Sukuma Proverbs

418. IHAHA UBHUJIKU BHOLYAGA GUDULU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhujiku ubho bhomalaga gulya gudulu. Ubhujiku bhunubho bhuli bho gupinihaja, kunguno ya gwigela mhayo uyo guli ntale, umuchalo jilebhe.

Umhayo gunuyo gugakumukaga noyi umuchalo ijo gwigelelaga, kunguno guli gugeni. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ihaha ubhujiku bholyaga gudulu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu bha muchalo ijo jabhipaga, kunguno ya gwigela mhayo ntale, guti go gucha munhu uyo akumukile, umuchalo jinijo. Abhanhu bhenabho bhagapinihalaga kunguno ya kuchilwa nu munhu ng’wunuyo, uyo aliowiza ukubhananzengo bhiye. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ihaha ubhujiku bholyaga gudulu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhitila ya wiza abhanhu na guilunguja halumo, umulikanza lya mayange.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: SASA USIKU UMEKULA GUDULU (SASA USIKU NI MBAYA).

Chanzo cha methali hiyo chaangalia usiku ule uliokula gudulu. Maana yake huo ni usiku mbaya. Usiku huo ni wa kusikitisha kwa sababu ya kutokea kwa tukio ambalo ni kubwa kwenye kijiji fulani.

Tukio hilo laweza kuwa la kushangaza kwa sababu ni tukio geni katika maeneo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘sasa usiku umekula gudulu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao kijiji chao kimepata msiba wa kufiwa na kiongozi aliyesifika sana. Tukio hilo ni kubwa katika kijiji hicho. Watu hao husikitika kwa sababu kiongozi huyo alikuwa anawaongaza watu kwa upendo. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘sasa usiku umekula gudulu, maana yake usiku umekuwa mbaya.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatendea mema watu wao, na kufarijiana pamoja wakati wa misiba, maishani mwao.

Ufunuo 14:13.

night one

night2

 

ENGLISH: NOW THE NIGHT HAS BEEN BAD.

The source of the above saying is the night that ruined the life of people in a certain village. In that night, a certain sad event happened. In commemorating that night, people can say ‘the night has been bad.’

The saying can be compared to villages that happened to experience some traumatic events such as losing some important figures (for example, well-known leaders) which can shock the entire village. Villagers can be saddened by the event and, in summarizing the night that their beloved leader passed on, they can use the saying that ‘the night was bad.’

The proverb teaches people to do good to their people. They need to comfort each other during disasters in order to have a happy life all the time.

Revelation 14:13.

404. NGULU NA NGULU JIDATUNGWANHAGA ABANHU BHADULILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukigelele ka ngulu. Ingulu jidadule nulu gusiminza guti umo b’agasiminzilaga abhanhu. Ijoyi jigasagaga na naho jilili duhu.

Aliyo lulu, abhanhu b’agasimingaza. Hunagwene abhanhu ulu bhoya kale ugwib’ona, ulushigu bhibhonaga, bhagayombaga giki, ‘ngulu na ngulu jidatung’wanaga abhanhu bhadulile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itogilwe umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bagiyambilija uguitumama imilimo yabho, na bhagigenihaga.

Abhoyi b’agab’alangaga na bhichab’o akikalile kenako. Hunagwene ulu bhigenihaga bhagayombaga giki, ‘ngulu na ngulu jidatung’wanaga abhanhu bhadule.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi bho gudula gwigeniha, kugiki bhadule gwiyambilija halumo, umiwikaji bhobho.

Mathayo 17:20.

KIWAHILI: MILIMA HAIKUTANI BINADAMU HUKUTANA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye muonekano wa milima. Milimo huo haiwezi hata kutembea atembeavyo mwanadamu. Yenyewe hubakia pale ilipo tu. Lakini wanadamu hutembea. Ndiyo maana watu wasipoonana kwa muda wa  siku nyingi, siku ya kuonana husema kwamba, ‘milima haikutani binadamu hukutana.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana maishani mwao. Watu hao husaidiana katika kufanya kazi zao, na hutembeleana.

Wao huwafundisha pia wengine namna ya kuyaishi maisha hayo. Ndiyo maana watu hao, wakitembeleana husema kwamba, ‘milima haikutani binadamu hukutana.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kutembeleana, ili waweze kusaidiana kwa pamoja katika kuyatekeleza majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 17:20.

mountans

black-2934630__340

 

ENGLISH: MOUNTAINS DO NOT MEET BUT PEOPLE DO.

