myth

660. WABHEJA WATWINHA MAGULU. WATUKUNGILA JILATU.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhulumbi bho bhasiminzi abho bhinhagwa magulu. Uwinhiwa bho magulu bhunubho, bhuli bho guzugilwa jiliwa abhanhu abho bhalimugendo bhenabho. Ijiliwa jinijo, jigabhinhaga nguzu ja gudula gusiminza mpaga bhushika uko bhajile.

Hunagwene abhasiminzi bhenabho, ulu bhuzugilwa jiliwa aha kaya ndebhe,  bhujilwa mpaga bhiguta, bhagalagaga bho gulumbilija giki, ‘wabheja watwinha magulu. Watukungila jilatu.’ Ulu bhuyomba chiniko, bhagandyaga gusiminza bhajile umulugendo lwabho.

Lusumo lunulo, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na wizanholo bho gubhakalibhusha abhageni na gulumbilija ulu witilagwa ya wiza na bhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhanhu chiza bho gubhagalila abho bhalimugendo, kugiki bhadule gwifula aha ng’wakwe, na gupandika jiliwa ija gudula gubhinha nguzu chiza. Uweyi agabhabhonelaga isungu abhanhu abho bhali na makoye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, wikolile nu ngaliji obhageni uyo agabhazugilaga jiliwa, kunguno nuweyi agabhakalibhushaga abhageni aha ng’wakwe na gubhagalila chiza. Uweyi agabhalangaga nabhiye ahigulya ya gubhiza bhizanholo bho gubhagalila jiliwa abhageni bhabho.

“Ulusumo lunulo lugatumilagwa na bhanhu abho bhalifunya bhulumbi aho bhamala gulya. Ugudinha magulu lunu ugutubhegeja jilatu mumho: “Oduzugilaga jiliwa ijo jadinhaga nguzu ja gusimizila.”” Hunagwene abhageni bhenabho bhaganumbaga bho guyomba giki, ‘wabheja wa twinha magulu. Watukungila jilatu.’  Lolaga Kueneza Injili kwa Methali, bhukurasa 46.

‘Kueneza Injili kwa methali’ jili jitabho ijo jigandikwa na Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey, M.M., ijojigachapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.

Lusumo lunulo, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizanholo bho gubhakalibhusha abhageni aha kaya jabho, kugiki bhadule gubhinha nguzu ja gubhashisha uko bhajile.

“Ekaristi mumho gulumba. UmuEkaristia duganumbaga Mulungu ku wiza bhose ubho oditila.

Ulu ijiliwa jigadinhaga nguzu ja gusiminza dushiga ukodujile bho nduhu makoye, Ekaristia igadinhaga nguzu ja gushiga kuli Mulungu bho nduhu makoye. Umu Sakramenti ya Ekaristia UYesu Kristo odinhaga magulu, odubhegejeaga jilatu, giki odinhaga jiliwa ijagudulagudushia ng’wigulu bho nduhu makoye.

Kuyiniyo dadakilwa kunhumbilija USebha Wise UYesu Kristo na gung’wila: “Obheja, Baba, odinha magulu, odubhegeja jilatu.”” Lolaga Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 46.

Yohane 6:54.

kutoka 16:35.

Kumbukumbu 8:10.

Zaburi 139:14.

2 Wathesalonike 1:3.

KISWAHILI: ASANTE UMETUPATIA MIGUU. UMETUTENGENEZEA VIATU,

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utoaji wa shukrani wa wasafiri waliopewa miguu. Upewaji huo wa miguu, ni wa watu waliyoko safarini kukaribishwa kwenye mji fulani na kupikiwa chakula. Chakula hicho, huwapa nguvu za kuendelea tena na safari yao kiasi cha kutosha kuwafikisha kule waendako.

Ndiyo maana wasafiri hao huishukuru familia hiyo, na kuiaga kwa kusema kwamba, ‘asante umetupatia miguu. Umetutengenezea viatu.’ Baada ya kusema hivyo, huendelea na safari yao ya kwenda kule waendako.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule mwenye ukarimu wa kuwakaribisha wageni na kuwashukuru wale waliomtendea wema, maishani mwake. Mtu huyo, huishi na watu vizuri kwa kuwatunza wale walioko safarini, ili waweze kupumzika kwake na kuwapatia chakula chakuwaongezea nguvu vizuri. Yeye huwahurumia wale walioko kwenye matatizo mbalimbali, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mtunzaji wa wageni anayewapikia chakula, kwa sababu naye huwakaribisha wageni na kuwaandalia chakula nyumbani kwake. Yeye huwafundisha pia wenzake juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni wao, na kuwaandalia chakula.

