Sukuma

978. UGUSANGWA LWELWE UDINASIMIZA.

Ulusumo lunulo, lulolile ng’wana uyo oliodila ugusimiza. Ung’wana ng’wunuyo, wikalaga wagula bho nduhu ugwimila, kunguno ya bhudito bho magulu gakwe. Uweyi agakeleja noyi ugusimiza nose ilwelwe ijo jili noni ja gwiza ulujilingila ijidiku, jigegela gwiza.

Ulujiza inoyi jininijo, abhanhu bhandya gulima kunguno bhagamanaga giki, mumho jashigaga ijidiku. Hunagwene bhagang’wilaga ung’wana ng’wunuyo giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”

Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo atali ugutolwa, umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, ahayile atolwe aliyo lulu okeleja kunguno ya nhungwa jakwe ijo jidijawiza. Uweyi adalombaga ukuli Mulungu uyo adulile gumpandikala ntoji o wiza, kunguyo ya nhungwa jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Ung’waniki ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agakeleja ugusimiza, kunguno nu weyi okeleja ugutolwa, umukikalile kakwek kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhayanda na bhaniki abho bhalihaya gupandika bhichabho bha witoji, higulya ya kusalila gete, kugiki bhadule gubhapandika abhitoji bhenabho abhawiza, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 6:2.

Wabrania 12:14.

Luka 9:59-62.

KISWAHILI: UTAKUTWA LWELWE HUJATEMBEA.

Methali hiyo, huangalia mtoto aliyechelewa kutembea. Mtoto huyo, alikuwa akitambaa kwa muda mrefu bila kusimama kwa sababu ya uzito wa miguu yake. Yeye alichelewa sana kutembea mwishowe muda wa kufika Lwelwe ambao ni ndege wanaofika kipindi cha masika, ulikaribia kufika.

Ndege hao wakifika watu huanza kilima kwa sababu ya kutambua kuwa masika yamefika. Ndiyo maana watu waling’wambia mtoto huyo kwamba, “utakutwa lwelwe hujatembea.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa msichana yule ambaye hajaolewa, katika maisha yake. Msichana huyo, ana wito wa kuolewa lakini amechelewa kwa sababu ya tabia yake kutokuwa nzuri. Yeye huwa hasali kwa Mungu awezaye kumpatia mchumba mwema, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake.

Msichana huyo, hufanana na yule mtoto aliyechelewa kutembea, kwa sababu naye amechelewa kuolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “utakutwa lwelwe hujatembea.”

Methali hiyo, hufundisha wasichana na wavulana wenye wito wa ndoa, juu ya kusali sana ili Mungu awajalie kupata, wachumba wema, maishani mwao.

2Wakorintho 6:2.

Wabrania 12:14.

Luka 9:59-62.

family-

african-baby

ENGLISH: LWELWE (RAIN SEASONAL BIRDS {STORK BIRD}) WILL ARRIVE AND FIND YOU HAVE NOT WALKED.

This proverb looks at a child who is late to walk. This baby was crawling for a long time without standing up because of heavy weight of his legs. He was too late to stand up at last. The time of stork bird to arrive was near.  This a bird that arrives during the rainy season.

When these birds arrive, people start to cultivate because they realize that the rainy season has arrived. That is why people told the child that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork birds}) will arrive and find you have not walked.”

This proverb is compared to the unmarried girl in her life. This girl who has been called to get married but she is late because of her bad behavior. She prays to God who can give her a good bride without being successful because of her such bad behavior in her life.

This girl is like the child who was late to walk, because she is also too late to get married in her life. That is why people tell her that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork bird}) will arrive and find you have not walked.”

This proverb imparts in young girls and boys who are called to live marriage life to behave, enough to carry on praying earnestly for God who can grant them good brides in their lives.

2 Corinthians 6: 2.

Hebrews 12:14.

Luke 9: 59-62.

977. HAMBO HAMBO GUGALUKA IHANGA GUKILA GUGALUKA NG’HOLO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile lihanga na ng’holo ya ng’wa Munhu. Ilihanga linilo, kalikigelele ka ng’wa munhu ako kaliheke ni ng’holo yakwe, kunguno umunhu adulile gubhiza ni hanga lisoga aliyo ing’holo yakwe iliyabhubhi. Ilihanga linilo lidambilija ginhu. Gashinaga lulu mumo ligab’elela ilihanga lwake umunhu ng’wunuyo, ulu ali na ng’holo yabhub’i adulula ugwikala chiza na bhanhu.

