Sukuma Proverbs

432. GWISAGILWA NG’HANGA YA KIMBULU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile wisagiji bho nyama ya kimbulu. Uwisagiji bho kimbulu bhunubho, bhuli bho gwisagilwa ginhu ijo jidaliyagwa, kunguno ikimbulu ili nyabhu ya mumapolu, iyo idasugagwa na hangi idaliyagwa. Kunguno yiniyo lulu, ‘gwisagilwa ng’hanga ya kimbulu,’ mumho gwisagilwa nyama iyo idaliyagwa.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agisagilagwa ginhu, ijo jidadulile gung’wambilija, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gwisagilwa bhukumilijiwa, ubho adadulile gubhulya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, uweyi olendela ‘gwisagilwa ng’hanga ya kimbulu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwisagilwa ginhu ijo jidina solobho, ukuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugujisagilwa ijo jidulile gubhambilija, ugujibheja chiza ikaya jabho.

Kumbukumbu la Torati 14:8-10.

Marko 7:2-4.

Marko 7:14-15.

Warumi 4:14.

KISWAHILI: KUTEGEMEA KANGA WA PAKA SHUME

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye utegemeaji wa nyama ya paka shume. Utegemeaji huo ni wa kutumaini kitu ambacho hakiliwi, kwa sababu paka shume ni paka wa polini ambaye hafugwi, wala haliwi.  Hivyo basi, ‘kutegemea kanga wa paka shume,’ maana yake ni kutumaini kupata nyama ambayo hailiwi.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye hutegemea kitu ambacho hakiwezi kumsaidia maishani mwake. Mtu huyo aweza hata kutegemea sifa, ambayo hawezi kuila. Ndiyo maana watu husema kwamba, mtu huyo anapoteza wakati wake kwa ‘kutegemea kanga wa paka shume.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutegemea kitu kisichokuwa na faida maishani mwao, ili waweze kutegemea kile kiwezacho kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia zao.

Kumbukumbu la Torati 14:8-10.

Marko 7:2-4.

Marko 7:14-15.

Warumi 4:14.

cats

cat

ENGLISH: RELYING ON THE MEAT OF THE WILD CAT

The source of the saying comes from dependence on the meat of a wild cat. That reliance is on hoping for something that is not consumable. The wild cat, under normal circumstances, is neither domesticated nor consumed by human beings. Therefore, relying on it means wasting one’s time for nothing.

The saying can be compared to a person who relies much on things that will not help him/her in life. Such a person might be doing things just for being praised and cannot feed on praises. Such a person can be warned by telling him/her that don’t ‘rely on the meat of the wild cat’ in order to make him/her work hard and concentrate on things that have tangible returns.

The saying teaches people to stop relying on things that do not have tangible returns in their lives. They need to rely on things that can help to take care of their lives and their families.

Deuteronomy 14: 8-10

Mark 7: 2-4

Mark 7: 14-15

Romans 4:14

431. NG’WIZA HONGO ADAPEJIWAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile munhu uyo ali nsese. Umunhu ng’wunuyo agacholaga milimo ya gutumama, kubhanhu abho bhali bhasabhi. Uweyi agazunijiyagwa uguitumama imilimo yiniyo, kunguno ali munhu owiza, uyo adulile guitumama chiza imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wiza hongo adapejiyagwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhakaribhushaga chiza, abhanhu abho bhagacholaga milimo ya gutumama.

Abhanhu bhenabho bhagabhadililaga chiza abhatumami bhabho, bho gubhalipa gitumo bhidebhela, kunguno bhali bhatumami bhawiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ng’wiza hongo adapejiyagwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhanhu bha wiza, abho bhadulile guitumama imilimo chiza, na gubhadilila chiza abhatumami bha milimo yabho.

Yoshua Bin Sira 33:26-32.

KISWAHILI: MTUMWA HAFUKUZWI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mtu ambaye ni mtumwa. Mtu huyo hutafuta kazi za kufanya kwa watu walio matajiri.

Yeye hukubaliwa kuzifanya kazi hizo, kwa sababu yeye ni mtu mwenye tabia njema, ambaye anao uwezo wa kufanya kazi hizo vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtumwa hafukuzwi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao huwakaribisha vizuri watu wanaotafuta kazi za kufanya. Watu hao huwajali wafanyakazi wao vizuri, kwa kuwalipa kama walivyokubaliana, kwa sababu ni watu wenye tabia njema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtumwa hafukuzwi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kufanya vizuri kazi wapewazo, na kuwajali wafanya kazi wao.