“Methali hii hutumika kwa watu ambao wanatoa shukrani baada ya kula. Kutupa miguu au kututengenezea viatu ina maana: “Umetupikia chakula ambacho kinatupa nguzu za kusafiri.” Ndiyo maana wageni hao, humshukuru kwa kusema kwamba, ‘asante umepatia miguu. Umetugengezea viatu.’ Rejea Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 46.

Kitabu hicho, kiliandikwa na watafiti, Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni kwenye familia zao, ili waweze kuwapatia nguvu za kuwawezesha kuendelea na safari yao, hadi kuwafikisha kule waendako.

“Maana ye Ekaristi ni kushukuru. Katika Ekaristi tunamshukuru Mungu kwa mema yote ambayo ametutemdea.

Kama chakula hutupa nguvu ya kusafiri tufike tunakokwenda bila shida, Ekaristi hutupa nguvu ya kufika kwa Mungu bila shida. Katika Sakramenti ya Ekaristi Yesu Kristo ametupa miguu, ametutengenezea viatu, yaani ametupa chakula kinachotuwezesha kufika mbinguni bila shida. Kwa hiyo yatupasa kumshukuru Bwana Wetu Yesu Kristo na kumwambia: “Asante, Baba, umetupa miguu, umetutengenezea viatu.”” Rejea Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 46.

Yohane 6:54. “Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho.”

kutoka 16:35. “Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu. Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa Kanaani.”

Kumbukumbu 8:10. “Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni BWANA Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.”

Zaburi 139:14. “Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa namna ya ajabu na ya kutisha, kazi zako ni za ajabu, ninajua hayo kikamilifu.”

food1

food2

food3

ENGLISH: THANK YOU FOR GIVING US FEET; YOU MADE US SHOES.

The source of this saying is thanksgiving for travelers after being well received by their host and being given food. The food they get is considered as feet to mean more strength that can enable them to continue walking until they reach their set destination. As a way to appreciate their host for the kindness they can use the saying that ‘thank you for giving  us feet; You made us shoes.’

The saying can be likened to a generous person who welcomes strangers and extends thanks to those who have done good in his/her life. The person lives with the people well by taking care of those on the journey. He/she does so by providing them with accommodation and food. People of this nature teaches others about kindness and hospitality to others.

This proverb can be applied to people who express gratitude after eating. Giving us feet or shoes means “You have cooked a meal that gives us strength to continue walking until we reach the planned destination.” This is why visitors can thank someone saying, ‘Thank you for giving us feet; You have made shoes for us’ to show their appreciation. You can also refer to Kueneza Injili kwa Methali which is translated as Spreading the Gospel in Proverbs, page 46. written by Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M. and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1984.

The proverb teaches people to be hospitable to their visitors. They need to provide them with whatever help they can manage. In so doing, they help them gain more strength to continue with their journey.

Human beings have to thank God for the gift of Eucharist.  In the Eucharist we thank God for all the good that He has done for us.

As food gives us the strength to travel to our destination without difficulty, the Eucharist gives us the power to reach God without difficulty. In the sacrament of the Eucharist Jesus Christ has given us feet, made us shoes, that is, He has given us food that enables us to get to Heaven without difficulty. So we should thank our Lord Jesus Christ and say: “Thank you, Father, you have given us feet; you have made us shoes.” Refer to Kueneza Injili kwa Methali page 46.

John 6:54. Exodus 16:35. Deuteronomy 8:10. Psalm 139:14.

659. WELELO YIHENDYAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kunguzu ja Ng’wa Welelo ija gugihendya amakoye ukubhanhu. Inguzu jinijo, jili jagung’winja kuwelelo umunhu uyo alajile gujunyama bhanhu. Abho bhapijiyagwa ugwitilwa iyabhubhi yiniyo, habho bhagayombaga giki, ‘Welelo Yihendwaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhanyamaga bhanhu obhatula, na gubhataja ijikolo jabho. Uweyi alemile ugutumama imilimo, kunguno ya guwisanya ubhuyami bhokwe bhunubho ubho gubhataja abhanhu bho nguzu isabho jabho.

