proverbs

101. Ubhuhabhi Bhuli Bhone?

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Aho kale oliho munhu umo uyo uli na bhana bhatandatu. Aliyo, oli nhabhi na munhu o wikaji bho makoye. Mpaga ng’waka gumo ikaya yakwe igagaiwa imyenda ya guzala. Hangi nzala igabhisonga. Abhanhu abhangi bhamonaga kudi hali ya kawaida du ugubhiza na wikaji bhunubho.

Lushugu lumo umbehi ng’wunuyo agiyangula gujumana kugiki alekane na makoye ganayo. Agashiga ng’wipolu, agalinha mliti liliihu mpaga mumatambi galwo. Ghafula agilekala gugwa mpaga hasi kugiki ache.

Umbehi ng’wunuyo agagwa hasi puuu! Agasaga henaho ku likanza idoo, halafu agibhuja: “Naminyika?” Agashosha, yaya! Agakumya nibhuli adachile.

Aho wibhona giki atali alimpanga, agagungumka na gulina hangi mpaka hi gulwa ya matambi ga higulwa gete, na gwiponya hasi. Agagwa hangi puuu! Ni chiniko, adaminyikile nulu gucha gitumo aliwiyangulila.

Ohayimanila wigela munhu uyo obhizaga aguyelaga ng’wipolu linilo. Agamona alihaya gulina lukangala lo kadatu, agamuja, “Wina bhulingisilo ki ung’wigulwa ya nti nhihu gunuyo?

“Unene nalinhabhi na wikaji bhone bhuli bho makoye noi. Nalihaya gwibhulaga umu namalaga gulina mpaga ng’wigulwa ya nti gunuyo na gwiponya mpaga hasi na kucha.”

“Naligwikumbilija ndugu one, udizita chiniko gete nulu hadoo. Bokelaga ihela iji, udulile nulu gwita bhusuluja na gupandika matwajo, na giko ugwipandikila jako kihamo na bhana bhako.

Aliyo izukaga giki aho ulasabhe, nagwiza gusola untaji uyo nalinagwina bho nduhu kulomba jagongeja jose jose.

Ahanaho umunhu ng’wunuyo aganumbilija noi unfazili okwe na agaleka gete ubhulingisilo bhokwe ubho gwibhulaga. Aho alibhiza agushokaga kukaya yakwe alinago nu ntaji, agandya gwita bhusuluja.

Nanhana ubhusuluja bhokwe bhugazunya wangu wangu na agabhiza nsabhi. Huna agazenga numba nsoga na gugula ng’ombe. Agasabha noi.

Aho yabhita miaka ikumi, mfazili okwe agaja kugiki adule gunshokeja ihela jinijo ijo agang’winha kugiki wandije bhusuluja. Aliyo, adinhilwe. Unfazili ng’winuyo agendelea kunhomba mpaga igabhita miaka makumi abhili.

Naho yashika imyaka makumi abhili yiniyo, agendelea hangi, aliyo alatali alendelea guntula tarehe. Huna bhagishisha kumabhanza. Ubhulamuji ahabhofunyiwa iganhadikija gunshokeja ihaki yakwe kunhingo lwande.

 

 Kiswahili: Je, Umaskini Ni Wangu?

Hapo zamani palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na watoto sita. Lakini, alikuwa maskini na mtu mwenye maisha ya shida. Hata mwaka moja familia yake ilikosa nguo za kuvaa, pia waliandamwa na njaa. Watu wengine walimwona ni kama kawaida yake tu kuwa na maisha hayo.

Siku moja bwana huyo alijishauri kwenda kujiua ili aondokane na taabu hizo. Alipofika porini, akapanda juu ya mti mrefu mpaka kwenye matawi yake. Ghafla akajiachia na kuanguka hadi chini ili afe.

Bwana huyo alianguka chini puuu! Akabaki palepale kwa muda kitambo, halafu akajiuliza: ‘Nimeumia?’ Akajijibu, La! Alishangaa kwa nini hakufa. Baada ya kujiona kuwa bado yu hai, akainuka na kupanda tena hadi juu kwenye matawi ya juu kabisa, na kujitupa chini. Alianguka tena puuu!

Hata hivyo, hakuumia wala kufa kama alivyonuia. Mara alitokea mtu aliyekuwa anatembea mule porini. Alimwona anataka kupanda safari ya tatu, akamwuliza, “Una malengo gani  juu ya mti mrefu huu?’

“Mimi ni maskini na maisha yangu ni ya shida sana. Nakusudia kujiua baada ya kupanda hadi juu ya mti huu na kujitupa hadi chini na kufa. “Chonde sana ndugu, kamwe usifanye  hivyo hata kidogo. Pokea hapa fedha hizi Unaweza kuanzisha biashara na kupata faida, na hivyo kujipatia riziki yako pamoja na wanao.

