Uncategorized

400. JILAMBA LUME.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulambi bho lume. Ubhulambi bho lume bhunubho, bhuli bhojisumba ijo jigab’itaga  sagara na bho duhu ugudililia, nulu mulume jigab’ululaga duhu. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga ijisumva jinijo giki, ‘jilamba lume.’

Ulusumo lunulo lugalnganijiyagwa kuli munhu uyo alingwiliji o bhakima. Ungwiliji ng’wunuyo, agamishaga dilu ogitegela bhanhu abho alihaya gub’agwilila. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘jilamba lume.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ugwiliji bho bhanhu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Marko 7: 21-23.

KISWAHILI: MLAMBA UMANDE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulambaji wa umande. Ulambaji huo wa umande, ni wa kiumbe kile ambacho hupita hovyo bila kujali uchafu kiupatao. Hata kwenye umande chenyewe hupita tu. Ndiyo maana watu hukiita, ‘mlamba umande.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mbakaji wa wanawake. Mbakaji huyo, huamuka mapema asubuhi ili aweze kuwanyemelea watu anaotaka kuwabaka. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kwamba ni ‘mlamba umande.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za ubakaji katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao.

Marko 7: 21-23.

dew-on-grass

pearl-millet-

 

ENGLISH: DEW SWALLOWER.

The source of the above saying comes from dewdrops. It is associated with someone who is careless in his/her doings.

This saying can be compared to a man who is a rapist. Such a person can wake up very early in the morning to eye for women he would like to rape. Since he wakes-up very early in the morning then he is prone to dew drops. This is why such people are being described by using the saying of ‘dew swallower.’

The saying teaches people about giving up the raping habit in order to live happily with others.

Mark 7: 21-23.

 

 

390. GULYA JILYANI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ubho bhuli bho kihamo. Ulu bhanhu bhali na kajile kawikole, bhagatogagwa gwikala halumo, na gulya jiliwa jabho halumo, kugiki bhikale bhaguhoyaga kumakanza malihu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gulya jilyani.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazenganwa abho b’itogilwe. Abhanhu bhenabho bhagalyaga jililwa jabho halumo, kunguno ya witogwi bhobho b’unub’o.

 Abhoyi bhagiyambilijaga nu gutumama imilimo yabho halumo. Bhadeb’ile ugubhalanga nab’ichab’o, ahigulya ya gulya na gutumama halumo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagab’awilaga abhanhu bhikomeje ‘gulya jilyani.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi na bhazenganwa bhab’o, kugiki bhadule gutumama milimo yabho halumo, na ‘gulya jilyani.’

Marko 4:8.

 Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

KISWAHILI: KULA UJIRANI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula ambao ni wa pamoja. Watu wakiwa na maisha yanayofanana, hupenda kuishi wakiwa pamoja, na kula chakula chao kwa pamoja, ili wakae wakiongea kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kula ujirani.’

Msemo huo hulinganishwa kwa majirani wanaopendana. Watu hao hula chakula chao kwa pamoja kwa sababu ya upendo walio nao kati yao.

Wao husaidiana hata kufanya kazi zao kwa pamoja. Wanafahamu namna ya kuwafundisha pia wenzao jinsi ya kula na kufanya kazi zao hizo kwa pamoja. Ndiyo maana watu hao huwahimiza wenzao kwa kusema ‘kula ujirani.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa majirani zao, ili waweze kufanya kazi zao kwa pamoja, na ‘kula ujirani.’

Marko 4:8.

Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

eat

ENGLISH: TO EAT IN THE NEIGHBORHOOD.

The source of the above saying comes from communal food eating style. People with similar life standards can tend to live together; eat their meal together and therefore, they are able to have long conversations about their society. Such a strong bond among people in the nearbourhood is described by the saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying can be compared to nearbours who love one another. These people eat their meals together. They also help each other to do their jobs together and they know how to teach their fellows how to eat and do their jobs together. This is why people are encouraged to maintain togetherness by using this saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying teaches people about loving their neighbours so that they can work together and love each other.

Mark 4: 8.

Matthew 4:32.

 Exodus 12: 4.