Umunhu ng’wunuyo, adalendaga aha kaya yakwe, kunguno ya gwikala agucholaga sabho kubhanhu ija gubhataja bho nguzu. Uweyi agikolaga nu nyami obhanhu uyo aginjiyagwa umusi nu Welelo, kugiki abhanhu bhadule gwihendiwa umumakoye genayo. Hunagwene abhanhu bhenabho, ulubhapijiwa umumakoye genayo, bhagayombaga giki, ‘Welelo Yihendwaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi, wadule gunzunya Welelo uyo adulile ugubhalanghana chiza shigu jose, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Luka 16:23-24.

Matendo 8:1.

KISWAHILI: MUNGU AMEPISHA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye nguvu za Mungu zinazowaepusha watu kwenye matatizo. Nguvu hizo, ni pamoja na zile za kumuondoa duniani mtu anayekwenda kuwanyanhanya watu mali zao. Wale walioepushiwa kufanyiwa uovu huo, husema kwamba, ‘Mungu amepisha.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefanya matendo maovu yakiwemo yale ya kukaba watu na kuwaibia, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakaba watu na kuwanyanhanya mali zao kwa nguvu. Yeye hataki kufanya kazi, kwa sababu ya kutegemea ujambazi huo, wa kuteka na kunyanhanya mali za watu kwa nguvu.

Mtu huyo, hatulii nyumbani kwake, kwa sababu ya kutafuta sehemu za kuteka watu na kuwanyanhanya mali zao wa nguvu. Yeye hufanana na mnyanhanyi yule anayeondolewa duniani na Mungu, ili watu waweze kuepushwa kwenye matatizo. Ndiyo maana watu hao waliopona kuvamiwa, husema kwamba, ‘Mungu amepisha.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kutenda maovu, badala yake wamwamini Mungu anayeweza kuwalinda vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwake.

Luka 16:23-24.

Matendo 8:1.

people-burial

wassu-stone-circle-

african-burial-ground

ENGLISH: GOD HAS DONE IT.

The source of this saying is the power of God that keeps people out of trouble. Such power includes the act of removing from the earth the person who is causing trouble to others. People who manage to escape from being affected by such an evil person, when this evil person dies, they can say ‘God has done it.’

The saying can be compared to a person who commits evil things such as armed robbering, and killing people. Such a person does not want to work rather loiters here and there looking for people he/she can rob. When such a person dies, people can easily associate his/her death with the power of God that He has done so in order to rescue others from this wrong doer.

The saying teaches people about giving up evil practices instead, they have to believe in God who can protect them all the time in their lives.

Luke 16: 23-24. Acts 8: 1. 2 Thessalonians 1:3.

658. NGOSHA NG´WIYO ADUGUB´EGEJA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ngosha aha kaya yakwe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho gutumama milimo iyo idulile guyibheja chiza ikaya yiniyo, kunguno uweyi atiho gubhegejiwa ikaya yakwe na ngosha oha bhuzenganwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalindilaga gwambilija na bhanhu bha kungi, uguyibheja ikaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gulomba wambilijiwa bho guitumama imilimo iyo adulile guimala nulu weyi ying’wene. Uweyi adadebhile igiki bhuli ng’wene ali na milimo ya guitumama aha ng’wakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gwisagilwa bhanhu bhahabhuzengangwa, giki bhagung’wambilija uguitumama imilimo yakwe yiniyo.

Uweyi agimanilaga amakanza agamilimo gamalaga gubhita, kunguno ya bhulindikiji bho gwambilijiwa uguitumama imilimo iyo nuweyi ayidulile uguimala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija uguitumama imilimo yabho iyo bhayidulile, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

KISWAHILI: MWANAMUME MWENZAKO HATAKUTENGENEZEA MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uendelezaji wa mwanamume katika familia yake. Uendelezaji huo, ni wa kuyatekeleza majukumu yake, bila kusubiri kusaidiwa na ng’wingine kwenye kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzifanya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwanamume mwenzako hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye husubiri kusaidiwa na watu wengine katika kufanya kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzitekeleza, maishani mwake. Mtu huyo, hupenda kuomba msaada wa kusaidiwa kutoka kwa wenzake, hata kwenye majukumu yale anayoyaweza kuyamaliza mwenyewe. Yeye hafahamu kwamba, kila mmoja ana majukumu ya kufanya kwenye familia yake.

Mtu huyo, hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kutegemea msaada wa majirani au watu wengine, katika kuzitekeleza kazi anazoziweza hata kuzimaliza yeye peke yake.

Yeye hushitukia muda wa kufanya kazi umepita bila kufanya kazi yoyote, kwa sababu ya kutegemea majirani wamfanyie kazi alizo nauwezo nazo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mwanamume mwenzako, hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zile wanazoziweza, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

man-ng'wiyo

man ng'wiyo2

man ng'wiyo1

ENGLISH: YOUR FELLOW MAN WILL NEVER BUILD YOUR FAMILY.

