Folklore

316. SHIMBA NG´OSHA IDAGAIYAGWA B´UYENZE

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile shimba iyo iling´osha. Ishimba yiniyo, igikalaga na jimanikijo jayo, ijo jigitanagwa b´uyenze. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´shimba ng´osha idagaiyagwa b´uyenze.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu ngosha, uyo amanyikile chene bho guilang´hana chiza ikaya yakwe. Ubhulang´hani bho kaya yakwe, umunhu ng´wunuyo, wikolile na b´uyenze bho guimanyikija ishimba yiniyo, igiki iling’osha. Umunhu ng´wunuyo agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gwikala chiza na bhichabho. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ´shimba ng´osha idagaiyagwa b´uyenze.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho, bho gwikala chiza na bhichabho. Uwikaji bhunubho, bhubhamanyiche ikigi, abhoyi bhali bhanhu bha nhungwa ja wiza, umukikalile kabho.

Mithali 30:30.

Ufunuo 5:5.

KISWAHILI: SIMBA DUME HAKOSI SHALUBU

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye simba dume. Simba huyo huwa na alama ya kumtambulisha kuwa yeye ni dume, iitwayo shalubu. Kila simba dume anashalubu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´simba dume hakosi shalubu.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu mwanaume ajulikanaye hivyo kwa kuitunza vizuri familia yake. Utunzaji huo wa familia yake, hufanana na shalubu la yule simba, limtambulishalo kuwa yeye ni dume. Mtu huyo huwafundisha  pia watu wake namna ya kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´simba dume hakosi shalubu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujali kazi zao kwa kuishi vizuri na wenzao. Maisha hayo, yatawatambulisha, maishani mwao, kuwa wao ni binadamu wenye tabia njema.

Mithali 30:30.

Ufunuo 5:5.

lion1

lion

 

ENGLISH: A MALE LION IS NOT WITHOUT MANE

The source of this proverb is the lione’s mane. The lion’s mane is one of the features used to identify a male lion. Every male lion has it. That is why people say, “a male lion is not without mane.”

The proverb is likened to a man who is known for taking good care of his family. The care of his family is like the lion’s mane; it identifies him as a real man. Such a person also teaches his people how to live well with other people. That is why people say, “a male lion is not without mane.”

The proverb teaches people about caring for their jobs and living well with their people. Such kind of life will make them to be identified as good people.

Proverbs 30:30.

Revelation 5: 5.

315. LUGULU LUTALE LUDAGAIYAGWA MOMA

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukigelele ka lugulu. Ulugulu lunulo mumo lugalihila lugagaiyagwa aho tub´izu na halihu. Ahatub´izu igitanagwa halyoma. Ubhutub´izu uwingi bhugitanagwa moma. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´lugulu lutale ludagaiyagwa moma.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuwikaji bho bhanhu umowikalelile na lugulu lunulo ulutale, ulo lulina moma. Amoma genayo gikolile nikanza lya makoye, umuwikaji bho bhanhu. Amakoye genayo, mumo gagakulila ukubhanhu, bhadugaiwa inzila iyagugamalila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´lugulu lutale ludagaiyagwa moma.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwilunguja umumakoye, na guchola nzila ja gugamalila, bho nduhu gugwa nholo.

1Wakorintho 10:13.

KISWAHILI: MLIMA MKUBWA HAUKOSI MAKOLONGO

Chanzo ch methali hiyo chatokea kweye muonekano wa Mlima. Mlima huo haukosi kuwa na sehemu za kushuka na kupanda, hata uwe mrefu kiasi gani. Sehemu za kushuka huitwa makolongo au mabonde. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´mlima mkubwa haukosi makolongo.´

Methali hiyo hulinganishwa kwenye maisha ya watu ifananavyo na mlima mkubwa wenye makolongo. Makolongo hayo hufanana na wakati wa matatizo katika maisha ya watu hao. Matatizo hayo hata yawe makubwa kiasi gani, watu hawatakosa njia za kuyatatulia au kuyamaliza. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´mlima mkubwa haukosi makolongo.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufarijiana wakati wa matatizo, na kutafuta njia za kuyatatulia matatizo hayo, bila kukata tamaa.

