Sukuma Proverbs

134. LEKAGA KWISHINA BHUBHABHU BHO BHEZE

Research Sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)

Imbuki ya lusumo lwenulu ihaiye giki: ikale ibheze jaliningi noi umukaya ga bhanhu. Jikalaga jiguyelaga umunumba yabho. Nose jigayubhaluma ahikanza lya bhujiku na jabalekelaga bhubhabu bhoguyikala bhagwisinaga bhuli makanza.

Nose bhagaiwila giki, bhaleke ugwishina ubhubhabhu bhunubho, nguno bholekwa na bheze duhu. Ijinaguhaya chene, lugabhiza lusumo uluhaile giki, “Lekaga kwishina bhubhabhu bho bheze.”

Lusumo lunulo, lugalinganijiyagwa na makoye ayo gabhita ukubhanhu. Ukwene huguhaya giki, idichiza umunhu ugwikala alizuka imihayo iyoyabhita.  Nulu idichiza ugwikala aligizuka amakoye ayo gabhita.

Ubhulangwa bho lusumo lwenunu, bhuli higulya ya kuleka gugwishiwa ngholo na makoye ayo gabhita, nulu mihayo imibhi iyoyabhita. Ilichiza ukulimunhu ugwandya bhupya, uluopandikaga makoye.

Ayubu 3:1-4.

KISWAHILI: ACHA KUJIKUNA MUWASHO WA MENDE

Chanzo cha methali hii husema kwamba, zamani mende walikuwa wengi mno katika familia za watu. Walikuwa wakitembea ndani ya nyumba zao.

Mwishowe wakaanza kuwa wanawauma watu hasa wakati wa usiku, na kuwaachia muwasho. Wakawa wakijikuna kila wakati.

Mwishowe wakawa wakiambiana kwamba, waache kujikuna muwasho huo, kwa sababu uliachwa na mende tu. Kwa kusema hivyo ikapatikana methali isemayo, “Acha kujikuna muwasho wa mende.”

Methali hiyo, hufananishwa na matatizo yaliyopita.  Ndiyo kusema kwamba, siyo vizuri kwa mwanadamu kuwa anayakumbuka maneno yaliyopita. Au siyo vizuri kuwa anayakumbuka matatizo yaliyopita.

Fundisho la methali hii, ni juu ya kutokuvunjwa moyo au kukatishwa tamaa na matatizo yaliyopita, au maneno mabaya yaliyopita. Ni vizuri kwa mwanadamu kuanza upya akipata tatizo badala ya kukata tamaa.

“Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.  “Siku ya kuzaliwa kwangu na ipotelee mbali, nao usiku ule iliposemekana, ‘Mtoto wa kiume amezaliwa!’ Siku ile na iwe giza, Mungu juu na asiiangalie nayo nuru isiiangazie.” (Ayubu 3:1-4.)

ENGLISH: STOP ITCHING AN ITCH OF BUGS

The source of this proverb says that a long time ago bugs were too many in the families of the people. They were walking in their homes. Eventually they began to bite people at night. People were constantly thinking about the itch of those bugs.

Finally, they were telling each other that they would have to get rid of them because their lives were being controlled by bugs. There was no point of continuing itching an itch of the bugs. In so saying a proverb was found: “Stop itching an itch of bugs.” This proverb is likened to past problems. That is, it is not good for people to continue recalling their previous problems or bad words to the point of losing hope in their lives. It is not good to lose hope because of their past problems. The teaching of this proverb is not to be discouraged by past problems or past bad words. It is good for a person to start regaining new strength positively in his or her life.

“After this, Job opened his mouth and cursed his birthday. “My birthday and go away, and that night it was fitting, ‘The boy is born!’ Let that day be darkness, and let God not look upon it with light to shine.” (Job 3: 1-4.)

monkeys-

 

27. Bhutambi wa Ng`wiyo Utubhuzwalila Jilungu

Collected by: Don Sybertz,   Scanned by: Cephas Yao Agbemenu

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Kale ulu munhu akatamba, kwene kuhaya wabhulaga ng’wanishi wa bhanhu, kiti shimba nulu ng’wanishi mu bhulugu kiti masai.

