Sukuma Proverbs

664. KUBHELA KUBHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ginhu kubhanhu bhalebhe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho kulwande lobho duhu, kunguno abhoyi bhahayile giki, imisoga ibhize kubhoyi duhu, abhangi bhayigayilwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bha ‘kubhela kubho.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhahayile bhapandike bhoyi duhu, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhalina wilu bhogutumama milimo yabho iyo idulile gubhambilija ugupandika matwajo mengi abhoyi, kunguno bhadatogilwe igiki bhagapandike, abhichabho. Abhoyi ulubhigwa giki bhapandikaga ginhu jawiza abhichabho, bhagakolagwa, kunguno ya wilu bhobho bhunubho.

Abhanhu bhenabho, bhiyikolile nabho bhahayile giki, bhabheje bhoyi duhu, kunguno nabhoyi bhagakolagwa ulu bhapandika jawiza abhichabho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagabhalanjaga bhugugu abhanhu bhabho, kunguno ya wilu bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bhatogilwe ‘kubhela kubho.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka wilu bho gubhadakila abhichabho abho bhapandikaga jawiza, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umukikalile kabho.

Luka 18:10-11.

Zaburi 73:1-4.

KISWAHILI: BORA KWAO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utengenezaji wa kitu kwa watu fulani. Utengenezaji huo, ni wa upande wao tu, kwa sababu wao wanataka mafanikio mengi yawe kwao, na wengine wayakose. Ndiyo maana watu hao hutaka hali iwe ‘bora kwao.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hutaka wapate wao tu, katika maisha yao. Watu hao, wana wivu wa kufanya kazi zile zinazoweza kuwasaidia kupata mafanikio wao, kwa sababu wao hawapendi wenzao, wafanikiwe. Hivyo wao wakisikia kwamba, wenzao wamepata mafanikio, huchukia mioyoni mwao, kutokana na wivu huo walio nao.

Watu hao, hufanana na wale watakao kupata mafanikio mengi wao tu, kwa sababu nao huchukia wanapofanikio wenzao, katika maisha yao. Wao huwafundisha watu wao kuwa na wivu huo, kwa sababu ya mifano yao wanayowaonesha. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba wao hutaka hali iwe ‘bora kwao.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha wivu wa kuwachukia wenzao wanaopata mafanikio, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao hao, maishani mwao.

Luka 18:10-11.

Zaburi 73:1-4.

egoism

selfish ones

selfish ones.jpg2ENGLISH: THE BEST IS FOR THEM.

The source of this saying is the production of a certain product to be used by a certain group of people. Those people would like to have that product for their own use because they want more success in life. This is why people can describe individuals with such a behaviour using the saying that ‘the best is for them.’

The saying can be compared to those people who want something for their own benefits without considering others. Those people are envious of doing tasks that can help them to achieve their success. In case they hear others to have achieved in their lives, they hate them out of jelous. They therefore teach people to be jelous in life.

This saying teaches people to give up the behaviour of being jelous rather they have to respect other peoples’ achievements and use them as challenges for their struggle in life.

Luke 18: 10-11. Psalm 73: 1-4.

663. WINGI BHO MIHAYO BHUDABHEJAGA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kuwingi bho mihayo aha bhanhu bha hakaya ndebhe. Uwingi bho mihayo bhunubho, bhuli bho guduma ugwidegeleka chiza, kunguno bhuli ng’wene, agamagana uyomba mhayo gokwe. Imihayo yiniyo igabhejaga yombo ya guduma ugwiigwa chiza aha kaya yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagikalaga bhuyoga aha kaya yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagituulaga bhumani bho bhuli ng’wene gulema ugwiigwa imihayo ya bhiye, kunguno ya guhaya adegelekwe weyi duhu. Abhoyi bhagadumaga nulu gutumama kihamo imilimo yabho, kunguno ya gubhiza bhuli ng’wene na nimo gokwe, uyo aligubhona gusoga, umumiganiko gakwe. Ikaya yiniyo nose igasalambanaga, kunguno ya bhuyogi bhunubho ubho guduma nulu gwiigwa.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu abho bhali na mihayo mingi aha kaya yabho, kunguno nabho bhali na mihayo mingi, iyo igabhenhelejaga guyoga aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwizunilija gutumama milimo yabho kihamo, kugiki bhadule gujibheja chiza kaya jabho, umukikalile kabho.

