heritage

287. YALYA NOMI/NYOMBI.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile ginhu ijo jalyaga munhu uyo agayombaga mihayo ya golecha giki alintungilija. Umunhu ng’wunuyo agitanagwa nomi, nulu nyombi. Ulu upandika ikoye unomi ng’wunuyo, abhanhu bhagayombaga giki, ‘yalya nomi/nyombi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagihayaga giki bhali bhatungalija. Abhanhu bhenabho bhagabhizaga bha gwandya ugubhalamula abhichabho abho bhidumaga.

Kuyiniyo lulu, abhanhu abho bhagabhalamulaga bhagiganikaga giki, abhanhu guti bhenabho bhadidumaga, nulu bhadapandika makoye umuwikaji bhobho. Giko lulu, ubhupandiki bho makoye ga gwiduma go bhanhu bhenabho, bhugabhenhelejaga abhalamulwa guyomba giki, ‘yalya nomi/nyombi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu kuleka kajile ka wihayi bho sagala umuwikaji bhobho. Uwikaji bhunubho bhugubhinha nguzu, jagubhatumamila chiza abhanhu bhabho.

(Waroma 2: 1-2).

KISWAHILI: IMEKULA MSEMAJI.

Chanzo cha msemo huu chaangalia kitu kilichokula mtu ambaye husema maneno yaoneshayo kwamba yeye ni mkweli. Mtu huyo huitwa msemaji. Hivyo, akipata tatizo huyo msemaji watu husema, ‘Imekula msemaji.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao hujidai kuwa wao ni watu wazuri au wakweli. Watu hao huwa wa kwanza kwenda kuwapatanisha wenzao waliogombana maishani mwao.

Kwa hiyo, watu wengine huwafikiria watu hao kama vile hawawezi kupata matatizo ya kugombana wao kwa wao. Hivyo basi, wakigombana watu hao wawapatanishao wenzao, wale waliopatanishwa husema, ‘Imekuka msemaji.’

Methali hiyo hufundisha watu kuacha tabia ya kujidai hovyo maishani mwao. Maisha hayo, yatawasaidia katika kupata nguvu za kuwahudumia watu wao vizuri.

(Waroma 2: 1-2).

 

fighting

ENGLISH: IT HAS EATEN THE SPEAKER.

The origin of this proverb is something that affects someone who utters a word of truth. That person is called the speaker. So, when the speaker gets in trouble, people say, ‘It has eaten the speaker.’

The proverb is used to warn people who parade themselves as good or honest. These people are usually the first to go and reconcile rivals.

Some people, therefore, think of such people as being free from conflicts. So, when they get into an argument, those who are reconciled say, ‘It has eaten the speaker.’

The proverb teaches people to break the cycle of self-indulgence in their lives. Such a life will help them find the strength to serve their people well.

(Romans 2: 1-2)

286. WELELO IGALYAGA NA B’AMAHANO.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bhudula bho ng’wa Welelo. Ubhudula bhokwe bholechije giki, Uweyi adinantale, nulu munhu mgamkumilija giki, ali na bhudula, Iyoyi iWelelo ulu yuhaya gung’wizila, igunsola duhu. Gashinaga lulu, Iwelelo, idalemejiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ‘Welelo igalyaga na bhamahano.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na nhinda jagwikumilija giki, uweyi adakangagwa umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga wihaya giki adalacha, kunguno ya bhudula bhokwe. Aliyo lulu, ulu ucha umunhu ng’wunuyo, abhanhu bhaguyomba giki, ‘Welelo igalyaga na bhamahano.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu guleka nhinda ja gubhulema ubhutale bho ng’wa Mulungu. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhadebhe igiki, bhadadulile ugubhushigila ubhudula n’ubhutale bho ng’wa Mulungu.

(1 Wakorintho 13:8-9).

KISWAHILI: DUNIA HUMEZA HATA WENYE MAAJABU.

