Sukuma Proverbs

402. GULAMBA MAMILA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulambi bho mamila. Amamila genayo gali maginhu mab’i ayo gagolechaga bhusoso. Agenayo gagafumilaga mulyulu. Kuyiniyo lulu, gadab’elelile ugulambwa. Gashinaga, idichiza ugulamba mamila.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina mito gab’ub’i, giti b’ushiya, wib’i, b’ugwiliji, na mihayo mingi iyo ili guti yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ajileke inhungwa jinijo ija ‘gulamba mamila.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwita ya bhub’i, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhob’o.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

KISWAHILI: KULAMBA MAKAMASI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulambaji wa makamasi. Makamasi hayo ni vitu vichafu vitokavyo puani. Kwa hiyo basi, havifai kulambwa.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mtenda maovu kama yale ya uzinzi, wizi, ubakaji na mengine mengi yafananayo na hayo. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, aziache tabia hizo za ‘kulamba makamasi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

drunk-1013898__340

 

ENGLISH: TO LICK NOSE MUCUS.

The source of the above saying comes from licking nose mucus. Mucus is regarded as something dirty coming from nostrils. Therefore, they should not be swallowed.

This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery, robbery, rape and many other similar things. That is why people can describe a person with such behaviour using the saying of ‘to lick nose mucus’ to mean living on dirty environment that cannot be appreciated by other people.

The saying teaches people to stop doing evils in order to maintain peace and harmony in the society.

Galatians 5: 19-21.

1 Corinthians 6: 18-19.

401. YASHINGA MU MINZI IDELAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhutalamu bho jisumva. Jilihoyi jigano ja bhanigini ijo jolechije chiza. Ijigano jinijo jihayile giki: lushugu lumo bhugigela wikindi bhutale kuli ntemi o ndimu, uyo ahayaga kugamana giki, ni nani alintalamu gukila pye.

Indilo ja munyanza ya Victoria jigaja jiligimba noyi giki jidulile gukinda, kunguno ijoyi jigikalaga muminzi. Ijoyi jahayaga giki jiduduma ugukinda. Gahayugiza mafumilo, jukindwa kihamo nu gwikala gojo makanza gose umuminzi.

Ingegelehya najo jigaja jajimaga masalu pye imimili yajo, jiza na ndilo ja bhululu umunhingo jajo, ng’wina najo na mafurushi ga nyama umumino gajo, na jingi ningi. Pye ijinijo jigapejiwa wangu.

Ahikanza linilo, jigiza hoyi ndimu guti: nguruwe, nguku, ndulu, jibhegelejaga chiza noyi, bho gwikula jela chiza mpaga jukinda, umuwikindi bhunubho.

Ubhulungwa bho lusumo lunulo bhuli hape: udiziiganikila ihali yako giki itoshije ugubhushigila ubhupandiki ubhutale. Igelelilwe wigulambije na udizibhudalaha uwigulambija bhunubho, kugiki udule gupandika, umubhuchoji bhoko.

Luka 3: 8-9.

Katika Luka 10: 25-37.

Luka 17: 11-19.

Mathayo 25: 31-46.

KISWAHILI: KUKAA MUDA MREFU NDANI YA MAJI SI KUTAKATA.

Chanzo cha methali hiyo hapo juu chaangalia asili ya usafi. Kuna hadithi kwa ajili ya watoto, ambayo ina maelezo kamili. Hadithi hiyo, inasema kwamba: siku moja ushindani mkubwa ulielekezwa kwa ufalme wa wanyama, ili kufahamu juu ya nani aliye msafi zaidi ya wote.

Samaki wa Ziwa Victoria walifika walijiona fahari sana kwa kujidhania kwamba, hawawezi kushindwa, kwa sababu wao wanaishi ndani ya maji. Matokeo yake, hawakujali usafi wao wakati siku kuu ilifika, wakashindwa.

Kaa nao walijitokeza wakiwa na mchanga pande zote za miili yao, samaki walio na rangi ya bluu shingoni mwao, mamba nao walifika na vifurushi vya nyama katika meno yao, na kadhalika. Wakafukuzwa haraka kwa kazi.

Wakati huo huo, wanyama kama vile: nguruwe, nyani na punda wafika wakiwa wamejiandaa vizuri sana, kwa kujisugua vizuri, kwa uchungu wa kutosha kujiosha kwa bidii, mpaka walishinda.

