Ulusumo lunulo, lwandija kubhanhu abho bhalina nsadu ahakaya yabho. Abhanhu bhenabho bhadabhawilile abhazenganwa bhabho igiki alihoyi nsadu hoyi. Abhoyi bhamanaga bhunagulija bho gwib’isa kugiki abhazenganwa bhabho bhadizumana iyo ilihoyi ahenabho.
Lushugu lumo, unsadu ng’wunuyo agalemelwa uzumalika mpaga nabho bhandya gulila ng’hungu. Abhazenganwa aho bhajigwa ing’hungu jinijo, huna bhudebha igiki gashinaga olihoyi nsadu aha kaya yiniyo. Hunagwene bhagayomba giki, “gub’isa nlwile ulabhulwa ng’hungu.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga na makoye bho nduhu ugubhawila abhanhu abho bhagikalaga nabho, umukikalile kabho. Amakoye genayo, gagamanaga gukula bho gubhaminya mpaga gabhalabhula na gumanyika ukubhanhu abho bhabhab’isa. Abhoyi bhagapondagwa soni na makoye genayo ulu bhagamana abhangi.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagamisa unlwile obho mpaga uzumalika, kunguno nabho bhagagabhisaga amakoye gabho mpaga gabhalabhula na gumanyika ukubhazenganwa bhabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagabhawilaga giki, “gub’isa nlwile ulabhulwa ng’hungu.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleta nhungwa ja gubhisa makoye gabho ayo galikihamo na sata, kugiki bhadule gwiyambilija uguginja haho gatali ugwenha makoye matale gagubhaminya, umuwikaji bhobho.
Luka 13:3-5.
1 Wakorintho 11:29-30.
KISWAHILI: KUFICHA MGONJWA UTAFICHULIWA KILIO.
Methali hiyo ilianzia kwa watu waliokuwa na mgonjwa nyumbani kwao. Watu hao hawakuwaambia majirani zao juu ya uwepo wa mgonjwa huyo. Wao waliendelea kujaribu kumtibu kwa kujificha ili majirani wasifahamu kuwa kuna mjonjwa.
Siku moja mgonjwa alizidiwa akafariki na wao wakaanza kulia. Majirani waliposikia vilio hivyo, wakatambua kuwa kumbe watu hao walimficha mgonjwa wao. Ndiyo maana walisema kwamba, “kuficha mjonjwa utafichuliwa kilio.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wanaoficha matatizo yao bila kuwaambia wenzao wanaoishi pamoja nao, katika maisha yao. Matatizo hayo, huendelea kuwa makubwa yanayowaumiza watu hao, mpaka mwishowe hushindikana kutatuliwa hali ambao huwapa nafasi majirani yao kuyafahamu. Watu hao huumbuliwa na matokeo mabaya ya kuyaficha matatizo hayo.
Watu hao hufanana na wale walioficha mgonjwa wao wakafichuliwa na kilio baada ya kufariki kwa mgonjwa huyo, kwa sababu nao pia huyaficha matatizo yao mpaka yanakuwa makuwa kiasi cha kuwafanya majirani wafahamu juu ya uwepo wa matatizo yao. Ndiyo maana majirani hao husema, “kuficha mjonjwa utafichuliwa kilio.”
Methali hiyo, huwafundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuficha matatizo yao yakiwemo yale ya ugonjwa, ili waweze kusaidiana kuyatatua matatizo hayo, kabla ya hayajaleta madhara, katika maisha yao.
Luka 13:3-5. “La hasha! Ninyi nanyi msipotubu, mtaangamia vivyo hivyo. Au wale watu kumi na wanane waliokufa walipoangukiwa na mnara huko Siloamu, mnadhani wao walikuwa waovu kuliko watu wote waliokuwa wanaishi Yerusalemu? Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.””
1 Wakorintho 11:29-30. “Kwa maana mtu ye yote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, anajiletea hukumu juu yake mwenyewe. Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.”
ENGLISH: HE WHO HIDES SICKNESS, DEATH WILL BETRAY HIM.
This proverb originated from people who had a patient in their home. However, they did not tell their neighbours that they had someone sick in their home. They went on treating him secretly so that neighbours would not know they had someone sick in their home.
However, one day the patient’s condition worsened and he died. After he was dead his relatives started crying. When the neighbors heard the cries, they realized that their fellows had someone who was sick but they had hidden that fact from them. That is why they said that “he who hides sickness, death will betray him.”
This proverb is compared with people who hide their problems without telling those they live with. These problems continue to plague them to the point that they suffer so much to the point that their neighbours know that they are overwhelmed by troubles. These people suffer because they hide their problems which would get solutions if they told their neighbours.
These people are like those who hid their patient but were exposed by cries after their patient died. They are like those people because they also hide their problems until they become big enough to make their neighbors aware of their existence. That is why their neighbours said “he who hides sickness, death will betray him.”
This proverb teaches people to stop hiding their problems, including diseases, so that they can help each other to solve those problems, before they cause harm.
Luke 13: 3-5.
1 Corinthians 11: 29-30.