Sukuma Proverbs

640. WIBHANDILA HIGULYA OLOLELWA ULUGUKU.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile wibhandi bho ng’wa munhu ubho gulolelwa uluguku. Uwibhandi bhunubho, bhuli bho gubhisa mili gungi bho nduhu ugulubhisa uluguku, kunguno ya guduma ugwibhisa hasi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wibhandila higulya walolelwa uluguku.’

 Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe gubhalemba mhayo abhiye abho bhabhumanile ubhunhana bhogo. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga giki, abhiye bhenabho, bhadabhudebhile ubhunhana  bho mhayo uyo alibhalomela.

Uweyi agikolaga nu munhu uyo agibhandilaga higulya bho gululeka hanze uluguku ulo lugalolelagwa na bhiye, kunguno nuweyi agabadijiyagwa na bhanhu abho alibhalomela igiki, alibhalemba. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagang’wilaga giki, ‘wibhandila higulya walolelwa uluguku.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka bhulomolomo, bho guyomba mihayo iyo bhiyitilaga bhugengeji, kugiki bhadule gubhalomela mihayo ya ng’hana abhichabho, umuwikaji bhobho.

Matendo 5:1-12.

Mwanzo 3:1-14.

Luka 12:2.

Mathayo 12:29-32.

Mithali 28:13.

Yohana 18:15.

UMEJIFICHIA JUU UMEONEKANA KIBIYONGO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia kujificha kwa mtu aliyefika mwili kikaonekana kibiyongo chake. Kujificha kwa mtu huyo, ni kwa kuuficha mwili ng’wingine tu na kukiacha nje kibiyongo chake, kwa sababu ya kujifichia juu, badaya ya chini. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘umejifichia juu umeonekana kibiyongo.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda kuwadanganya watu kwa kuambia maneno wanayoyafahamu ukweli wake. Mtu huyo, hufikiria kwamba, wenzake hayo hawaufahamu ukweli wa maneno yale anayowaeleza.

Yeye hufanana na mtu yule aliyejifichia juu akaonekana kibiyongo, kwa sababu naye, uongo wake huonekana kwa wale anaowadanganya. Uongo huo, ni kama kibiyongo kinachoonekana kwa watu, kwa sababu watu hao wanaufahamu ukweli wa maneno anayowambia. Ndiyo maana watu hao, humwambia mtu huyo kwamba, ‘umejifichia juu umeonekana kibiyongo.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kusema uongo kwa kuwaambia watu maneno waliyoyafanyia utafiti, ili waweze kuwaeleza ukweli wenzao kwa ajili ya kuziendelea vizuri familia zao, maishani mwao.

Matendo 5:1-12.

Mwanzo 3:1-14.

Luka 12:2.

Mathayo 12:29-32.

Mithali 28:13.

Yohana 18:15.

bhanijeria

bisuki

black-man

 

ENGLISH: YOU HAVE HIDDEN YOURSELF IN AN OPEN SPACE, YOUR HUMP IS SEEN.

The source of this saying is a person who tends to hide himself/herself without knowing that he/she is seen by his/her enemies. This person can think that he/she has hiden himself/herself while in actual fact some parts of his/her body are easily seen. This is why people came with this saying that ‘you have hidden yourself in an open space, your hump is seen’ to mean failure to have secrets in life.

This saying can be compared to a person who loves to deceive people by telling lies. Such a person sometimes does not know that there are times he/she lies to people who know the truth of the matter. Those people who listen to his/her lies will consider him/her as someone who hides himself/herself in an open area and therefore easily seen by his/her enemies.

This saying teaches people to stop telling lies by telling people the words they have researched thus having scientific evidences before coming to conclusion about a certain phenomenon.

Acts 5: 1-12, Genesis 3: 1-14,Luke 12: 2,Matthew 12: 29-32, Proverbs 28:13, John 18:15.

