Ikalagu yiniyo ilolile Sa. Isa yiniyo, igabhalaga dagika makumi atandatu huna likoma ilikanza ilya Sa imo, kunguno iSa ili na dakika makumi atandatu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umayu alina bhana makumi atandatu – Sa.”
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalitumilaga chiza ilikanza lyakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho gudilila Sa, kunguno ajimanile isolobho ja gulitumila ilikanza lyakwe linilo bho gutumama milimo. Uweyi agaponaga majiliwa mingi kunguno ya gulitumamila chiza, ilikanza lyake linilo, bho gutumama milimo na guimala chiza, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni Sa iyo igatumilaga dakika makumi atandatu huna likomo ilisa ilimo, kunguno nuweyi agalitumilaga chiza ilikanza lyakwe linilo bho gutumama milimo yakwe, ukunhu alilola Sa, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “umayu alina bhana makumi atandatu – Sa.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kulitumila chiza ilikanza lyabho bho gulitumamila milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja jilanghanila chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Mathayo 25;1-13.
Mathayo 24:36-37.
Marko 13:32-36.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
MAMA ANA WATOTO SITINI – SAA.
Kitendawili hicho, huangalia Saa. Saa hiyo, husebu dakika sitini ndipo inatimia Saa moja, kwa sababu saa moja ina dakika hizo sitini. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mama ana watoto sitini – Saa.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule anayeutumia vizuri muda wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kuangalia saa, kwa sababu anazifahamu faida za kuutumia muda wake huo kwa kufanya kazi vizuri. Yeye hupata mazao mengi katika mashamba yake kwa sababu ya kuutumia muda wake huo kwa kuyatekeleza majukumu yake vizuri, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na Saa inavyohesabu mpaga dakika sitini ndipo inatimia, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kutumia saa ili aweze kuutumia muda wake kwa kufanya kazi vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “mama ana watoto sitini – Saa.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mazao ya chakula cha kutosha kuzilisha vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 25;1-13.
Mathayo 24:36-37.
Marko 13:32-36.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
MY MOTHER HAS SIXTY CHILDREN – AN HOUR.
The overhead riddle looks at an Hour. The hour counts sixty minutes for completing it, because one hour has sixty minutes. That is why people say that, “My mother has sixty children – an Hour.”
This enigma is related to the person who spends well most of his time in his life. This person, in turn, fulfills his or her responsibilities by looking at the clock, because he or she is aware of the benefits of using that time well. He gets a lot of produce from his fields because he nicely uses his time by fulfilling his responsibilities well in his life.
This person is similar to the Hour that counts for sixty minutes for fulfilling it, because he also fulfills his responsibilities by using the clock so that he can use his time to work well in his life. That is why they say that, “My mother has sixty children – an hour.”
This riddle teaches people on how to use their time well by fulfilling their responsibilities, so that they can get enough food to feed their families in their lives.
Matthew 25: 1-13.
Matthew 24: 36-37.
Mark 13: 32-36.