Yoshua Bin Sira 33:26-32.

africa-slave

 

ENGLISH: A SLAVE IS NEVER CHASED AWAY.

The source of the above proverb is slavery where a slave is looked at as someone who doesn’t deserve to be chased from someone’s compound. A slave is also described as someone looking for job from someone else. She/he (the slave) can perform different duties to his/her master and he/she is considered to be someone who is good mannered and can carry out his/her duties in a required manner. That is why people came with the proverb that ‘a slave is never chased away’ to communicate the innocence and hard work of slaves.

The proverb can be comparable to those people who perform their jobs accordingly in order to impress their employers. Such people, in return, make employees to pay them accordingly because they respect their bosses.

The proverb teaches people about having good manners that can enable them to do their jobs well. This will enable them to have good relationship between employees and employers.

Joshua Bin Sira 33: 26-32.

428. INZAGAMBA ULU YUPYENWA IGAZONGAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuzongu bho nzagamba iyo yapyenagwa. Inzagamba, igabhizaga nhyangamumku ulu itemile ung’widale.

Aliyo lulu, ulu yupyenwa niyagamba lingi, igazongaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘inzagamba ulu yupyenwa igazongaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo olintongeji o bhanhu, aho atali ugupejiwa. Umunhu ng’wunuyo agakindwa na ng’wiye abho wiza ubhuchaji, ukija uguchagulwa. Agingila ungi umunimo gokwe gunuyo.

Kuyiniyo lulu, uweyi nanghwe agazongaga guti ni nzagamba iyo yapyenwa yiniyo. Agamalaga ulubhango umuwikaji bhokwe, kunguno hamo obhitilaga yabhubhi abhanhu abho obhatongelaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘‘inzagamba ulu yupyenwa igazongaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhitila yawiza abhanhu abho bhalibhatongela, kugiki nulu bhaginga umubhotongeji, bhadule gwikala bho bhuyeji na bhanhu abho bhabhatongelaga.

Luka 15:13-16.

Daniel 4:30-33.

KISWAHILI: FAHARI AKISHINDWA NA FAHARI NG’WINGINE HUSONONEKA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kusononeka kwa fahari aliyeshindwa na fahari mwenzake kwenye kundi. Lakini basi, akizidiwa na fahari mwenzake, husononeka sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahari akishindwa na fahari mwingine husononeka.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye alikuwa kiongozi kablya hajafukuzwa. Mtu huyo alishindwa na mwenzake kwenye uchaguzi akaingia mwingine kwenye nafari yake.

Kwa hiyo basi, yeye naye husononeka kama yule fahari aliyeshindwa. Fahari huyo hukosa Baraka au furaha maishani mwake, kwa sababu pengine aliwatendea mabaya wenzake alipokuwa kiongozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahari akishindwa na fahari mwingine husononeka.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatendea mema watu wanaowaongoza, ili wakiacha kazi hiyo ya uonngozi, waweze kuishi kwa furaha na watu waliowaongaza.

Luka 15:13-16.

Daniel 4:30-33.

bull

cattle1

 

ENGLISH: A DEFEATED BULL BECOMES SAD.

The source of the above proverb is derived from a failed and frustration bull. When the bull is defeated by its fellow, it becomes very depressed. That is why people can say ‘a defeated bull becomes sad’ to communicate the sad feelings the bull can feel for being defeated in the challenge.

The proverb can be compared to a person who was a leader before before being dismissed. Such a person was taken out of power through ballot and his/her position was replaced by someone else.  The defeated leader will always feel uncomfortable to go back to the people he/she used to lead when in power.

The proverb teaches people to respect others, especially in leadership. They have to respect their subordinates so that when they come out of power they can be well accepted in the society.

Luke 15: 13-16.

Daniel 4: 30-33.

427. GWAGULA GO NG’WANA BHUYEGI BHO BHABYAJI.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhuyegi bho bhabyaji, kunguno ya gwandya gwagula go ng’wana obho. Abhabyaji bhenabho ulu bhumona ng’wana obho alikula chiza, bho gwandya gwigasha, na gwagula bho weyi bhung’wene, bhagayegaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gwagula go ng’wana bhuyegi bho bhabyaji.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhanhela chiza ung’wana obho, mpaga ubheja kaya yakwe, na gwandya gubhambilija.