639. BAHADI YAKO GUTI GWITEJA NONGU.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile witeja bho Nongu bho ng’wa munhu nhebhe. Uwiteja ubho nongu bhunubho, bhugabhizaga bhulambu noyi, kunguno inongu ili noni nhale gete, iyo igikalaga ng’wipolu. Kuyiniyo lulu, uyo uyiteja aguwiza alina bahati nhale noyi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki,  ‘bahati yako guti gwiteja Nongu.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganombaga Welelo umubhutumami bhokwe, na gunumbilija Weyi ulu opandika ijo olujilombaga. Umunhu ng’wunuyo, aganombaga Mulungu, kunguno adebhile igiki Uweyi huyo ali na bhudula bho gung’winha ijo alijilomba. Kuyiniyo lulu, uMulungu adulile gumpandikila bahati umunhu ng’wunuyo, ya gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, ulu ogutumama chiza umhayo gokwe, aganumbilijaga Mulungu, guti nu munhu uyo alina bahati ya gwiteja Nongu, kunguno nang’hwe agapandika bahati ya gwing’hiwa ijo ojilombaga.

Uweyi agabhalangaga nabhiye ahigulya ya kunomba Mulungu ulu bhalihaya gutumama milimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayipandika iyo bhaluyilombaga. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’ilaga giki umunhu ng’wunuyo, ‘bahati yako guti gwiteja Nongu.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gunomba Welelo haho bhatali uguitumama imilimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayimala chiza imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umukikalile kabho.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: UNA BAHATI KAMA KUGUNDUA ATAGIAPO MBUNI.

Chanzo cha methali hiyo, chaagalia ugunduaji wa pale atagiapo mbuni. Ugunduaji huo wa mahali pale anapotagia Mbuni, huwa ni mgumu sana kwa sababu ya ndege huyo mkubwa kuishi polini.

Kwa hiyo basi, yule agunduaje yalipo mayayi yake, huonekana kuwa na bahati kubwa, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘una bahati kama kugundua atagiapo mbuni.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humuomba Mungu atakapo kufanya kazi fulani, na kumshukuru Yeye afanikiwapo kuitekeleza kazi hiyo, maishani mwake. Mtu huyo, humuomba Mungu kwa sababu Huyo ndiye mwenye uwezo wa kumpatia kile anachokiomba. Kwa hiyo, Mungu aweza kumpatia mtu huyo, bahati ya kuimaliza vizuri kazi yake hiyo, na mafanikio mengi katika, maisha yake.

Mtu huyo, akifanikiwa vizuri kwenye kazi zake, humshukuru Mungu, kama yule aliyegundua pale atagiapo Mbuni, kwa sababu naye, humshukuru Mungu anapoikamilisha kazi yake, aliyomuomba, maishani mwake.

Yeye huwafundisha wenzake juu ya kumuomba Mungu kabla ya kutekeleza kazi au jambo fulani, na kumshukuru Yeye wanapofanikiwa kulitekeleza jambo hilo. Ndiyo maana watu hao, humwambia kwamba, ‘una bahati kama kugundua atagiapo mbuni.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kumuomba Mungu kabla ya kulitekeleza jambo wanalotaka kulifanya, na kumshukuru Yeye wanapolikamilisha, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

Nongu1

Nongu4

Nongu3

 

ENGLISH: YOU ARE LUCKY LIKE DISCOVERING WHERE AN OSTRICH LAYS HER EGGS.

The source of this saying is the place where an ostrich lays its eggs. Under normal circumstances, ostriches tend to lay eggs in the forest and hide them in such a way that they cannot be easily seen by other wild animals that are likely to destroy them. If it happens that a certain person manages to see the place where a certain ostrich lays its eggs then that person can be regarded as the lucky one in life. This is why people came with this saying that ‘You are lucky like discovering where an ostrich lays her eggs.’

This saying can be compared to a person who asks God for a certain specific help. Such a person will also pray to God after his/her mission has been accomplished. He/she has a big trust in God and therefore he considers Him as the provider of everthing one needs in life.

He teaches his/her fellows how to pray to God before carrying out any task and thank Him when they succeed in accomplishing it. This proverb teaches people to pray to God before doing whatever they want to do and thank Him when they have accomplished it. This habit of depending on God will make them become very successful members of the society.

Psalm 17: 8-9, Luke 17: 11-17, Luke 11: 5-13, Matthew 11:28.

638. LYUBA MBANDEBUTOLWA BHO NASSA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhudamu bho bhutolwa bho bhanhu bha Nassa. Ukubhanhu bhenabho abha Nassa, ubhutolwa bholi bhulambu noyi ikale. Gashinaga lulu, ugushiga munhu ugatolwa mumho lyubha lwake, kunguno yiniyo, ulu umo wabho utolwa olamyaga lyubha lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lyubha mbandebhutolwa bho Nassa.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga Lyubha lwakwe, ulu uhaya gutumama mhayo ntale, guti kutola, lunu gutolwa. Umunhu ng’wunuyo, agalombaga lyuka, nulu Mulungu, kunguno, adebhile igiki Uweyi huyo aimanile imyoyo ya bhanhu bhose. Kuyiniyo lulu, uMulungu adulile gupandikila bahati umunhu ng’wunuyo, ya gugumala chiza umaho gokwe gunuyo.

