Folklore

1525. SUKUMA: BHULANGWA BHO NDUHU JITO BHULI GUTI TALA IYO IDINA MAGUTA.

Ulusumo lunulo luhoyelile giki ubhumani ying’wene bhudatoshije mpaka wambilije bhanhu gwikala chiza. Umulikujo lya jiafrica, nono abhamuchalo, abhanhu bhanhiyagwa likujo bho gujilanija numo alibhutumamila ubhumani bhokwe ijinagubheja kaya iyalange lisoga, idi bho bhumani duhu.

Itala iyo idina mafuta idadulile gufunya lisana, giko lulu, nu bhumani ubho bhudina miito bhudadulile gwambilija bhanbhu gwikala chiza. Hunagwene abhanhu abhakikujo bhagayomba giki, “bhulangwa bho nduhu miito bhuli guti tala iyo idina maguta.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo wilanga mihayo mingi mushule, mukanika nulu mubhananzengo bhiye, aliyo lulu adumile uguitumamila umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ikujo aliyo adikalaga muwikaji wikujo kunguno ya nhungwa jakwe gubhiza ja bhubhi, umukajile kakwe. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo alinibala litale aliyo adalilimaga kunguno nuweyi alinabhumani bho mihayo mingi aliyo adabhutumamilaga umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhulangwa bho nduhu miito bhuli guti tala iyo idina maguta.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya solobho ya kubhutumamila chiza ubhulangwa ubho bhabhupandika kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yakobo 1:22.

Mathayo 5:16.

Mhubiri 9:10.

Luka 11:33.

SWAHILI: ELIMU BILA MATENDO NI KAMA TAA ISIYO NA MAFUTA.

Methali hii huzungumzia kwamba maarifa pekee hayatoshi isipokuwa yaemetekelezwa. Katika hekima ya kitamaduni ya Kiafrika, haswa katika jamii nyingi za vijijini, watu walimthamini mtu si tu kwa kile alichokijua, bali pia kwa jinsi alivyotumia maarifa yake katika kuwasaidia wengine vya kutosha kuboresha maisha yao. Taa isiyo na mafuta haiwezi kutoa mwanga; vivyo hivyo, elimu isiyo na matendo haiwezi kuinufaisha jamii. Ndiyo maana wenye busara walisema “elimu bila matendo ni kama taa isiyo na mafuta.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amejifunza mambo mengi shuleni, kanisani, au katika jamii, lakini anashindwa kutumia maarifa hayo katika maisha ya kila siku. Mtu kama huyo huzungumza kwa busara lakini haishi kwa busara kwa sababu ya mwenendo wake mbaya. Yeye hushindwa kuwalea vizuri wanafamilia wake kwa sababu ya kuzungumza kwa busara bila kuishi kwa busara katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na mtu yule ambaye anamiliki zana za kilimo lakini halimi kamwe ardhi, au mtu ambaye hubeba Biblia kila siku lakini halitii Neno la Mungu. Maarifa ya mtu huyo hayana maana bila ya kutekelezwa kwa matendo yaboreshayo maisha ya watu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “elimu bila matendo ni kama taa isiyo na mafuta.”

Methali hii huwafundisha watu kuhusu: umuhimu wa kutumia elimu katika vitendo, kutumia hekima kuitumikia jamii, kuishi kulingana na kile ambacho mtu amejifunza, uwajibikaji na tabia njema na thamani ya maarifa ya vitendo maishani mwao, ili waweze kufanikiwa maishani mwao.

Yakobo 1:22. “Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, mkijidanganya nafsi zenu.”

Mathayo 5:16. “Nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema.”

Mhubiri 9:10. “Lolote mkono wako utakalopata kulifanya, lifanye kwa nguvu zako zote.”

Luka 11:33. “Hakuna mtu awashaye taa na kuificha.”

Mistari hii huonesha kwamba hekima na elimu ya kweli lazima izae matendo mema yanayowanufaisha wengine.

ENGLISH: EDUCATION WITHOUT ACTION IS LIKE A LAMP WITHOUT OIL.

This proverb talks about that knowledge alone is not enough unless it is put into practice. In traditional African wisdom, especially in many village communities, people valued a person not only for what he knew, but for how he used his knowledge to help others enough to improve their lives. A lamp without oil cannot produce light; likewise, education without action cannot benefit society. That is why the wise said “education without action is like a lamp without oil.”

