Bhalihoyi bhanhu bhabhili abho bhalimugendo lo guja halebhe, ukunhu bhalilomela. Aliyo abhanhu bhenabho, bhalibhatuubha noyi. Uumo obho agang’wila ung’wiye, ‘dugupandikila heyi ijiliwa?’ Ung’wiye agashosha, ‘dujage aha kaya iyaho.’ Nang’hwe agashosha, ‘nahene dujage.’
Aho bhashika aha kaya yiniyo, bhagazugilwa jiliwa ijo bhagajilya mpaga bhujileka. Uumo uyomba, ‘ulu uliha kaya yiniyo, udiyigwa nzala.’ Nu ng’wiye ushosha, ‘ng’hana, kunguno aho dali kule ni kaya yiniyi, dali dutubhile noyi.’ Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba ulu kaya yubhazugila jiliwa ja gulya na gujileka, giki, ‘ha ng’wa lutubhila kule.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga chiza abhageni na kubhalisha jiliwa bho wizang’holo.’ Giko lulu, ulu ulinang’hwe umunhu ung’unuyo, udutubha, kunguyo uweyi ali ‘ha ng’wa lutubhila kule.’ Rejea Kueneza Injili kwa Methali, bhukurasa bho 38.
Ijitabho jinijo jigandikwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizang’holo bho gubhakaribhusha bhageni na kubhabhegeja jiliwa, kugiki bhadule gulya na kupandika nguzu ya gusimiza mpaga gushika uko bhajile, umulugendo lobho chiza.
Igelelilwe gubhitila yawiza abhigisu. Bhuli ikanza ilo dulibhitila ya wiza abhigizu, dugung’witilaga Yesu Kristo iya wiza yiniyo. UYesu obhitilaga yawiza abhanhu, umuwikaji bhokwe.
Ijinagongeja, ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya Ng’wa Yesu uyo agabhalishaga jiliwa, ijo jili mili na mininga gakwe, umu Isakramenti lya Ekaristi Nhagatifu.
Undimi untengeke agabhalishaga abhanhu jiliwa, bho gubhalanga Mhayo go Mulungu, uyo gugabhinhaga bhupanga. UYesu Kristo, hung’wene uyo ali ‘ha ng’wa Lutubhila gule.’ Ukwene huguhaya giki, ahali Uweyi bhagatubhilaga kule. Uyo agajaga kuli Weyi adubhona inzala. Uyo alinzunya Weyi, adiigwa inota gete. Rejea Kueneza Injili kwa Methali, bhukurasa 39.
Isaya 25:6.
Ezekekieli 34: 1-2.
Marko 6:41-44.
Yohane 10:9-10.
Yakoko 2:15-17.
Luka 10:30-37.
Mathayo 25:31-46.
KISWAHILI: KWAKE NJAA IKO MBALI.
Kulikuwa na watu wawili waliokuwa safarini kuelekea sehemu fulani. Lakini watu hao walijisikia njaa sana. Mmoja akamuuliza mwenzake, ‘tutapata wapi chakula?’ Mwenzake akajibu, twende kwenye familia ile pale.’ Naye akajibu, ‘sawa twende.’
Walipofika kwenye familia hiyo, walipikiwa chakula ambacho walikila mpaga wakatosheka na kukiacha. Mmoja akasema, ‘ukiwa kwenye familia hii, huwezi kujisikia njaa.’ Naye mwenzake akasema, ‘kweli kwa sababu tulipokuwa mbali na hapa tulijisikia njaa sana.’ Ndiyo maana watu wakaanza kusema kwenye familia ile waliokula chakula na kusaza kwamba, ‘kwake njaa iko mbali.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anawapokea wageni na kuwalisha chakula kwa ukarimu. Hivyo ukiwa naye mtu huyo, huwezi kujisikia njaa, yaani ‘kwake nja iko mbali.’ Rejea Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 38.
Kitabu hicho, kiliandikwa na watafiti ambao ni: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni na kuwaandalia chakula, ili wageni hao waweze kula na kupata nguzu za kuwawezesha kuendelea na safari yao vizuri.
Yatupata kuwatendea wenzetu mema. Kila tunapomtendea mwenzetu mema tunamtendea mema Yesu Kristo. Kila tunapokosa kumtendea mwenzetu mema, tunakosa kumtendea Yesu Kristo mema hayo. Yesu alikuwa mtu aliyetenda wema kwa wengine.
Zaidi ya hayo, methali hiyo, yatufundisha juu ya Yesu Kristo anayetulisha na kutushibisha chakula, yaani mwili na damu yake katika Sakramenti ya Ekaristi Takatifu.
Mchungaji mwema huwalisha watu chakula, yaani huwafundisha neno la Mungu linalowapatia watu wokovu. Yesu Kristo ndiye “lutubhila kule,” yaani kwake njaa iko mbali. Anayekwenda kwake hataona njaa. Anayemwamini Yeye hataona kiu kamwe. Rejea kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 39.
Isaya 25:6. “Na katika mlima huu Bwana wa Majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.”
Ezekekieli 34: 1-2. “Neno la Bwana likanijia kusema, mwanadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli, toa unabii, uwaambie, naam hao wachungaji Bwana Mungu asema hivi, ole wao wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je, wachungaji kuwalisha kondoo?”
Marko 6:41-44. “Kisha Yesu akatwa ile mikate mitano na wale sakaki wawili akatazama juu mbinguni akamshukuru Mungu, akaimeja mikate, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu na wale samaki wawili pia. Akawagawia wote, watu wote wakala wakashiba wakaokota mabaki ya mikate na samaki pia, wakaja vikapu kumi na viwili.”
Yohane 10:9-10. “Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na atapata malisho.”
Yakoko 2:15-17. “Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula. Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: Nendeni salama, mkaote moto na kushiba bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha?”
Luka 10:30-37. “Mfano wa Msamalia Mwema.”
Mathayo 25:31-46. “Hukumu ya Mwisho.”
ENGLISH: IN THIS FAMILY YOU CANNOT SUFFER FROM HUNGER.
There were two people traveling to a certain place. It reached a point when these two travelers felt hungry and they were in need of food. One of them asked the other, ‘Where can we get food?’ The other replied, let’s go to the family over there. ‘ When they arrived at that particular family, they were given food and ate to their satisfaction. After eating, the travellers said that, in ‘this family you cannot suffer from hunger.’
This saying can be compared to a kind person who welcomes others during needy times. This person is generous enough to others and he/she would not like seeing others suffer because of lacking something in life (Refer to Kueneza Injili kwa Methali which means ‘Spreading the Gospel through Proverbs,’ page 38). This book was written by Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1984.
The saying teaches people about the generosity and hospitality. People have to be kind to others in their lives. When we do good to others it means we are doing good to Jesus Christ. Whenever we fail to do good to one another, we fail to do good to Jesus Christ. Jesus was a man who did good to others.
Furthermore, the saying teaches us about Jesus Christ who nourishes and satisfies us with food, that is, his flesh and blood in the Sacrament of the Holy Eucharist.
The good shepherd feeds the people, that is, teaches them the word of God for salvation. In Jesus Christ there is no hunger. Whoever goes to Him will not be hungry. He who believes in Him will never feel thirsty (Refer to ‘Spreading the Gospel in Proverbs,’ page 39).
Isaiah 25: 6. Ezekiel 34: 1-2. Mark 6: 41-44. John 10: 9-10. James 2: 15-17. Luke 10: 30-37. Matthew 25: 31-46.