Umunhu ng’wunuyo, ulu ogutumama chiza umhayo gokwe, aganumbilija Mulungu, guti na bhanhu abha Nassa, abho bhagalumbaga Lyubha ulu bhapandika inhola, umukikalile kabho.

Uweyi agabhalangaga abhiye ahigulya ya kunomba Mulungu ulu bhalihaya gutumama milimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayipandika iyo bhaluyilombaga. Hunagwene ulu bhatumama chiza imilimo yabho, abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘‘lyubha mbandebhutolwa bho Nassa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gunomba Welelo haho bhatali ugiutumama imilimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayimala chiza mihayo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: NURU UNIHIFADHI KUOLEWA KWA WATU WA NASSA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye ugumu wa kuolewa wa watu wa Nassa. Watu hao wa Nassa, suala la kuolewa lilikuwa gumu sana hapo zamani. Kumbe basi, mtu akipata bahati ya kuolewa au kuoa, ali mshukuru yule aletaye mwanga ambaye ni Mungu, kwa kumwezesha kulikamilisha jambo hilo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, ‘nuru unihifadhi kuolewa kwa watu wa Nassa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humuomba Mungu akitaka kufanya kazi fulani, zikiwemo zile za kupata mchumba aliye mwema, maishani mwake. Mtu huyo, humuomba Mungu kwa sababu Huyo ndiye anayifahamu mioyo ya watu wote. Kwa hiyo, Mungu aweza kumpatia mtu huyo, bahati ya kuimaliza vizuri kazi yake hiyo, na kwa mafanikio makubwa.

Mtu huyo, akifanikiwa vizuri kwenye kazi zake, humshukuru Mungu, kama wale watu wa Nassa wanavyomshukuru Yeye kwa kuwawezesha kufunga ndoa, au kupata jambo walilolimba kwakwe, kwa sababu naye, humshukuru Mungu anapoikamilisha kazi yake, aliyomuomba.

Yeye huwafundisha wenzake juu ya kumuomba Mungu kabla ya kutekeleza kazi au jambo fulani, na kumshukuru Yeye wanapofanikiwa kulitekeleza jambo hilo. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘nuru unihifadhi kuolewa kwa watu wa Nassa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kumuomba Mungu kabla ya kulitekeleza jambo wanalokata kulifanya, na kumshukuru Yeye wanapolikamisha, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

african-2

girl-madagascar

prayer

 

ENGLISH: GETTING MARRIAGE FOR THE NASSA PEOPLE NEED GOD’S GRACE.

The source of this saying is the Nassa people and how they struggle to get married. In the past, it was very difficult for people coming from a place called Nassa to get married. Much as they were struggling to get partners for marriage, it was not easy to accomplish the marriage mission. If one of them managed to get married then she/he was considered to be blessed.

This saying can be compared to a person who prays to God for a specific help, including getting a good and life-long bride. This person knows the power of God and therefore entrusts Him his/her needs with hope that they will be resolved and with great success. This person, like the Nassa people, is thankful to God because He enables him/her fulfill his/her ambitions. He/she teaches other people about the power of prayers and respect to God in order to have a successful life.

This proverb teaches people to pray to God before doing what they want to do. They also need to thank Him when they have accomplished it. When they do so, they can have good achievements in their societies.

Psalm 17: 8-9, Luke 17: 11-17, Luke 11: 5-13, Matthew 11:28.

635. MBISILA YA NCHI AIMANILE UYO ALING`OJA.

Imbuki ya lusumo lunuo, yilolile bhoja bho nchi, nulu mimba go munhu. Ubhoja bho mimba bhunubho, bhugang’wenhelejaga ung’oja gumana mbisila ningi ija mimba gokwe umunhu uyo ozumalikaga ng’wunyo.

Imbisila jinijo, jigambilijaga ugudebha umo wikalilaga unjimiji, umushigu ja bhulamu bhokwe. Ung’oja okwe ng’wunuyo, agajilang’hanaga imbisila jinijo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailanghana chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira ja kaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’oja o nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho jinijo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: SIRI YA MAITI AIJUAYE MWOSHA.

 Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uoshaji wa maiti. Uoshaji huo wa maiti, humwezesha yule anayeosha kuzifahamu siri ya marehemu, kwa sababu ya kupata nafasi ya kumuangalia mwili mzima.

Siri hizo husaidia kuyaelewa maisha ya marehemu huyo yalivyokuwa katika enzi za uhai wake. Yeye huzitunza sili hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitunza vizuri siri za ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mwoshaji wa maiti azitunzaye siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzitunzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

active couple

couple africans

family kids

ENGLISH: THE CLEANER KNOWS THE SECRET OF THE DEAD.

The foundation of the overhead proverb is the washing of dead bodies. This cleaning of the corpse enables the one who washes them to discover the mystery of the deceased, because he/she gets an opportunity to look at the whole body.
Such secret helps to understand the deceased’s life during his/her lifetime. He/she takes care of those jewels, in lifetime. That is why people say, ”the cleaner knows the secret of the dead.’

Such proverb is compared to the man who takes good care of secrets of his family, in his life. Such man does not speak to any person his family’s words, because he knows how to keep his family secret. He builds his family well by living happily with others, in their lives.

The man is like a corpse cleaner who treats the mysteries of the dead, because he also builds his family well, by keeping his family’s secret, in his life.
In his own life, he teaches his family members on how to build their families, by taking good care of the secrets of their families. That is why he tells people, ‘the cleaner knows the secret of the dead.’

This proverb imparts in people an idea on how to properly build their families, by safeguarding their secrets, in their lives, so that they can live happily with others, in their lives.

Proverbs 25: 9.
Daniel 2:22.
Luke 8:10.
Colossians 1: 26-27.
1Corinthians 15:51.
Ephesians 1: 9.

634. KABHAMBILE KA NG´OMA KAMANILWE MAMBI WAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhambi bho ng’oma. Ubhubhambi bho ng’oma bhunubho, bhugikalaga bhulekanile, kunguno abhabhambi bhenabho, bhuli ng´wene, ali na kabhambile kakwe ako kali heke na kab´iye.

Abhoyi bhagatulaga ginhu, umugati ya ng´oma yiniyo, ijo bhagajitanaga liana lya ng´oma. Iginhu jinijo, igabhizaga siri ya mambi, nulu kamanwa mambi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailang’hanaga chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira hakaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mambi o ng’oma uyo gajilang’hanaga imbisila ja nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe.

Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: NAMNA YA KUZIBA NGOMA ANAFAHAMU ANAYEZIBA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uzibaji wa ngoma. Uzibaji huyo wa ngoma, hutofautiana, kwa sababu ya wazibaji hao kuwa kila mmoja ana namna yake ya kuziba, ambayo nitofauti na za wenzake.

Wao huweka kitu ndani ya ngoma waliyoiziba, kinachoitwa, toto la ngama. Kitu hicho, ni siri ya mzibaji wa ngoma hiyo, ambayo hufahamika kwa yule aliyeiziba peke yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzilinda vizuri siri za  ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mzibaji wa ngoma anayezitunza siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha watu namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzintuzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

ng'oma

ng'oma1

ng'oma5

 

ENGLISH: HOW TO MAKE A DRUM IS ONLY KNOWN BY THE DRUM MAKER.

The source of this proverb is a drum and the way it is overlayed. The way one drum can be overlayed can differ from one to another, depending on its maker. The makers of drums have different artifacts in decorating them and ensuring that they produce a certain sound of their choice. This secret about what has been used to decorate the drum is only known by the maker of that drum. This is why people came with this proverb that ‘How to make a drum is only known by the drum maker.’

This proverb can be compared to a person who protects the privacy of his/her family.This person does not like revealing family secrets in public. Such a person will be able to build his/her family well by living happily with others in their lives. Like the drum maker, this person will ensure that the family is solid enough and has a good reputation by hiding some of the family issues that are likely to affect the general society’s welfare.

This person also teaches others about family unification and respect by having family secrets.

This proverb teaches people about how to properly build their families by concealing secrets that are likely to affect the society or damage the family’s reputation.

Proverbs 25: 9, Daniel 2:22, Luke 8:10, Colossians 1: 26-27, 1Corinthians 15:51, Ephesians 1: 9.