heritage

338. WANG’WIMA NG’WIYO NUB’EB’E ULAGUB’ONA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulombi bho ginhu na wimiwa bhojo. Olihoyi munhu uyo olina makoye, uyo agaja gujulomba wambilijiwa kuli ng’wiye. Ung’wiye ng’wunuyo agang’wima uyo olina makoye. Abhanhu aho b’igwa igiki ong’wimaga uyo oyunombaga, bhagang’wila giki. ‘wang’wima ng’wiyo nub’e’be ulagub’ona.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiming’holo. Umungu ng’wunuyo agab’imaga abhiye abho b’agajaga gujunomba. Kuyiniyo lulu, ulu nang’hwe uja gujulomba agwimiwa, kunguno nuweyi agab’imaga abhiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wang’wima ng’wiyo nub’eb’e ulagub’ona.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza b’izang’holo umuwikaji bhobho, kugiki nabho ulu bhalalombe ginhu bhambilijiwe, kunguno nabho bhagabhambilijiaga abhichabho.

Luka 16:38.

KISWAHILI: UMEMNYIMA MWENZIO NAWEWE UTAONA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uombaji wa kitu na kunyimwa. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na matatizo, ambaye alienda kuomba msaada kwa mwenzake. Huyo mwenzake alimnyima yule aliyekuwa na matatizo. Watu walioelewa kwamba amemnyima mhitaji huyo, walimwambia kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mchoyo maishani mwake. Mtu huyo huwanyima wenzake waendao kumuomba msaada wake. Kwa hiyo basi, akienda kuomba msaada naye atanyimwa kwa sababu naye huwanyima wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa wakarimu maishani mwao, ili nao waweze kusaidiwa watakapohitaji msaada kutoka kwa wenzao, kwa sababu nao huwasaidia wenzao hao wanaohitaji msaada wao.

Luka 16:38.

poor-kids

 

 

ENGLISH: YOU HAVE REFUSED TO HELP YOUR FELLOW, YOU ALSO SHALL SEE IT.

This saying stems from objection and deprivation. There was a person who had problems and went to seek help from his/her friend, but he/she was refused. People who knew that the needy person was refused from being helped they told him/her that, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying can be compared to someone who is greedy in his/her life. It is likened to a person who refuses to help his/her fellows. Such a person is likely not to be helped when he/she seeks for a help whenever he/she faces problems. This is why people say, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying teaches people to be generous in their lives so that they can be helped when they need help from their fellows.

Luke 16:38.

337. AB’ALI SENGE LIMO B’ADIKELELAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhusangiji wisenge b’o b’anhu bhab’ili. Ilisenge linilo ligolechaga bhiyaambilija bho gutumama milimo yabho kihamo. B’uli ng’wene amanile iyo ung’wiye aliitumama, kunguno bhagikalaga kihamo bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itolile, abho b’adadulile gwikelela, kunguno b’agikalaga kihamo b’uli makanza. Uwitoji bhobho abhanhu bhenabho, b’ulisawa nisenge ilo b’alisangilile umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhitoji higulya ya gub’iza bhatungilija umukikalile ka witoji bhobho, umushigu jab’ulamu bhobho. Yigeleliwe abhanhu bhenabho bhab’ize na wigogwi bho gwikala kihamo, umuwikaji bhobho bhose.

Yohane 15:14-15.

KISWAHILI: WALIO UKUTA MMOJA HAWAFICHANI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uchangiaji wa ukuta wa watu wawili. Ukuta huo huonesha hali ya kusaidiana kwao katika kufanya kazi zao, kwa vile wao huishi pamoja. Kila mmoja huelewa afanyacho mwenzake, kwa sababu ya kuishi pamoja maishani mwao.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja hawafichani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu walioona wasioweza kufichana kitu kwa sababu ya kuishi kwao pamoja kila wakati. Maisha ya wana ndoa hao ni sawa na ukuta wanaouchangia katika kuishi kwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja wahafichani.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu katika maisha yao ya ndoa, siku zote za maisha yao. Yafaa watu hao wawe na upendo wa kuishi pamoja katika maisha yao yote.

Yohane 15:14-15.

couple african

ENGLISH: THOSE WHO SHARE THE SAME ROOM DO NOT HIDE FROM EACH OTHER.

