Sukuma

976. KALAGU – KIZE. UBHABHA ONINHA SHU IBHILI LUMO NAGALUTUMILAGA ULUNGI NADALUTUMAMILAGA – B’UPANGA NA LUFU.

Ikalagu yiniyo, ihoyelile shu ib’ili. Ulushu ulo gwandya ulo nagalutumamilaga hu b’upanga, kunguno abhanhu dugikalaga mhola kulwa b’udula b’o Nsumbi wise. Uluhuu ulo kab’ili hu Lufu, kunguno aise bhanhu dugachaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ubhabha oninha shu ib’ili lumo nagalutumilaga ulungi nadalutumilaga – b’upanga na Lufu.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga chiza, ubhupanga bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe iya gung’wenhela jiliwa bho gumsendamila Mungu, kunguno ahayile apandike nguzu ja gugudamya umili gokwe. Uweyi apandikaga sabho ja gubhulanhanile chiza ubhupanga bhokwe nubho bhiye, kunguno ya bhutumami wiza bho milimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu lushu lo b’upanga ulo lugatumamilagwa kunguno nang’hwe agabhutumilaga chiza ubhupanga bhokwe bho gunsendamila Mulungu umu bhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ubhabha oninha shu ib’ili lumo nagalutumilaga ulungi nadalutumilaga – B’upanga na Lufu.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhutumila chiza ubhupanga bhobho bho gwikala chiza na bhichabho, na gwikomeja gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele mpaga ha lushigu lo gucha gobho.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

BABA AMENIPA VISU VIWILI KIMOJA NINAKITUMIA KINGINE SIKITUMII – UHAI NA KIFO.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya visu viwili ambavyo ni uhai na kifo. Kisu cha kwanza ni uhai kwa sababu huwa dunabaki salama kwa uwezo wake Muumba wetu.

Kisu cha pili ni kifo ambacho hatukitumii kwa sababu wanadamu wote hufa mahali popote ukifika muda wake. Hivyo hatukitumii kifo hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, “baba amenipa visu viwili kimoja ninakitumia kingine sikitumii – uhai na kifo.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia uhai wake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa kumtegemea Mungu awezaye kumlinda kwa sababu ya kutaka kupata chakula cha kumpatia nguvu za kuendelea kuwa hai. Yeye hupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza majukumu yakwe, kwa kumtegemea Mungu, maishani mwake. Mali hiyo, humuwezesha kuulinda uhai wake na wa wenzake.

Mtu huyo, hufanana na kile kisu cha uhai kitumiwacho, kwa sababu naye huulinda uhai wake kwa kuyatekeleza majukumu yake katika imani ya kumtegemea Mungu, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “baba amenipa visu viwili kimoja ninakitumia kingine sikitumii – uhai na kifo.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutumia uhai wao kwa kuyatekeleza majukumu yao, katika imani ya kumtegemea Mungu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, hadi kufa kwao.

Ufunuo 14:13.

knives-

african-family

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY FATHER HAS GIVEN ME ONE TWO KNIVES, ONE I USE THE OTHER I DO NOT USE – LIFE AND DEATH.

This riddle speaks of two knives, namely life and death. The first knife is life because it keeps us safe by the power of our Creator.

The second knife is death that we do not use because all human beings die anywhere when its time comes. So we are not using that death. That is why people say that, “My father has given me two knives, one I use and the other I do not use – life and death.”

This riddle is equated to the person who spends his life well in his life. This person works hard by relying in God who can protect him and provide him with basic needs such as food, shelter and clothes because he needs them for keeping him alive. He achieves great wealth because of his diligence in fulfilling his responsibilities by relying in God.  He manages to get properties which can enable him to protect his own life and that of others.

This person resembles the knife of life which one uses, because he also protects his life by fulfilling his responsibilities in faith and trust by depending on God in his life. That is why he tells people that, “My father has given me two knives, one I use and the other I do not use – life and death.”

This riddle instills in people an idea on how to use their lives by fulfilling their responsibilities by depending on God, so that they can live in peace with one another until death.

Revelation 14:13.

war-

 

.