Mhayo gwa kwandya ulu washoka kufumila kubhulugu, ashike kuli Ntemi abhonwe. Bhandya bhanhu kung’winha ng’ombe. Ntemi nulu ng’ombe itano hu kumeng’helwa, kwinhiwa mhela iki bhukali wakwe mu bhulugu.

Huna lulu ntambi uzwikwa jilungu kuntwe. Uyo atatambile, atuzwala jilungu, kushika atambe wei ng’wenikili. Jilungu jene jimanikijo ja ikujo. Ikujo lya ntambi hu kuhaya giki, ali ngosha ati ng’obha. Bhatemi bhazwalaga jilungu ku nkono. Bhatambi bhazwalaga jilungu ku ntwe.

Kale ulu ntambi akabhulaga nulu bhanishi bhabhili, nulu bhatano wadimaga mabhuta ghabo. Udima bhuta ku luge. Bhuta wenubho witanagwa ikongolo, hangi wabhutaga nkono gwa kubhumoso bhanishi abho wabhabhulagaga, uja kaya adimile ikongolo na mashiganza kunu akwimbaga: “Mayi yuhii! Ikongolo kuntinya ng’wiyo bhabha sha bhulambu uyuhi!.

Lyene lyimbo lya bhakali, ulu bhayanda bhaligusija lyimbo lyenilo bhubishiwa ng’ombe bha sabho. Ulu bhegela kushika ntambi kihamo na bhose abhali bhaja ku bhulugu pye bha mayu bhubhasumbila bhalina tubhusiga twape bhubhabhibha (kubhamiza, kubhaponegeja) bhubhafupa na kubhita myoyo yabho ibhize yape na ibhize na bhukali kunu bhakutulaga kalupundu. (Ntambi abhonwe na ntemi kumeng’helwa).

Huna lulu bhita shigukulu. Pye bhanhu bhiza kulya shigukulu jenijo. Ulushiku lwene akubhegejiwa mabhugota atimbye ng’holo. Ongeje kubhiza na nguzu ja kutinda ng`wanishi. Oye kubhogoha bhanishi. Mabhugota gutulwa mu shiliwa na mu nyama bhuhaya lelo bhakali bhalilya ng’hali, bhalya ng’hali abhalibhaja ku bhulugu.

Uyu atajile atulya ng’hali. (nyama ya bhugota atuyegela, ulu nyama itatulilwe bhugota akuphonejiwa kiti ng`wa bhasalami.)

Lyimbo Lelo tukundegelekaga ha kipaganije kakwe, angu muna mbulutu akikalaga ng`wisenge nagaluke nikiya kubha ngelela bhakalisha miso bhana meatu, bhakalisha miso. Mayi yuhi, iohimu lyalumanga lyalya na wa kungongo, pye bhashilaga na bhana.

Ulu akabhulaga shimba wiza na ndili kihamo na mala gayo, bhamane wabhulagaga ng’hana. Iyuhi ikongolo kuntinya ng’wiyo bhabha shabhulambu, iyuhi nafuma mimbi, nikila lyane nakugwesaga. Iyuhi (kulila bhukali) ukugayiwa nhegetela nhendagulila, akupelaga, akupelaga aohimile, hii ukugayiwa nhegetela nhendagulila. Get this song from athanai.

Ikongolo- ikujo lya ntambi- ikongolo lya kulugalila. Wamalaga kutula ikongolo bhanishi bhatizingila (nduhu bhudula nose iki bhamalaga kulugala.)

Kiswahili: Ushindi Wa Mwenzio Hutauvalia Nishani

Zamani kama mtu akiua adui wakati wa vita, kama simba, au adui kwenye vita kama masai, alivikwa Nishani.