1 Wakorintho 10:13.

mountains

climb

 

ENGLISH: A HIGH MOUNTAIN IS NOT WITHOUT UPS AND DOWNS

This proverb stems from the nature of mountains. Mountains usually have ups and downs; no matter its height. The downs are called valleys. That is why people say, “a high mountain is not without ups and downs.”

The proverb is likened to people’s life; it has ups and downs just like a high mountain. The downs are similar to time of crisis in the lives of those people. People always find ways to solve the crisis no matter how serious they are. That is why people say, “a high mountain is not without ups and downs.”

The proverb teaches people to comfort one another in times of trouble and help each other in finding ways out of problems.

1 Corinthians 10:13.

314. KAYA NG’HULU IDAGAIYAGWA IB’ELELE

Imbuki ya lusumo lunulo yinginllile kukalang’hanile ka kaya nhale iyo ilinib’elele. Ikaya yiniyo igalang’hanagwa bho gubhalisha jiliwa abhanhu bhayo. Ilib’eleila linilo, jilijiseme ja gutuulila jiliwa, ijo jidulile gubhalisha, bhuli lushigu, abhanhu bha kaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kaya ng’hulu idagaiyagwa ib’elele.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilang´hanaga chiza ijiliwa ja gudula gubhalisha abhanhu bhabho. Abhanhu bhenabho bhagabhalangaga bhutumami bho milimo abhanhu bhabho, ni nzila ijagujituula ijiliwa jinijo, kugiki jidizub’ipa. Ikaya ja bhanhu bhenabho, jigabhizaga na jiliwa bhuli makanza, kunguno ya bhutumami bho milimo na bhulang´hani wiza bho jiliwa jabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ´kaya ng´hulu idagaiyagwa ib´elele.´º

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo ya gubhapandikila jiliwa, na gujilang´hana chiza ijiliwa jinilo, kugiki abhanhu bhabho bhadizucha na nzala.´

Mathayo 26:26.

KISWAHILI: FAMILIA KUBWA HAIKOSI GHALA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye utunzaji wa familia kubwa ambayo ina ghala. Familia hiyo hutunzwa kwa kuwalisha watu wake chakula. Ghala hilo ni chombo cha kutunzia chakula kiwezacho kuwalisha, kila siku, watu walioko kwenye familia hiyo. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´familia kubwa haikosi ghala.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huwatunza vizuri watu wao, kwa kukitunza chakula cha kuweza kuwalisha watu wao hao. Watu hao huwafundisha pia watu wao, namna ya kufanya kazi kwa bidii na namna ya kuyatunza mazao wayapatayo, ili yasiharibike. Familia za watu hao, huwa na chakula cha kutosha kila wakati, kwa sababu ya bidii yao ya kufanya kazi, na kukitunza chakula kile wakipatacho. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´familia kubwa haikosi ghala.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi za kuwapatia mahitaji yao, yakiwemo yale ya chakula, na kukitunza chakula hicho, ili watu wao wasife kwa sababu ya njaa.

Mathayo 26:26. 

  gbagyi-womancorn

 

ENGLISH: A BIG FAMILY MUST HAVE A GRANARY

This proverb comes from the way a large family is managed in terms of food. Such family must have a granary to keep food for its people.The granary keeps food that can feed the people of that family every day. That is why people say that, “a big family must have a granary.”

The proverb relates to people who take good care of their families by preserving food for their people. These people also teach their people how to work hard and how to take care of the crops they produce so that they will not be damaged. The families of these people always have enough food to eat because of their hard work and they keep well the food they have. That is why people say, “a big family must have a granary.”

The proverb teaches people about working hard to meet their basic needs including food so that their people cannot die of hunger.

Matthew 26:26.

313. WAGOBYA NILO (B’ULILO)

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuchoji bho jiliwa. Ijiliwa jinijo jigategagwa, guti ndimu nulo ndilo. Uluojigobya unchoji ojo ng’wunuyo agayegaga, uweyi kihamo na bhiye. Hunagwene abhiye bhagang’wilaga giki, ‘wagobya nilo (b’ulilo).’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo opandikaga milimo ya gung’wenhela jiliwa. Umunhu ng’wunuyo agayegaga noyi ulu oyipandika imilimo yiniyo, kunguno ya b’upandiki bhokwe, bho aho ng’wagulila ijiliwa. Abhazenganwa bhakwe nabho bhagayegaga ugumona ng’wichabho opandikaga aho ng’ wagulila ijiliwa. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘wagobya nilo (b’ulilo).

