314. KAYA NG’HULU IDAGAIYAGWA IB’ELELE

Imbuki ya lusumo lunulo yinginllile kukalang’hanile ka kaya nhale iyo ilinib’elele. Ikaya yiniyo igalang’hanagwa bho gubhalisha jiliwa abhanhu bhayo. Ilib’eleila linilo, jilijiseme ja gutuulila jiliwa, ijo jidulile gubhalisha, bhuli lushigu, abhanhu bha kaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kaya ng’hulu idagaiyagwa ib’elele.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilang´hanaga chiza ijiliwa ja gudula gubhalisha abhanhu bhabho. Abhanhu bhenabho bhagabhalangaga bhutumami bho milimo abhanhu bhabho, ni nzila ijagujituula ijiliwa jinijo, kugiki jidizub’ipa. Ikaya ja bhanhu bhenabho, jigabhizaga na jiliwa bhuli makanza, kunguno ya bhutumami bho milimo na bhulang´hani wiza bho jiliwa jabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ´kaya ng´hulu idagaiyagwa ib´elele.´º

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo ya gubhapandikila jiliwa, na gujilang´hana chiza ijiliwa jinilo, kugiki abhanhu bhabho bhadizucha na nzala.´

Mathayo 26:26.

KISWAHILI: FAMILIA KUBWA HAIKOSI GHALA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye utunzaji wa familia kubwa ambayo ina ghala. Familia hiyo hutunzwa kwa kuwalisha watu wake chakula. Ghala hilo ni chombo cha kutunzia chakula kiwezacho kuwalisha, kila siku, watu walioko kwenye familia hiyo. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´familia kubwa haikosi ghala.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huwatunza vizuri watu wao, kwa kukitunza chakula cha kuweza kuwalisha watu wao hao. Watu hao huwafundisha pia watu wao, namna ya kufanya kazi kwa bidii na namna ya kuyatunza mazao wayapatayo, ili yasiharibike. Familia za watu hao, huwa na chakula cha kutosha kila wakati, kwa sababu ya bidii yao ya kufanya kazi, na kukitunza chakula kile wakipatacho. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´familia kubwa haikosi ghala.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi za kuwapatia mahitaji yao, yakiwemo yale ya chakula, na kukitunza chakula hicho, ili watu wao wasife kwa sababu ya njaa.

Mathayo 26:26. 

  gbagyi-womancorn

 

ENGLISH: A BIG FAMILY MUST HAVE A GRANARY

This proverb comes from the way a large family is managed in terms of food. Such family must have a granary to keep food for its people.The granary keeps food that can feed the people of that family every day. That is why people say that, “a big family must have a granary.”

The proverb relates to people who take good care of their families by preserving food for their people. These people also teach their people how to work hard and how to take care of the crops they produce so that they will not be damaged. The families of these people always have enough food to eat because of their hard work and they keep well the food they have. That is why people say, “a big family must have a granary.”

The proverb teaches people about working hard to meet their basic needs including food so that their people cannot die of hunger.

Matthew 26:26.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.