Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumva ijo jigakub’ijaga fulo. Ijisumva jinijo, jili kihamo na ng’holo na danga ijo jigakub’ijaga minzi ga gung’wa na gwikala moyi ijingi. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “nkub’ija fulo.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga gujisuga ha bhasab’i umukikalile kakwe. Ijikolo ja ha bhasab’i, jigikolanijiyagwa na fulo iyo agipandikaga umunhu uyo wisuga hoyi, kunguno agamanaga ujilya ijiliwa ija ha kaya yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agamanilaga aha kaya yiniyo, bho gutumama milimo ya henaho na gujilya ijiliwa ja hene, kunguno ya fulo iyo agaipandikaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhizaga guti ng’wana o hakaya iya ha bhasab’i yiniyo.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni jisumva ijo jigakub’ijaga fulo, kunguno nuweyi agakub’ijaga jiliwa a ha kaya ya bhasab’i bho gwisugilija hoyi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nkub’ija fulo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo ya gubheng’hela jikolo ja kutuula hakibha ya gutumila aha shigu ija bhutongi, kugiki bhadule kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 11:25-30.
Yohana 6:67-69.
Mwanzo 46:1-6.
Luka 12:35-40.
KISWAHILI: MFUATA UNYEVU.
Msemo huo, huongelea juu ya viumbe ambavyo hufuata unyevu. Viumbe hivyo, ni pamoja na kondoo na vyura ambavyo hufuata maji ya kunywa na vingine huishi ndani ya maji hayo. Ndiyo maana watu humuita kiumbe hiyo kwamba ni “mfuata unyevu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kujifuga kwa matajiri, katika maisha yake. Mali za matajiri hao hufananishwa na unyevu anaoupata mtu huyo aliyejifuga hapo, kwa sababu ya kuendelea kula chakula cha kwenye familia hiyo. Mtu huyo, huzoea kwenye familia hiyo kwa kuendelea kufanya kazi za pale na kula chakula cha hapo, kwa sababu ya unyevu huo anaoupata, maishani mwake. Yeye huwa kama mtoto wa kwenye familia hiyo ya matajari.
Mtu huyo, hufanana na vile viumbe vifuatavyo unyevu, kwa sababu naye hufuata chakula kwa kwenda kufugwa kwenye familia ya matajiri hao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “mfuata unyevu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi ziwezazo kuwaletea mali za kuweka akiba itakayo wasaidia kwenye siku za mbeleni, ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 11:25-30.
Yohana 6:67-69.
Mwanzo 46:1-6.
Luka 12:35-40.
ENGLISH: A PERSON WHO IS AFTER GOOD THINGS.
The overhead saying speaks of creatures that follow moisture. These creatures, include: sheep and frogs, because they follow moisture for drinking water and some of them live in water areas. That is why people refer to that creature as being “a person who is after good things.”
This saying is related to a man who goes to stay in families of rich people for eating some food. The wealth of the rich one is likened to the humidity which that man gets because he continued to eat the food of that family. This person becomes familiar to that rich family by continuing to work there and eat local food, because of the moisture which he gets in his life. He becomes like a child in that rich family.
This man is like the creatures that followed moisture, because he also follows the food by going to be raised in the rich families. That is why people refer to him as “a person who is after good things.”
This saying imparts in people a clue on how to do work that can bring them savings enough to help them in the future, so that they can better protect their families in their lives.
Matthew 11: 25-30.
John 6: 67-69.
Genesis 46: 1-6.
Luke 12: 35-40.