Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kumahoya ga namhala na bhana bhakwe. Unamhala ng’wunuyo obhalomelaga abhana bhakwe higulya ya gubhatongela kulugulu, ukunti go gupandikila jikolo.
Unti gunuyo ilimbisila ya gwikala chiza na bhanhu. Uwikaji bhunubho bhuli bho gwilanga gutumama milimo na bhukamu bhatale. Hunagwene unamhala ng’wunuyo agayombaga giki, ‘bhana bhane namtonge kunti kulugulu ng’witumbi gugapyaga mang’ombe.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagabhalanga bhana bhabho gwikala chiza na bhanhu, bho gutumama milimo na bhukamu bhutale.
Abhabyaji bhenabho, bhajidebhile inzila ja gujipandikila isabho, bho gutumama milimo ya bhuli lushugu. Hunagwene bhagabhawilaga abhana bhabho giki, ‘bhana bhane namtonge kunti kulugulu ng’witumbi gugapyaga mang’ombe.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhalekela abhanhu bhabho, ilange lya gutumama milimo bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija umuwikaji bhobho.
Yohane 13:1-11.
KISWAHILI: WANANGU TWENDENI KWENYE MTI MLIMANI NG’WITUMBI UZAAO NG’OMBE.
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maongezi ya mzee na watoto wake. Mzee huyo alikuwa akiwasilimulia watoto wake hao juu ya kuwaongoza kwenye mti mlimani wa kupatia mali.
Mti huo ni fumbo la kuishi na watu vizuri. Maisha hayo ni ya kujifunza kufanya kazi kwa bidii kubwa. Ndiyo maana mzee huyo huwaambia watoto wake kwamba, ‘Wanangu twendeni kwenye mti mlimani uzaao ng’ombe.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwafundisha watoto wao juu ya kuishi vizuri na watu. Maisha hayo ni kufanya kazi kwa bidii kubwa.
Wazazi hao wanazifahamu njia za kupatia mali kwa kufanya kazi za kila siku. Ndiyo maana wazazi hao huwaambia watoto wao kwamba, ‘wanangu twendeni kwenye mti mlimani uzaao ng’ombe.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaachia watu wao malezi ya kufanya kazi kwa bidii kubwa, ili waweze kupata mali za kuweza kuwasaidia, maishani mwao.
Yohane 13:1-11.
ENGLISH: MY CHILDREN LET ME LEAD YOU TO THE TREE THAT BEARS CATTLE IN THE MOUNTAIN.
The source of the above saying comes from the conversation between an old man and his children. The old man tells his children to go with him to the tree located in the mountain where they can get cows. The mountain tree is believed to be bearing cows.
The saying can be compared to those parents who teach their children how to live well. They encourage their children to be hard workers so that they can have good life in future. As a way to lead them to future better life, parents could use the saying ‘my children, ‘let me lead you to the tree that bears cattle in the Mountain.’
The proverb teaches people about working hard. Parents have to guide their children to walk the path of success.
John 13: 1-11.