Folklore

662. BHUKULU WISINDI BHUGAYA NDETE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhutale wi sindi ilo lidina ndete.  Ilisindi linilo, lilitale noyi ubho gulilola. Umunhu uyo alichola ndete ugulipelela wangu kugiki adule gupandika ndete ja gulanga na gujilwa. Aliyo lulu, ilyoyi kihamo nubhutale bholyo bhunubho, lidina ndete. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhukulu wi sindi bhugaya ndete.’

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ntale, aliyo adina masala, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiiganikaga weyi duhu bhung’wene, kunguno ya masala gakwe ayo gadadulile uguilanghana chiza ikaya yakwe. Uweyi nulu agapandika sabho agajikenagulaga bho gujing’wela walwa, ukunu ikaya yakwe ililalila kuguno ya kugaiwa ijiliwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu bhutale uwisindi ilo lidina ndete, kunguno nuweyi alintale, aliyo adina masala agagujitumila isabho bho uguidilila chiza ikaya yakwe. Uweyi adadebhile ugubhalanja abhanhu bhakwe, akikalile akawiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘bhukulu wisindi bhugaya ndete.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na masala gagujilanghanila chiza ikaya yabho, bho gujitumamila chiza isabho jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

KISWAHILI: UKUBWA WA MUMUNYA KUKOSA MBEGU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ukubwa wa mumunya ambalo halina mbegu ndani yake. Mumunya hilo ni kubwa kwa kuliangalia kwa macho. Mtu anayetafuta mbegu za kukaanga na kula anaweza kulikimbilia haraka sana. Lakini basi, lenyewe pamoja na ukubwa wake huo, halina mbegu ndani yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ukubwa wa mumunya kukosa mbegu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkubwa kwa umbo, lakini hana akili, maishani mwake. Mtu huyo, hujifikiria yeye mwenyewe tu, badala ya kuwafikiria watu wake, kwa sababu ya kukosa akili za kuitunza vizuri familia yake hiyo. Yeye akipata mali, huzimalizia kwenye matumizi ya hovyo, yakiwemo yale ya kuzinyewe pombe, badala ya kuisaidia familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na ukubwa wa mumunya ambalo halina mbegu, kwa sababu naye ni mkubwa, lakini hana akili za kumwezesha kuzitumia mali katika kuitunza familia  yake hiyo. Yeye hafahamu kuifundisha familia yake hiyo, mwenendo ulio mwema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ukubwa wa mumunya kukosa mbegu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuzilinda familia zao, kwa kuzitumia mali zao katika kuzitunza vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao hizo, maishani mwao.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

water-melon-1068293__480

isindi

maasai-herdsman

 

ENGLISH: THE BIGGER THE SIZE OF WATERMELON DOES NOT MEAN THE HIGHER THE NUMBER OF ITS SEEDS.

The source of this proverb is the watermelon and its seeds. In its appearance, a watermelon can appear to be very big in size to the extent of confusing someone, who doesn’t know them well, that they have a good number of seeds. To describe this scenario, people can use the proverb that ‘the bigger the size of watermelon does not mean the higher the number of its seeds.’

This proverb can be compared to a person who appears to be matured enough to carry out his/her responsibilities but, unfortunately, he/she is not clever enough to handle those responsilities. This person can spend much of the time thinking about himself/herself with no consideration of others. He/she likely even to fail in taking care of his/her family because of not having good management of resources available. People of this nature can spend much of their time spending the little they have instead of accumulating more for future use. Such people can die without leaving any legacy to their families.

The proverb teaches people about having a mind to protect their families. They have to use the available resources to take good care of themselves and their children.

Jeremiah 4:22. Ecclesiastes 10: 3. James 1: 4. James 1: 5

661. WENE BUHOMO BHO NAMHALA BHUDAB´EJAGA KAYA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuhomo bho namhala oha kaya ndebhe. Uhomo bhunubho bhuli bho bhugayiwa  amasala ayo gadulile gumwambilija uguibheja ikaya yakwe, unamhala ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejaga kaya.’