Ukulwande ulungi, uong’holo nsoga agikalaga chiza na bhanhu mumo likab’ipila ilihanga lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “hambo hambo gugaluka ihanga gukila gugaluka ng’holo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo ya gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho gudimila nhungwa ja guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, kunguno atogilwe gwikala na ng’oho yawiza. Uweyi agadulaga gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya ng’holo yakwe iyo iliyawiza yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo alina ng’holo yawiza iyo igang’wambilijaga ugwikala na bhanhu chiza, kunguno nuweyi alina ng’holo yawiza iya guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu nhungwa jawiza ija gubhambilija gubhiza na ng’holo niza, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhawilaga giki, “hambo hambo gugaluka ihanga gukila gugaluka ng’holo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo jawiza ija gubhambilija ugujidimila inhungwa ija guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, kugiki bhadule gwikala na bhichabho chiza, umubhulamu bhobho.

1Petro 3:8.

1Yohana 4:7.

Waebrania 13:1-2.

1Petro 4:7-11.

KISWAHILI: HERI KUBADILIKA SURA KULIKO KUBADILIKA ROHO.

Chanzo cha methali hiyo, huangalia sura na roho ya mtu. Sura ni muonekano wa nje ambao uko tofauti na roho, kwa sababu mtu anaweza kuwa na sura nzuri lakini roho yake ikawa mbaya. Sura hiyo haimsaidii kitu. Kumbe basi, mtu hata awe na sura nzuri kiasi gani kama roho yake ni mbaya hataweza kuishi vizuri na watu wake.

Kwa upande mwingine, mwenye roho nzuri, huishi vizuri na watu hata kama sura yake ni mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, “heri kubadilika sura kuliko kubadilika roho.”

Mtu huyo, hufananishwa na mtu mwenye roho nzuri ya kuishi na watu vizuri, maishani mwake. Mtu huyo, huishi kwa kuyashikilia maadili mema ya kumpenda Mungu na watu wake, kwa sababu ataka nao wawe na roho njema. Yeye huweza kuishi na watu wengi vizuri kwa sababu ya roho yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwenye roho njema inayomwezesha kuishi na watu vizuri, kwa sababu naye ana roho njema ya kumpenda Mungu na watu wake, katika maisha yake. Yeye huwafundisha watu maadili mema ya kuwasaidia kuwa na roho njema, maishani mwao. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “heri kubadilika sura kuliko kubadilika roho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na roho njema ya kuwasaidia katika kuyashikilia maadili mema ya kumpenda Mungu na watu wake, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

1Petro 3:8.

1Yohana 4:7.

Waebrania 13:1-2.

1Petro 4:7-11.

african-church-

ENGLISH: IT IS BETTER TO CHANGE SHAPE THAN TO CHANGE SOUL.

The basis of this proverb looks at the shape and soul of a person. A shape is an outward appearance that is different from the soul, because a person may have a good appearance but his/her soul can become horrible. Such appearance does not help him/her at all. However, no matter how good a person may be if his soul is bad, he/she will not be able to live well with people.

A good person, on the other hand, lives well with people even when he has a bad appearance. That is why people say that, “It is better to change shape than to change soul.”

This proverb is related to a person with a good soul who lives well with people in his life. This person lives by holding to the moral standards of love for God and his people, because he wants them to have a good soul. He can live with many people because of his good deeds to others in his life.

This person resembles the one who has a good soul that enables him to live well with people, because he also has a good soul enough to love God and his people, in his life. He teaches people good manners enough to help them in having a good soul in their lives. That is why he tells them, “It is better to change shape than to change soul.”

This proverb teaches people on how to have a good soul enough to help them in holding to the good values ​​of loving God and his people, so that they can live well with each other in their lives.

1 Peter 3: 8.

1 John 4: 7.

Hebrews 13: 1-2.

1 Peter 4: 7-11.

976. KALAGU – KIZE. UBHABHA ONINHA SHU IBHILI LUMO NAGALUTUMILAGA ULUNGI NADALUTUMAMILAGA – B’UPANGA NA LUFU.

Ikalagu yiniyo, ihoyelile shu ib’ili. Ulushu ulo gwandya ulo nagalutumamilaga hu b’upanga, kunguno abhanhu dugikalaga mhola kulwa b’udula b’o Nsumbi wise. Uluhuu ulo kab’ili hu Lufu, kunguno aise bhanhu dugachaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ubhabha oninha shu ib’ili lumo nagalutumilaga ulungi nadalutumilaga – b’upanga na Lufu.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga chiza, ubhupanga bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe iya gung’wenhela jiliwa bho gumsendamila Mungu, kunguno ahayile apandike nguzu ja gugudamya umili gokwe. Uweyi apandikaga sabho ja gubhulanhanile chiza ubhupanga bhokwe nubho bhiye, kunguno ya bhutumami wiza bho milimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu lushu lo b’upanga ulo lugatumamilagwa kunguno nang’hwe agabhutumilaga chiza ubhupanga bhokwe bho gunsendamila Mulungu umu bhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ubhabha oninha shu ib’ili lumo nagalutumilaga ulungi nadalutumilaga – B’upanga na Lufu.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhutumila chiza ubhupanga bhobho bho gwikala chiza na bhichabho, na gwikomeja gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele mpaga ha lushigu lo gucha gobho.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