Chanzo cha methali hii chaangalia uwezo wa Mungu. Uwezo wake huo hujionesha kwamba, Yeye hana mkubwa, hata watu wakimsifia mtu fulani kuwa ana uwezo, Mungu akitaka kumwijia, hayupo wa kumkataza. Kumbe basi, Mungu, hakatazwi. Ndiyo maana watu husema, ‘Dunia humeza hata wenye maajabu.’

Methali hii hulinganishwa kwa mtu mwenye kiburi cha kujisifia kwamba yeye hatishwi maishani mwake. Mtu huyo hujitapa kuwa hataweza kufa, kwa sababu ya uwezo wake. Lakini, mtu huyo akifa, watu watasema, ‘Dunia humeza hata wenye maajabu.’

Methali hiyo hufundisha watu kuacha kiburi cha kuukataa ukuu na uwezo wa Mungu maishani mwao. Yafaa watu hao waelewe kwamba, hawawezi kuufikia ukuu na uwezo wa Mungu.

(1 Wakorintho 13:8-9).

 

 

Thank God

ENGLISH: THE WORLD SWALLOWS EVEN THOSE WITH MIRACULOUS ABILITIES.

The origin of this proverb is the mighty power of God. God’s power shows Him as the Almighty and the greatest of all, the Most High. Even when people praise someone else as powerful, if God wants to take him/her, there is no way He can be resisted. That is why people say, ‘The world swallows even those with miraculous abilities.’

The proverb is comparatively used as a warning to proud people who brag that no one can intimidate them, including God. They swear that they will not die, because of their abilities. But, when such a person dies, people say, ‘The world swallows even those with miraculous abilities.’

This proverb teaches people to swallow their pride and embrace God’s greatness and power in their lives. It is fitting for them to realize that they cannot compare their abilities to God’s greatness and mighty powers.

(1 Corinthians 13: 8-9)

285. WALYA KAMANILA WATOGWA MHONZU.

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kubhumaniji bho gulya ijo jilijinogu. Uni ojinogu ng’wunuyo adanogaga ugujilya kunguno jidijidamu, nulu jidalulile gusatya mino. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘walya kamanila watogwa mhonzu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe gubhibhonela abhiye. Umunhu ng’wunuyo agab’agemaga ab’iye bhenabho, guti si iyo ili ndogu. Kuyiniyo lulu, umunhu ng’wunuyo agabhayanjaga ab’iye bhogubhibhonela chiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘walya kamanila watogwa mhonzu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu guleka nhungwa ja gubhibhonela abhichabho.  Gashinaga yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhab’ize na bhutogwa kubhichabho, kugiki bhadule gwita ya bhutungilija ukubhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

(Matendo ya Mitume 9:1-6)

KISWAHILI: UMEKULA MAZOEA UKAPENDA VILAINI.

 Chanzo cha methali hii chatokea kwenye mazoea ya kula vilivyo vilaini. Mlaji wa vilaini huyo huwa hachoki kula kwa sababu havimuumizi meno akila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umekula mazoea ukapenda vilaini.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule apendaye kuwaonea wenzake. Mtu huyo huwatendea wenzake hao maovu kirahisi kama ardhi laini inavyoweza kulimwa kirahisi. Kwa hiyo basi, yeye huwasumbua wenzake kwa kuwaonea kwa namna mbalimbali kwa sababu huwaona wanyonge kama ardhi laini. Ndiyo maana watu humwambia, ‘Umekula mazoea ukapenda vilaini.’

Methali hiyo hufundisha watu kuacha tabia za kuwaonea wenzao. Kumbe yafaa watu hao wawe na upendo kwa wenzao, ili waweze kuwatendea haki watu wao maishani mwao.

(Matendo ya Mitume 9:1-6).

 

smoothies

ENGLISH: YOU HAVE EATEN THE HABITS AND LIKED SOFTNESS.

  The origin of this proverb is a habit of eating something soft. A person who eats such thing does not get tired of eating it because the food does not hurt one’s teeth, due to its softness and, therefore, it becomes his/her habit. That is why people say, ‘You have eaten the habits and liked softness.’

