Folklore

638. LYUBA MBANDEBUTOLWA BHO NASSA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhudamu bho bhutolwa bho bhanhu bha Nassa. Ukubhanhu bhenabho abha Nassa, ubhutolwa bholi bhulambu noyi ikale. Gashinaga lulu, ugushiga munhu ugatolwa mumho lyubha lwake, kunguno yiniyo, ulu umo wabho utolwa olamyaga lyubha lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lyubha mbandebhutolwa bho Nassa.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga Lyubha lwakwe, ulu uhaya gutumama mhayo ntale, guti kutola, lunu gutolwa. Umunhu ng’wunuyo, agalombaga lyuka, nulu Mulungu, kunguno, adebhile igiki Uweyi huyo aimanile imyoyo ya bhanhu bhose. Kuyiniyo lulu, uMulungu adulile gupandikila bahati umunhu ng’wunuyo, ya gugumala chiza umaho gokwe gunuyo.

Umunhu ng’wunuyo, ulu ogutumama chiza umhayo gokwe, aganumbilija Mulungu, guti na bhanhu abha Nassa, abho bhagalumbaga Lyubha ulu bhapandika inhola, umukikalile kabho.

Uweyi agabhalangaga abhiye ahigulya ya kunomba Mulungu ulu bhalihaya gutumama milimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayipandika iyo bhaluyilombaga. Hunagwene ulu bhatumama chiza imilimo yabho, abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘‘lyubha mbandebhutolwa bho Nassa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gunomba Welelo haho bhatali ugiutumama imilimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayimala chiza mihayo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: NURU UNIHIFADHI KUOLEWA KWA WATU WA NASSA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye ugumu wa kuolewa wa watu wa Nassa. Watu hao wa Nassa, suala la kuolewa lilikuwa gumu sana hapo zamani. Kumbe basi, mtu akipata bahati ya kuolewa au kuoa, ali mshukuru yule aletaye mwanga ambaye ni Mungu, kwa kumwezesha kulikamilisha jambo hilo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, ‘nuru unihifadhi kuolewa kwa watu wa Nassa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humuomba Mungu akitaka kufanya kazi fulani, zikiwemo zile za kupata mchumba aliye mwema, maishani mwake. Mtu huyo, humuomba Mungu kwa sababu Huyo ndiye anayifahamu mioyo ya watu wote. Kwa hiyo, Mungu aweza kumpatia mtu huyo, bahati ya kuimaliza vizuri kazi yake hiyo, na kwa mafanikio makubwa.

Mtu huyo, akifanikiwa vizuri kwenye kazi zake, humshukuru Mungu, kama wale watu wa Nassa wanavyomshukuru Yeye kwa kuwawezesha kufunga ndoa, au kupata jambo walilolimba kwakwe, kwa sababu naye, humshukuru Mungu anapoikamilisha kazi yake, aliyomuomba.

Yeye huwafundisha wenzake juu ya kumuomba Mungu kabla ya kutekeleza kazi au jambo fulani, na kumshukuru Yeye wanapofanikiwa kulitekeleza jambo hilo. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘nuru unihifadhi kuolewa kwa watu wa Nassa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kumuomba Mungu kabla ya kulitekeleza jambo wanalokata kulifanya, na kumshukuru Yeye wanapolikamisha, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

african-2

girl-madagascar

prayer

 

ENGLISH: GETTING MARRIAGE FOR THE NASSA PEOPLE NEED GOD’S GRACE.

The source of this saying is the Nassa people and how they struggle to get married. In the past, it was very difficult for people coming from a place called Nassa to get married. Much as they were struggling to get partners for marriage, it was not easy to accomplish the marriage mission. If one of them managed to get married then she/he was considered to be blessed.

This saying can be compared to a person who prays to God for a specific help, including getting a good and life-long bride. This person knows the power of God and therefore entrusts Him his/her needs with hope that they will be resolved and with great success. This person, like the Nassa people, is thankful to God because He enables him/her fulfill his/her ambitions. He/she teaches other people about the power of prayers and respect to God in order to have a successful life.

This proverb teaches people to pray to God before doing what they want to do. They also need to thank Him when they have accomplished it. When they do so, they can have good achievements in their societies.