The source of the above proverb is derived from the appearance of mountains. They cannot even move about as human beings do. It remains where it is. When people do not see each other for many days, the day they meet they can say ‘mountains do not meet but people do.’

This proverb can be compared to those people who love each other in their lives. These people help each other in their works, and they visit each other. They also teach others how to live.

The proverb teaches people to love one another and visit one another. In so doing, they will be fulfilling their responsibilities of loving each other.

Matthew 17:20.

403. UNG’WOLO ATAPANDIKAGA JOSE JOSE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhudumi bho gupandika jikolo, kunguno ya b’ukokolo bho gutumama milimo bho jisumva jileb’e. Ijisumva jinijo jidahayile ugutumama imilimo yajo. Ijoyi jidahayile ugwilulya, kunguyo ya bholo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wolo adapandikaga josejose.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo adatogilwe uguguluhya umili gokwe.

Uweyi atogilwe gwikala wigashije duhu. Kuyiniyo lulu, uweyi adapandikaga isabho, Agikalaga wilombeleja kubhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ng’holo adapandikika josejose.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho na bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika jikolo ja gujib’eja chiza ikaya jabho.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

KISWAHILI: MZEMBE HAPATI CHOCHOTE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya kushindwa kupata mali kwa kiumbe ambaye ni mvivu wa kufanya kazi. Kiumbe huyo hataki kuutesa mwili wake kwa kuufanyisha kazi hizo. Yeye hutaka kukaa tu na kula chakula apewacho, kwa sababu ya uvivu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mvivu kufanya kazi zake. Mtu huyo hapendi kufanya kazi zake. Yeye hupenda kukaa tu.

Kwa hiyo basi, yeye hapati mali ya kutosha kumsaidia maishani mwake. Yeye huishi kwa kuomba omba tu. Kwa hiyo basi, yeye hapati mali itakiwayo kumwezesha kuishi bila kuomba omba, kwa watu wengine Maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi kazi zao kwa bidii kubwa, ili waweze kujipatia mali za kuwasaidia ndugu zao mbalimbali maishani mao.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

lazy-1458443__340

lazy one

ENGLISH: A LAZY PERSON DOES NOT GET ANYTHING.

The source of the above proverb stems from an inability to get wealth from a lazy person. Such a person does not want to torture his/her body by working hard. He/she just wants to sit and eat food given by others. This person is likely to end up having nothing in life. To describe such a person, one can use the proverb that ‘a lazy person does not get anything.’

This proverb can be compared to a person who is lazy in doing his/her work. He/she does not like to work thus he/she does not have enough wealth to support his/her life. He/she depends on begging from others. Such a person ends with nothing in life. His/her behaviour is described by the proverb ‘a lazy person does not get anything.’

The proverb teaches people to do their jobs in order to earn enough money that can help in different activities.

Philippians 2:12.

1 Peter 3: 6-10.

402. GULAMBA MAMILA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulambi bho mamila. Amamila genayo gali maginhu mab’i ayo gagolechaga bhusoso. Agenayo gagafumilaga mulyulu. Kuyiniyo lulu, gadab’elelile ugulambwa. Gashinaga, idichiza ugulamba mamila.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina mito gab’ub’i, giti b’ushiya, wib’i, b’ugwiliji, na mihayo mingi iyo ili guti yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ajileke inhungwa jinijo ija ‘gulamba mamila.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwita ya bhub’i, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhob’o.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

KISWAHILI: KULAMBA MAKAMASI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulambaji wa makamasi. Makamasi hayo ni vitu vichafu vitokavyo puani. Kwa hiyo basi, havifai kulambwa.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mtenda maovu kama yale ya uzinzi, wizi, ubakaji na mengine mengi yafananayo na hayo. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, aziache tabia hizo za ‘kulamba makamasi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

drunk-1013898__340

 

ENGLISH: TO LICK NOSE MUCUS.

The source of the above saying comes from licking nose mucus. Mucus is regarded as something dirty coming from nostrils. Therefore, they should not be swallowed.

This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery, robbery, rape and many other similar things. That is why people can describe a person with such behaviour using the saying of ‘to lick nose mucus’ to mean living on dirty environment that cannot be appreciated by other people.

The saying teaches people to stop doing evils in order to maintain peace and harmony in the society.

Galatians 5: 19-21.