Daniel 3:8-18.

1 Wakorintho 13:1-8.

Zaburi 46:10.

Yohana 6:1-5.

Yakobo 1:19.

Mathayo 7:21.

Mathayo 11:28.

Yakobo 2:14.

Mathayo 28:20.

KISWAHILI: WINGI WA MANENO HAUTENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye wingi wa maneno ya watu walioko kwenye familia fulani. Wingi huo wa maneno ni wa kushindwa kusikilizana kwa sababu ya kila mmoja kuendelea kuongea neno lake. Maneno hayo huleta kelele ya kushindwa kuelewana vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwa wanazozana kila wakati kwenye familia yao, katika maisha yao. Watu hao, hujitia kujua zaidi kila mmoja kwa kukataa kuwasikiliza wenzake, kwa sababu ya kutaka asikilizwe yeye tu.

Wao hushindwa hata kufanya kazi kwa ushirikiano, kwa sababu ya kujikuta kila mmoja ana kazi yake mwenyewe, ambayo huiona kuwa ni ya maana kuliko zile wanazofanya wenzake. Mwishowe, familia hiyo husambalatika kwa sababu ya kelele hizo za kushindwa kuelewana.

Watu hao, hufanana na wale wenye maneno mengi kwenye familia yao, kwa sababu nao hawa, wana maneno mengi, ambayo husababisha wao kuzozana kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kukubaliana kufanya kazi kwa umoja, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Daniel 3:8-18.

1 Wakorintho 13:1-8.

Zaburi 46:10.

Yohana 6:1-5.

Yakobo 1:19.

Mathayo 7:21.

Mathayo 11:28.

Yakobo 2:14.

Mathayo 28:20.

bhakima wa africa

zulu-youths war dance

ugulilu

 

ENGLISH: TOO MUCH WORDS DO NOT BUILD A FAMILY.

The source of this proverb is too much words that come from a certain family. When people in a family speak too much it becomes not easy to listern or understand each other. It rather leads to misunderstanding. People can describe this scenario using the proverb that ‘too much words do not build a family.’

This proverb can be compared to those people who are constantly in conflict in their families. Such people tend not to listern to others but to be listerned. They also fail to work together because each one of them will tend underrate the other’s work and consider his/hers to be more important than others. Eventualy, a family of this nature can easily disintegrate because of failing to have common goals. Some of them will appear to be more wordy and force to silence others.

This proverb teaches people about harmony by agreeing to work together. This can enable them to have success in life and take good care of their families.

Daniel 3: 8-18. 1 Corinthians 13: 1-8. Psalm 46:10. John 6: 1-5. James 1:19. Matthew 7:21. Matthew 11:28. James 2:14. Matthew 28:20.

661. WENE BUHOMO BHO NAMHALA BHUDAB´EJAGA KAYA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuhomo bho namhala oha kaya ndebhe. Uhomo bhunubho bhuli bho bhugayiwa  amasala ayo gadulile gumwambilija uguibheja ikaya yakwe, unamhala ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejaga kaya.’

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiiganikaga weyi duhu bhung’wene, kunguno ya masala gakwe ayo gadadulile uguilanghana chiza ikaya yakwe. Uweyi nulu agapandika sabho agajimalilaga mugujing’wela walwa, lakini kaya yakwe adina jiliwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu bhuhomo, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho jabho, bho nduhu uguidilila ikaya yakwe. Uweyi adadebhile ugubhalanga akikalile akawiza abhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejega kaya.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na masala gagujilanghana ikaya yabho, bho gujitumila chiza isabho jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

KISWAHILI: HUYO NI PUNGUANI WA MZEE HATENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia upunguani wa mzee wa familia fulani. Upunguani huo, ni wa kukosa akili ya kuweza kumsaidia mzee huyo katika kuijenga vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huziharibu hovyo mali zake, maishani mwake. Mtu huyo, hujifikiria yeye mwenyewe tu, badala ya kuwafikiria watu wake, kwa sababu ya akili yake isiyoweza kuitunza familia yake hiyo. Yeye akipata mali, huzimalizia kwenye matumizi ya hovyo, yakiwemo yale ya kuzinywea pombe, badala ya kuisaidia familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na upunguani wa mzee, kwa sababu naye huziharibu hovyo mali zake, bila kuijali familia  yake hiyo. Yeye hafahamu kuifundisha familia yake mwenendo ulio mwema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuzilinda familia zao, kwa kuzitumia mali zao katika kuzitunza vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia hizo, maishani mwao.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

mhini

basketball

man-traditional one

ENGLISH: THAT’S STUPIDITY OF AN OLD MAN WHICH DOESN’T BUILD A FAMILY

The source of this saying is an old man who appears to be idiot. This makes the old man fail to take control of his family. To describe such an old man, people came with the saying that ‘that’s stupidity of an old man which doesn’t build a family.’