The source of this proverb is a man who struggles to build his own family. This man can be dedicated to carry out his duties in a manner that makes his family get enough food for their survival. He struggles to be self-sufficient in life and avoid to depend on others because he knows that ‘your fellow man will never build your family.’

This proverb can be compared to a person who is waiting to be helped by others in doing his work, even those works which he can do by himself. Such people depend on others as they can beg in order to sustain their lives and those of their family members. People of this nature need to be warned against this behaviour because it can cause chaos to their neighbours. They need to understand that each individual person has his/her own responsibilities.

The proverb teaches people to be self-sufficient by working hard. They don’t have to depend on others. If they work hard to sustain their families they would be in a better position of nurturing their families in a very promising manner.

Ezekiel 34:10. Ezekiel 34:15. Galatians 6: 5. Matthew 7: 13-14.

657. NATIZILE GUBHEJA LINA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubheja bho lina. Ubhubheja bho lina bhenabho, bhuli bhogutumama milimo iyo  yiliyawiza aha kaya. Gashinaga lulu, uyo alemile ugutumama imilimo uyawiza yiniyo, agaikolanijaga na bhubheja bho lina duhu, kunguno uweyi alingokolo uguitumama imilimo iyo idulile guibheja chiza, ikaya yakwe. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, ‘natizile gubheja lina.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugumama imilimo guti iyagulima, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gwigasha hakaya bho nduhu nimo gosegose, kunguno ya bhugokolo bhokwe. Uweyi adulile nulu gulikolola iligembe lyakwe, kunguno ya kuchola wasa bho gwifula, kugiki ulu bhalitumama abhiye, uweyi amane ulibheja iligembe linilo.

Umunhu ng’wunuyo, agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe, kunguno ya kugaiwa ijiliwa bhuli makanza. Uweyi agikalaga bho gwilombeleja ijiliwa ukubhanhu abho bhagigulambijaga uguitumama chiza imilimo yabho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ayilemile imilimo iya wiza, kunguno nuweyi alemile uguitumama imilimo yakwe, iyo idulile gung’wingija amakoye, umuwikaji bhokwe. Abhanhu abho bhandebhile igiki alingokolo ugulima, bhagankomelejaga gutumama milimo chiza.  Aliyo uweyi agalemaga bho guyomba giki, ‘natizile gubheja lina.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 11:46.

Mathayo 23:3-4.

Yohana 4:38.

KISWAHILI: SIKUJA KUTENGENEJA JINA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye utengenezaji wa jina. Utengenezaji huo, ni wa kuutumia muda katika kuufanyia kazi njema. Kumbe basi, yule asiyetaka kuzifanya kazi hizo njema, huzifananisha kazi hizo kama utengenezaji jina tu, kwa sababu ya uvivu wake wa kuzitekeleza kazi zile ziwezazo kuiendeleza vizuri familia yake. Ndiyo maana mtu huyo, hukataa kufanya kazi kwa kusema kwamba, ‘sikuja kutengeneza jina.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kuyatekeleza majukumu yale yawezayo kuijenga vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kukaa nyumbani bila kufanya kazi yoyote, kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi. Yeye hujisingizia kama anatengeneja jembe wakati wa kufanya kazi ya kulima, kumbe anatafuta muda wa kupumzika. Pia aweza hata kulilegeza jembe lake, ili apate muda wa kupumzika wakati analitengeneza jembe lake hilo, maishani mwake.

Mtu huyo, husumbuliwa na tatizo la njaa nyumbani kwake, kwa sababu ya kukosa chakula. Yeye huishi kwa kuomba chakula kutoka kwa wale wanaolima kwa bidii, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule asiyetaka kufanya kazi, kwa sababu naye ni mvivu katika kufanya kazi, maishani mwake. Watu wanaoifahamu tabia yake hiyo ya uvivu, humuonya ili aweze kuiyacha tabia hiyo. Lakini yeye hukataa kwa kusema kwamba, ‘sikuja kutengeneza jina.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi yanayotosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 11:46.

Mathayo 23:3-4.

Yohana 4:38.

women1

women2

women3

ENGLISH: I DID NOT COME TO MAKE A NAME.

