310. LUGEMBE MUNDA

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile lugembe ulo luli munda ya ng’wa munhu. Ulugembe lunulo luganchembaga umunda munumo. Gashinaga lugaminyaga ung’winikili nda yiniyo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘lugembe munda.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo opandika mamihayo gagunsunduhaja umumoyo gokwe. Amamihayo genayo gagab’izaga guti lugembe ulolulichembagula umunda yakwe, umunhu ng’wunuyo. Uweyi agadumaga nulu gulya wiguta, kunguno ya gusatya chiniko. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayangaga bhoguyomba giki, ‘lugembe munda.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gub’itila mihayo yabhub’i abhichabho, kunguno iyiniyo idulile gubhasunduhaja umuwikaji bhobho.

Waroma 9:2.

KISWAHILI: WEMBE TUMBONI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia wembe ulioko tumboni mwa mtu. Wembe huo humkata mwenye tumbo hilo. Kumbe huwa unamuumiza sana mtu huyo. Ndiyo maana yeye hulalamika kwa husema kwamba,  ‘wembe tumboni.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule aliyepata matatizo yaliyomhudhunisha moyoni mwake. Matatizo au maneno hayo, humpatia maumivu kama wembe unaomkatakata tumboni mwake mtu huyo. Maumivu hayo husababisha kwa mtu huyo kushindwa kula mpaka kutosheka. Ndiyo maana mtu huyo huhaangaika akisema hivi, ‘wembe tumboni.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwatendea maovu wenzao, kwa sababu matendo hayo kuwaumiza wenzao, maishani mwao.

Waroma 9:2.

razor-blade1

 

ENGLISH: A RAZOR IN THE STOMACH

This saying originated from a story of a person with a razor in his stomach. Such a razor cuts the person in the stomach and causes pain to him/her. That is why he/she complains, “a razor in the stomach.”

The saying is likened to a person who went through problems that caused grief to him/her. Such problems, or words, give him/her pains like a razor that cuts his/her stomach. The pains make the person not to eat well. That is why the person in such situation remarks, “a razor in the stomach.”

The proverb teaches people to stop doing bad things to others because bad things hurt others in their lives.

Romans 9: 2.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.