This saying is compared to a person who has learned many things in school, church, or society, but fails to apply that knowledge in daily life. Such a person talks wisely but does not live wisely because of his wicked conduct. He fails to nurture well his family members because of speaking wisely without living wisely in his life.

This person resembles someone who owns farming tools but never cultivates the land, or a person who carries a Bible every day but never obeys the Word of God. Knowledge becomes useless when it is not practiced. That is why people tell him that, “education without action is like a lamp without oil.”

This proverb teaches people about: the importance of putting education into action, using wisdom to serve society, living according to what one has learned, responsibility and good character and the value of practical knowledge in life.

James 1:22. “But be ye doers of the word, and not hearers only, deceiving your own selves.”

Matthew 5:16. “Let your light so shine before men, that they may see your good works.”

Ecclesiastes 9:10.  “Whatever your hand finds to do, do it with all your might.”

Luke 11:33. “No one lights a lamp and hides it.”

These verses show that true wisdom and education must produce good actions that benefit others.

 

 

1524. SUKUMA: AMIITO GALIMIZA GULEB’A IMIHAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo yifumilile kuli nimi uyo wikalaga muchalo ja Sanjo. Unimi ng’wunuyo, omishiga diyu ogandya gulima mpaka lyagwa ilimi kunguno oliamanile igiki “ijito jigayombaga noyi kulebha imihayo.” Hunagwene abhanhu abho bhamujaga inguno ya gwita chiniko obhashogejaga giki, “amiito galimiza gulebha imihayo.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lwa golecha bhutungulija nu bhutogwa bhokwe bho gubhitila imilimo iyo agayitaga duhu. Umunhu ng’wunuyo, agiitaga yose iyo ilimubhulagani bhokwe na kajile kakwe kunguno ya likujo lyakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga sabho ningi noyi ahakaya yakwe yiniyo kunguno ya likujo lyakwe linilo ilyaguitimija imilimo yakwe bho gwigulambija guitumama chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga milimo yakwe gwingila diyu mpaka lyagagwa ilimi kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga osabha sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Uweyi alintongeji ntungulija uyo agabholekeja abhanhu bhakwe nzila ya wiza bho gutumama milimo chiza, adiogutumila mihayo duhu. Hunagwene agayombaga giki, “amiito galimiza gulebha imihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya bhutungilija na wigulambija bho gutumama imilimo midamu. Lubhalanga gudebha igiki mihayo duhu idadulile gubheja bhutungulija kugiki bhadule guyimalamaja bho miito gabho iyo bhagayiyombaga, umuwikaji bhobho.

Yakobo 2:17.

Mathayo 7:16.

1 Yohana 3:18.

Mithali 14:23.

SWAHILI: VITENDO NI BORA KULIKO MANENO.

Asili ya methali hii ilianzia kutoka kwa mkulima aliyeishi katika kijiji cha Sanjo. Mkulima huyo alikuwa akiamka mapema asubuhi na kuanza kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu alijua kwamba “matendo huzungumza zaidi kuliko maneno.” Ndiyo maana watu walipomuuliza sababu ya kufanya hivyo, alijibu kwa kusema kwamba, “matendo ni bora kuliko maneno.”

Methali hii hulinganishwa kwa mtu mwenye hekima ya kuthibitisha wema wake, uaminifu, upendo, au bidii kwa kupitia kile anachofanya badala ya kile anachosema tu. Mtu kama huyo hutimiza ahadi zake na kuonesha tabia njema kwa matendo ambayo huwatendea wengine kwa sababu ya hekima yake hiyo maishani mwake.  Yeye hutajirika sana katika familia yake kwa sababu ya hekima yake hiyo ya kutekeleza anachosema kwa kufanya kazi kwa bidii katika maisha yake hayo ya kila siku.

Mtu huyo hufanana na yule mkulima aliyefanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu naye pia hufanya kazi zake kwa bidii hadi kufikia hatua ya kuwa tajiri katika familia yake. Yeye ni kiongozi anayewahudumia watu kwa uaminifu badala ya kutoa ahadi tupu. Ndiyo maana husema kwamba “matendo ni bora kuliko maneno.”