The source of this saying is a person who would like to be known because of his/her own abilities in doing something. This person will have to spend much of the time doing what he/she thinks at the end of the day will make his/her name. On the contrary, lazy people can ridule those hard working people by telling them that they didn’t come to make a name. Such lazy people can do whatever they think can make them not spend much energy in doing their works.

This saying can be likened to a lazy person who avoids his/her family responsibilities. Such a person can just stay home without working and, at the end of the day, he/she suffers for not having food to sustain his/her family. People of this nature can have several tricks of avoiding work. They can deliberately sit down and beginning nursing a child while his/her fellows go on with working, they can also losen the handle of the hoe deliberately in order to rest, and so many other means of justifying their restiness. When these lazy people are asked as to why they do so the simple answer can be ‘I didn’t come to make a name.’

The proverb teaches people to work hard in order to fulfill their responsibilities. In so doing they will be able to supply their families with needs and at the right time.

Luke 11:46. Mathew 23: 3-4. John 4:38.

656. MEJA WIGEMBE ATI NIMI.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhabheja bha magembe. Abhafuji bha magembe bhenabho, bhagitanagwa bhalongo. Abhoyi bhadebhile gubheja magembe duhu, kunguno bhagalilaga moyi, iki bhadalimaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘meja wigembe ati Nimi.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugulima, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga ubheja igembe ahikanza ilya gulima, kugiki adule gwifula ugulima. Uweyi adulile nulu gulikolola iligembe lyakwe, kunguno ya kuchola wasa bho gwifula, kugiki ulu bhalitumama abhiye, amane ulibheja iligembe linilo.

Umunhu ng’wunuyo, agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe, kunguno ya kugaiwa ijiliwa bhuli makanza. Uweyi agikalaga bho gwilombeleja ijiliwa ukubhanhu abho bhagalimaga.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu meja wigembe uyo adalimaga, kunguno nuweyi adalimaga, umuwikaji bhokwe. Abhanhu abho bhandebhile igiki alingokolo ugulima, bhagankomelejaga gulima. Hunagwene bhagang’wilaga giki, ‘meja wigembe ati Nimi.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gutumama milimo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gubhapandikila matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 11:46.

Mathayo 23:3-4.

Yohana 4:38.

KISWAHILI: MFUA JEMBE SI MKULIMA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwa wafua majembe. Wafuaji hao wa majembe, hutumia muda wao katika kuufanyia kazi ufundi wao. Wenyewe hufanya kazi hiyo ya kufua majembe kama kazi yao ya kuwapatia mahitaji yao, kwa sababu hawalimi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mfua jembe si mkulima.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kulima, katika maisha yake. Mtu huyo, hujifanya kama anatengeneja jembe wakati wa kufanya kazi ya kulima, kumbe anatafuta muda wa kupumzika. Yeye aweza hata kulilegeza jembe lake, ili apate muda wa kupumzika wakati analitengeneza jembe lake hilo.

Mtu huyo, husumbuliwa na tatizo la njaa nyumbani kwake, kwa sababu ya kukosa chakula. Yeye huishi kwa kuomba chakula kutoka kwa wale wanaolima kwa bidii katika, maisha yao.

Mtu huyo, hufanana na mfua jembe ambaye halimi, kwa sababu naye halimi kwa bidii katika, maisha yake. Watu wanaoifahamu tabia yake hiyo ya uvivu, humhimiza kulima. Ndiyo maana humwambia kwamba, ‘mfua jembe si mkulima.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha uvivu wa kufanya kazi, ili waweze kuwa na bidii ya kuzitegeleza kazi za kuwawezesha kujipatia mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 11:46.

Mathayo 23:3-4.

Yohana 4:38.

plow ethiopian

nimi2

farmers nimi

 

ENGLISH: THE HOE MAKER IS NOT A FARMER.

The source of this proverb comes from the hoe maker. These hoe makers spend much of their time working on their craft. To them, making hoes is their task that makes them earn their living. They don’t go to farms because farming to them replaced by the hoe making craft. To describe this scenario of hoe makers not going to farms, people came with the proverb that ‘the hoe maker is not a farmer.’

This proverb can be compared to a lazy person. This person does not like to participate in farming activities instead he/she tends to bring a lot of excuses to excempt himself/herself from farming. He/she can deliberately break the handle of the hoe or losen the hoe from its handle and begin repairing it while wasting time. People of this nature are likely to suffer from hunger because they can fail to have enough food to feed their families. They sometimes end up begging for food from others.

This proverb teaches people to stop being lazy rather they have to work hard in order to have enough food to feed their families.

Luke 11:46. Matthew 23: 3-4. John 4:38.