The proverb is comparatively used to urge those who bully others to stop the habit. Such people like to easily maltreat others like soft grounds that can be easily ploughed. As such, they harass their colleagues in a variety of ways. That is why people tell them, ‘You have eaten the habits and liked softness.’

This proverb teaches people to refrain from the bullying habits. Instead, they should show love to people so that they can do justice to their lives.

(Acts 9: 1-6)

284. ULU UDI NAMHALA UDULYA NYAMA YABHO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kunyama ya bhanamhala. Inyama yiniyo ili yidako lya ntugo goguntona ngeni, uyo ogenihaga hakaya ya ng’wa munhu nhebhe. Ulu mbuli, nulu ng’holo, nulu ng’ombe ub’ulagilwa ngeni, inyama iyidako bagazugilagwa bhanamhala b’a muzengo.

Umulilika lya bhanamhala bhagingilaga bho gufunya ntugo, uyo gugabhulagagwa, bhalya abhanamhala bhenabho. Gashinaga lulu, inyama yiniyo igaliyagwa nabhanabhala duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ulu udi namhala udulya nyama yabho.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagitaga milimo, nulu miito ayo gadigabho. Abhanhu bhenabho bhagishatyaga milimo nulu ginhu ijo jidijabho. B’agingilaga muluganda lo bhanhu bhatale, aliyo bhatali bhadoni. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘ulu udi namhala udulya nyama yabho.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu  gub’iza na widohya bho gudima malagilo ayo gagabhambilijaga abhanhu ugwikala mhola. Kuyiniyo lulu, akahayile kenako, kalibhawila abhanhu bhenabho, bhatumame milimo yabho chiza bho nduhu ugwitula bhutale, nulu gwisanja mumagele gabhangi, umo bhoyi bhalemejiwe ugwingira.

(1Kor. 11:26-28)

KISWAHILI: USIPOKUWA MZEE, HULI NYAMA YAO.

Chanzo cha msemo huo hutokea kwenye nyama ya wazee. Nyama hiyo ni ya tako la mfugo uliochinjwa kwa heshima ya mgeni aliyeitembele familia inayohusika. Mbuzi au kondoo, au ng’ombe akiuliwa kwa heshima ya mgeni huyo, nyama ya tako, hutolewa kwa wazee wa kijiji hicho. Nyama hiyo hupikwa kwa ajili yao tu.

Mzee akitaka kuingia kwenye lika la wazee hutakiwa kutoa mfugo kama mbuzi au kondoo, ambaye hupikwa na kuliwa na wazee hao. Kumbe basi, nyama hiyo haruhusiwi kula mtu ambaye hajaingia kwenye ulika huo wa wazee. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ukiwa sio mzee huli nyama yao.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale wavunjao sheria za amani katika jamii, kwa kufanya kazi isiyo yao, au kutenda wasiotakiwa kuyatenda. Watu hao hujiingiza kwenye kazi za wengine, kwa kuingia kwenye makundi wasiyoruhusiwa kuingia. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, ‘ukiwa sio mzee huli nyama yao.’

Msemo huo hufundisha watu  kufuata sheria ziwawezeshazo kuishi kwa amani. Huwataka watu kufanya kazi kwa kufuata sheria za nchi zao au jamii zao, kwa kutokujiingiza kwenye makundi wasiyofurusiwa kuingia.

(1 Wakorintho11:26-28).

 

people

ENGLISH: IF YOU ARE NOT AN ELDER, YOU SHALL NOT EAT THEIR MEAT.

The origin of this saying is the elders’ meat. Such meat is from the backside of a slaughtered animal in honour of a visitor of the relevant family. If a goat, sheep or bull is slaughtered in honour the guest’s, the backside meat is offered to the village elders. The meat is only cooked for them.

If someone wants to be initiated into elderly, he or she is required to provide a sheep or goat, which is then cooked and eaten by the elders as a rite of passage. However, it is not allowed to eat the meat for non-initiates. That is why people say, “If you are not an elder, you shall not eat their meat”.

