Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhupi bho ng’wa munhu. Umunhu uyo aliopi ng’wunuyo, nulu agab’iza alio wiza, aliyo ukubhangi, aguhayiwa giki ali opi noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wapi adabhelaga.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijagwa kuli munhu uyo alina ng’holo ya wiza, umukikalile kakwe, aliyo ilihanga lwake lililya bhubhi. Umunhu ng’wunyo, agitaga mihayo ya wiza ukubhuye iyo ilikihamo niya gubhambilija abhanhu abho bhali mumakoye. Uweyi agikalaga na bhanhu chiza bho nduhu ugubhakomanya, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wuniyo agikolaga nu wapi uyo adabhelaga, kunguno nuweyi ali ni hanga libhi, aliyo ing’holo yakwe iliyawiza, iki agabhambilijaga abhiye abho bhalimukoye.
Aliyo lulu, kihamo ni ng’holo yakwe iyawiza yiniyo, abhangi bhagang’wilaga giki, alini hanga libhi noyi, guti nu opi uyo aliyowiza, aliyo agawilagwa, giki, ‘aliopi noyi.’ Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wapi adabhelaga.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo ya wiza ya gwikala na bhanhu bho nduhu ugubhakomanya, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Zaburi 22:6-8.
Wimbo ulio bora 1:5-6.
Ayubu 30:30.
Maombolezo 4:8.
2 Wakorintho 4:16.
KISWAHILI: MWEUSI HAWI MZURI.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia weusi wa mtu. Mtu huyo ambaye ni mweusi, hata kama atakuwa mzuri, lakini kwa wengine, atasemwa kuwa ni mweusi mno. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mweusi hawi mzuri.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana moyo mzuri, katika maisha yake, lakini sura yake ni mbaya. Mtu huyo, hutenda matendo mema kwa wenzake, yakiwemo yale ya kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo. Yeye huishi na watu vizuri bila ubaguzi, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na mweusi, ambaye huambiwa kuwa ni mweusi mno hata kama sura yake ni mzuri, kwa sababu naye sura yake ni mbaya, lakini moyo wake ni mzuri, kwa vile huwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo.
Lakini pamoja na moyo wake huo kuwa mzuri, wengine humwambia kuwa ana sura mbaya mno, kama anavyoambiwa yule mtu mweusi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mweusi hawi mzuri.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo mwema wa kuishi na watu bila kuwabagua, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Zaburi 22:6-8.
Wimbo ulio bora 1:5-6.
Ayubu 30:30.
Maombolezo 4:8.
2 Wakorintho 4:16.
ENGLISH: A BLACK PERSON DOES NOT BECOME DECENT.
The source of this proverb is blackness. A person with black colour is always looked at in relation to negativity. Much as he/she can be beautiful, people will say but he/she is black. This is why people always say ‘a black person does not become decent.’
This proverb can be likened to a person who has a good heart in his/her life. However much this person might be helping others, people will end up looking at the bad side of him/her. He/she can have good appearance and presentable but, as long as he/she is black, people will begin hating him/her.
This proverb teaches people to live positively with others without prejudice. This will help them to be in harmony with others in their lives.
Psalm 22: 6-8. Song of Solomon 1: 5-6. Job 30:30. Lamentations 4: 8. 2 Corinthians 4:16.