo. Umunhu ng’wunuyo agalenganijiyagwa nimva, kunguno nanghwe adajaga ukunimo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nangulo go mva.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na nhungwa ja gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule abhanhu bhenabho, ugujenhela maendeleo ikaya jabho.

2Wathesalonike 3:10-11.

KISWAHILI: PUMZIKO LA MBWA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maisha ya mbwa. Mbwa huishi bila kufanya kazi, Yeye hupumzika tu, kwa sababu haendi wala kazini. Lakini chakula huwa anakula tu bila kuelewa kule kilichotoka chakula hicho, kwa sababu yeye huishi kwa kupumzika tu. Ndiyo maana watu husema, ‘pumziko la mbwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kukaa bila kwenda kufanya kazi. Mtu huyo hulinganishwa na mbwa, kwa sababu naye huwa hafanyi kazi. Ndiyo maana watu humwita, ‘pumziko la mbwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kufanya kazi kwa bidii ili watu hao waweze kuziletea maendeleo familia zao.

2Wathesalonike 3:10-11.

dog3

dog2

ENGLISH: A DOG NEVER WORK, YET IS SATISFIED

This proverb originates from the dog’s life. The dog does not work. It spends most of its life resting. It also eats food without knowing where that food comes from. That is why people say, “a dog never work, yet is satisfied.”

The saying is compared to a person who lives by doing nothing. Such person is likened to a dog because he/she does not work but he/she is contented with such life. That is why people tell him, “a dog never work, yet is satisfied.”

The saying discourages people from living without work. They should work hard so as to improve their lives and their families.

2Thessalonians 3: 10-11.

308. NONI IMO MMAKONO ILI YA WIZA GUKILA IB´ILI NG´WIPOLU

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kunoni iyo ilimumakono ga ng´wa munhu. Umunhu ng´wunuyo oladidililaga chiza, kunguno ya gujikumbwa noni ijo jiling´wipolu. Aho janshiga inoni  jinijo, uibhona isolobho ya noni iyo ilimmakono gakwe. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ´noni imo mmakono iliyawiza gukila ib´ili ng´wipolu.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajikolo umumakono gakwe ijo agajidalahaga, kunguno ya kujikumbwa sabho ijo jidiho. Uweyi adadebhile igiki ijo alinajo jilijawiza gukila gujikumbwa ijo adinajo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki ‘noni imo mmakono ili yawiza gukila ib’ili ng’wipolu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujidilila chiza isab’a ijo b’alinajo, umumakono gabho, gukila gujikumbwa ijo bhadinajo.

Luka 15:7.

KISWAHILI: NDEGE MMOJA MIKONONI NI BORA KULIKO NDEGE WAWILI POLINI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ndege aliyeko mikononi mwa mtu. Mtu huyo hamjali vizuri kwa sababu ya kutamani kupata ndege wawilli walioko polini.

Alipogundua kwamba ndege hao walioko polini wamemuacha, alitambua umuhimu wa ndege aliyenaye mikononi mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ndege mmoja mikononi, ni bora kuliko ndege wawili polini.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye  ana mali mikononi mwake, ambaye huidharau mali hiyo, kwa sababu ya kutamani mali ambao haipo. Yeye  haelewi kwamba kile alicho nacho, ni bora  kuliko kutamani mali asizo nazo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ndege mmoja mikononi ni bora kuliko ndege wawili polini.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuitunza mali waliyo nayo mikononi mwao, kuliko kutamani ile wasiyokuwa nayo.

Luka 15:7.

people with bird

robin

 

ENGLISH: A BIRD IN THE HAND IS WORTH THAN TWO IN THE BUSH

The proverb originates from a story of a person with one bird in hand. There was a person who was not taking good care of the bird he/she had because of the desire of two birds which were in the bush.

When this person could not catch the two birds in the bush he/she realized the value of the bird he/she had in his hands. That is why people say, “a bird in the hand is worth than two in the bush.”

The proverb is likened to a person who dispeses the property he/she has in possession because of a desire for property that he/she does not have. The person does not appreciate the worth of what he/she has in relation to what he/she does not have. This makes people to tell him/her, “a bird in the hand is worth than two in the bush.”

The proverb teaches people to value and take good care of what they have even if it is small rather than the desire for something greater which may come to nothing.

Luke 15: 7.