Jambo la kwanza anaporudi kutoka vitani, afike kwa Mtemi, (mfalme) aonwe. Watu huanza kumpa Ng’ombe. Mfalme au Mtemi aliweza kumpa hata ng’ombe watano, ambao hueleza hali ya kumpa zawadi, kwa ukali wake kwenye vita.

Ndipo shujaa huyo huvikwa nishani kichwani. Yule ambaye hakuua, havai nishani, mpaka aue yeye mwenyewe. Nishani hiyo, ni kitambulisho cha heshima. Heshima ya ushujaa ndiyo kusema, ni mwanaume, asiye muoga. Watemi walivaa nishani mkononi.  Mashujaa vitani walivaa nishani kichwani.

Zamani kama shujaa wa vita akiua maadui wawili, au watano, alishika pinde zao. Alishika upinde kwenye kamba ya kurushia mshale.  Upinde huo uliitwa Ikongolo. Tena alikata mkono wa kushoto wa maadui aliowaua. Alienda nyumbani akiwa ameshikilia ikongolo na viganja huku akiimba: “Mama yii! Ikongolo kumvamia mwenzako baba ni vigumu hivi!”

Huo ni wimbo wa wakali, kama vijana wakionekana wanachezea wimbo huo hupewa adhabu wale baba zao ya kutoa ng’ombe. Kama wakikaribia kufika nyumbani wale mashujaa na wote walioenda vitani, akina mama huwapokea wakiwa na mtama mweupe na kuanza kuwatupia, hiyo ikiwa ni ishara ya kuwapa moyo ili mioyo yao iwe mieupe na mikali huku wakipiga kigelele. (Hali hiyo huwa ni ishara ya kumtambulisha shujaa kwa Mtemi ili shujaa huyo apewe ng’ombe.)

Ndipo wanafanya sherehe. Watu wote huja kula sikukuu hiyo. Siku hiyo shujaa wa vita hutengenezewa dawa ili moyo wake utulie. Aongeze kuwa na nguvu za kuwashinda maadui.

Aache kuwaogopa maadui. Madawa hayo huwekwa kwenye chakula na kwenye nyama, wakisema, “leo wakali wanakula kali, wala kali walioenda kwenye vita.

Yule ambaye hakuenda kwenye vita hatakula hiyo kali. (nyama ya dawa hataisogelea, kama nyama ambayo haikuwekewa dawa, atatupiwa kama wanavyofanya kwenye jeshi la sungusungu.).

“Wimbo leo tutamsikiliza kujipenyeza kwake, eti ni wa mbulutu huwa kwenye mapaa, nigeuke na mashariki, kwa kinangelela waliangalia watu wa meatu, waliyalisha macho yao. Mama yii, hivyo ndivyo lilivyowafundisha, limekula na wa mgongoni, wote waliisha na watoto.”

Kama shujaa huyo aliua Simba huja na ngozi na kucha za yule Simba, ili watu waone kwamba kweli ameua. Ikawa ikongolo kumvamia mwenzio, baba ni vigumu, natoka jioni, na mkia wangu nauvuta. “Iyuhi (kulia ukali) utakosa bahati, kidogo nilie, akikimbia, akikimbia, hii hutakosa bahati kidogo nilie.”

Ikongolo ni hekima au heshima ya shujaa- Ikongolo huwa ni gongo la kufungia. Amemaliza kuweka ikongolo maadui wasiingie (hakuna uwezo wa kuingia mwishowe kwa vile wamemaliza kufunga).

ENGLISH: YOU WILL NOT PUT ON A SIGN OF TRIUMPH FOR YOUR FELLOW’S VICTORY

Long time ago if anyone killed the enemy during war, like a lion, or an enemy in battle, was dressed a sign of triumph.lion-and man

The first thing when he comes back from the battle, he goes to Emperor, (king) to be seen. People begin to give him cows. The King or the Emperor could even give him five cows, which describe the condition of giving gifts to him in his fierce anger during war.