This proverb has its source in married couples. It shows how people who share the same room cannot hide their doings to each other. They understand each other well because they live together. This is why people say, ‘those who share the same wall do not hide from each other.’

This proverb can be compared to marriage life where husband and wife, in sharing the same wall, find themselves not capable of hiding their doings to each other.

This proverb teaches people about being faithful in marriage. They must have true love and be able to live together for the rest of their lives.

John 15: 14-15.

336. KALAGU – KIZE. IGAGI LYA HA LUB’IMBI UDULIB’UTA – ILUMBUYO.

Imbuki ya kalagu yiniyo yingilile kub’ub’uti wigagi lya halub’imbi. Iligagi linilo, lilijimanijkijo ja ngelelo go kikolo ja ng’wa munhu, na wandijo  b’ojikolo ja ng’wa ungi. Ulu munhu ulib’inza iligagi linilo mumho ojijimija ijimanikijo jinijo. Hunagwene abhanhu bhagaganaga giki, ‘igagi lya halub’imbi udulib’inza.’ Uungi oshosha giki, ilumbuyo.

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo aliha guntola ilumbuye. Uilumbuye ng’wunuyo alisawa nigapi linilo ilyaha lub’imbi. Gashinaga lulu, ilemejiwe uguntola munhu uyo alinduguye ogubyalwa munda yimo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga kiki, ‘igagi lya ha ulub’imbi udulibuta:- Dada yako.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya kudiimila malagilo gali wiza umuchalo jabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mambo ya walawi 8:9.

Mambo ya walawi 20:17.

2 Samweli 13:11 – 12.

Waroma 27:22.

KISWAHILI: KITENDAWILI  – TEGA

MUWA WA MPAKANI HUUKATI: – DADA YAKO

Chanzo cha kitendawili hicho chatokea kwenye ukataji wa muwa wa mpakani. Muwa huo ni kitambulisho cha pale ambapo mali ya mtu inaishia na pale inapoanzia mali ya mtu mwingine. Mtu akiukata muwa huo, maana yake ameiondoa alama ya kitambulisho cha mpaka huo. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, ‘muwa wa mpakani huukati: mwingine hujibu – dada yako.’

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu ambaye hutaka kumuoa dada yake. Dada huyo ni sawa na muwa huo wa mpakani. Kumbe basi, mtu haruhusiwi kumuoa ndugu yake wa tumbo moja. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, ‘muwa wa mpakani huukati: mwenzake hujibu, dada yako.’

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kushika maagizo yaliyomema katika jamii, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mambo ya walawi 8:9.

Mambo ya walawi 20:17.

2 Samweli 13:11 – 12.

Waroma 27:22.

cane

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME

THE BORDERLINE SUGARCANE THAT SHOULD NOT BE CUT:- YOUR SISTER.

The source of this riddle comes from cutting borderline sugarcane. Such sugarcane functions as an identification post that marks the end of someone’s property and the beginning of another one’s property. Cutting the borderline sugarcane means disturbing some other people’s possessions.

This riddle can be compared to someone who wants to marry his sister. The sister is likened to the borderline sugarcane that a brother cannot dare to cut it, which implies that a brother is not allowed to marry his sister.

This riddle teaches people to abide by societal principles that make them become good members of the society who are capable of nurturing their families in a morally accepted manner.

Leviticus 8: 9.

Leviticus 20:17

2 Samuel 13:11 – 12.

335. MHUNDU JILIGILING’HANYA HA KAWINGA KA NHYEHU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’utuji bho mhundu hawinga bho bhanhu bhalyehu. Ulu munhu uyo alitola alinhyehu, abhanhu nabho bhagayegaga bhayutula na mhundu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhundu jiligiling’hanya ha kawinga ka nhyehu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga chiza na bhichabho. Uwikaji bho bhanhu bhenabho bhulisawa na winga, ubho bhuli na bhuyegi bhutale, kunguno yabhoyi gwikala na b’uyegi bhunubho. Ubhunubho hu winga bho nhyehu, uyo agabhizaga na bhuyegi bhutale umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhundu jiligiling’hanya ha kawinga ka nhyehu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhulyehu ubhogudula gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kabho.

Ufunuo 19:7=9.

Matendo ya mitume 2:46.

