Folklore

413. NASHEBE BHABEHI UNENE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhushebi ubho bhudulile gunpiga mumakoye unshebi ng’wunuyo. Ubhushebi bhunubho bhugang’wambilijaga ugwipija mumakoye ayo omanaga igiki inzila yiniyo ilinago, ukubhutongi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo ulu ubhona jishepo, agayombaga giki, ‘nashebe bhabehi unene.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhonaga giki imihayo iyo bhaliyihoyela idulile gung’wenhela makoye ukubhutongi.

Umunhu ng’wunuyo agiyangulaga gwinga umumahoya genayo, kugiki adule gugiliga amakoye ayo gadulile gumpandika kunguno ya mahoya genayo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki. ‘nashebe bhabehi unene.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka guhoyela mihayo iyo idulile gubhenhela makoye, aha bhutongi, kugiki, bhadule gugiliga amakoye genayo, haho gatali ugubhapandika.

Luka 4:29-30.

Luka 18:23-25.

KISWAHILI: NIPENYE JAMANI MIMI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia upenyaji ule uwezao kumuokoa mpenyaji kwenye matatizo. Upenyaji huo humsaidia mhusika kukwepa matatizo ambayo angeweza kuyapata kule mbeleni. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nipenye jamani mimi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hugundua mapema maneno wanayoyaongelea kwamba, yataweza kuwaletea matatizo mbeleni.

Mtu huyo huamua kujiondoa kwenye maongezi hayo, ili aweze kuyaepuka matatizo hayo yatakayowapata walioko kwenye maongezi hayo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nipenye jamani mimi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kuongelea maneno yale yawezayo kuwaletea matatizo katika siku za mbeleni, ili waweze kuyaepuka matatizo hayo, kabla hayajawapata.

Luka 4:29-30.

Luka 18:23-25.

people-one

african-3

 

ENGLISH: HEY! LET ME ESCAPE.

The source of this saying is saving someone from troubles or problems. In this saying, escape is the means through which one can use to avoid those problems that are likely to befall him/her. Such a person can describe this scenario using the saying that ‘dears, let me escape.’

The saying can be compared to a person who discovers in advance the problems that are likely to happen. Such a person can find ways to get rid of them.

The saying teaches people to stop talking about words that might cause them problems in future. In so doing, they can be able to avoid problems that are likely to affect them.

Luke 4: 29-30.

Luke 18: 23-25.

412. NAJILE KASEGENO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli kulugendo lo guja kule. Unsiminzi  o lugendo lunulo, agabhizaga na mapinja pinga, umunzila iyo aliyibhitila.

Aliyo lulu, uweyi adebhile ubhulimu bho lugendo lunulo. Hungwene umunhu ng’wunuyo ulu obhona giki alihaya gutindikwa, agayomgag giki ‘najile kasegeno.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga nimo ogutumama mpaga ogumala chiza. Umunhu ng’wunuyo agadililaga imilimo yakwe bho guyitumimama na bhukamu bhutale.

Uweye agayitulaga lwande imihayo iyo idulile gundija uguyimala wangu imilimo yakwe. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomgaga giki, ‘najile kasegeno.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudilila mimimo yabho bho guyitumama na bhukamu bhutale, mpaga bhayimale, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhayituule lwande imihaho iyo idulile gubhatindika uguyimala wangu imilimo yabho yiniyo.

Luka 24:27 – 29.

KISWAHILI: NAKWENDA MBALI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye safari ya kwenda mbali. Safari hiyo huwa na mapingamizi mengi ambayo msafiri huo huyapitia.

Lakini yeye afahamu ugumu wa safari yake hiyo. Ndiyo maana mtu huyo akikumbana na hali ya kumchelewesha njiani, husema kwamba, ‘nakwenda mbali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanza kazi zake na kuzitekeleza mpaka mwisho. Mtu huyo hufuatilia kwa makini katika kuzifanya kwa bidii kubwa kazi zake hizo. Yeye huyaweka pembeni maneno mengine ambayo yataweza kumchelewesha kuzimaliza vizuri kazi zake hizo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nakwenda mbali.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufuatilia kazi zao kwa kuzitekeleza kwa bidii kubwa mpaka mwisho, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao. Yafaa watu hao wayaweke kando maneno yawezayo kuwachelewesha katika kuzimaliza mapema kazi zao hizo.