The saying can be compared to a person who wastes his property in his/her life. One can be thinking about himself/herself with no consideration of others who might be, in one way or the other, helpful to him/her in future. If such people get wealth they recklessly spend them, for example, through drinking alcohol and other unplanned uses instead of helping their families. In so doing, they set a bad example to their children thus destroying their future.

The saying teaches people about having the mind to protect their families. People need to use the available resources in order to take good care of their families.

Jeremiah 4:22. Ecclesiastes 10: 3. James 1: 4. James 1: 5.

658. NGOSHA NG´WIYO ADUGUB´EGEJA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ngosha aha kaya yakwe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho gutumama milimo iyo idulile guyibheja chiza ikaya yiniyo, kunguno uweyi atiho gubhegejiwa ikaya yakwe na ngosha oha bhuzenganwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalindilaga gwambilija na bhanhu bha kungi, uguyibheja ikaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gulomba wambilijiwa bho guitumama imilimo iyo adulile guimala nulu weyi ying’wene. Uweyi adadebhile igiki bhuli ng’wene ali na milimo ya guitumama aha ng’wakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gwisagilwa bhanhu bhahabhuzengangwa, giki bhagung’wambilija uguitumama imilimo yakwe yiniyo.

Uweyi agimanilaga amakanza agamilimo gamalaga gubhita, kunguno ya bhulindikiji bho gwambilijiwa uguitumama imilimo iyo nuweyi ayidulile uguimala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija uguitumama imilimo yabho iyo bhayidulile, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

KISWAHILI: MWANAMUME MWENZAKO HATAKUTENGENEZEA MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uendelezaji wa mwanamume katika familia yake. Uendelezaji huo, ni wa kuyatekeleza majukumu yake, bila kusubiri kusaidiwa na ng’wingine kwenye kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzifanya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwanamume mwenzako hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye husubiri kusaidiwa na watu wengine katika kufanya kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzitekeleza, maishani mwake. Mtu huyo, hupenda kuomba msaada wa kusaidiwa kutoka kwa wenzake, hata kwenye majukumu yale anayoyaweza kuyamaliza mwenyewe. Yeye hafahamu kwamba, kila mmoja ana majukumu ya kufanya kwenye familia yake.

Mtu huyo, hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kutegemea msaada wa majirani au watu wengine, katika kuzitekeleza kazi anazoziweza hata kuzimaliza yeye peke yake.

Yeye hushitukia muda wa kufanya kazi umepita bila kufanya kazi yoyote, kwa sababu ya kutegemea majirani wamfanyie kazi alizo nauwezo nazo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mwanamume mwenzako, hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zile wanazoziweza, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

man-ng'wiyo

man ng'wiyo2

man ng'wiyo1

ENGLISH: YOUR FELLOW MAN WILL NEVER BUILD YOUR FAMILY.

The source of this proverb is a man who struggles to build his own family. This man can be dedicated to carry out his duties in a manner that makes his family get enough food for their survival. He struggles to be self-sufficient in life and avoid to depend on others because he knows that ‘your fellow man will never build your family.’

This proverb can be compared to a person who is waiting to be helped by others in doing his work, even those works which he can do by himself. Such people depend on others as they can beg in order to sustain their lives and those of their family members. People of this nature need to be warned against this behaviour because it can cause chaos to their neighbours. They need to understand that each individual person has his/her own responsibilities.

The proverb teaches people to be self-sufficient by working hard. They don’t have to depend on others. If they work hard to sustain their families they would be in a better position of nurturing their families in a very promising manner.

Ezekiel 34:10. Ezekiel 34:15. Galatians 6: 5. Matthew 7: 13-14.

