Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukigelele ka lugulu. Ulugulu lunulo mumo lugalihila lugagaiyagwa aho tub´izu na halihu. Ahatub´izu igitanagwa halyoma. Ubhutub´izu uwingi bhugitanagwa moma. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´lugulu lutale ludagaiyagwa moma.´
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuwikaji bho bhanhu umowikalelile na lugulu lunulo ulutale, ulo lulina moma. Amoma genayo gikolile nikanza lya makoye, umuwikaji bho bhanhu. Amakoye genayo, mumo gagakulila ukubhanhu, bhadugaiwa inzila iyagugamalila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´lugulu lutale ludagaiyagwa moma.´
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwilunguja umumakoye, na guchola nzila ja gugamalila, bho nduhu gugwa nholo.
1Wakorintho 10:13.
KISWAHILI: MLIMA MKUBWA HAUKOSI MAKOLONGO
Chanzo ch methali hiyo chatokea kweye muonekano wa Mlima. Mlima huo haukosi kuwa na sehemu za kushuka na kupanda, hata uwe mrefu kiasi gani. Sehemu za kushuka huitwa makolongo au mabonde. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´mlima mkubwa haukosi makolongo.´
Methali hiyo hulinganishwa kwenye maisha ya watu ifananavyo na mlima mkubwa wenye makolongo. Makolongo hayo hufanana na wakati wa matatizo katika maisha ya watu hao. Matatizo hayo hata yawe makubwa kiasi gani, watu hawatakosa njia za kuyatatulia au kuyamaliza. Ndiyo maana, watu husema kwamba, ´mlima mkubwa haukosi makolongo.´
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufarijiana wakati wa matatizo, na kutafuta njia za kuyatatulia matatizo hayo, bila kukata tamaa.
1 Wakorintho 10:13.
ENGLISH: A HIGH MOUNTAIN IS NOT WITHOUT UPS AND DOWNS
This proverb stems from the nature of mountains. Mountains usually have ups and downs; no matter its height. The downs are called valleys. That is why people say, “a high mountain is not without ups and downs.”
The proverb is likened to people’s life; it has ups and downs just like a high mountain. The downs are similar to time of crisis in the lives of those people. People always find ways to solve the crisis no matter how serious they are. That is why people say, “a high mountain is not without ups and downs.”
The proverb teaches people to comfort one another in times of trouble and help each other in finding ways out of problems.
1 Corinthians 10:13.
Lusumo lwenhulu nalutogwa noyi! Kunguno lulinilange itale nisumba no mumakanza giluha kulimunho! Mobeja noyi bhatafiti biswe
LikeLike