Sukuma Proverbs

420. UNENE NABHIZILE NTONGEJI O LUGENDO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhushikanu bho ng’wa munhu. Ubhushikanu bhunubho bhuli bho gubhatongela abhanhu.

Ubhutongeji bhunubho bhudulile gubhiza bho gulekelwa na bhanhu abho bhali bhatongeji, nulu bhogushila gucha abhantongeji, usaga weyi uyo alintali, umuchalo jinijo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘unene nabhizile ntongeji o lugendo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aimanile chiza imilimo yakwe iyagubhatongela abhanhu bhakwe bhenabho.

Umunhu ng’wunuyo alintongeji o bhanhu uyo agabhatongelaga bhobhutogwa bhutale. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gubhatumamila bho bhutogwa abhichabho. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘unene nabhizile ntongeji o lugendo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujimana inzila ja gubhatongela abhanhu bhabho bho bhutogwa bhutale, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 2: 14-22.

KISWAHILI: MIMI NIMEKUWA KIONGOZI WA SAFARI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ukomavu wa mtu katika makuzi yake. Ukomavu huo ni wa kuongoza watu kuyafikia malengo fulani.

Uongozi huo waweza kuwa wa kurithi, au wa kutokana na kufa kwa viongozi wote, akabaki yeye peke yake, ambaye ni mkubwa katika kijiji hicho. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘mimi nimekuwa kiongozi wa safari.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaelewa vizuri wajibu wake wa kuwaongoza wananchi wake. Mtu huyo ni kiongozi wa watu, ambaye huwaongoza watu kwa upendo mkubwa.

Yeye huwafundisha pia watu wake njia za kuwaongoza wenzao kwa upendo huo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘mimi nimekuwa kiongozi wa safari.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzielewa njia za kuwaongoza watu wao kwa upendo mkubwa, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Matendo ya mitume 2: 14-22.

people-leader

ENGLISH: I HAVE BEEN A LEADER OF THE JOURNEY.

The source of the above saying comes from one’s ability to demonstrate his/her capacity to lead others. His/her capacity is gauged based on how he/she can lead others to attain their desired goals in life. This leadership position can be through inheritance (after the death of the former leader) or by appointment. Such a person, after succeeding to lead his/her people in the right direction, he/she can say ‘I have been a leader of the journey.’

This saying can be compared to a person who understands his/her responsibilities to his/her citizens; leading people to the right direction. Such a leader leads his/her people with love and humility. He/she also teaches others how lead in a manner that can make them be loved by others as well.

The proverb teaches people to understand the ways of leading their people with great love. This will help them to have peace and love all the time.

Acts 2: 14-22.

 

419. BHANABHANE NAMTONGE KUNTI KULUGULU NG’WITUMBI GUGAPYAGA MANG’OMBE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kumahoya ga namhala na bhana bhakwe. Unamhala ng’wunuyo obhalomelaga abhana bhakwe higulya ya gubhatongela kulugulu, ukunti go gupandikila jikolo.

Unti gunuyo ilimbisila ya gwikala chiza na bhanhu. Uwikaji bhunubho bhuli bho gwilanga gutumama milimo na bhukamu bhatale. Hunagwene unamhala ng’wunuyo agayombaga giki, ‘bhana bhane namtonge kunti kulugulu ng’witumbi gugapyaga mang’ombe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagabhalanga bhana bhabho gwikala chiza na bhanhu, bho gutumama milimo na bhukamu bhutale.

Abhabyaji bhenabho, bhajidebhile inzila ja gujipandikila isabho, bho gutumama milimo ya bhuli lushugu. Hunagwene bhagabhawilaga abhana bhabho giki, ‘bhana bhane namtonge kunti kulugulu ng’witumbi gugapyaga mang’ombe.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhalekela abhanhu bhabho, ilange lya gutumama milimo bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija umuwikaji bhobho.

Yohane 13:1-11.

KISWAHILI: WANANGU TWENDENI KWENYE MTI MLIMANI NG’WITUMBI UZAAO NG’OMBE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maongezi ya mzee na watoto wake. Mzee huyo alikuwa akiwasilimulia watoto wake hao juu ya kuwaongoza kwenye mti mlimani wa kupatia mali.