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiiganikaga weyi duhu bhung’wene, kunguno ya masala gakwe ayo gadadulile uguilanghana chiza ikaya yakwe. Uweyi nulu agapandika sabho agajimalilaga mugujing’wela walwa, lakini kaya yakwe adina jiliwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu bhuhomo, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho jabho, bho nduhu uguidilila ikaya yakwe. Uweyi adadebhile ugubhalanga akikalile akawiza abhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejega kaya.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na masala gagujilanghana ikaya yabho, bho gujitumila chiza isabho jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

KISWAHILI: HUYO NI PUNGUANI WA MZEE HATENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia upunguani wa mzee wa familia fulani. Upunguani huo, ni wa kukosa akili ya kuweza kumsaidia mzee huyo katika kuijenga vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huziharibu hovyo mali zake, maishani mwake. Mtu huyo, hujifikiria yeye mwenyewe tu, badala ya kuwafikiria watu wake, kwa sababu ya akili yake isiyoweza kuitunza familia yake hiyo. Yeye akipata mali, huzimalizia kwenye matumizi ya hovyo, yakiwemo yale ya kuzinywea pombe, badala ya kuisaidia familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na upunguani wa mzee, kwa sababu naye huziharibu hovyo mali zake, bila kuijali familia  yake hiyo. Yeye hafahamu kuifundisha familia yake mwenendo ulio mwema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuzilinda familia zao, kwa kuzitumia mali zao katika kuzitunza vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia hizo, maishani mwao.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

mhini

basketball

man-traditional one

ENGLISH: THAT’S STUPIDITY OF AN OLD MAN WHICH DOESN’T BUILD A FAMILY

The source of this saying is an old man who appears to be idiot. This makes the old man fail to take control of his family. To describe such an old man, people came with the saying that ‘that’s stupidity of an old man which doesn’t build a family.’

The saying can be compared to a person who wastes his property in his/her life. One can be thinking about himself/herself with no consideration of others who might be, in one way or the other, helpful to him/her in future. If such people get wealth they recklessly spend them, for example, through drinking alcohol and other unplanned uses instead of helping their families. In so doing, they set a bad example to their children thus destroying their future.

The saying teaches people about having the mind to protect their families. People need to use the available resources in order to take good care of their families.

Jeremiah 4:22. Ecclesiastes 10: 3. James 1: 4. James 1: 5.

660. WABHEJA WATWINHA MAGULU. WATUKUNGILA JILATU.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhulumbi bho bhasiminzi abho bhinhagwa magulu. Uwinhiwa bho magulu bhunubho, bhuli bho guzugilwa jiliwa abhanhu abho bhalimugendo bhenabho. Ijiliwa jinijo, jigabhinhaga nguzu ja gudula gusiminza mpaga bhushika uko bhajile.

Hunagwene abhasiminzi bhenabho, ulu bhuzugilwa jiliwa aha kaya ndebhe,  bhujilwa mpaga bhiguta, bhagalagaga bho gulumbilija giki, ‘wabheja watwinha magulu. Watukungila jilatu.’ Ulu bhuyomba chiniko, bhagandyaga gusiminza bhajile umulugendo lwabho.

Lusumo lunulo, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na wizanholo bho gubhakalibhusha abhageni na gulumbilija ulu witilagwa ya wiza na bhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhanhu chiza bho gubhagalila abho bhalimugendo, kugiki bhadule gwifula aha ng’wakwe, na gupandika jiliwa ija gudula gubhinha nguzu chiza. Uweyi agabhabhonelaga isungu abhanhu abho bhali na makoye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, wikolile nu ngaliji obhageni uyo agabhazugilaga jiliwa, kunguno nuweyi agabhakalibhushaga abhageni aha ng’wakwe na gubhagalila chiza. Uweyi agabhalangaga nabhiye ahigulya ya gubhiza bhizanholo bho gubhagalila jiliwa abhageni bhabho.

“Ulusumo lunulo lugatumilagwa na bhanhu abho bhalifunya bhulumbi aho bhamala gulya. Ugudinha magulu lunu ugutubhegeja jilatu mumho: “Oduzugilaga jiliwa ijo jadinhaga nguzu ja gusimizila.”” Hunagwene abhageni bhenabho bhaganumbaga bho guyomba giki, ‘wabheja wa twinha magulu. Watukungila jilatu.’  Lolaga Kueneza Injili kwa Methali, bhukurasa 46.