975. KALAGU – KIZE. UMAYU ALINA BHANA MAKUMI ATANDATU – SA.

Ikalagu yiniyo ilolile Sa. Isa yiniyo, igabhalaga dagika makumi atandatu huna likoma ilikanza ilya Sa imo, kunguno iSa ili na dakika makumi atandatu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umayu alina bhana makumi atandatu – Sa.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalitumilaga chiza ilikanza lyakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho gudilila Sa, kunguno ajimanile isolobho ja gulitumila ilikanza lyakwe linilo bho gutumama milimo. Uweyi agaponaga majiliwa mingi kunguno ya gulitumamila chiza, ilikanza lyake linilo, bho gutumama milimo na guimala chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni Sa iyo igatumilaga dakika makumi atandatu huna likomo ilisa ilimo, kunguno nuweyi agalitumilaga chiza ilikanza lyakwe linilo bho gutumama milimo yakwe, ukunhu alilola Sa, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “umayu alina bhana makumi atandatu – Sa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kulitumila chiza ilikanza lyabho bho gulitumamila milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja jilanghanila chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25;1-13.

Mathayo 24:36-37.

Marko 13:32-36.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MAMA ANA WATOTO SITINI – SAA.

Kitendawili hicho, huangalia Saa. Saa hiyo, husebu dakika sitini ndipo inatimia Saa moja, kwa sababu saa moja ina dakika hizo sitini. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mama ana watoto sitini – Saa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule anayeutumia vizuri muda wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kuangalia saa, kwa sababu anazifahamu faida za kuutumia muda wake huo kwa kufanya kazi vizuri. Yeye hupata mazao mengi katika mashamba yake kwa sababu ya kuutumia muda wake huo kwa kuyatekeleza majukumu yake vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Saa inavyohesabu mpaga dakika sitini ndipo inatimia, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kutumia saa ili aweze kuutumia muda wake kwa kufanya kazi vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “mama ana watoto sitini – Saa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mazao ya chakula cha kutosha kuzilisha vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 25;1-13.

Mathayo 24:36-37.

Marko 13:32-36.

 

wristwatch-

watch-

pocket-watch-

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY MOTHER HAS SIXTY CHILDREN – AN HOUR.

The overhead riddle looks at an Hour. The hour counts sixty minutes for completing it, because one hour has sixty minutes. That is why people say that, “My mother has sixty children – an Hour.”

This enigma is related to the person who spends well most of his time in his life. This person, in turn, fulfills his or her responsibilities by looking at the clock, because he or she is aware of the benefits of using that time well. He gets a lot of produce from his fields because he nicely uses his time by fulfilling his responsibilities well in his life.

This person is similar to the Hour that counts for sixty minutes for fulfilling it, because he also fulfills his responsibilities by using the clock so that he can use his time to work well in his life. That is why they say that, “My mother has sixty children – an hour.”

This riddle teaches people on how to use their time well by fulfilling their responsibilities, so that they can get enough food to feed their families in their lives.

Matthew 25: 1-13.

Matthew 24: 36-37.

Mark 13: 32-36.

974. KALAGU – KIZE. MUNHU AGIKALAGA MJIHINDA – LEDIYO.

Ikalagu yiniyo ilihoyela Lediyo. Ilediyo yiniyo, kalijisema ako kagayombaga mihayo na gwimba mimbo aliyo nduhu ugubhabhona abhanhu. Iyoyi igabhizaga giti alihoyi munhu uyo ali mjihinda. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu agikalaga mjihinda – Lediyo.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo apandikaga mahano, ogatumamila bho nduhu ugumhona uyo aling’wila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho gunzunya Mulungu uyo agang’wilaga mihayo mu nzila ya jiloti, kunguno ya guzunya gokwe gutale ukuli Nsumbi okwe Ng’wunuyo. Uweyi agapandikaga mbango ja gutumama milimo yakwe chiza iyo igang’wenhelaga matwajo mingi, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapandikaga mihayo ya mlediyo bho nduhu ugumhona umunhu, kunguno nuweyi agahoyaga na Mulungu uyo adamhonaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “munhu agikalaga mjihinda – Lediyo.”

Ikagalu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guzunya mahayo ga Mulungu, uyo bhadamhonaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Wabrania 11:1-7.

Mariko 6:5-7.

Luka 24:25.

Zaburi 66:2-10.