Mafundisho ni wazi: Usiifikirie hali yako kuwa inatosha kuyafikia mafaniko fulani bila kuwa na dibii yoyote, ili uweze kuyafikia hao unatakiwa kuwa na bidii.

Usipuuze bidii hiyo, ili kufanikiwa katika maisha iendeleze bidii hiyo mpaka uyafikie mafanikio hayo.

Luka 3: 8-9.

Katika Luka 10: 25-37.

Luka 17: 11-19.

Mathayo 25: 31-46.

fish1

ENGLISH: TO STAY A LONG TIME IN THE WATER DOES NOT MAKE YOU CLEAN.

The source of the above proverb looks the essence of cleanness.  There is a story for children, that has the details. It says: one day a great competition was addressed to the animal kingdom in order to find out who was the cleanest of all.

Fish of the Lake Victoria felt very proud by telling themselves that, because they live in the water, they cannot be defeated. As a result, they did not care about their cleanliness when the great day arrived.

Crabs presented themselves with sands all over their bodies, fish with algae around their necks, crocodiles with meat parcels between their teeth and so on. They were quickly dismissed.

Meanwhile, animals such as: pigs, monkeys or donkeys prepared themselves very well, by taking pains to wash themselves and were consequently winners.

The teaching is plain: Do not assume your condition is sufficient in order for you to reach a certain achievement. Do not neglect hard work in order to succeed.

Luke 3: 8-9.

In Luke 10: 25-37.

Luke 17: 11-19.

Matthew 25: 31-46.

fish

399. BHULAMANZUKU BHULI BHUBHI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigikalaga jisangab’alile. Ijisumva jinijo jigitaga yombo nhale aho jili. Jigab’ayoganijaga abhichajo mpaga bhaganogaga ugujidegeleka. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘bhulamanzuku bhuli bhubhi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga uyomba mamihayo wilaka lyahigulya. Umunhu ng’wunuyo agafunyaga mbisila ja bhiye, kunguno ya guyomba mihayo iyo idinasolobho. Agalisanyaga bhanhu bho kuyomba mihayo ya b’ulomolomo.  Alinsigani noyi umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhulamanzuku bhuli bhubhi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gighulya ya kuleka nhungwa ja bhuyombagani bho nyalomolomo, kugiki bhadule goya gubhalisanya abhichab’o. Yigeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhize na b’ulyehu bho gudula gwikala na bhanhu chiza.

Zaburi 34:14.

 Yakobo 3:16.

1 Petro 3:10.

KISWAHILI: UPAYUKAJI NI MBAYA.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kiumbe ambacho hupiga kelele sana pale kilipo. Kiumbe hicho huendelea kuongea kwa sauti kubwa kule kiendako, mpaka wale wanaokisikiliza hukerwa nacho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upayukaji ni mbaya.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaongea maneyo kwa sauti ya juu. Mtu huyo hutoa siri za watu kwa sababu ya uongeaji wake huo wa maneno mengi. Huchonganisha watu kwa kusema maneno ya uongo. Yeye husengenya watu pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upayukaji ni mbaya.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kupayuka maneno ya uongo maishani mwao, ili waweze kuacha kuwagombanisha wenzao. Yafaa watu hao wawe na upole wa kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao.

Zaburi 34:14.

 Yakobo 3:16.

1 Petro 3:10.

burundi-

 

ENGLISH: TOO LOUDLY TALKING IS BAD.

The source of the above proverb is looking at a creature that screams very loudly where it is. Such a creature keeps talking loudly in the direction it goes, until those listerning to it feel offended. That is why people can say ‘too loudly talking is bad.’

The proverb can be compared to a person who speaks loudly. Such a person is likely to affect other peoples’ privacy, antagonize others through false words. Such a person can be warned by telling him/her that ‘too loudly talking is bad.’

This proverb teaches people to avoid the habit of lying. They should not cause chaos to others rather be gentle enough to make people lead their lives in a peaceful manner.

Psalm 34:14.

James 3:16.

398. WIZA BHO BHULABHU BHUDALAMAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwiza bho bhulabhu. Ub’ulab’u bhunubho jiliginhu ijo jigazwaga jab’iza na b’ulab’u wiza, ulu litali likanza lya dilu, niyo jigalabhaga noyi. Aliyo lulu, ulu lyushiga iliknza ilya mhindi jigikunaga jab’ipila. Hungagwene abhanhu bhabayombaga giki. ‘wiza bho bhulabhu bhudalamaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo atali nyanda, nulu ng’waniki. Umunhu ng’wunuyo agab’izaga nab’u noyi. Aliyo lulu, ulu unamhala nulu, ulu ugiguluha, agoyoga ugulab’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wiza bho bhulabhu bhudalamaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gudilila wiza bho nhungwa ja ng’wa munhu kuleb’a, ubhulab’u bhokwe, ulu bhalihaya gwitola.