Luka 24:27 – 29.

african-descent

 

ENGLISH: I AM GOING FAR.

The source of this saying is a distant journey. Such a journey has many obstacles but the traveler is aware of them. It is through his/her awareness that he/she says ‘I am goin far’ to mean that he/she doen’t have to be stopped unnecessarily in his/her journey.

This saying can be compared to a person who begins his/her work and carries it through to the end. Such a person carefully follows the agreed procedures with due diligence in order to make sure that he/she finishes the journey safely.

The saying teaches people to follow their careers by doing what is considered right in order to have success in life. They should put aside drawbacks that are likely to affect their journeys.

Luke 24:27 – 29.

411. DUGAFUNDWE MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’ufundwa bho magulu. Ubhufundwa bhunub’o b’uli bhusiminzi bho guja hakaya iyo ili nikujo.

Ulu bhashiga ahakaya yiniyo bhuli ng’wene agab’izaga ng’wib’embu. Hunagwene abhanhu ulu bhalihaya guja ahakaya yiniyo, bhagayombaga giki, ‘dugafundwe magulu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhajile kunkwano gobho. Abhanhu bhenabho bhali guti bhinga, abho bhajile gukaya yi kujo, uko bhalihoyi bhanhu wa soni. Ibhelelile bhabhize bhibhembu, kugiki bhadizikumya sagara na bha bhabha bhukwi bhabho.

Ulu nkwilima na ngikajiye bhalitung’wana, ibhelelile bhadizikumya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dugafundwe magulu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhibhembu umukikalile kabho, kugiki bhadiziponda soni, bho gwikenya na bhichabho, kunguno ya nhungwa jabho ja bhubhi.

Waefeso 2:10.

KISWAHILI: TUKAPANGUSWE MIGUU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upanguswaji wa miguu. Upanguswaji huo ni utembeaji wa kwenda kwenye familia zilizo na heshima. Wakifika kwenye familia hizo, kila mmoja huwa na utulivu wenye adabu njema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tukapanguswe miguu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wanaoenda kwa wakwe zao. Watu hao waweze kuwa wakaa mwana, wanaoenda kwenye familia hiyo yenye heshima, ambapo pia kuna watu wa heshima. Yafaa watu hao wawe na utulivu ili wasigusane hovyo na baba wakwe zao.

Mkwilima akikutana na mama mkwe wake, huepuka kugusana naye. Hivyo kila mmoja hupitia mbali na mwenzake. Ndiyo maana watu husema  kwamba, ‘tukapanguswe miguu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na utulivu wenye heshima ya kuishi kwa adabu maishani, ili wasijiaibishe kwa kugombana na wenzao, kwa sababu ya wao kuwa na tabia mbaya.

Waefeso 2:10.

people-girls

pretty

 

ENGLISH: LET US GO FOR OUR LEGS TO BE RUBBED.

The source of the above saying comes from footprint. Such an arrangement is a walk to honorable families. When they get to those families, they need to be calm and well-behaved personality. That is why people say, ‘let us go for our legs to be rubbed.’

The saying can be compared to people going to their parent-in-laws. Those people going to such places need to be as decent as possible in order to avoid unnecessary touching with in-laws. Knowing the social boundaries, each one of them has to find a way that will make him/her not intouch with in-laws.

The saying teaches people about dignity and respect. This can help them to live in peace always.

Ephesians 2:10.

410. GUDULA OJA NG’WA NKWELAYE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa guduja kuli nkwela okwe. Guduja lilina lya ng’wa munhu uyo ali nkima. Uweyi agaja kuli nkwela okwe bhubahoya mihayo yabho, iyo igalisanya bhanhu. Abhanhu abho bhagabhayangulaga bhagayombaga giki, ‘guduja oja ng’wa nkwelaye.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo. Umunhu ng’wunuyo agachalaga mihayo ya nyasigani, mumakaya ga bhanhu. Uweyi agayegaga ulu bhiye bhikenya. Abho bhandeb’ile umunhu ng’wunuyo, bhagayombaga giki, ‘guduja oja ng’wa nkwelaye.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhulomolomo, kugiki abhanhu bhenabho, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Yakobo 1:26.