Mti huo ni fumbo la kuishi na watu vizuri. Maisha hayo ni ya kujifunza kufanya kazi kwa bidii kubwa. Ndiyo maana mzee huyo huwaambia watoto wake kwamba, ‘Wanangu twendeni kwenye mti mlimani uzaao ng’ombe.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwafundisha watoto wao juu ya kuishi vizuri na watu. Maisha hayo ni kufanya kazi kwa bidii kubwa.

Wazazi hao wanazifahamu njia za kupatia mali kwa kufanya kazi za kila siku. Ndiyo maana wazazi hao huwaambia watoto wao kwamba, ‘wanangu twendeni kwenye mti mlimani uzaao ng’ombe.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaachia watu wao malezi ya kufanya kazi kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mali za kuweza kuwasaidia, maishani mwao.

Yohane 13:1-11.

massai-tanzania

 

ENGLISH: MY CHILDREN LET ME LEAD YOU TO THE TREE THAT BEARS CATTLE IN THE MOUNTAIN.

The source of the above saying comes from the conversation between an old man and his children. The old man tells his children to go with him to the tree located in the mountain where they can get cows. The mountain tree is believed to be bearing cows.

The saying can be compared to those parents who teach their children how to live well. They encourage their children to be hard workers so that they can have good life in future. As a way to lead them to future better life, parents could use the saying ‘my children, ‘let me lead you to the tree that bears cattle in the Mountain.’

The proverb teaches people about working hard. Parents have to guide their children to walk the path of success.

John 13: 1-11.

418. IHAHA UBHUJIKU BHOLYAGA GUDULU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhujiku ubho bhomalaga gulya gudulu. Ubhujiku bhunubho bhuli bho gupinihaja, kunguno ya gwigela mhayo uyo guli ntale, umuchalo jilebhe.

Umhayo gunuyo gugakumukaga noyi umuchalo ijo gwigelelaga, kunguno guli gugeni. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ihaha ubhujiku bholyaga gudulu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu bha muchalo ijo jabhipaga, kunguno ya gwigela mhayo ntale, guti go gucha munhu uyo akumukile, umuchalo jinijo. Abhanhu bhenabho bhagapinihalaga kunguno ya kuchilwa nu munhu ng’wunuyo, uyo aliowiza ukubhananzengo bhiye. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ihaha ubhujiku bholyaga gudulu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhitila ya wiza abhanhu na guilunguja halumo, umulikanza lya mayange.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: SASA USIKU UMEKULA GUDULU (SASA USIKU NI MBAYA).

Chanzo cha methali hiyo chaangalia usiku ule uliokula gudulu. Maana yake huo ni usiku mbaya. Usiku huo ni wa kusikitisha kwa sababu ya kutokea kwa tukio ambalo ni kubwa kwenye kijiji fulani.

Tukio hilo laweza kuwa la kushangaza kwa sababu ni tukio geni katika maeneo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba ‘sasa usiku umekula gudulu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao kijiji chao kimepata msiba wa kufiwa na kiongozi aliyesifika sana. Tukio hilo ni kubwa katika kijiji hicho. Watu hao husikitika kwa sababu kiongozi huyo alikuwa anawaongaza watu kwa upendo. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘sasa usiku umekula gudulu, maana yake usiku umekuwa mbaya.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatendea mema watu wao, na kufarijiana pamoja wakati wa misiba, maishani mwao.

Ufunuo 14:13.

night one

night2

 

ENGLISH: NOW THE NIGHT HAS BEEN BAD.

The source of the above saying is the night that ruined the life of people in a certain village. In that night, a certain sad event happened. In commemorating that night, people can say ‘the night has been bad.’

The saying can be compared to villages that happened to experience some traumatic events such as losing some important figures (for example, well-known leaders) which can shock the entire village. Villagers can be saddened by the event and, in summarizing the night that their beloved leader passed on, they can use the saying that ‘the night was bad.’

The proverb teaches people to do good to their people. They need to comfort each other during disasters in order to have a happy life all the time.

Revelation 14:13.

404. NGULU NA NGULU JIDATUNGWANHAGA ABANHU BHADULILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukigelele ka ngulu. Ingulu jidadule nulu gusiminza guti umo b’agasiminzilaga abhanhu. Ijoyi jigasagaga na naho jilili duhu.

Aliyo lulu, abhanhu b’agasimingaza. Hunagwene abhanhu ulu bhoya kale ugwib’ona, ulushigu bhibhonaga, bhagayombaga giki, ‘ngulu na ngulu jidatung’wanaga abhanhu bhadulile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itogilwe umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bagiyambilija uguitumama imilimo yabho, na bhagigenihaga.

