Ulusumo lunulo, lwandija ku lufu lo mhunhu ng’habhi o jiji jilebhe. Ulushigu lunulo, bhalihoyi bhanhu bhagenhu noyi aha masugu genayo. Uumo obho agabhuja, ‘ni bhuli bhalihoyi bhanhu bhagehu chiniki ilelo.’ Ung’wikaji o muchalo jinijo, aganshogeja giki, ‘yilikunguno ya gugayiwa nyama aha lufu lo ng’habhi ng’wunuyo.’ Ungeni agayomba, ‘gashinaga abhanhu bhagajaga ukumasugu kunguno ya gulya nyama, kukila ugolecha bhumo bhobho!’ Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba giki, ‘lufu lwa ng’habhi lugalilagwa bhagehu.’
Usulumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajaga ugujubhalunguja abho bhapandikaga masugu, bho kusolanya kunguno ya gusendamila gupandika ginhu jilebhe. Ihali yiniyo, igeng’helejaga kubhiza bhanhu bhagehu aha lufu lo ng’wa munhu uyo alig’habhi.
Aha lufu lwa nsabhi, bhagajaga hoyi bhanhu bhingi noyi, iki bhagalyaga nyama nyingi hoyi. Hangi abhadugu wakwe unjimiji, bhagagabhanhaga sabho ijo jalekwa nu njimiji.
Aliyo lulu, aha lufu lwa ng’habhi, bhagashigaga hoyi bhagehu, kunguno ya kugaiwa inyama ya gulya. Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyomba giki, ‘lufu lwa ng’habhi lugalilagwa bhagehu.’ Rejea Kueneza Injili Kwa Methali, bhukurasa bho 52.
Ijitabho jinijo jigandikwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka kubhasolanya abhanhu abhasabhi na mahabhi. “Giko lulu, dudizubhiza na bhusolanya mugati ya bhanhu abho bhali bhasabhi, na bhahabhi, nulu abhanhu abho bhalibhatongeji, nabho bhadina bhutale.
Hangi dudizubhadalaha iki UYesu Kristo alimo umudati yabho pye abhose. No no no, umugati ya bhahabhi, bhajilema, nabho bhadidujije abho ubhutemi bho ng’wa Mulungu bhuli bhobho.
UYesu Kristo, agacha guti munhu ng’habhi noyi, iki umu lufu lwakwe bhalihoyi bhanhu bhagehu, aliyo ulufu lokwe luli lufu lwa nsabhi, ulo lugadusabhyaga aise pye abho danzunya. Bhuli munhu adulile gulya matwajo ayo gagigelaga umunti go nsalabha, ubho bhuli hubhupanga ubho bhulunga kele. Lolaga Kueneza Injili kwa Methali, 52.
Yakobo 2:1-5.
Luka 10:22.
Waroma 5:10.
Yohane 3:14-15.
KISWAHILI: KIFO CHA FUKARA KINALILIWA NA WACHACHE.
Methali hiyo, ilianzia kwenye kifo cha mtu fukara wa kijiji furani. Siku hiyo, walihudhuria watu wachache sana. Mmoja akauliza, ‘kwa nini watu ni wachache hivi leo?’ Mwenyeji wa sehemu hiyo alimjibu, ‘ni kwa sababu ya kukosekana kwa nyama kwenye kifo cha mtu huyu furaka.’
Mgeni akasema, ‘kumbe watu huenda kulia kwenye msiba kwa sababu ya kutegemea kula nyama, badaya ya kuonesha umoja wao!’ Ndiyo maana watu wakaanza kusema kwamba, ‘kifo cha fukara kinaliliwa na wachache.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wanaoenda kufariji watu wenye matatizo kwa kubagua kwa sababu ya kutegemea kupata faida fulani. Hali hiyo, husababisha kuwepo kwa watu wachache kwenye kifo cha mtu maskini. Kwenye kifo cha tajiri huhudhuria watu wengi mno kwa kuwa hula nyama nyingi. Tena ndugu zake hugawana mali iliyoachwa na marehemu.
Lakini kwenye kifo cha fukara, hufika watu wachache kwa sababu ya kukosa nyama. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kifo cha fukara kinaliliwa na wachache.’ Rejea Kueneza Injili kwa Methali, ukuraka 52.
Kitabu hicho, kiliandikwa na watafiti ambao ni: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1984.
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ubaguzi kati ya watu matajiri na maskini. “Hivyo tusiwe na ubaguzi kati ya watu matajiri na maskini au kati ya watu wa cheo na wasio na cheo. Tena tusiwadharau kwa kuwa Yesu Kristo yumo ndani ya watu wote. Hasa yumo ndani ya watu maskini wenye kulemaa na wasiojiweza ambao ufalme wa Mungu ni wao.
Yesu Kristo alikufa kama mtu maskini, kwa kuwa kwenye kifo chake walikuwepo wachache, lakini kifo chake hasa ni kifo cha tajiri ambacho kinatutajirisha sisi sote tunaomwamini. Kila mtu aweza kula matunda yanayotokea katika mti wa msalala, yaani uzima wa milele.” Rejea Kueneza Injili kwa Methali, 52.
Yakobo 2:1-5. “Ndugu zangu, kama waaminio katika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe na upendeleo kwa watu. Kwa maana kama akija mtu katika kusanyiko lenu akiwa amevaa pete ya dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia mtu maskini mwenye mavazi yaliyochakaa, nanyi mkampa heshima yule aliyevaa mavazi mazuri na kumwambia, ‘‘Keti hapa mahali pazuri,’’ lakini yule maskini mkamwambia, ‘‘Wewe simama pale,’’ au ‘‘Keti hapa sakafuni, karibu na miguu yangu,’’ je, hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu? Ndugu zangu, sikilizeni: Je, Mungu hakuwachagua wale walio maskini machoni pa ulimwengu kuwa matajiri katika imani na kuurithi Ufalme aliowaahidi wale wampendao?”
Luka 10:22. “Vitu vyote vimekabidhiwa mikononi Mwangu na Baba.
Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.”
Waroma 5:10. “Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima Wake”
Yohane 3:14-15. “Kama vile Mose alivyomwinua yule nyoka kule jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu. 15Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele.”
ENGLISH: THE DEATH OF THE POOR IS MOURNED BY FEW PEOPLE
This proverb has its origin from the death of a poor village man. In this poor man’s burial, only few people attended. One of the attendants asked, ‘why mourners are few?’ and the response was, ‘because the dead man was poor therefore, people knew that there would be no meat to eat in his burial.’ This is why people came with such a proverb that ‘the death of the poor is mourned by few people.’
This proverb can be likened to those people who discriminate others because of their social differences. Those people consider themselves as the successful ones in life and therefore they cannot associate with others who appear to be of low profile; poor. People know that, attending the burial of a rich person means having enough food to eat and, on the side of relatives, their attendance to burial means having a share in the distribution of the late’s properties (Refer to Kueneza Injili kwa Methali which means ‘Spreading the Gospel through Proverbs,’ page 52). This book was written by researchers: Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1984.
The proverb teaches people to stop discriminating between rich and poor. As the Holy scripture says, “So we must not discriminate between the rich and the poor. And let us not despise them for Jesus Christ is in all men. Especially the poor and crippled people of whom the kingdom of God belongs.
Jesus Christ died as a poor man, for at his death there were only a few, but his death was actually a rich death that enriches all of us who believe in Him. Every man is able to eat the fruit of the tree of life, namely, eternal life (Refer to ‘Spreading the Gospel in Proverbs,’ page 52).
James 2: 1-5. Luke 10:22. Romans 5:10. John 3: 14-15.