‘Kueneza Injili kwa methali’ jili jitabho ijo jigandikwa na Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey, M.M., ijojigachapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.

Lusumo lunulo, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizanholo bho gubhakalibhusha abhageni aha kaya jabho, kugiki bhadule gubhinha nguzu ja gubhashisha uko bhajile.

“Ekaristi mumho gulumba. UmuEkaristia duganumbaga Mulungu ku wiza bhose ubho oditila.

Ulu ijiliwa jigadinhaga nguzu ja gusiminza dushiga ukodujile bho nduhu makoye, Ekaristia igadinhaga nguzu ja gushiga kuli Mulungu bho nduhu makoye. Umu Sakramenti ya Ekaristia UYesu Kristo odinhaga magulu, odubhegejeaga jilatu, giki odinhaga jiliwa ijagudulagudushia ng’wigulu bho nduhu makoye.

Kuyiniyo dadakilwa kunhumbilija USebha Wise UYesu Kristo na gung’wila: “Obheja, Baba, odinha magulu, odubhegeja jilatu.”” Lolaga Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 46.

Yohane 6:54.

kutoka 16:35.

Kumbukumbu 8:10.

Zaburi 139:14.

2 Wathesalonike 1:3.

KISWAHILI: ASANTE UMETUPATIA MIGUU. UMETUTENGENEZEA VIATU,

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utoaji wa shukrani wa wasafiri waliopewa miguu. Upewaji huo wa miguu, ni wa watu waliyoko safarini kukaribishwa kwenye mji fulani na kupikiwa chakula. Chakula hicho, huwapa nguvu za kuendelea tena na safari yao kiasi cha kutosha kuwafikisha kule waendako.

Ndiyo maana wasafiri hao huishukuru familia hiyo, na kuiaga kwa kusema kwamba, ‘asante umetupatia miguu. Umetutengenezea viatu.’ Baada ya kusema hivyo, huendelea na safari yao ya kwenda kule waendako.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule mwenye ukarimu wa kuwakaribisha wageni na kuwashukuru wale waliomtendea wema, maishani mwake. Mtu huyo, huishi na watu vizuri kwa kuwatunza wale walioko safarini, ili waweze kupumzika kwake na kuwapatia chakula chakuwaongezea nguvu vizuri. Yeye huwahurumia wale walioko kwenye matatizo mbalimbali, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mtunzaji wa wageni anayewapikia chakula, kwa sababu naye huwakaribisha wageni na kuwaandalia chakula nyumbani kwake. Yeye huwafundisha pia wenzake juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni wao, na kuwaandalia chakula.

“Methali hii hutumika kwa watu ambao wanatoa shukrani baada ya kula. Kutupa miguu au kututengenezea viatu ina maana: “Umetupikia chakula ambacho kinatupa nguzu za kusafiri.” Ndiyo maana wageni hao, humshukuru kwa kusema kwamba, ‘asante umepatia miguu. Umetugengezea viatu.’ Rejea Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 46.

Kitabu hicho, kiliandikwa na watafiti, Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni kwenye familia zao, ili waweze kuwapatia nguvu za kuwawezesha kuendelea na safari yao, hadi kuwafikisha kule waendako.

“Maana ye Ekaristi ni kushukuru. Katika Ekaristi tunamshukuru Mungu kwa mema yote ambayo ametutemdea.

Kama chakula hutupa nguvu ya kusafiri tufike tunakokwenda bila shida, Ekaristi hutupa nguvu ya kufika kwa Mungu bila shida. Katika Sakramenti ya Ekaristi Yesu Kristo ametupa miguu, ametutengenezea viatu, yaani ametupa chakula kinachotuwezesha kufika mbinguni bila shida. Kwa hiyo yatupasa kumshukuru Bwana Wetu Yesu Kristo na kumwambia: “Asante, Baba, umetupa miguu, umetutengenezea viatu.”” Rejea Kueneza Injili kwa Methali, ukurasa 46.

Yohane 6:54. “Mtu ye yote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho.”

kutoka 16:35. “Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu. Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa Kanaani.”

Kumbukumbu 8:10. “Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni BWANA Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.”

