Imbuki ya lusumo lunulo yilolile kikalile ka ng’wa makunja ako kali ka heke. Uweyi olialemile ugukaleka akikalile kakwe, ako kagang’wenheleja kubhiza masaginghi.
Umunhu ng’wunuyo oliadajaga ukuli masaginghi ng’wiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘makunja adajaga ng’wa masaginghi ng’wiye.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile igiki, bhuli ginhu jili na jimile jajo. Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa na makunja uyo adajaga ng’wa masaginghi ng’wiye, kunguno nanghwe agajisomelaga iginhu giti numo jili, umujimile jajo.
Uweyi agikalaga akadimilile akajile kakwe kenako, guti nu makunja umo oliakadimililile akajile kakwe. Adajigaluchaga iginhu jinijo, kugiki jifade akimile kakwe uweyi, agajilekaga numo jili. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga, ‘makunja adajaga ng’wa masaginghi ng’wine.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyabhi, bho gujitumila chiza ijinhiwa jabho, kugiki bhadule kupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.
Yohana 3:12.
1 Wakorintho 12:12.
KISWAHILI: MAKUNJA HAENDI KWA MASAGINGHI MWENZAKE.
Chanzo cha methali hiyo chaangalia maisha ya makunja yalivyokuwa ya pekee. Yeye alikuwa hataki kuacha mwenendo wake huo wa maisha, ambao ulimfanya aitwe masaginghi, yaani mtu wa pekee.
Mtu huyo alikuwa haendi kwa masaginghi mwenzake, kwa maana ya kuiacha namna yake yakuishi, iliyompatia mafanikio mengi maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘makunja haendi kwa masaginghi mwenzake.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kwamba, kila kitu kina asili yake. Mtu huyo hulinganishwa na makunja asiyeenda kwa masaginghi mwenzake, kwa sababu naye huvisoma vitu hivyo katika asili yake, ili aweze kuuelewa ukweli wa vitu hivyo.
Yeye huwa havibadilishi vitu hivyo, vifuate alivyo yeye, bali huviacha vibaki vilivyo. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘makunja haendi kwa masaginghi mwenzake.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uhuru wa kuvitumia vizuri vipaji vyao, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.
Yohana 3:12.
1Wakorintho 12:12.
ENGLISH: MAKUNJA DOES NOT GO TO HIS FELLOW MASAGINGHI.
The source of this proverb looks at Makunja’s unique life style. He did not want to change his style of life and people labelled him (Masaginghi) a special person. This kind of life made him a successful person. This is why people can use the proverb ‘Makunja does not go to his fellow Masaginghi’ to communicate how one with success in life cannot easily give up in struggle for fear of losing his/her richness.
The proverb can be compared to a person who understands that everything has its origin. Such a person is compared to Makunja who do not go to fellow Masaginghi because he can read by himself and be able to understand the world in its natural state.
The proverb teaches people about the freedom to make the best use of their talents. This can make one have the best kind of life determined by him/her.
John 3:12.
1 Corinthians 12:12.