Abhabyaji bhenabho bhagabhalangaga abhana bhabho higulya ya gutumama milimo yabho, kubhukamu bhatale, na gwikala chiza na bhanhu.

Ugwagula go ng’wana ng’wunuyo, yikolile nu gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yiniyo na gubhalanghana chiza abhabyaji bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gwagula go ng’wana bhuyegi bho bhabyaji.’

Ulusumo lunuyo lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhana bhabho, kugiki, bhadule gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo na gwikala chiza, na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Marko 10:13-16.

KISWAHILI: KUTAMBAA KWA MTOTO FURAHA YA WAZAZI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia furaha ya wazazi, kwa sababu ya kuanza kutambaa kwa mtoto wao. Wazazi hao wakimuona mtoto wao anakua vizuri kwa kuanza kukaa na kutambaa yeye mwenyewe, hufurahi sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kutambaa kwa mtoto furaha ya wazazi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao wamemlea vizuri mtoto wao, mpaka akatengeneza mji wake, na kuanza kuwatunza wao wenyewe. Wazazi hao huwalea vizuri watoto wao kwa kuwafundisha kufanya kazi zao, kwa bidii kubwa, na kuishi vizuri na watu.

Kutambaa kwa mtoto kwafanana na kuwa na bidii ya kufanya kazi hizo, na kuwatunza wazazi wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kutambaa kwa mtoto furaha ya wazazi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwalea vizuri watu wao, ili waweze kuwa na bidii ya kufanya kazi, na kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Marko 10:13-16.

baby african

baby2

 

ENGLISH: THE CRAWLING OF THE BABY IS THE JOY OF THE PARENTS.

The source of the above proverb looks at the parents’ happiness when their child begins to craw. When parents see their child grows up they become happy. That is why people can say ‘the crawling of the baby is the joy of the parents’ to communicate the degree at which parents feel when their children grow healthly.

The proverb can be compared to people who raise well their children. It is expected that those children are, in return, likely to save their parents by taking care of them. Therefore, parents need to nurture well their children by encouraging them to build the spirit of working hard in order to be in a position to take care of their parents when they are old enough to save themselves.

The proverb teaches people about how to properly care for their people. Parents have to take care of their children in a properly manner in order to bring about a well nurtured society that abides by moral ethics of the given society.

Mark 10: 13-16.

423. UBHEBHE ULIKALEMEJI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulemeji bho ng’wa munhu nebhe. Umunhu ng’wunuyo ulu utung’wa guja gujutumama nimo nebhe, agalemaga.

Uweyi adahamagwa na bhiye umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhebhe ulikalemeji.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhalemela abhabyaji bhakwe. Umunhu ng’wunuyo adabhigwaga abhabyaji bhakwe bhenabho, ulu bhang’wila mhayo nebhe. Ulu bhanhugula higulya ya guleka ginhu jilebhe, uweyi agalemaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhebhe ulikalemeji.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kubhakuja bhabyaji bhao, kugiki bhadule gupandika wikaji bho shigu ningi ukuwelelo, na bhuyeji bhutale ung’wigulu.

Mithali 19:13.

KISWAHILI: WEWE NI YULE ALIYESHINDIKANA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya kushindikana kwa mtu fulani. Mtu huyo akitumwa kwenda kufanya kazi fulani hukataa.

Yeye hukataa kuonywa na wenzake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘wewe ni yule aliyeshindikana.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameshindikana kwa wazazi wake. Mtu huyo hawasikilizi wazazi wake, wakimwambia kufanya kitu fulani. Wakimuonya juu ya kuacha kufanya jambo fulani, yeye hukataa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘wewe ni yule aliyeshindikana.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazazi wao, ili waweze kuishi siku nyingi hapa duniani, na heri Mbinguni.

Mithali 19:13.

lady

kids3

 

ENGLISH: YOU ARE A FAILED PERSON.

The source of this saying is someone’s failure to achieve his/her expectations in life. That person tends to refuse doing something when asked to do so. Due to his/her behaviour of disobeying his/her elders he/she can be warned by the saying that ‘you’re a failed person.’

This saying can be compared to a person who refuses to obey the teachings of his/her parents. Such a person does not listern to his/her parents who tell him/her how to approach life. Eventually, parents can give give up leaving him/her to face the consequences of his/her disobedience.

The proverb teaches people to respect their parents so that they can live longer and be blessed in Heaven.

Proverbs 19:13.