BABA AMENIPA VISU VIWILI KIMOJA NINAKITUMIA KINGINE SIKITUMII – UHAI NA KIFO.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya visu viwili ambavyo ni uhai na kifo. Kisu cha kwanza ni uhai kwa sababu huwa dunabaki salama kwa uwezo wake Muumba wetu.

Kisu cha pili ni kifo ambacho hatukitumii kwa sababu wanadamu wote hufa mahali popote ukifika muda wake. Hivyo hatukitumii kifo hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, “baba amenipa visu viwili kimoja ninakitumia kingine sikitumii – uhai na kifo.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia uhai wake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa kumtegemea Mungu awezaye kumlinda kwa sababu ya kutaka kupata chakula cha kumpatia nguvu za kuendelea kuwa hai. Yeye hupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza majukumu yakwe, kwa kumtegemea Mungu, maishani mwake. Mali hiyo, humuwezesha kuulinda uhai wake na wa wenzake.

Mtu huyo, hufanana na kile kisu cha uhai kitumiwacho, kwa sababu naye huulinda uhai wake kwa kuyatekeleza majukumu yake katika imani ya kumtegemea Mungu, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “baba amenipa visu viwili kimoja ninakitumia kingine sikitumii – uhai na kifo.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutumia uhai wao kwa kuyatekeleza majukumu yao, katika imani ya kumtegemea Mungu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, hadi kufa kwao.

Ufunuo 14:13.

knives-

african-family

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY FATHER HAS GIVEN ME ONE TWO KNIVES, ONE I USE THE OTHER I DO NOT USE – LIFE AND DEATH.

This riddle speaks of two knives, namely life and death. The first knife is life because it keeps us safe by the power of our Creator.

The second knife is death that we do not use because all human beings die anywhere when its time comes. So we are not using that death. That is why people say that, “My father has given me two knives, one I use and the other I do not use – life and death.”

This riddle is equated to the person who spends his life well in his life. This person works hard by relying in God who can protect him and provide him with basic needs such as food, shelter and clothes because he needs them for keeping him alive. He achieves great wealth because of his diligence in fulfilling his responsibilities by relying in God.  He manages to get properties which can enable him to protect his own life and that of others.

This person resembles the knife of life which one uses, because he also protects his life by fulfilling his responsibilities in faith and trust by depending on God in his life. That is why he tells people that, “My father has given me two knives, one I use and the other I do not use – life and death.”

This riddle instills in people an idea on how to use their lives by fulfilling their responsibilities by depending on God, so that they can live in peace with one another until death.

Revelation 14:13.

war-

 

.

975. KALAGU – KIZE. UMAYU ALINA BHANA MAKUMI ATANDATU – SA.

Ikalagu yiniyo ilolile Sa. Isa yiniyo, igabhalaga dagika makumi atandatu huna likoma ilikanza ilya Sa imo, kunguno iSa ili na dakika makumi atandatu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umayu alina bhana makumi atandatu – Sa.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalitumilaga chiza ilikanza lyakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho gudilila Sa, kunguno ajimanile isolobho ja gulitumila ilikanza lyakwe linilo bho gutumama milimo. Uweyi agaponaga majiliwa mingi kunguno ya gulitumamila chiza, ilikanza lyake linilo, bho gutumama milimo na guimala chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni Sa iyo igatumilaga dakika makumi atandatu huna likomo ilisa ilimo, kunguno nuweyi agalitumilaga chiza ilikanza lyakwe linilo bho gutumama milimo yakwe, ukunhu alilola Sa, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “umayu alina bhana makumi atandatu – Sa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kulitumila chiza ilikanza lyabho bho gulitumamila milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja jilanghanila chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25;1-13.

Mathayo 24:36-37.

Marko 13:32-36.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MAMA ANA WATOTO SITINI – SAA.

Kitendawili hicho, huangalia Saa. Saa hiyo, husebu dakika sitini ndipo inatimia Saa moja, kwa sababu saa moja ina dakika hizo sitini. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mama ana watoto sitini – Saa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule anayeutumia vizuri muda wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kuangalia saa, kwa sababu anazifahamu faida za kuutumia muda wake huo kwa kufanya kazi vizuri. Yeye hupata mazao mengi katika mashamba yake kwa sababu ya kuutumia muda wake huo kwa kuyatekeleza majukumu yake vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Saa inavyohesabu mpaga dakika sitini ndipo inatimia, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa kutumia saa ili aweze kuutumia muda wake kwa kufanya kazi vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “mama ana watoto sitini – Saa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mazao ya chakula cha kutosha kuzilisha vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 25;1-13.