Psalm 17: 8-9, Luke 17: 11-17, Luke 11: 5-13, Matthew 11:28.

637. IBANDA LYA NG´WA NYAMUNKONDO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile munhu uyo witanagwa Nyamunkondo. Umunhu ng’wunuyo wali wa nguzu noyi, umutumami bho milimo yakwe, kunguno opandikaga majikolo mingi aha ng’wakwe.

Uweyi hangi oli na ng´holo niza, kunguno obhanukulaga bhanhu bhingi aho oli alazengile libanda lyakwe, ilo lyali litale gete. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, ‘Ibanda lya ng’wa Nyamunkondo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogililwe gubhakaribhusha bhanhu bhingi aha kaya yake. Umunhu ng’wunuyo, ali na ng’holo niza ya kutumama milimo bho gwiyambilija chiza na bhiye, kugiki ayegele halumo na bhiye bhenabho. Uweyi ali na sabho ningi na kaya nhale aha ng’wakwe henabho, kunguno ya nguzu jakwe ijagwigulambija gutumama milimo yakwe chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agikikolaga nu Nyakumunkongo o libanda litale, kunguno nuweyi ali na kaya nhale na ng’holo niza ya kubhakaribhusha bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu abha bhagajaga hoyi, bhagalitanagwa giki ‘Ibanda lya ng’wa Nyamunkondo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo ya gwigulambija gutumama milimo na kubhakaribhusha bhanhu bhingi, aha kaya jabho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umukikalile kabho.

Mathayo 13:32.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: BANDA LA NYAMUNKONDO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mtu aliyekuwa anaitwa Nyamunkondo. Mtu huyo, alikuwa na nguvu nyingi zilizomwezesha kufanya kazi kwa bidii na kupata mali nyingi. Yeye alikuwa na moyo wa ukarimu katika kuwakaribisha watu wengi kwenye banda lake, ambalo lilikuwa kubwa sana. Ndiyo maana watu waliliita kuwa ni, ‘Banda la Nyamunkondo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayependa kuwakaribisha watu wengi kwenye familia yake. Mtu huyo, ana moyo wa kujibidisha kufanya kazi kwa ushirikiano na wenzake, ili aweze kufurahi pamoja na wenzake  hao. Yeye pia ana mali nyingi na familia kubwa sana, kwa sababu ya nguzu zake za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri.

Mtu huyo, hufanana na Nyamunkondo mwenye Banda kubwa, kwa sababu naye ana familia kubwa na moyo wa kuwakaribishwa watu wengi kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu wanaoenda kwake huiita nyumba yake kuwa ni ‘Banda la Nyamunkondo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, na kuwakabirisha watu kwenye familia zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:32.

Mathayo 11:28.

massai-tanzania

african-3

 

ENGLISH: THE HOUSE OF NYAMUNKONDO.

The source of this saying is a person known by the name of Nyamunkondo. This person was so energetic. He could work hard in his farm and get enough farm produce to the extent of making him rich in his society. This person was also very generous to others. He could invite people to his home and treat them well. This is why people came with the saying that ‘The big house of Nyamunkondo’ to mean kindness and respect.

This saying can be compared to a person who likes to invite people to his/her family. This person enjoys the company of other people around him/her. He/she uses his/her wealth to entertain others. Such a person also teaches other people to work hard and have a welcoming spirit to others.

This saying teaches people about having commitment to carry out their responsibilities and inviting people to their families. In so doing, they will be able to bring collaboration and unity among people in a certain society.

Matthew 13:32, Matthew 11:28.

636. KABAMUKE ILANDO LYA MAGU.

Imbuki ya kahayile kenako, yingile kubhubamuki bho lilando lya Magu.  Imagu ili wiyaya ya Nkoa go Ng’wanza iyo yali na malando ayo gitanagwa magabamuke. Malando genayo, gagahuluma aliyo lulu, ugutulila inumbu nduhu. Hungawene abhanhu bhagagitanaga giki, ‘kabamuke ilando lya Magu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabamukaga mamihayo sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabamukaga mihayo iyo idinasolobho, niyo bho lilaka lya higulya. Uweyi adaiganikaga chiza imahayo iyo agaiyombaga yiniyo, kunguno ya bhudumi bho gwitegeleja chiza, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na malando aga Magu ayo gagahulumaga wangu aliyo bho nduhu ugutulila inhumbu, kunguno nuweyi agabamukaga mamihayo sagara, ayo gadina solobho yoseyose, ukubhanhu.