Then the warrior was wrapped up a victorial sign in his head. He who did not kill, does wear it, until he kills it by himself. That triumph sign, is a decent identification. The honor of courage is to say, he is a man who is not a coward. The kings wore triumph sign on his hand. The warriors in the warfare wore such victorial sign in wars, on their heads.

A long time ago if a warrior kills two, or five enemies, he took his bows. He held the bow on the arrows roller. The bow was called the “Ikongolo.” He also cut the left hand of the enemies whom he killed. He went home holding the Ikongolo and arms while singing: “Mama yii! Ikongolo kumvamia mwenzako baba ni vigumu hivi!” It means oh!! Mother to attack your fellow, dad is so difficult!”

That is a song of rage, as young people appearing to play such song their parents were punished by being asked to give a cow. As the heroes come home and all who went to war, mothers receive them by spittling white millets on them as a sign of giving them courage in their hearts so that they should not be frightened instead, they become strong in wars. (This is a symbol of identifying a hero to the king for the warrior to be given a cow.)

Then they celebrate. All people come to eat that feast. On that day a warrior is given medicine for making his heart calm. He will increase power for conquering enemies.

They should not be afraid of enemies. Those medicines are put on food and meat, saying, “Today the fierce ones are eating what makes them strong fighter.” Those who eat it are the worriors who went to the war.

The one who did not go to war would not eat that severe. (He will not come close to the meat of medicine, as meat that is not prescribed, will be given to him as they do in the sungusungu army.).

“The song today we will listen to his self-indulgence, that he is of mbulutu who is in the roofs, crawling on the east, to kinangelela who watched meatu people, they fed their eyes. The mother yii, so that is what I taught them, I have eaten even those what are on the back, all were finished with the children.”

If that warrior killed a lion, he comes with the skin and neills of that Lion, so that people can see that he really has killed. When Ikonkolo to attack your fellow, Daddy is hard, I went out in the evening, and my tail smoked. “Iyuhi (to cry fury) you will miss luck, slightly I cry, while running, running, this will not be a little luck I little cry.”

Ikongolo is wise or respectful sign to the worriar- The Ikongolo is a wood for closing. He has just put the Ikongolo enemies should not enter. (There is no ability to enter in as soon as they have finished closing).

5. MUDAFULAGWA NYAGA BHULI?

Huguhaya giki, abhanhu abhatubhu bhadigutaga. Amasala gabho gagab’izaga galiganika higulwa ya shiliwa ukumanza gabho amingi.

Akahayile kenako kalilanga higulwa ya gub’iza na kajile kawiza mjiliwa na mukang’wele. Ili chiza uguleka kajile ka bhulaku bho jiliwa bhung’wi bho gub’itilija. Gugaleka amasala ga gaduta shiliwa duhu. Igelelilwe umunhu akutumile amasala gakwe mugwiyenhela maendeleyo ga mili na ga moyo, kukila mu bhu bulaku na bhung’wi bho gubhilitija.

Bharumi 14:17.

KISWAHILI:    PINDI TU, UNAPO HISI NJAA, KWA NINI UNA TAMANI KULA MAPEMA IWEZEKANAVYO? (KWA NINI HAMPULIZWI UPEPO?)

Msemo huo unaongelea juu ya watu wenye njaa kwa vile maisha ya watu huwa ni ya furaha wakiwa wameshiba. Ndiyo kusema kwamba, watu wakiwa wameshiba kila wakati huendelea kuwa na furaha hiyo kwao.

Hali ya watu kujisikia njaa kulinganishwa na upepo. Ndipo wakati kama huo husemwa na watu, maneno hayo ya upepo wa ndani ya tumbo la mtu umempuliza mhusika huyo. Kama watu wakijisikia njaa kwenye familia fulani, maana yake, familia hiyo imepulizwa na upepo. Huwa inakuwa vigumu kula na kushiba kwa watu kama hao kwa sababu ya watu hao kujijengea tabia ya kuwa na ulafi wa chakula.

