Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya kamanilo. Akamanilo kenako jili jimanyikijo ja hape iji jigengelekile kunguno jili jagulolela bhuli munhu uyo ulolela koyi. Ijoyi jigang’wambilija nulu munhu uyo alija lugendo bho gwinhiwa lumeng’ho ulo lulihoyi kunguno lugikalaga lumanyikile ukubhanhu abho bhagikalaga koyi. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki “kenako ha kamanilo.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja wiza ijo jili lumeng’ho lukwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga amanyikile uku abhanhu bha umuchalo jakwe, kunguno ya nhung’wa ja gubhagunana abhiye abho bhali na makoye. Uweyi agikalaga na bhageni bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya lumeng’ho lokwe lunulo, ulo gwikala na bhanhu chiza, umuchalo jakwe jinijo.
Inhungwa ijawiza jinijo, jikolile nuyo alina jimanyikijo ja gubhambilija bhanhu ugumpandika wangu, kunguno ni joyi jigang’wambilija umunhu uyo alinajo, ugushigilwa wangu na bhageni bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagajiyombaga giki, “kenako ha kamanilo.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na nhungwa jawiza bho gubhambilija abho bhalina makoye, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho.
Luka 6:43-45.
2Wakorintho 12:12.
KISWAHILI: HIKI NDICHO KIJULISHO.
Methali hiyo, huongelea juu ya kijulisho. Kijulisho hicho, ni kitambulisho cha wazi ambacho kinajulikana kwa sababu ya kumuonesha mtu jinsi alivyo alinayekiona. Chenyewe humsaidia hata mtu aliyeko safarini kukitumia kama alama ya kumfikisha kwa haraka kule aendapo kwa sababu ya kujulikana kwake kwa watu wanaoishi huko. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hiki ndicho kijulisho.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia njema ambayo ni kitambulisho chake, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na watu vizuri katika kijiji chake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kuwasaidia wenzake walio na matatizo. Yeye huishi na wageni wengi kwenye familia yake kwa sababu ya kitambulisho chake hicho, cha kuishi na watu vizuri, katika kijiji chake hicho.
Tabia hiyo njema, hufanana na kile kijulisho kilichomsaidia msafiri kufika haraka alikokuwa akienda, kwa sababu nacho, huwasaidia watu kumfikia haraka yule aliye nacho. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hiki ndicho kijulisho.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.
Luka 6:43-45.
2Wakorintho 12:12.
ENGLISH: THIS IS THE SIGN.
This proverb speaks of a distinctiveness. This distinctiveness is a clear identifier that identifies a person for what he or she sees. It even helps the traveler to use it as a sign to get him to his destination quickly because of his popularity with the people who live there. That is why people say that, “This is the sign.”
This proverb is compared to a person who has a good character that is his identity in his life. This man lives well with the people in his village because of his habit of helping his fellows who are in great need. He lives with many visitors in his family because of his good identity in living well with people in his village.
This positive attitude is similar to that of a traveler who helps a tourist to get to his destination quickly, because it also helps people to reach their destination quickly. That is why people say that, “This is an identity.”
This proverb imparts in people a clue on how to have a good attitude enough to help others who are in great need, so that they can better develop themselves in their families.
Luke 6: 43-45.
2 Corinthians 12:12.