Zaburi 139:14. “Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa namna ya ajabu na ya kutisha, kazi zako ni za ajabu, ninajua hayo kikamilifu.”

food1

food2

food3

ENGLISH: THANK YOU FOR GIVING US FEET; YOU MADE US SHOES.

The source of this saying is thanksgiving for travelers after being well received by their host and being given food. The food they get is considered as feet to mean more strength that can enable them to continue walking until they reach their set destination. As a way to appreciate their host for the kindness they can use the saying that ‘thank you for giving  us feet; You made us shoes.’

The saying can be likened to a generous person who welcomes strangers and extends thanks to those who have done good in his/her life. The person lives with the people well by taking care of those on the journey. He/she does so by providing them with accommodation and food. People of this nature teaches others about kindness and hospitality to others.

This proverb can be applied to people who express gratitude after eating. Giving us feet or shoes means “You have cooked a meal that gives us strength to continue walking until we reach the planned destination.” This is why visitors can thank someone saying, ‘Thank you for giving us feet; You have made shoes for us’ to show their appreciation. You can also refer to Kueneza Injili kwa Methali which is translated as Spreading the Gospel in Proverbs, page 46. written by Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M. and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1984.

The proverb teaches people to be hospitable to their visitors. They need to provide them with whatever help they can manage. In so doing, they help them gain more strength to continue with their journey.

Human beings have to thank God for the gift of Eucharist.  In the Eucharist we thank God for all the good that He has done for us.

As food gives us the strength to travel to our destination without difficulty, the Eucharist gives us the power to reach God without difficulty. In the sacrament of the Eucharist Jesus Christ has given us feet, made us shoes, that is, He has given us food that enables us to get to Heaven without difficulty. So we should thank our Lord Jesus Christ and say: “Thank you, Father, you have given us feet; you have made us shoes.” Refer to Kueneza Injili kwa Methali page 46.

John 6:54. Exodus 16:35. Deuteronomy 8:10. Psalm 139:14.

659. WELELO YIHENDYAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kunguzu ja Ng’wa Welelo ija gugihendya amakoye ukubhanhu. Inguzu jinijo, jili jagung’winja kuwelelo umunhu uyo alajile gujunyama bhanhu. Abho bhapijiyagwa ugwitilwa iyabhubhi yiniyo, habho bhagayombaga giki, ‘Welelo Yihendwaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhanyamaga bhanhu obhatula, na gubhataja ijikolo jabho. Uweyi alemile ugutumama imilimo, kunguno ya guwisanya ubhuyami bhokwe bhunubho ubho gubhataja abhanhu bho nguzu isabho jabho.

Umunhu ng’wunuyo, adalendaga aha kaya yakwe, kunguno ya gwikala agucholaga sabho kubhanhu ija gubhataja bho nguzu. Uweyi agikolaga nu nyami obhanhu uyo aginjiyagwa umusi nu Welelo, kugiki abhanhu bhadule gwihendiwa umumakoye genayo. Hunagwene abhanhu bhenabho, ulubhapijiwa umumakoye genayo, bhagayombaga giki, ‘Welelo Yihendwaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi, wadule gunzunya Welelo uyo adulile ugubhalanghana chiza shigu jose, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Luka 16:23-24.

Matendo 8:1.

KISWAHILI: MUNGU AMEPISHA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye nguvu za Mungu zinazowaepusha watu kwenye matatizo. Nguvu hizo, ni pamoja na zile za kumuondoa duniani mtu anayekwenda kuwanyanhanya watu mali zao. Wale walioepushiwa kufanyiwa uovu huo, husema kwamba, ‘Mungu amepisha.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefanya matendo maovu yakiwemo yale ya kukaba watu na kuwaibia, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakaba watu na kuwanyanhanya mali zao kwa nguvu. Yeye hataki kufanya kazi, kwa sababu ya kutegemea ujambazi huo, wa kuteka na kunyanhanya mali za watu kwa nguvu.

Mtu huyo, hatulii nyumbani kwake, kwa sababu ya kutafuta sehemu za kuteka watu na kuwanyanhanya mali zao wa nguvu. Yeye hufanana na mnyanhanyi yule anayeondolewa duniani na Mungu, ili watu waweze kuepushwa kwenye matatizo. Ndiyo maana watu hao waliopona kuvamiwa, husema kwamba, ‘Mungu amepisha.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kutenda maovu, badala yake wamwamini Mungu anayeweza kuwalinda vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwake.