Yakobo 3:5.

Yohane 8:44.

KISWAHILI: GUDULA ALIENDA KWA SHEMEJI YAKE.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Guduja kwa shemeji yake. Guduja ni jina la mtu ambaye ni mwanamke. Yeye alienda kwa shemeji yake. Huko waliongea maneno yaliyogombanisha watu. Wapatanishi wa ugomvi huo, walisema kwamba, ‘gudula alienda kwa shemeji yake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo. Mtu huyo hupeleka maneno ya usengenyaji kwenye familia za watu. Yeye hufurahia wanapogombana wenzake. Wale wanaomwelewa mtu huyo husema, ‘gudula alienda kwa shemeji yake.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uongo, ili watu hao waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yakobo 1:26.

Yakobo 3:5.

Yohane 8:44.

angry women

 

ENGLISH: GUDULA WENT TO HER SISTER-IN-LAW.

The source of this saying is Gudula’s visit to her sister-in-law. Gudula is a name of a person who is a woman in terms of sex. Her visit to her in law was associated with rumourmongering that antagonized some other family members. When mediators were called to resolve the conflict they said ‘Gudula went to her sister-in-law’ to communicate the source of all conflicts they are resolving.

The saying can be compared to a person who is a liar. Such a person sends false information to others that can cause conflicts among family members. Such people with this behaviour enjoy seeing others being in conflict.

The saying teaches people about avoiding giving false information that may disturb peoples’ relationships.

James 1:26.

James 3: 5.

John 8:44.

409. JAGA JAGA NANG’HO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku mahoya ga bhanhu bhab’ili. Umumahoya genayo bhuli ng’wene agang’wilaga ung’wiye giki, aje hadoo, kugiki bhadule gulungana. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jaga jaga nang’ho.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho b’aligulila jikolo jileb’e. Abhanhu bhenabho, bhagiinhaga ndima ja guyomba b’uli ng’wene.

Unjinja o jikolo alio gwandya uguguyomba umpango gokwe. Unguja ojikolo nang’hwe aguyomba ihela ijo alihaya gujigulila ijikolo jinijo.

Abhanhu bhenabho, bhagamanaga b’iwila giki, jaga jaga hadoo, kugiki bhadule ugwizunijija umpango go gwigulila ijikolo jinijo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, ‘jaga jaga nang’ho.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwidegeleka chiza na abhichab’o umumahoya, nu muwikaji bhobho, kugiki bhadule gwiyelelwa chiza.

Walawi 25:6.

KISWAHILI: NENDA NENDA NA WEWE.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maongezi ya watu wawili. Katika maongezi hayo, watu hao, kila mmoja humwambia mwenzake aende kidogo, kwa maana ya kuongeza kidodo, ili waweze kukutana au kukubaliana kiwango fulani ambacho kila mmoja atakuwa ameridhika nacho. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘nenda nenda na wewe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanauziana kitu fulani. Watu hao hupeana zamu za kuongea kila mmoja.

Muuzaji huwa wa kwanza kutaja bei yake. Ndipo naye mnunuzi wa kitu kicho, hutaja kiasi cha pesa ambacho atakinunulia kitu hicho.

Watu hao huendelea kuambiana kila mmoja aende kidogo, maana yake aongeze, kama ni mnunuzi, au apunguze kama ni muuzaji, ili waweze kukubalina bei ambayo kila mmoja wao ataridhika. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nenda nenda na wewe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kusikilizana katika maongezi na katika maisha yao, ili waweze kuelewa vizuri.

Walawi 25:6.

work market

ENGLISH: YOU ALSO GO A LITTLE MORE.

The source of the above saying comes from two-way conversation. In this conversation, the buyer and seller negotiate on price of a certain commodity. Each one of them would want the other to either reduce the price or increase it (for the buyer and seller respectively). It is through negotiation of price where we get this saying that ‘you also go a little more.’

This saying can be compared to a person selling certain items. The seller is always liable to negotiate for prices with his/her customers. The seller will always specify the price which the buyer will bargain in order to get the desired item in the price he/she would manage. In such a scenario, they keep on bargaining until all of them reach to agreement.

This saying teaches people to listen to each other in conversation and in their lives. This will enable them to understand each other.

Leviticus 25: 6.