Luka 11:31-32.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUWA SANDUKUNI – RADIO.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya Radio. Radio hiyo ni chombo kinachoongea maneno na kuimba nyimbo bila kumuona mtu. Yenyewe huwa kama kuna mtu aliyeko ndani ya sanduku hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huwa sandukuni-  Radio.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye kupata maono na kuyafanyia kazi bila kumuona anayemwambia, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kumwamini Mungu ambaye humpatia ujumbe kwa njia ya ndoto, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye hupata Baraka za kufanya kazi vizuri zinazompatia maendeleo mengi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule apataye maneno kupitia Radio bila kumuona mtu anayeongea, kwa sababu naye huongea na Mungu ambaye hamuoni, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “mtu huwa sandukuni- Radio.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kumsaidi Mungu wasiyemuona, ili waweze kupata Baraka za kuwaletea mafanikio mengi, maishani mwao.

Wabrania 11:1-7.

Mariko 6:5-7.

Luka 24:25.

Zaburi 66:2-10.

Luka 11:31-32.

ghettoblaster-

radio-

tube-radio-

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A PERSON WHO STAYS IN A BOX – A RADIO.

The above riddle talks about Radio. The radio is a device that speaks words and sings songs without seeing anyone. It is as if someone lives inside the box. That is why people say that, “a person who stays in a box – a radio.”

This riddle is compared to the person who gets the vision and acts on it without seeing the person who tells him in his life. Such person lives by believing in God who gives him messages through a dream, because of his great faith in his Creator. He receives Blessings of getting a good job that gives him a lot of progress in his life.

This person is like the one who receives words through the Radio without seeing the person who is speaking, because he also speaks to God Whom he does not see in his life. That is why they say that, “a person who stays in a box – a radio.”

This puzzle imparts in people a clue on how to believe in the invisible God, so that they can receive the blessings of bringing them great success in their lives.

Hebrews 11: 1-7.

Mark 6: 5-7.

Luke 24:25.

Psalm 66: 2-10.

Luke 11: 31-32.

973. KALAGU – KIZE. UGUKU ULUUNKUMYA UB’IZA SILI – IGONGOLI.

Ikalagu yiniyo ilihoyela ligongoli. Iligongoli linilo, lilijisumva ilo ulu ulikumya ligib’ilingaga ligonda mpaka lyab’iza giti Sili iyo igazwalagwa mulwala. Ilyoyi ligib’isaga bho gwib’ilinga chiniko. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “uguku uluunkumya ub’iza Sili – Igongoli.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wifuguji, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agifugulaga bho guleka nulu gulya jiliwa ulu ukenyiwa nunu na mhayo ndololo duhu, kunguno ya b’ulambu bho ng’holo yakwe indoo yiniyo. Uweyi agab’ayangajaga bho gubhapinihaja abhanhu kunguno ulu okumiwa hadoo duhu kale wifugulaga, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ligongoli ilo ligakumiyagwa lib’ilinga, kunguno nuweyi agakenyiyagwa hadoo duhu wifugula, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uguku uluunkumya ub’iza Sili – Igongoli.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza na ng’holo nhale ya kuleka wifuguji bho gwiyumilija na gulekeja ulu bhakenyiyagwa, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 10:13.

Wafilipi 4:12-13.

Zaburi 55:22.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

BABU UKIMGUSA ANAKUWA PETE – JONGOO.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya Jongoo. Jongoo huyo, ni kiumbe ambaye ukumgusa hujivilingisha mpaka anakuwa kama pete ya kuvaa kwenye kidole. Yeye hujificha kwa kujivilingisha hivyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Babu ukimgusa anakuwa pete – Jongoo.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anazila hata kwa jambo tu, katika maisha yake. Mtu huyo, huzila kwa kukataa hata kula chakula akikosewa hata kwenye jambo doo tu, kwa sababu ya kiburi cha roho yake hiyo ndogo. Yeye huwasumbua kwa huwazunishwa watu, kwa sababu ya kuzila kwake kila anakosewa hata kidogo tu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile Jongoo linalojivilingisha kila linapoguswa, kwa sababu naye huzila kila anakosewa hata ikiwa ni kidogo tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Babu ukimgusa anakuwa pete – Jongoo.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo mkuu wa kuacha tabia ya kuzila, kwa kuvumilia na kusamehe pale wanapokoseana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 10:13.

Wafilipi 4:12-13.

Zaburi 55:22.

giant-centipedes-

millipedes-

giant-tausendfuer

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WHEN YOU TOUCH MY GRANDFATHER BECOMES A RING – MILLIPEDE.

This riddle talks about a millipede. The millipede is a creature that when you touch it, it rolls around until it becomes like a ring that one wears on a finger. It hides itself by putting its head inside enough to make sure that it is safe from enemies. That is why people say that, “when you touch my grandfather becomes a ring – millipede.”