The saying is comparatively used to warn those who violate the rules of peace in the community, by doing what they should not. Such individuals engage in activities of others, by joining unauthorized groups. That is why people tell them, “If you are not an elder, you shall not eat their meat.”

The saying teaches people to be compliant to the rules which create a peaceful environment for them to live. It directs people to work in accordance with the laws of their country or their communities, by not joining criminal groups.

(1 Cor. 11: 26-28)

283. DAB’ULYA DUGINGA NA HISUMBI

Imbuki ya kahahile kenako ilolile wingi bho jiliwa ijo bhanhu bhalyaga hakaya ya ng’wa munhu nhebhe bhiguta. Abhanhu ulu bhalilya jiliwa bhagigashaga hisumbi, mpaga bhamale ugulya, hunab’inga hoyi. Ijiliwa jinijo ulu jili ningi ja gulya abhanhu mpaga bhiguta, bhagajilekaga bhagingila amasumbi. Hunagwene abhanhu ulu bhalya mpaga bhajileka ijiliwa jinijo, bhagayomba giki, ‘dab’ulya duginga na hisumbi.’

 Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajiliwa ja gudula gubhigutya abhanhu bhakwe ahang’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agapandikaga sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Uwei kihamo na bhiye bhagajitumamilaga chiza isabho jabho, ijinagubhanhana abhanhu bhabho. Abhanhu abhahakaya yiniyo, abho bhagalyaga bhiguta na gujisaja ijiliwa jinijo, bhagayombaga giki, ‘dab’ulya duginga na hisumbi.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu  gubhagola chiza abhanhu bhabho, bho gujitumila isabho jabho, jinagubhulanghana bhupanga bhobho. Ubhugoji bhunubho bhugubhambilija abhanhu bhabho, ijinakupandika nguzu ja gutumama milimo ya kupandikala sabho ningi.

(Mathayo 6:42)

KISWAHILI: TUMEKULA HADI TUKAONDOKA KWENYE KITI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia wingi wa chakula ambacho watu wamekula kwenye familia fulani. Watu hao hukaa kwenye kiti walapo chakula mpaka wamalize kula ndipo watoke kwenye kiti. Chakula kikiwa kingi cha kutosha kula na kusaza, watu hao huondoka kwenye kiti hicho. Ndiyo maana watu hao walioshiba na kusaza husema, ‘tumekula tukaondoka kwenye kiti.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu awatunzaye watu wake kwa kutumia chakula kingi alicho nacho, katika kuwalisha vizuri watu wake. Watu hao hupata mali nyingi kwa kufanya kazi zao vizuri. Mali hizo ndizo zile wazitumiazo katika kuwatunza watu wao. Wale waliotunzwa kwa kulishwa chakula walichokila na kusaza, husema, ‘tumekula tukaondoka kwenye kiti.’

Msemo huo hufundisha watu  kuwatunza watu wao, kwa kutumia mali walizonazo katika kuulinda uhai wao. Matunzo hayo yatawasaidia watu wao katika kupata nguvu za kuwawezesha kufanya kazi za kuwapatia mali nyingi zaidi.

(Mathayo 6:42).

design chair

ENGLISH: WE HAVE EATEN ENOUGH TO THE EXTENT OF LEAVING THE SEATS.

The origin of this saying is the amount of food people eat in a particular family. These people sit on chairs while they eat until they finish eating. When they have eaten enough food, they leave the seats. That is why those people who are satisfied say, ‘We have eaten enough to extent of leaving the seats.’

The saying is likened to a person who takes care of his people by using the abundant food he has, in the proper feeding of his people. Such person earns a lot of money by doing their jobs well. These assets are what they use to care for their people. Those who were fed, said, ‘We have eaten enough to leave the chair.’

The proverb teaches people to take care of their families by using the resources they have in protecting their lives. This training will help their people in gaining strength to do the work of providing them with more resources.

(Matthew 6:42).