351. UGWIPIGAGA NA GITI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuwituji bho giti na miso. Igiti jigab’izaga jilihoyi ulu lyulib’ila ilimi. Igiti jinijo, jigagalemejaga amiso ugubhona ikule, kunguno amiso gagabhonaga chiza ung’wisana. Amiso genayo gagab’izaga guti galikenya na giti, kunguno gagubyulaga aliyo gaduma ugubhona chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga ung’winikili miso genayo giki, ‘ugwipigaga na giti.’

 Akahayile kenako kalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumama nimo uyo guti na solobho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, aganogaga sagala, kunguno unimo gunuyo gudabhizagaga na matwajo matale, ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugwipigaga na giti.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo iyo idulile gwenha solobho, ukuwikaji bhobho.

Muhubiri 1: 2-3

 I Wakorintho 9: 26-27

Zaburi 104: 19-23.

KISWAHILI: UNASHINDANA NA GIZA

Chanzo cha msemo huo chaangalia upiganaji wa giza na macho. Giza hutokea wakati jua limechowea. Giza hilo huyazuia macho kuona mbali kwa sababu, yenyewe huona vizuri wakati wa mwanga. Macho hayo huwa kama yanapigana na giza kwa sababu hutazama lakini hushindwa kuona vizuri. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘unapigana na giza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufanya kazi isiyo na manufaa maishani mwake. Mtu huyo huchoka bure kwa sababu ya yeye kufanya kazi isiyo na mapato makubwa kwenye familiya yake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘unapigana na giza.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufanya kazi ziwezazo kuwapatia mafanikio makubwa maishani mwao.

Muhubiri 1: 2-3

 I Wakorintho 9: 26-27

Zaburi 104: 19-23.

lantern lamp night

hands night

 

ENGLISH: YOU ARE FIGHTING AGAINST DARKNESS. 

The source of the above saying is the fight between eyes and darkness. Darkness comes when the sun goes down. It prevents eyes from seeing afar. Eyes tend to fight with darkness because they fail to see clearly during dark times. This is why people can say, ‘you are fighting against darkness.’

The above saying can be compared to someone who does worthless jobs in life. Such a person gets bored for no reason because of doing low-paying jobs. This is why people can tell such a person that ‘you are fighting against darkness.’

The saying teaches people about doing work that can bring them great success in life.

Ecclesiastes 1: 2-3

1 Corinthians 9: 26-27

Psalm 104: 19-23.

317. NEMA ADAGIGHILAGA

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo alinema. Umunhu ng´wunuyo agabhizaga alichene na adadulile ugwib´isa umo agikalilaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´nema adagighilaga.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jika, ja gwita mihayo ya bhub´i. Umunhu ng´wunuyo agamanyikaga umo agiganikilaga, bho gub´itila ya bhub´i abhiye, umuwikaji bhokwe. Abho bhandebhile akikalile kakwe kenako, bhagang´wilaga giki, ´nema adagighilaga.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu highulya ya goya gwita ya bhub´i ukubhichabho, kugiki abhanhu bhenabho, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 15:33.

KISWAHILI: MWENYE KISA HACHECHEMEI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mtu mwenye kisa fulani. Mtu huyo huwa hivyo kwa maana ya kujulikana alivyo. Hawezi kujificha mtu  huyo. Kilema chake hakiwezi kufichika kwa watu. Ndiyo maana watu husema, ´mwenye kisa hachechemei.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ana kilema ya kutenda maovu katika jamii. Mtu huyo hujulikana afikiriavyo kwa kuwafanyia mabaya wenzake, katika maisha yake. Wale wanaomfahamu jinsi alivyo, humwambia kwamba, ´mwenye kisa hachechemei.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu katika jamii, ili watu hao waweze kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.

1 Wakorintho 15:33.

vintage1

ENGLISH: YOU CANNOT HIDE YOUR BAD CHARACTER

The saying stems from a story of a person with bad character. A person with such behaviour cannot hide his/her character because it is part of him/her. That is why people say, “you cannot hide your bad character.”

The proverb is comparable to a person with a habit of doing bad things in the society. Such person’s bad behaviour is known by others. Those who know him/her, tell him/her that, “you cannot hide your bad character.”

The proverb teaches people to stop doing evil things in their society so that they can live in peace with others.

1 Corinthians 15:33.