Methali hii huwafundisha watu kuhusu: uwajibikaji, uaminifu, kuwa na bidii ya kufanya kazi ngumu. Kuelewa kuwa maneno pekee hayawezi kujenga uaminifu isipokuwa yanaungwa mkono na matendo. Kwa hiyo, watu wanapaswa kuishi kulingana na yale wanayoyasema na kuyatekeleza yale wanayohubiri.

Yakobo 2:17 “Imani yenyewe, ikiwa haina matendo, imekufa.”

Mathayo 7:16 “Kwa matunda yao mtawatambua.”

1 Yohana 3:18 “Tusipende kwa maneno au kwa usemi bali kwa matendo na kweli.”

Mithali 14:23 “Kila kazi ngumu huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.”

ENGLISH: ACTIONS ARE BETTER THAN WORDS

The original of this proverb started from a farmer who lived at Sanjo village. This farmer used to wake up and start working from morning to evening because he knew that “actions speak louder than words.” That why when people asked him a reason of doing so, he answered “actions are better than words.”

This proverb is equaled to a person who has wisdom of proving his goodness, honesty, love, or hard work through what he does instead of what he merely says. Such a person fulfills promises and demonstrates character by deeds which he does to others because of his wisdom in life. He becomes so rich at his family because of his wisdom of practicing what he says by working hard in his daily life.

This person resembles a farmer who did his works from morning to evening because he also works hard to the point of becoming rich at his family. He is a leader who serves people faithfully instead of making empty promises.That is why he says “actions are better than words.”

This proverb teaches people about: honesty, responsibility, faithfulness, and hard work. Words alone cannot build trust unless they are supported by actions. People should live according to what they say and practice what they preach.

James 2:17 “Faith by itself, if it does not have works, is dead.”

Matthew 7:16 “By their fruits you will know them.”

1John 3:18 “Let us not love with words or speech but with actions and in truth.”

Proverbs 14:23 “All hard work brings a profit, but mere talk leads only to poverty.”

 

 

 

1523. SUKUMA: B’ALINIKANDIJA.

Imbuki ya kahayile kenako yandija kuli munhu uyo wikalaga muchalo ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo, witaga mihayo yawiza kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu, abhanhu bhanhayaga shibhi kunguno ya wilu bhobho bhunubho. Hunagwene agayomba giki, “b’alinikandija.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lya witegeleja bho gwiyumilija ulu bhalindukila abhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ung’wunuyo, bhaganhaga shibi na gunkolya abhangi kunguno ya wilu na bhudaki bhobho. Uweyi agiyumilija umumihayo yiniyo mpaga odula guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, kunguno ya likujo na witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wununyo agikolaga nuyo agiyumilija aho oyombagwa shib’i na bhiye, kunguno nuweyi agiyumilijaga ulu alidalahwa na gusigwa na bhiye mpaga odula guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “b’alinikandija.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya witegeleja bho gwiyumilija ulu bhaliyombwa shibhi na bhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jiniyo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Akahayile kenako kalibhizukija abhanhu giki imihayo imibhi igaminyaga ng’holo ja bhanhu, gashinaga lulu, yigelelilwe bhajitumile indemi jabho bho gubhalela chiza abhichabho, umukikalile kabho kenako.

Zaburi 34 34:13.

Mithali 16:28.

Mathayo 5:11.

Waefeso 4:29.

SWAHILI: WANANIBEZA.

Asili ya msemo huu inaweza kufuatiliwa hadi kwa mtu aliyeishi katika kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo aliwatendea wengine mema kwa sababu ya mwenendo wake mzuri maishani mwake. Hata hivyo, watu walimsema vibaya kwa sababu ya wivu wao. Ndiyo maana alisema “wananibeza.”

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu mwenye hekima nzuri ya kubaki mvumilivu wakati wengine wakimtukana maishani mwake. Mtu huyu hushutumiwa kwa uwongo, hukosolewa, au hunenwa vibaya na wengine kwa sababu ya wivu, chuki, au kutoelewana. Hata wakati hajafanya kosa lolote, watu huendelea kueneza maneno mabaya juu yake. Hata hivyo, yeye huweza kuwalea vyema wanafamilia wake kwa sababu ya hekima yake hiyo nzuri ya kubaki mvumilivu anapokabiliwa na matatizo katika maisha yake hayo ya kila siku.