KISWAHILI: VIGELEGELE VINASIKIKA KWENYE HARUSI YA MPOLE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upigaji wa vigelegele kwenye harusi ya watu wapole. Mtu anayeoa akiwa mpole, watu nao hufurahia sherehe yake kwa kupiga vigelegele. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vigelegele vinasikika kwenye harusi ya mpole.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huishi vizuri na wenzao. Maisha hayo ni sawa na harusi yenye furaha kubwa, kwa sababu ya wao kuishi kwa furaha na watu wao. Hiyo ndio harusi ya mpole, ambaye huwa na furaha kubwa maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vigelegele vinasikika kwenye harusi ya mpole.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upole wa kuwawezesha kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Ufunuo 19:7=9.

Matendo ya mitume 2:46.

black-and-white wedding

couples

 

ENGLISH: JOYFUL VOICES ARE HEARED AT A GENTLE’S WEDDING

The source of this saying is wedding ceremony where couples are presumed to be gentle in terms of their behaviour. When a gentle man/woman marries people enjoy his/her wedding by singing joyful songs. This is why people say, ‘joyful voices are heard at a gentle’s wedding.’

Such a saying can be compared to people who live well with their neighbours. This kind of life can be likened to happy marriage because they live happily with their neighbours.

This saying teaches people about being gentle enough in order to be able to live peacefully with others.

Revelation 19: 7 = 9.

Acts 2:46.

334. GUKO NGILI ISE O NG’WAMBI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kub’itoji abho b’iyambilijaga uguitumama imilimo yabho.  Abhanhu bhenabho bhali nkima na ngosha abho bhalib’itolile. B’iyambilijaga gufuga, nulu gusegegesa mabhele. Unkima onkangililaga ungosha, bho gujishindika ijisabho ijojalijitungilile mlusunda, ulugoye lutungwa kumahaba, nang’hwe ungosha onkangililaga unkima. Bhuli ng’wene uluonkangilila ung’wiye ijisabho jinijo, oyombaga giki, ‘guko ngili ise o Ng’wambi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhali na bhumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagaitumamaga imilimo yabho bhogwiyambilija chiza. Bhagabhalangaga na bhazenganwa b’abho akajile ka gwikala na bhumo bhunubho, umuwikaji bhobho wa witoji.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu abho witolile higulya ya gub’iza na b’umo, bho gwiyambilija utuitumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 2:18.

Tobithi 8:4-8.

KISWAHILI: HUKO NGILI BABA WA NG’WAMBI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia wanandoa ambao husaidiana katika kufanya kazi zao. Watu hao ni mwanamke na mwanaume waliofunga ndoa. Wao husaidiana kuchekecha maziwa. Mwanamke humsukumia mwanaume kibuyu kwenye maziwa hayo, ambacho huzungushiwa kamba iliyohufungwa kwenye mlingoti juu, ili kiweze kuning’inia, naye mwanaume hukisukuma kibuyu hicho kuelekea kwa mwanamke. Kila mmoja amsukumiapo mwenzake husema hivi, ‘huko ngili baba wa Ng’wambi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa wanandoa ambao wana umoja maishani mwao. Watu hao hufanya kazi zao kwa kusaidiana vizuri. Huwafundisha pia majirani zao namna ya kuishi katika umoja huo, katika maisha yao.

Methali hiyo hufundisha watu wa ndoa juu ya kuwa na umoja wa kuwawezesha kusaidiana katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku, maishani mwao.

Mwanzo 2:18.

Tobithi 8:4-8.

africa uganda

THERE IS NGILI; THE FATHER OF NG’WAMBI.

This saying is based on couples that help each other in their daily activities. It pictures a hanging calabash with little milk in it being tied to one of the roof poles. The wife and husband push it (the calabash) to each other in an attempt to shake the milk. Each of them pushes it by saying, ‘there is Ngili, the father of Ng’wambi.’

This saying can be comparable to married couples who live in unity throughout their lives. They work together by helping each other in viarious activities. They also teach their neighbours on how to live in peace, and unity in their lives. That is why they say to each other, ‘there is Ngili; the father of Ng’wambi.’

The saying teaches married couples how to maintain their unity by living in peace so as to fulfill their tasks of taking care of their families.

Genesis 2:18.

Tobithi 8: 4-8.