Abho bhandebhile umunhu ng’wunuyo, bhadayidililaga mihayo iyo agayiyombaga, kunguno bhamanile igiki idina bhung’hana. Hunagwene bhagang’witanaga giki, ‘kabamuke ilando lya Magu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guitegeleja chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba,  kugiki bhadule gubhalomela abhanhu bhabho, mihayo iyo iliyasolobho umugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:7.

Yakobo 2:14-17.

1Wakorintho 13:1-3.

Mathayo 3:7.

KISWAHILI: KAROPOKA LANDO LA MAGU.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uropokaji wa lando la Magu. Magu ni wilaya iliyoko katika mkoa wa Mwanza, ambamo yalikuwemo malando yaliyoitwa ‘karopoka.’ Malango hayo, yalistawi upesi lakini, hayakuweka viazi chini yake. Ndiyo maana watu waliyaita, kuwa ni ‘karopoka lando la Magu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huropoka maneno hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huropoka maneno yasiyo na faida na kwa kutumia sauti ya juu sana.

Yeye hayafikirii vizuri maneno yake hayo, kabla hajayatamuka, kwa sababu ya kutokuutumia muda wake katika kuelewa kwa makini maana ya maneno yake hayo, na namna ya kuyasema.

Mtu huyo, hufanana na malando hayo ya Magu ambayo hustawi haraka, lakini bika kuweka viazi chini yake, kwa sababu naye huropoka maneno hovyo ambayo hayana faida yoyote kwa watu wake.

Wale wanao mfahamu mtu huyo, huyapuuzia maneno yake hayo, kwa sababu wanafamu kuwa hayana uweli ndani yake. Ndiyo maana wao humuita mtu  huyo, kuwa ni ‘karopoka lando la Magu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyafikiria kwa makini maneno yao kabla hawajayaongea, ili waweze kuwaeleza watu wao maneno yenye faida katika kuzijenga vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 6:7.

Yakobo 2:14-17.

1Wakorintho 13:1-3.

Mathayo 3:7.

numbu4

numbu

numbu2

 

ENGLISH: THE MAGU POTATO PLANT.

The source of this saying is the Magu potato plant. Magu is one of the districts in Mwanza region. In this district, there happened that its soil would be fertile enough to flourish potato plants but was not capable of yielding potatoes of good quality. This is why people came with this saying that’the Magu potato plant’ to signify good appearance but less productive.

This saying can be compared to a person who fails to have convincing words to other people. Much as he/she might be having good appearance, what puts him/her down is the power of speech to persuade others to do something. The saying can also be likened to a wordy person who cannot make sense of what he/she speaks. Like the Magu potato plant, this person can be ignored by other people because of lacking truth in his/her speech.

The saying teaches people to think carefully about their words before they speak. This can help people to build their societies through their good and persuasive words that can result into positive changes in the society.

Matthew 6: 7, James 2: 14-17,1Corinthians 13: 1-3, Matthew 3: 7.

635. MBISILA YA NCHI AIMANILE UYO ALING`OJA.

Imbuki ya lusumo lunuo, yilolile bhoja bho nchi, nulu mimba go munhu. Ubhoja bho mimba bhunubho, bhugang’wenhelejaga ung’oja gumana mbisila ningi ija mimba gokwe umunhu uyo ozumalikaga ng’wunyo.

Imbisila jinijo, jigambilijaga ugudebha umo wikalilaga unjimiji, umushigu ja bhulamu bhokwe. Ung’oja okwe ng’wunuyo, agajilang’hanaga imbisila jinijo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailanghana chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira ja kaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’oja o nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho jinijo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: SIRI YA MAITI AIJUAYE MWOSHA.

 Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uoshaji wa maiti. Uoshaji huo wa maiti, humwezesha yule anayeosha kuzifahamu siri ya marehemu, kwa sababu ya kupata nafasi ya kumuangalia mwili mzima.

Siri hizo husaidia kuyaelewa maisha ya marehemu huyo yalivyokuwa katika enzi za uhai wake. Yeye huzitunza sili hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitunza vizuri siri za ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mwoshaji wa maiti azitunzaye siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzitunzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

active couple

couple africans

family kids

ENGLISH: THE CLEANER KNOWS THE SECRET OF THE DEAD.

The foundation of the overhead proverb is the washing of dead bodies. This cleaning of the corpse enables the one who washes them to discover the mystery of the deceased, because he/she gets an opportunity to look at the whole body.
Such secret helps to understand the deceased’s life during his/her lifetime. He/she takes care of those jewels, in lifetime. That is why people say, ”the cleaner knows the secret of the dead.’

Such proverb is compared to the man who takes good care of secrets of his family, in his life. Such man does not speak to any person his family’s words, because he knows how to keep his family secret. He builds his family well by living happily with others, in their lives.

The man is like a corpse cleaner who treats the mysteries of the dead, because he also builds his family well, by keeping his family’s secret, in his life.
In his own life, he teaches his family members on how to build their families, by taking good care of the secrets of their families. That is why he tells people, ‘the cleaner knows the secret of the dead.’

This proverb imparts in people an idea on how to properly build their families, by safeguarding their secrets, in their lives, so that they can live happily with others, in their lives.

Proverbs 25: 9.
Daniel 2:22.
Luke 8:10.
Colossians 1: 26-27.
1Corinthians 15:51.
Ephesians 1: 9.

634. KABHAMBILE KA NG´OMA KAMANILWE MAMBI WAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhambi bho ng’oma. Ubhubhambi bho ng’oma bhunubho, bhugikalaga bhulekanile, kunguno abhabhambi bhenabho, bhuli ng´wene, ali na kabhambile kakwe ako kali heke na kab´iye.

Abhoyi bhagatulaga ginhu, umugati ya ng´oma yiniyo, ijo bhagajitanaga liana lya ng´oma. Iginhu jinijo, igabhizaga siri ya mambi, nulu kamanwa mambi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailang’hanaga chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira hakaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mambi o ng’oma uyo gajilang’hanaga imbisila ja nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe.

Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: NAMNA YA KUZIBA NGOMA ANAFAHAMU ANAYEZIBA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uzibaji wa ngoma. Uzibaji huyo wa ngoma, hutofautiana, kwa sababu ya wazibaji hao kuwa kila mmoja ana namna yake ya kuziba, ambayo nitofauti na za wenzake.

Wao huweka kitu ndani ya ngoma waliyoiziba, kinachoitwa, toto la ngama. Kitu hicho, ni siri ya mzibaji wa ngoma hiyo, ambayo hufahamika kwa yule aliyeiziba peke yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzilinda vizuri siri za  ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mzibaji wa ngoma anayezitunza siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha watu namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzintuzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

ng'oma

ng'oma1

ng'oma5

 

ENGLISH: HOW TO MAKE A DRUM IS ONLY KNOWN BY THE DRUM MAKER.

The source of this proverb is a drum and the way it is overlayed. The way one drum can be overlayed can differ from one to another, depending on its maker. The makers of drums have different artifacts in decorating them and ensuring that they produce a certain sound of their choice. This secret about what has been used to decorate the drum is only known by the maker of that drum. This is why people came with this proverb that ‘How to make a drum is only known by the drum maker.’

This proverb can be compared to a person who protects the privacy of his/her family.This person does not like revealing family secrets in public. Such a person will be able to build his/her family well by living happily with others in their lives. Like the drum maker, this person will ensure that the family is solid enough and has a good reputation by hiding some of the family issues that are likely to affect the general society’s welfare.

This person also teaches others about family unification and respect by having family secrets.

This proverb teaches people about how to properly build their families by concealing secrets that are likely to affect the society or damage the family’s reputation.

Proverbs 25: 9, Daniel 2:22, Luke 8:10, Colossians 1: 26-27, 1Corinthians 15:51, Ephesians 1: 9.