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola milimo ya gubhenhela jiliwa, na guyega kihamo ulu bhayipandika imilimo yiniyo.

1Wakorintho 9:13-14.

KISWAHILI: UMEKAMATA PA KULIA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye utafutaji wa chakula. Chakula hicho hupatikana kwa njia mbalimbali zikiwemo zile za kutafuta kazi, kuvua samaki, kuwinda wanyama na kuwatega kwa mtego. Akipata chakula hicho mtu huyo hufurahi sana, yeye pamoja na wenzake. Ndiyo maana wenzake humwambia kwamba, ‘umekamata pa kulia.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule aliyepata kazi ya kumletea chakula. Mtu huyo hufurahi sana apatapo kazi hiyo, kwa sababu kazi hiyo humletea chakula. Majirani zake nao pia hufurahi kumuona mwenzao amepata pa kulia. Ndiyo maana watu hao, humwambia hivi, ‘umekamata pa kulia.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta kazi za kuwaletea chakula, na kufurahi kwa pamoja wazipatapo kazi hizo.

1Wakorintho 9:13-14.

buffalo

 

ENGLISH: YOU TRAPPED SOMETHING TO EAT

The source of this saying is a search for food. Such food is available by trapping animals or fishing. When someone finds such food he/she becomes very happy with his/her companions. That is why his/her companions can tell him/her, “you have trapped something to eat.”

The saying is compared to a person who got a new job that will bring him or her food. Such a person becomes very happy when he/she gets such a job. The neighbours of that person also become happy for him/her. That is why those people can say, ‘you have trapped something to eat.’’

The proverb teaches people about finding jobs that can bring them food and make them happy.

1 Corinthians 9: 13-14.

312. B’ULONGO B’O MUNA NGOKO AGUGIHYA NOMO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kungoko iyo yang’waga amagi gayo. Ingoko yiniyo aho yayugang’wa amagi gayo genayo, abhanhu bhagayihaya giki, yalihije unomo goyo, kunguno yandije kuita yabhub’i. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘b’ulongo bho muna ngoko agugihya nomo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinomolomo. Umunhu ng’wunuyo agajaga ulisanya bhanhu bho gubhawila  mihayo ya b’ulomolomo. Giko lulu, umunhu ng’wunuyo agikolaga ni ngoko, kunguno nag’hwe agitaka ya bhubhi ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘b’ulongo bho muna ngoko agugihya nomo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ulomolomo, umuwikaji bhobho, kugiki abhanhu bhenabho bhadule gwikala chiza na bichacho.’

Wakolosai 3:9.

KISWAHILI: UONGO WA KUKU ALICHONGEKA MDOMO

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kuku aliyekunywa mayayi yake. Kuku huyo aliyekunywa mayayi yake hayo, watu humsema kwamba, ni kuku aliyechongeka mdomo, kwa sababu ya kutenda matendo maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uongo wa kuku alichongeka mdomo.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni muongo. Mtu huyo huenda akigombanisha watu kwa kuwaambia maneno hayo ya uongo. Hivyo basi, mtu huyo hufanana na kuku aliyekunywa mayayi yake, kwa sababu naye hutenda maovu kwa wenzake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘uongo wa kuku alichongeka mdomo.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za uongo, maishani mwao, ili watu hao, waweze kuishi vizuri na wenzao.

Wakolosai 3:9.

animal cock

 

ENGLISH: A CHICKEN’S LIE SHARPENED ITS BEAK

This proverb comes from a chicken that pecked and drunk its eggs. Such a chicken is said to have a pointed beak because of its bad habits of destroying its eggs. That is why people say, “a chicken’s lie sharpened its beak.”

The proverb is used to a person who is a liar. Such a person goes around telling lies that cause conflicts among people. Thus, the person is likened to a chicken that pecked and drunk its eggs because he/she does evil things to others. That is why people tell such people that, “a chicken’ lie sharpened its beak.”

The proverb teaches people to break free from bad habits of lying in their lives so that they can live well with others.

Colossians 3: 9.