986. JIDIGWA.

Ujidigwa ali munhu uyo alina matu gachib’ile. Umunhu ng’wunuyo, adinabho ubhudula ubho gwigwa mhayo uyo guliyombwa na bhiye kunguno ya bhuchib’i bho matu gakwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja jab’ub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahugulagwa ng’hangala ningi na abhiye ulu ohub’a, aliyo ugwigwa nduhu, kunguno agashokelaka gwita mihayo ya bhubhi yiniyo. Uweyi agapandikaga makoye ga guyisalambanya sagala ikaya yakwe, kunguno ya bhudijigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oli na matu gachib’ile, kunguno nuweyi adigwaga ugujileka inhungwa ija bhub’i jakwe jinijo, ulu ohugulwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuzunya guhugulwa na bhichabho, bho kuleka nhungwa ja bhub’i, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-14.

KISWAHILI: ASIYESIKIA.

Asiyesikia ni mtu yule ambaye ana masikio yaliyoziba. Mtu huyo, hana uwezo wa kusikia neno analoambiwa na wenzake, kwa sababu ya kuziba kwa masikio yake hayo. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni mtu “asiyesikia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anatenda maovu na kuonywa wenzake, mara kwa mara, lakini huwa hasikii kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kurudia kutenda maovu. Yeye hupata matatizo ya kuisambalatisha familia yake, kwa sababu ya kutokusikia kuacha kutenda maovu hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yaliyoziba, kwa sababu naye huwa hasikii kwa kuacha kutenda maovu anapoonywa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni mtu ‘asiyesikia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukubali kuonywa na wenzao, kwa kuacha tabia ya kutenda maovu, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-14.

woman-22

market-

ENGLISH: THE ONE WHO DOES NOT HEED.

The deaf is the one whose ears cannot hear. This person is unable to hear the word which is being spoken to him by his companions, because of such disabilities of his ears. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying is compared to a person who has evil habit in his life. This person often does evil things and is warned by others, but he does not listen because of his recurring behavior. He breaks up his family because of his unwillingness to stop doing these evil things in his life.

This person resembles the one who had ears’ disability, because he also does not listen enough to stop doing evil when he is warned by his fellows in life. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying teaches people about accepting warnings of their fellows, by refraining from committing evil deeds in fulfilling their duties, so that they can well raise their families in their lives.

Galatians 3: 1-14.

ferry-1

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.