1 Corinthians 6: 18-19.

401. YASHINGA MU MINZI IDELAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhutalamu bho jisumva. Jilihoyi jigano ja bhanigini ijo jolechije chiza. Ijigano jinijo jihayile giki: lushugu lumo bhugigela wikindi bhutale kuli ntemi o ndimu, uyo ahayaga kugamana giki, ni nani alintalamu gukila pye.

Indilo ja munyanza ya Victoria jigaja jiligimba noyi giki jidulile gukinda, kunguno ijoyi jigikalaga muminzi. Ijoyi jahayaga giki jiduduma ugukinda. Gahayugiza mafumilo, jukindwa kihamo nu gwikala gojo makanza gose umuminzi.

Ingegelehya najo jigaja jajimaga masalu pye imimili yajo, jiza na ndilo ja bhululu umunhingo jajo, ng’wina najo na mafurushi ga nyama umumino gajo, na jingi ningi. Pye ijinijo jigapejiwa wangu.

Ahikanza linilo, jigiza hoyi ndimu guti: nguruwe, nguku, ndulu, jibhegelejaga chiza noyi, bho gwikula jela chiza mpaga jukinda, umuwikindi bhunubho.

Ubhulungwa bho lusumo lunulo bhuli hape: udiziiganikila ihali yako giki itoshije ugubhushigila ubhupandiki ubhutale. Igelelilwe wigulambije na udizibhudalaha uwigulambija bhunubho, kugiki udule gupandika, umubhuchoji bhoko.

Luka 3: 8-9.

Katika Luka 10: 25-37.

Luka 17: 11-19.

Mathayo 25: 31-46.

KISWAHILI: KUKAA MUDA MREFU NDANI YA MAJI SI KUTAKATA.

Chanzo cha methali hiyo hapo juu chaangalia asili ya usafi. Kuna hadithi kwa ajili ya watoto, ambayo ina maelezo kamili. Hadithi hiyo, inasema kwamba: siku moja ushindani mkubwa ulielekezwa kwa ufalme wa wanyama, ili kufahamu juu ya nani aliye msafi zaidi ya wote.

Samaki wa Ziwa Victoria walifika walijiona fahari sana kwa kujidhania kwamba, hawawezi kushindwa, kwa sababu wao wanaishi ndani ya maji. Matokeo yake, hawakujali usafi wao wakati siku kuu ilifika, wakashindwa.

Kaa nao walijitokeza wakiwa na mchanga pande zote za miili yao, samaki walio na rangi ya bluu shingoni mwao, mamba nao walifika na vifurushi vya nyama katika meno yao, na kadhalika. Wakafukuzwa haraka kwa kazi.

Wakati huo huo, wanyama kama vile: nguruwe, nyani na punda wafika wakiwa wamejiandaa vizuri sana, kwa kujisugua vizuri, kwa uchungu wa kutosha kujiosha kwa bidii, mpaka walishinda.

Mafundisho ni wazi: Usiifikirie hali yako kuwa inatosha kuyafikia mafaniko fulani bila kuwa na dibii yoyote, ili uweze kuyafikia hao unatakiwa kuwa na bidii.

Usipuuze bidii hiyo, ili kufanikiwa katika maisha iendeleze bidii hiyo mpaka uyafikie mafanikio hayo.

Luka 3: 8-9.

Katika Luka 10: 25-37.

Luka 17: 11-19.

Mathayo 25: 31-46.

fish1

ENGLISH: TO STAY A LONG TIME IN THE WATER DOES NOT MAKE YOU CLEAN.

The source of the above proverb looks the essence of cleanness.  There is a story for children, that has the details. It says: one day a great competition was addressed to the animal kingdom in order to find out who was the cleanest of all.

Fish of the Lake Victoria felt very proud by telling themselves that, because they live in the water, they cannot be defeated. As a result, they did not care about their cleanliness when the great day arrived.

Crabs presented themselves with sands all over their bodies, fish with algae around their necks, crocodiles with meat parcels between their teeth and so on. They were quickly dismissed.

Meanwhile, animals such as: pigs, monkeys or donkeys prepared themselves very well, by taking pains to wash themselves and were consequently winners.

The teaching is plain: Do not assume your condition is sufficient in order for you to reach a certain achievement. Do not neglect hard work in order to succeed.

Luke 3: 8-9.

In Luke 10: 25-37.

Luke 17: 11-19.

Matthew 25: 31-46.

fish