Ayubu 14:1-2.

1Petro 1:24.

KISWAHILI: UZURI WA UA HAUDUMU.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uzuri wa ua. Ua hilo ni kitu ambacho huota na kutoa ua ambalo hung’ara sana wakati wa asubuhi. Lakini ukifika muda wa jioni, huinama na kuwa baya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzuri wa ua haudumu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye bado ni kijana. Mtu huyo huwa anang’aa kwa maana ya kuwa na sura nzuri sana. Lakini akiwa mzee atakoma kung’aa, badala yake atainama na kuonesha sura mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzuri wa ua haudumu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujali uzuri wa tabia  ya mtu zaidi, kuliko ule wa sura yake, ili waweze kuwaelewa vizuri wenzao, hasa wale wanaotaka kuoana.

Ayubu 14:1-2.

1 Petro 1:24.

flowers

 

ENGLISH: THE BEAUTY OF FLOWER DOES NOT LAST.

The source of the above proverb comes from the beauty of the flower. It is a flower that grows and produces a flower that shines brightly in the morning. But when it is evening time, it withers up and becomes ugly. That is why people say ‘the beauty of flower does not last.’

The proverb can be compared to a person who is still a teenager. Such person is usually glowing in the sense of being handsome/beautiful. But when he/she is old he/she will stop shining, instead he/she will become ugly. That is why people say, ‘the beauty of flower does not last.’

The proverb teaches people that beauty is in one’s character, not in physical appearance. People, especially those planning for marriage, need to understand that in choosing a marriage partiner they have to consider their behaviour than beauty.

Job 14: 1-2.

1 Peter 1:24.

397. NGOKO JALEKANILA MAZUNZE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kumazunze ayo gali mawe gagung’wisija ngoko mingi. Amazunze genayo, gali mashimu gagudula gulang’hana minzi mingi. Ingoko ijo jigagang’welaga amazunze genayo, ulu jikenya jigalekanaga amang’welo gajo, kunguno jiditogagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingoko jalekanila mazunze.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhaludugu lumo. Abhanhu bhenabho ulub’iduma bhagoyaga nulu gwigisha. Hunawene bhagalenganijiyagwa ku ngoko ijo jikenya, bho guyomba giki, ‘ngoko jalekanila mazunze.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka widumi, kugiki bhadule gwikala na b’ichabho b’itogilwe na bho mholele, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 11:17-34,

Mathayo 10:34.

KISWAHILI: KUKU WAMEACHANIA MAWE YA KUNYWEA MAJI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye mawe ya kunyweshea kuku maji. Mawe hayo yana kina kirefu cha kutosha kutunzia maji hayo ya kuku. Kuku hao ambayo hunywea maji kwenye mawe hayo, wakigombana, hutengana hata sehemu hizo za kunywea maji kwa sababu hawapendani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kuku wameachania mawe ya kunywea maji.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanaundugu mmoja. Watu hao wakikosana huacha hata kusalimiana wakutanapo. Ndiyo maana watu huwafananisha na kuku waliogombana, kwa husema kwamba, ‘kuku wameachania mawe ya kunywea maji.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ugonvi ili waweze kuishi pamoja na wenzao kwa upendo na amani, maishani mwao.

1Wakorintho 11:17-34,

Mathayo 10:34.

hens drinking

ENGLISH: CHICKEN HAVE GIVEN UP SHARING THEIR DRINKING WATER STONES.

The source of the saying comes from chicken that stopped from sharing water drinking stones. The stones are deep enough to hold water for chicken to drink. The chicken sharing the water drinking stone can quarrel as a result they separate because they no longer like each other. In describing this scenario one can use the saying that ‘chicken have given up sharing their drinking water stones’ to communicate enemity among chicken.

The saying can be compared to those people within the family who quarrel to the extent of not greeting each other. To describe such people one can use this saying that ‘chicken have given up sharing their drinking water stones.’

The saying teaches people to stop fighting in order to bring about love and peace in families.

1 Corinthians 11: 17-34.

Matthew 10:34.