Mtu huyo hufanana na yule aliyebaki mvumilivu na mtulivu wakati wengine wakimtukana, kumdhihaki, au kumsengenya, kwa sababu naye pia huchagua hekima na tabia njema ya kubaki mvumilivu badala ya kulipiza kisasi anapotendewa ubaya na wengine maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba “wananibeza.”

Msemo huo huwafundisha watu kuhusu: kuepuka umbea na maneno maovu, kuheshimu hadhi ya wengine, kuwa wavumilivu wanapokabiliwa na ukosoaji, kusema ukweli na wema, pamoja na kuelewa kwamba watu wema wakati mwingine huchukiwa bila sababu.

Msemo huo huwakumbusha watu kwamba maneno yanaweza kuumiza mioyo, na watu wanapaswa kutumia ndimi zao kwa kujenga amani badala ya kuharibu mahusiano.

Zaburi 34 34:13, “Uzuie ulimi wako na uovu na midomo yako isiseme uongo.”

Mithali 16:28, “Msengenyaji hutenganisha marafiki wa karibu.”

Mathayo 5:11, “Heri ninyi watu watakapowatukana na kuwanenea kila aina ya uovu kwa ajili yangu.”

Waefeso 4:29, “Msiruhusu maneno yoyote mabaya yatoke vinywani mwenu, bali yale tu yafaayo kwa kuwajenga wengine.”

ENGLISH: THEY TALK BADLY ABOUT ME.

The original of this saying can be traced back to a person who lived in Mwatuju village. This person did good deeds to others because of his sound conduct in his life. However, people spoke against him because of their jealousy. That is why he says “they talk badly about me.”

This saying is equated to a person who has decent wisdom of remaining patient while others insult him in his life. This person is falsely accused, criticized, or spoken against by others because of jealousy, hatred, or misunderstanding. Even when he has done nothing wrong, people continue spreading negative words about him. He however, managed to nurture well his family members because of his decent wisdom of remaining patient while facing difficulties in his daily lives.

This person resembles the one who remained patient and calm while others insulted, mocked, or gossiped about him behind his back because he also chooses wisdom and good character of remaining patient instead of revenge in his life. That is why he says “they talk badly about me.”

This saying teaches people about: avoiding gossip and evil speech, respecting the dignity of others, being patient when facing criticism, speaking truthfully and kindly, as well as understanding that good people are sometimes hated without reason.

This saying reminds people that words can wound the heart, and therefore people should use their tongues to build peace instead of destroying relationships.

Psalm 34 34:13, “Keep your tongue from evil and your lips from telling lies.”

Proverbs 16:28, “A gossip separates close friends.”

Matthew 5:11, “Blessed are you when people insult you and falsely say all kinds of evil against you because of me.”

Ephesians 4:29, “Do not let any harmful talk come out of your mouths, but only what is helpful for building others up.”

 

 

 

1488. NADINALIMELA ULUNIMAGA HENAHA.

Aho kale olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo olialemile amasemba ulu alitumama unimo gokwe gununo gadulile guntindika ugugumala wangu unimo gunuyo. Hunagwene agabhawila abho bhenhaga limela aha nimo gokwe gunuyo giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gutumama milimo yakwe chiza, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ung’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ogutumamaga milimo bho nduhu ilimela mpaka oyimala chiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho guyomba bhunhana mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nadinalimela ulunimaga henaha.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza makanza gose, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo.

Hesabu 27:20.

1Samweli 9:6.

1Samweli 9:22.

Walawi 19:30.

Mithali 11:16.

KISWAHILI: SINA UTANI NIKIWA HAPA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyefanya kazi yake kwenye kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo, alikataa utani wakati wa kufanya kazi yake hiyo kwa sababu huo unaweza huchelewesha kuimaliza kazi yake hiyo. Ndiyo maana aliwaambia wale walioleta utani kwenye kazi yake hiyo kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye na uaminifu wa kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa kuongea ukweli mpaka anazimaliza vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kufanya kazi zake mpaka anazimaliza vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi zake bila utani mpaka akazimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa kusema ukweli mpaka anazimaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “sina utani nikiwa hapa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao, maishani mwake.

Hesabu 27:20.

1Samweli 9:6.

1Samweli 9:22.

Walawi 19:30.

Mithali 11:16.

 

ENGLISH: I AM NOT JOKING HERE.

