309. NANGULO GO MVA

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kukikalile kamva. Imva igikalaga igashije duhu, kunguno idajaga nulu kumilimo. Aliyo ijiliwa igalyaga duhu, bho nduhu nugumana nuko jigafumilaga ilijiwa jinijo, kunguno iyoyi igikalaga ifulile duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nangulo go mva.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga wigashije bho nduhu ninga gutumama milimo. Umunhu ng’wunuyo agalenganijiyagwa nimva, kunguno nanghwe adajaga ukunimo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nangulo go mva.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na nhungwa ja gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule abhanhu bhenabho, ugujenhela maendeleo ikaya jabho.

2Wathesalonike 3:10-11.

KISWAHILI: PUMZIKO LA MBWA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maisha ya mbwa. Mbwa huishi bila kufanya kazi, Yeye hupumzika tu, kwa sababu haendi wala kazini. Lakini chakula huwa anakula tu bila kuelewa kule kilichotoka chakula hicho, kwa sababu yeye huishi kwa kupumzika tu. Ndiyo maana watu husema, ‘pumziko la mbwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kukaa bila kwenda kufanya kazi. Mtu huyo hulinganishwa na mbwa, kwa sababu naye huwa hafanyi kazi. Ndiyo maana watu humwita, ‘pumziko la mbwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kufanya kazi kwa bidii ili watu hao waweze kuziletea maendeleo familia zao.

2Wathesalonike 3:10-11.

dog3

dog2

ENGLISH: A DOG NEVER WORK, YET IS SATISFIED

This proverb originates from the dog’s life. The dog does not work. It spends most of its life resting. It also eats food without knowing where that food comes from. That is why people say, “a dog never work, yet is satisfied.”

The saying is compared to a person who lives by doing nothing. Such person is likened to a dog because he/she does not work but he/she is contented with such life. That is why people tell him, “a dog never work, yet is satisfied.”

The saying discourages people from living without work. They should work hard so as to improve their lives and their families.

2Thessalonians 3: 10-11.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.