Abhoyi b’agab’alangaga na bhichab’o akikalile kenako. Hunagwene ulu bhigenihaga bhagayombaga giki, ‘ngulu na ngulu jidatung’wanaga abhanhu bhadule.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi bho gudula gwigeniha, kugiki bhadule gwiyambilija halumo, umiwikaji bhobho.

Mathayo 17:20.

KIWAHILI: MILIMA HAIKUTANI BINADAMU HUKUTANA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye muonekano wa milima. Milimo huo haiwezi hata kutembea atembeavyo mwanadamu. Yenyewe hubakia pale ilipo tu. Lakini wanadamu hutembea. Ndiyo maana watu wasipoonana kwa muda wa  siku nyingi, siku ya kuonana husema kwamba, ‘milima haikutani binadamu hukutana.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanapendana maishani mwao. Watu hao husaidiana katika kufanya kazi zao, na hutembeleana.

Wao huwafundisha pia wengine namna ya kuyaishi maisha hayo. Ndiyo maana watu hao, wakitembeleana husema kwamba, ‘milima haikutani binadamu hukutana.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwawezesha kutembeleana, ili waweze kusaidiana kwa pamoja katika kuyatekeleza majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 17:20.

mountans

black-2934630__340

 

ENGLISH: MOUNTAINS DO NOT MEET BUT PEOPLE DO.

The source of the above proverb is derived from the appearance of mountains. They cannot even move about as human beings do. It remains where it is. When people do not see each other for many days, the day they meet they can say ‘mountains do not meet but people do.’

This proverb can be compared to those people who love each other in their lives. These people help each other in their works, and they visit each other. They also teach others how to live.

The proverb teaches people to love one another and visit one another. In so doing, they will be fulfilling their responsibilities of loving each other.

Matthew 17:20.

403. UNG’WOLO ATAPANDIKAGA JOSE JOSE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhudumi bho gupandika jikolo, kunguno ya b’ukokolo bho gutumama milimo bho jisumva jileb’e. Ijisumva jinijo jidahayile ugutumama imilimo yajo. Ijoyi jidahayile ugwilulya, kunguyo ya bholo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wolo adapandikaga josejose.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo adatogilwe uguguluhya umili gokwe.

Uweyi atogilwe gwikala wigashije duhu. Kuyiniyo lulu, uweyi adapandikaga isabho, Agikalaga wilombeleja kubhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ng’holo adapandikika josejose.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho na bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika jikolo ja gujib’eja chiza ikaya jabho.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

KISWAHILI: MZEMBE HAPATI CHOCHOTE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya kushindwa kupata mali kwa kiumbe ambaye ni mvivu wa kufanya kazi. Kiumbe huyo hataki kuutesa mwili wake kwa kuufanyisha kazi hizo. Yeye hutaka kukaa tu na kula chakula apewacho, kwa sababu ya uvivu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mvivu kufanya kazi zake. Mtu huyo hapendi kufanya kazi zake. Yeye hupenda kukaa tu.

Kwa hiyo basi, yeye hapati mali ya kutosha kumsaidia maishani mwake. Yeye huishi kwa kuomba omba tu. Kwa hiyo basi, yeye hapati mali itakiwayo kumwezesha kuishi bila kuomba omba, kwa watu wengine Maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi kazi zao kwa bidii kubwa, ili waweze kujipatia mali za kuwasaidia ndugu zao mbalimbali maishani mao.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

lazy-1458443__340

lazy one

ENGLISH: A LAZY PERSON DOES NOT GET ANYTHING.

The source of the above proverb stems from an inability to get wealth from a lazy person. Such a person does not want to torture his/her body by working hard. He/she just wants to sit and eat food given by others. This person is likely to end up having nothing in life. To describe such a person, one can use the proverb that ‘a lazy person does not get anything.’

This proverb can be compared to a person who is lazy in doing his/her work. He/she does not like to work thus he/she does not have enough wealth to support his/her life. He/she depends on begging from others. Such a person ends with nothing in life. His/her behaviour is described by the proverb ‘a lazy person does not get anything.’

The proverb teaches people to do their jobs in order to earn enough money that can help in different activities.

Philippians 2:12.

1 Peter 3: 6-10.