263. NINENILE IMBUGA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile mbuga iyo munhu aliibhitila. Umunhu ng’wunuyo agasiminzaga lugendo lulihu umumbuga yiniyo. Hangi iganojaga kunguno ya wingi bho masalu umo gagamanaga gulibhila amagulu gakwe. Imbuga yiniyo iganojaga noyi umunhu ng’wunuyo. Ulu oyifuma imbuga yiniyo agayegaga noyi. Hunagwene agayombaga giki, ‘ninenile imbuga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo olimumakoye ahashigu ijojab’itile. Ihaha lulu wingile umumakoye genayo, alimugati ya bhuyegi bhutale. Umunhu ng’wunuyo agabhalomelaga abhiye igiki ogamalile amakoye genayo. Alimubhuyegi bho gulumbilija giki okindile chiza. Hunagwene, agayombaga giki, “ninenile imbuga”. Ukwene huguhaya giki ogamalile amakoye ayo gankoyaga, wandije guyega duhu ihaha.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gwiyumilija gutumama milimo na bhukamu bhutale, kugiki bhapandike matwajo mingi umuwikaji bhobho. Ulu bhalagapandike amatwajo genayo, bhuling’wene aguhaya nawe giki, ‘ninenile imbuga.’

(2Timotheo 2:9-11; 2Timotheo 4:7-8).

KISWAHILI: NIMEIVUKA MBUGA.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mbuga ambayo mtu anatembea juu yake. Mtu huyo hutembea kwa mwendo mrefu kwenye mbuga hiyo kwa sababu ya ukubwa wake. Zaidi ya hayo, yeye huchoka kwa sababu ya wingi wa mchanga uliomo ndani yake ambao huifanya miguu yake ididimie kwenye mchanga huo. Mbuga hiyo huzidi kumchosha sana mtu huyo. Hivyo akiimaliza mbuga hiyo mtu huyo atafurahi sana. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘nimeivuka imbuga.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye alikuwa kwenye matatizo makubwa siku zilizopita. Hivyo kwa sasa yuko kwenye furaha kubwa kwa sababu emeyamaliza matatizo yale. Anafanana na mtu aliyeivuka mbuga hiyo kubwa na ndefu. Mtu huyo huwasimulia wenzake kwamba alikuwa na matatizo makubwa, lakini sasa amayamaliza. Ameshinda hivyo anafurahia ushindi huo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nimeivuka mbuga.’ Ndiyo kusema kuwa, ameyamaliza matatizo yaliyokuwa yakimsumbua, kwa sasa anafurahia ushindi huo.

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuvumilia katika kufanya kazi kwa bidii kubwa ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao. Wakiyapata mafanikio hayo kila mmoja atasema hivi, ‘nimeivuka mbuga.’

(2Timotheo 2:9-11; 2Timotheo 4:7-8).

 

desert

ENGLISH: I HAVE CROSSED THE PLAIN.

The origin of this proverb is a plain on which someone was walking. Such a person had a long walk from one side of the plain to the other because of its humongous size. A person walking on a humongous plain gets tired because of its size and the amount of mud that keeps his/her feet sinking into the plain. As such, the plain is very tiring. Thus, when the person finishes the journey to cross it will be very happy. That’s why he/she says, ‘I have crossed the plain.’

The proverb is comparatively used with reference to a person who was in serious trouble in the past and is now in great joy because he/she has solved the problem. He/she is like a person who crossed a vast plain. The person tells his/her colleagues that he/she had serious problems, but he/she has now gone them and it is all the past. He has won so he enjoys the victory. That is why the man says, ‘I have crossed the park.’ That is, he has solved the problems that were bothering him, and now he enjoys the victory.

The proverb teaches people to persevere in working hard so that they can get the most out of their lives. When they achieve that, everyone will say, ‘I have crossed the park.’

(2Timothy 2: 9-11; 2Timothy 4: 7-8)

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.