This riddle is compared to the person who becomes easily offended by even small thing. He gets angry to the point of refusing even to eat in his life. This man refuses to eat even though he is offended by something which has no connection with food because of the pride of his little patience. He is tormented by the grief of the people, because of his fasting after being offended by every one even in minor things.

This person resembles to the millipede that rolls around becoming a ring every time when one touches it, because he also refuses eat every time when one offends him even in little things in his life. That is why people say to him, “when you touch my grandfather becomes a ring – millipede.”

This riddle teaches people on how to be courageous enough to persevere difficult in life by forgiving whey they offend one another, so that they can better raise their families in their lives.

1Corinthians 10:13.

Philippians 4: 12-13.

Psalm 55:22.

972. DALINYHIWA MIHAYO YA NGELEGENZO.

Imihayo iya ngelegenzo ili mihayo ya ng’heni iyo igayombagwa bho mbisila aliyo uyo aliwilwa alihaho. Imihayo yiniyo, igayombagwa kubhanhu bhangi aliyo ili nhoyela munhu umo uyo bhiguma nang’hwe kunguno ya bhupelani ubho bhuli mu ng’holo jabho. Ulu uyigwa mihayo yiniyo umunhu uyo ali ng’wanishi okwe ogapelanaga. Hunagwene agayombaga giki, “dalinyhiwa mihayo ya ngelegenzo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe mihayo ya gwiduma na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adatogagwa ugudegeleka mihayo ya ng’wiye uyo bhigumile nang’hwe, kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho. Uweyi agatumilaga mihayo ya ngheni bho gub’itila bhiye aliyo ali nhoyela ng’wanishi okwe, kunguno ya gugayiwa bhutogwa ukuli ng’wiye ng’wunuyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunyo, alindamu ugubhalekaja abhanhu abho widuma nabho umukikalile kakwe. Uweyi agayiganikilaga shib’i imihayo iyo aliiyomba ung’wanishi okwe. Hunagwene agayombaga giki, “dalinyhiwa mihayo ya ngelegenzo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwiyitila mihayo ya bhub’i, bho gwilekeja ulu bhidumaga, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umu kaya jabho.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: TUMEANZWA MANENO YA KUZUNGUKWA.

Maneno ya kuzungukwa ni maneno ya mafumbo yanazumgumzwa kwa wengine wakati mlengwa yuko kwenye kundi hilo. Maneno hayo, humuongelea mtu waliyekosana naye kwa sababu ya hasira iyomo ndani ya mioyo yao. Yule anayeongelewa akigundua hukasilika. Ndiyo maana husema kwamba, “tumeanzwa maneno ya kuzungukwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayependa kukosana na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hapendi kusikiliza maneno ya yule anayemchukia, kwa sababu ya hasira yake hiyo. Yeye hutumia maneno ya mafumbo kupitia wengine, kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa adui yake huyo, kwa sababu ya kukosa upendo kwa mwenzake huyo, maishani mwake.

Mtu huyo, huwa mgumu kuwasamehe watu aliokosana nao, katika maisha yake. Yeye huyafikiria vibaya maneno anayoyaongea yule anayemchukia. Ndiyo maana husema kwamba, “tumeanzwa maneno ya kuzungukwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutendeana maovu, kwa kusameheana pale wanaposekeana, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Wagalatia 5:16-26.

people-women

models-1

ENGLISH: WE HAVE NOW STARTED TO BE TOLD IMPLICIT WORDS.

Implicit words are figurative words which are spoken by someone to others while the target is tell one who is within that group. These words are spoken to the person with whom they have quarreled for expressing an anger which is in their hearts. The one has been been talked about finds it annoying. That’s why this one says that, “We have now started to be told implicit words.”

This saying is compared to a person who likes to quarrel with others in life. This person does not like to listen to the words of the person whom he/she hates, because of his/her anger. He/she uses figurative language through others, for the purpose of conveying a message to his/her enemy because of an absence of love for enemies.

This person has difficult in forgiving the people who have wronged him/her in life. He/she misinterprets the words which are spoken by someone whom he/she hates. That’s why he/she says that, “We have now started to be told implicit words.”

This saying imparts in people an idea of stopping treating each other badly, by forgiving each other after offending each other, so that they can live peacefully in their lives.

Galatians 5: 16-26.

women-11