Once upon a time, there was a man who worked in the village of Mwatuma. This man refused to joke while doing his work because he believed joking would delay the completion of his tasks. Whenever people came to his workplace making jokes, he would say to them, “I am not joking here.”

This saying refers to a person who is serious and honest in his work. Such a person strives to do his work faithfully and speaks the truth until he completes it well. Because of his honesty and dedication, he succeeds and provides well for his family.

That person resembles the man who refused to joke while working until he finished his task. In the same way, he remains focused and truthful until his work is completed successfully. That is why he confidently says, “I am not joking here.”

This saying teaches people the importance of seriousness, honesty, and hard work in fulfilling their responsibilities so that they may prosper and support their families throughout their lives.

The lesson of this saying is supported by Scripture:

In Book of Numbers 27:20, responsibility and honor are given to a faithful leader.

In First Book of Samuel 9:6 and 9:22, we see respect for truth and proper conduct.

In Book of Leviticus 19:30, people are called to reverence and seriousness in holy matters.

In Book of Proverbs 11:16, we learn that honorable and diligent behavior brings reward.

 

 

1446. JIGAFULAGWA JILINA MATU.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo olina matu gawiza. Abhanhu bhang’wilaga imihayo oigwa chiza kunguno olina matu ayo gigwaga chiza pye imihayo yabho. Umunhu ng’wunuyo aliadinhalali umuwikaji bhokwe kunguno ya wigwi bhokwe bhunubho ubho wiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala masoga agagwiigwa chiza na bhanhu na gugikalana chiza amalange ayo agalangagwa na bhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhudegelekaga na guwikalana chiza ubhulungwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe bhenabho, kunguno ya masala gakwe agawiza genayo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya masala gakwe agawiza genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina matu gawiza ayo giyigwaga chiza imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi agawikalanaga chiza ubhulangwa ubho agalangagwa na bhatale bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jigafulagwa jilina matu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagulikalana chiza ililange lya bhatale bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8’

KISWAHILI: HUFUNDISHWA ALIYE NA MASIKIO.

Chanzo cha methali hiyo huangalia mtu yule ambaye ana masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri. Watu hulimweleza maneno yao ambayo huyasikia vizuri kwa sababu ana masikio yenye uwezo wa kuyasikia vizuri. Mtu huyo hakuwa mbishi katika maisha yake kwa sababu ya masikio yake kuwa na uwezo mzuri wa kusikia maneno ya wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili nzuri za kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza kwa makini na kuyaishi vizuri malezi anayofundishwa na walezi wake hao, kwa sababu ya akili nzuri alizonazo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa vizuri katika kuilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya akili yake hiyo nzuri katika kuyaishi vizuri malezi aliyofundishwa na walezi wake.

Mtu hiyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yenye uwezo wa kusikia vizuri maneno aliyoambiwa na wenzake, kwa sababu naye ana akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi anayopewa na walezi wake, maishani mwake. Ndiyo maana  watu humwambia kwamba, “hufundishwa aliye na masikio.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili nzuri ya kuyaishi vizuri malezi wanayopewa na walezi wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:1-8.

Marko 4:1-9.

Luka 8:4-8.

 

ENGLISH: THE ONE WHO HAS EARS IS TAUGHT.

The source of this proverb refers to a person who has ears that can hear well. Such a person listens carefully when others speak to him, and people take time to explain things to him because he understands and values what he hears. He is not careless or foolish in his life, because his ability to listen well enables him to learn from his peers. That is why people say, “the one who has ears is taught.”

This proverb is related to a person who has a good mind and is able to live according to the upbringing taught to him by his guardians. Such a person listens attentively, understands the guidance given to him, and practices it faithfully in his life. Because of this good mind and willingness to learn, he succeeds in raising his own family well, applying the values and discipline he received from his caregivers.

This person is like the one who has ears that hear clearly the words spoken by others. In the same way, he has a mind that is open to instruction and wisdom. Because he listens, understands, and puts into practice what he is taught, people say of him, “the one who has ears is taught.”

This proverb imparts in people an importance of having an open and attentive mind, so that they may live well according to the upbringing given to them by their caregivers and, in turn, raise their families well in life.

Matthew 13:1–8.
Mark 4:1–9.
Luke 8:4–8.