Imbuki ya lusumo lunulo ilolile kikalile ka nguku. Inguku ili ndimu ya ng’wipolu iyo idalimaga, aliyo igalyaga jiliwa bho nduhu nulu gugayiwa. Igikalaga bho gwicholela umuwikaji bhoyo, aliyo kihamo ni yiniyo, igab’izaga ilihoyi.
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na nzala ya gwikala bhagwibhegejaga ijinaaguchola ijagulya. Abhanhu bhenabho bhagicholelaga ijiliwa, gitumo jigicholelaga nguku, mpaga bhajipandika. Bhagayombaga giki, ‘dugulya ijatungwa nguku.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gwicholela jiliwa ahikanza lya makoye, guti ga nzala. Uwikaji bhunubho bhugub’inha nguzu ja gudula gugamala amakoye gabho genayo chiza.
(Luka 12:22).
KISWAHILI: TUTAKULA KILE KINACHOMNUSURU NYANI.
Chanzo cha methali hii chaangalia namna maisha ya nyani yalivyo. Nyani ni mnyamapori asiyelima mazao, lakini hula chakula bila kukosa. Yeye huishi katika mazingira ya kujitafutia chakula kila wakati.
Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wenye njaa ya kujitafutia chakula kila wakati. Watu hao hujitafutia chakula kama ajitafutiavyo nyani katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tutakula kile kilichofungwa nyani.’
Methali hiyo hufundisha watu kujitafutia chakula wakati wa matatizo kama yale ya njaa. Maisha hayo huwapa nguvu za kuweza kumaliza matatizo yao vizuri.
(Luka 12:22).
ENGLISH: WE SHALL EAT WHAT MAKES BABOONS SURVIVE.
The origin of the proverb is the life of a baboon. Baboons are wild animals that do not grow crops, but they eat food without lacking. They live on constant search for food.
This proverb is often used comparatively by hungry people who constantly search for food. These people look for food just as baboons do in their lives. That is why these people say, ‘We will eat what makes baboons survive.’
The proverb teaches people to look for food in times of famine. This life gives them the strength to deal with their problems well.
(Luke 12:22)