657. NATIZILE GUBHEJA LINA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubheja bho lina. Ubhubheja bho lina bhenabho, bhuli bhogutumama milimo iyo  yiliyawiza aha kaya. Gashinaga lulu, uyo alemile ugutumama imilimo uyawiza yiniyo, agaikolanijaga na bhubheja bho lina duhu, kunguno uweyi alingokolo uguitumama imilimo iyo idulile guibheja chiza, ikaya yakwe. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, ‘natizile gubheja lina.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugumama imilimo guti iyagulima, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gwigasha hakaya bho nduhu nimo gosegose, kunguno ya bhugokolo bhokwe. Uweyi adulile nulu gulikolola iligembe lyakwe, kunguno ya kuchola wasa bho gwifula, kugiki ulu bhalitumama abhiye, uweyi amane ulibheja iligembe linilo.

Umunhu ng’wunuyo, agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe, kunguno ya kugaiwa ijiliwa bhuli makanza. Uweyi agikalaga bho gwilombeleja ijiliwa ukubhanhu abho bhagigulambijaga uguitumama chiza imilimo yabho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ayilemile imilimo iya wiza, kunguno nuweyi alemile uguitumama imilimo yakwe, iyo idulile gung’wingija amakoye, umuwikaji bhokwe. Abhanhu abho bhandebhile igiki alingokolo ugulima, bhagankomelejaga gutumama milimo chiza.  Aliyo uweyi agalemaga bho guyomba giki, ‘natizile gubheja lina.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 11:46.

Mathayo 23:3-4.

Yohana 4:38.

KISWAHILI: SIKUJA KUTENGENEJA JINA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye utengenezaji wa jina. Utengenezaji huo, ni wa kuutumia muda katika kuufanyia kazi njema. Kumbe basi, yule asiyetaka kuzifanya kazi hizo njema, huzifananisha kazi hizo kama utengenezaji jina tu, kwa sababu ya uvivu wake wa kuzitekeleza kazi zile ziwezazo kuiendeleza vizuri familia yake. Ndiyo maana mtu huyo, hukataa kufanya kazi kwa kusema kwamba, ‘sikuja kutengeneza jina.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kuyatekeleza majukumu yale yawezayo kuijenga vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kukaa nyumbani bila kufanya kazi yoyote, kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi. Yeye hujisingizia kama anatengeneja jembe wakati wa kufanya kazi ya kulima, kumbe anatafuta muda wa kupumzika. Pia aweza hata kulilegeza jembe lake, ili apate muda wa kupumzika wakati analitengeneza jembe lake hilo, maishani mwake.

Mtu huyo, husumbuliwa na tatizo la njaa nyumbani kwake, kwa sababu ya kukosa chakula. Yeye huishi kwa kuomba chakula kutoka kwa wale wanaolima kwa bidii, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule asiyetaka kufanya kazi, kwa sababu naye ni mvivu katika kufanya kazi, maishani mwake. Watu wanaoifahamu tabia yake hiyo ya uvivu, humuonya ili aweze kuiyacha tabia hiyo. Lakini yeye hukataa kwa kusema kwamba, ‘sikuja kutengeneza jina.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi yanayotosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 11:46.

Mathayo 23:3-4.

Yohana 4:38.

women1

women2

women3

ENGLISH: I DID NOT COME TO MAKE A NAME.

The source of this saying is a person who would like to be known because of his/her own abilities in doing something. This person will have to spend much of the time doing what he/she thinks at the end of the day will make his/her name. On the contrary, lazy people can ridule those hard working people by telling them that they didn’t come to make a name. Such lazy people can do whatever they think can make them not spend much energy in doing their works.

This saying can be likened to a lazy person who avoids his/her family responsibilities. Such a person can just stay home without working and, at the end of the day, he/she suffers for not having food to sustain his/her family. People of this nature can have several tricks of avoiding work. They can deliberately sit down and beginning nursing a child while his/her fellows go on with working, they can also losen the handle of the hoe deliberately in order to rest, and so many other means of justifying their restiness. When these lazy people are asked as to why they do so the simple answer can be ‘I didn’t come to make a name.’

The proverb teaches people to work hard in order to fulfill their responsibilities. In so doing they will be able to supply their families with needs and at the right time.

Luke 11:46. Mathew 23: 3-4. John 4:38.