Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kusabho. Isabho ulu jukwila ukulimunhu jidulile gungalukija amiganiko gakwe gubhuza guti ga nyanda, aliyo uweyi alinhamhala.
Umunhu ung´wunuyo adulile gujitumila isabho jakwe bho gubhogubhagula abho bhadinajo obhenha ha ng´wakwe, uikala nabho, aliyo abhoyi bhali bhana ukuliweyi, kunguno alinamhala ukubhoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´nsab´i adanamhalaga.
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinsab´i uyo agitaga jose jose, guti gutola ng´waniki, aliyo uweyi alinamhala. Umunhu ng´wunuyo agajitumilaga sagala isabho jakwe bho gwita iyo atogilwe weyi, kunguno ya sabho jinijo. Hunagwene agihayaga giki unsabhi adanamhalaga.
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza isabho jabho, kugiki bhdule gwikala nikujo lyabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Wafilipi 3:7.
2Wakorintho 4:16-17.
KISWAHILI: TAJIRI HAZEEKI
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye wingi wa mali. Mali hizo zikiwa nyingi kwa mtu, huweza kumbadilishia mawazo, akawa anafikiri kama vile bado kijana, na wakati yeye ni mzee.
Mtu huyo huweza hata kutumia mali zake hizo kwa kuwanunua wale ambao hawana mali hizo, au maskini, kwa kuwaleta kwake na kuishi nao nyumbani kwake, ambao waweza kuwa watoto wake kiumri. Mtu huyo huyafanya hayo kwa sababu ya mali alizonazo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´tajiri hazeeki.´
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni tajiri atumiae mali zake kwa kutekeleza yale atakayo yeye. Mtu huyo huamua kufanya chochote kile, hata kumuoa msichana wakati yeye ni mzee, kwa sababu ya mali zake hizo. Hivyo, yeye hutumia mali zake hovyo. Ndiyo maana yeye hujitapa kwa kusema kwamba, ´tajiri hazeeki.´
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzitumia mali zao vizuri, ili waweze kutunza heshima yao vizuri, maishani mwao.
Wafilipi 3:7.
2Wakorintho 4:16-17.
ENGLISH: RICH PEOPLE NEVER GROW OLD
This saying emanates from a wealthy person’s life. When a person is rich, the wealth can change the way he/she thinks. He/she may think like a teenager while he/she is old. This is why people often say, “rich people never grow old.”
The rich person may use his/her wealth to make poor people his/her slaves.The person does this because of the wealth he/she has. That is why people say, “rich people never grow old.”
The proverb is likened to a rich person who uses his wealth to do whatever he/she wants. Such a rich person, if he is a man, may even decide to marry a young girl in his old age. Thus, he misuses his wealth. Accordingly, he may boast himself by saying, “rich people never grow old.”
The proverb teaches people to use their wealth wisely so that they can maintain their dignity in their lives.
Philippians 3: 7.
2 Corinthians 4: 16-17.