Mathayo 24:36-37.

Marko 13:32-36.

 

wristwatch-

watch-

pocket-watch-

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY MOTHER HAS SIXTY CHILDREN – AN HOUR.

The overhead riddle looks at an Hour. The hour counts sixty minutes for completing it, because one hour has sixty minutes. That is why people say that, “My mother has sixty children – an Hour.”

This enigma is related to the person who spends well most of his time in his life. This person, in turn, fulfills his or her responsibilities by looking at the clock, because he or she is aware of the benefits of using that time well. He gets a lot of produce from his fields because he nicely uses his time by fulfilling his responsibilities well in his life.

This person is similar to the Hour that counts for sixty minutes for fulfilling it, because he also fulfills his responsibilities by using the clock so that he can use his time to work well in his life. That is why they say that, “My mother has sixty children – an hour.”

This riddle teaches people on how to use their time well by fulfilling their responsibilities, so that they can get enough food to feed their families in their lives.

Matthew 25: 1-13.

Matthew 24: 36-37.

Mark 13: 32-36.

974. KALAGU – KIZE. MUNHU AGIKALAGA MJIHINDA – LEDIYO.

Ikalagu yiniyo ilihoyela Lediyo. Ilediyo yiniyo, kalijisema ako kagayombaga mihayo na gwimba mimbo aliyo nduhu ugubhabhona abhanhu. Iyoyi igabhizaga giti alihoyi munhu uyo ali mjihinda. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu agikalaga mjihinda – Lediyo.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo apandikaga mahano, ogatumamila bho nduhu ugumhona uyo aling’wila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho gunzunya Mulungu uyo agang’wilaga mihayo mu nzila ya jiloti, kunguno ya guzunya gokwe gutale ukuli Nsumbi okwe Ng’wunuyo. Uweyi agapandikaga mbango ja gutumama milimo yakwe chiza iyo igang’wenhelaga matwajo mingi, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapandikaga mihayo ya mlediyo bho nduhu ugumhona umunhu, kunguno nuweyi agahoyaga na Mulungu uyo adamhonaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “munhu agikalaga mjihinda – Lediyo.”

Ikagalu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guzunya mahayo ga Mulungu, uyo bhadamhonaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Wabrania 11:1-7.

Mariko 6:5-7.

Luka 24:25.

Zaburi 66:2-10.

Luka 11:31-32.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUWA SANDUKUNI – RADIO.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya Radio. Radio hiyo ni chombo kinachoongea maneno na kuimba nyimbo bila kumuona mtu. Yenyewe huwa kama kuna mtu aliyeko ndani ya sanduku hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huwa sandukuni-  Radio.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye kupata maono na kuyafanyia kazi bila kumuona anayemwambia, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kumwamini Mungu ambaye humpatia ujumbe kwa njia ya ndoto, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye hupata Baraka za kufanya kazi vizuri zinazompatia maendeleo mengi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule apataye maneno kupitia Radio bila kumuona mtu anayeongea, kwa sababu naye huongea na Mungu ambaye hamuoni, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “mtu huwa sandukuni- Radio.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kumsaidi Mungu wasiyemuona, ili waweze kupata Baraka za kuwaletea mafanikio mengi, maishani mwao.

Wabrania 11:1-7.

Mariko 6:5-7.

Luka 24:25.

Zaburi 66:2-10.

Luka 11:31-32.

ghettoblaster-

radio-

tube-radio-

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A PERSON WHO STAYS IN A BOX – A RADIO.

The above riddle talks about Radio. The radio is a device that speaks words and sings songs without seeing anyone. It is as if someone lives inside the box. That is why people say that, “a person who stays in a box – a radio.”

This riddle is compared to the person who gets the vision and acts on it without seeing the person who tells him in his life. Such person lives by believing in God who gives him messages through a dream, because of his great faith in his Creator. He receives Blessings of getting a good job that gives him a lot of progress in his life.

This person is like the one who receives words through the Radio without seeing the person who is speaking, because he also speaks to God Whom he does not see in his life. That is why they say that, “a person who stays in a box – a radio.”

This puzzle imparts in people a clue on how to believe in the invisible God, so that they can receive the blessings of bringing them great success in their lives.

Hebrews 11: 1-7.

Mark 6: 5-7.

Luke 24:25.

Psalm 66: 2-10.

Luke 11: 31-32.