Luka 16:23-24.

Matendo 8:1.

people-burial

wassu-stone-circle-

african-burial-ground

ENGLISH: GOD HAS DONE IT.

The source of this saying is the power of God that keeps people out of trouble. Such power includes the act of removing from the earth the person who is causing trouble to others. People who manage to escape from being affected by such an evil person, when this evil person dies, they can say ‘God has done it.’

The saying can be compared to a person who commits evil things such as armed robbering, and killing people. Such a person does not want to work rather loiters here and there looking for people he/she can rob. When such a person dies, people can easily associate his/her death with the power of God that He has done so in order to rescue others from this wrong doer.

The saying teaches people about giving up evil practices instead, they have to believe in God who can protect them all the time in their lives.

Luke 16: 23-24. Acts 8: 1. 2 Thessalonians 1:3.

658. NGOSHA NG´WIYO ADUGUB´EGEJA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ngosha aha kaya yakwe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho gutumama milimo iyo idulile guyibheja chiza ikaya yiniyo, kunguno uweyi atiho gubhegejiwa ikaya yakwe na ngosha oha bhuzenganwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalindilaga gwambilija na bhanhu bha kungi, uguyibheja ikaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gulomba wambilijiwa bho guitumama imilimo iyo adulile guimala nulu weyi ying’wene. Uweyi adadebhile igiki bhuli ng’wene ali na milimo ya guitumama aha ng’wakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gwisagilwa bhanhu bhahabhuzengangwa, giki bhagung’wambilija uguitumama imilimo yakwe yiniyo.

Uweyi agimanilaga amakanza agamilimo gamalaga gubhita, kunguno ya bhulindikiji bho gwambilijiwa uguitumama imilimo iyo nuweyi ayidulile uguimala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija uguitumama imilimo yabho iyo bhayidulile, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

KISWAHILI: MWANAMUME MWENZAKO HATAKUTENGENEZEA MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uendelezaji wa mwanamume katika familia yake. Uendelezaji huo, ni wa kuyatekeleza majukumu yake, bila kusubiri kusaidiwa na ng’wingine kwenye kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzifanya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwanamume mwenzako hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye husubiri kusaidiwa na watu wengine katika kufanya kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzitekeleza, maishani mwake. Mtu huyo, hupenda kuomba msaada wa kusaidiwa kutoka kwa wenzake, hata kwenye majukumu yale anayoyaweza kuyamaliza mwenyewe. Yeye hafahamu kwamba, kila mmoja ana majukumu ya kufanya kwenye familia yake.

Mtu huyo, hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kutegemea msaada wa majirani au watu wengine, katika kuzitekeleza kazi anazoziweza hata kuzimaliza yeye peke yake.

Yeye hushitukia muda wa kufanya kazi umepita bila kufanya kazi yoyote, kwa sababu ya kutegemea majirani wamfanyie kazi alizo nauwezo nazo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mwanamume mwenzako, hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zile wanazoziweza, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

man-ng'wiyo

man ng'wiyo2

man ng'wiyo1

ENGLISH: YOUR FELLOW MAN WILL NEVER BUILD YOUR FAMILY.

The source of this proverb is a man who struggles to build his own family. This man can be dedicated to carry out his duties in a manner that makes his family get enough food for their survival. He struggles to be self-sufficient in life and avoid to depend on others because he knows that ‘your fellow man will never build your family.’

This proverb can be compared to a person who is waiting to be helped by others in doing his work, even those works which he can do by himself. Such people depend on others as they can beg in order to sustain their lives and those of their family members. People of this nature need to be warned against this behaviour because it can cause chaos to their neighbours. They need to understand that each individual person has his/her own responsibilities.

The proverb teaches people to be self-sufficient by working hard. They don’t have to depend on others. If they work hard to sustain their families they would be in a better position of nurturing their families in a very promising manner.

Ezekiel 34:10. Ezekiel 34:15. Galatians 6: 5. Matthew 7: 13-14.