Hivyo, watu walafi huwa hawashibi. Akili zao huwa zinafikiria juu ya chakula kwa muda uliomwingi maishani mwao.childeating

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na kiasi katika kula chakula na katika kinywaji. Ni vizuri kuacha tabia ya ulafi wa chakula na ulevi katika vinywaji.  Inatakiwa kutumia akili aliyonayo mwanadamu kwa kufikiria zaidi maendeleo mema ya kimwili ya kiroho badala ya kuwa na tabia ya ulafi na ulevi.

Waroma 14:17. ´Maana ufalme wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.´

ENGLISH:    AS SOON AS YOU EXPERIENCE HUNGER PANGS (FEEL HUNGRY) WHY DO YOU ALWAYS WANT TO EAT?

The Sukuma people form the largest ethnic group in Tanzania with more than six million members. This population is concentrated in and around Mwanza and Shinyanga Regions. Other ethnic groups that are present have been progressively isolated or assimilated into this big unit. To speak the Sukuma language is the most normal thing in many villages of the area, and many Sukuma beliefs and practices are very much alive today.child

This humorous Sukuma proverb is used by a mother to teach and counsel her children on discipline in eating, patience and perseverance in waiting for food to be served and the evil of gluttony. She emphasizes that a person who calls for food at the least sign of hunger pangs (that is compared to “wind” in the stomach in the original Sukuma), such as the child always saying “I’m hungry,” has no discipline in his or her life. The proverb is also used in a conversation with a glutton who is eating all the time.

 

4. Magembe abhili gatakijaga kwikumya

Mbuki ya lusumo lwenulu bhakawilagwa bha kaya imo abho bhikenyaga, jina gutimbiwa ng´holo giki mihayo yabho ishile. Bhakalenganijiwagwa na magembe nguno abhanhu ulu bhalilima kihamo amajembe gatukija ukwikumya.

Lusumo lwenulu lulilola witoji na bhanhu abho wagikalaga kihamo umuwikaji bhobho.two people with hoes

KISWAHILI:  MAJEMBE MAWILI HAYAACHI KUGUSANA:-

Maana ya methali hii, huambiwa watu wa nyumba moja waliogombana.  Hufarijiwa kwa kuambiwa vile ili maneno yao yaishe. Hivyo hufananishwa na majembe kwa sababu watu wakiwa wanalima pamoja majembe hayo hayaachi kugusana.

Msemo huu huwalenga watu wa ndoa na wale wanaoishi pamoja kwa makazi yao.

“Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja. Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.” (Mwanzo 2.24).

“Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu Asikitenganishe.” (Marko 10:8-9).

“Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa. Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.” (Waefeso 5.32-33).

ENGLISH: THE HOES OF TWO PEOPLE CULTIVATING TOGETHER IN A FIELD  SOMETIMES CLASH (HIT) AGAINST EACH OTHER.

The Sukuma Ethnic Group is the largest ethnic group (more than six million people) in Tanzania and live mainly in rural areas in the northwestern part of the country on or near the southern shores of Lake Victoria – mainly in the Mwanza and Shinyanga Regions. They are agricultural-pastoralists whose lives focus on farming (maize [corn], sorghum, cassava, sweet potatoes, cotton, etc.) and herding cows.  The hoes of two people weeding together in their fields sometimes clash (hit) against each other as seen in this Sukuma proverb. This proverb is applied to married people living in close proximity. They experience misunderstandings and differences at times. This is life.

“For this reason a man will leave his father and mother and will stick to his wife and they will become one flesh. Adam and his wife both were naked, and they did not see shame. “(Genesis 2.24).

“So they will no longer be two but one body. So what God has joined together, let not man separate. “(Mark 10: 8-9).

“This secret is great, but I am talking about Christ and the Church. Nevertheless, each one of you must love his wife as he does himself, and the wife should have respect for her husband. “(Ephesians 5.32-33).