Lakini kumbuka kwamba baada ya kutajirika, nitafika kuchukua mtaji niliokupatia bila ya kudai riba yoyote. Hapo yule mtu akamshukuru sana mfadhili wake na akaacha kabisa lengo lake la kujiua. Alipokuwa anarudi nyumbani kwake akawaza kuwa, alifika porini akiwa maskini lakini anarejea nyumbani akiwa na mtaji.

Akaanza kufanya Biashara. Ni kweli biashara yake ilichanganya na haraka akanza kuwa tajiri. Ndipo alijenga nyumba nzuri na  kununua ng’ombe. Akatajirika sana.

Baada ya miaka kumi kupita, yule mfadhili wake akaja ili aweze kumrudishia zile fedha alizomwezesha kuanzisha biashara. Lakini hakupewa.

Yule mfadhili aliendelea kumdai hadi ikapita miaka ishirini. Hata ilipofika miaka ishirini alimwendea tena, lakini bado aliendelea kumpiga tarehe. Ndipo wakafikishana mahakamani. Hukumu ilipotolewa, ilimpasa kumrejeshea haki yake kwa shingo upande.

male-

ENGLISH: IS POVERTY MINE?

Once upon a time, there was one man who had six children. He was poor and  had hard life. One year, his family missed clothes to wear. The family also starved. People considered the situation to be normal. They regarded hardship to have been part of his life.

One day, the man decided to go to commit suicide so that he could get rid of those problems. When he got to the bush. He climbed a tall tree to as high as the branches. Suddenly, he threw himself and fell down to die.

He landed ‘puuu!’ He remained lying for a while, and then he asked himself: “Have I been hurt?” He wondered why he did not die. After realizing that he was alive, he rose up and climbed up back to the top of the top branches and threw himself down again. He fell again ‘puuu!’

However, he did not hurt or die as he intended. Soon, there was a man who was walking in the wilderness. The man saw him as he wanted to climb the tree for the third trip. The other man asked, “What are your goal in this long tree?”

The man responded, “I am poor and my life is very hard. I intend to commit suicide by throwing myself down  this tree.” Then the man said, “Please, brother, never do that. I will give you the money.  You can start business and get  profit out of it. In that way, you will earn your livelihood with your children.”

“However, you should remember that after making wealth from this money, I will get my capital back without claiming any interest.”  Then the man who wanted to kill himself thanked his donor and abandoned his intention to commit suicide. When he returned to his home, he thought how miraculous the whole thing was. He had come to the bush as poor man and now he was going home  with capital.

He started doing business. His business went well and he quickly became rich. Then, he built a beautiful house and bought some cows. Indeed, he became very rich.

After ten years, his donor came to be repaid. He wanted the money that he had given to the then poor man to start such business. Strangely, the poor man did not pay back.

The donor continued to claim for his money for ten more years! Twenty years after he had given his money to the poor man,he came back to him.  The now rich man, still told his donor to come another day. Then they took their dispute to court. When the judgement was given, the was forced to repay the debt.

100. Hotubha Ya Ng’wa Mt. Leo Papa O 440-Lushigu Lo Gubyalwa Yesu Kristo

 Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

100. Hotubha Ya Ng’wa Mt. Leo Papa O 440-Lushigu Lo Gubyalwa Yesu Kristo

Bhatogwa, dunumbilije Mulungu Bhabha gubhitila kuli ng’wana okwe Yesu Kristo mu Moyo Ng’wela (Moyo Ntakatifu), kulwa nguno ya bhutogwa bhokwe bhutale kubhiswe.

Agadubhonela isungu aho dalidacha kunguno ya shibhi jise. Agadita dubhize na bhupanga kihamo nu Kristo, kugiki dubhize jisumbwa jipya muli wei.

Dubhuponeji kule ubhumunhu wise ubho kale na nzila ja muyiniyo jose. Na gitumo dalidabhalilwa bhupya muli Kristo, dugaleme amabhi gose aga musi iyi.

Ubhebhe nzunya izukaga umuhimu bhoko na giki obhiza ihaha ulumanyiwe mu hali ya jimulingu. Udizushokela hali yako imbi ya shibhi (ya kugwita dhambi).

Gashinaga ni nani alintwe goko, nu bhebhe ulibheja mhili gokwe. Udizibha igiki ofuma mugiti na wenhwa mulisana lwa bhutemi bho Mulungu, mu sakramenti ya bhubatizo, umo ugabyalwa ku minzi na Moyo Ng’wela.

Obhizaga ikelesia lwa ng’wa Mulungu. Udizumpeja ungeni oko úntale, ku mambo ayogadafaile na kubhiza hangi nsese o shibhi, ku nguno uwiyabhi (uhuru) bhoko bhugigela ku damu ya ng’wa Yesu Kristo.

Kiswahili: Hotuba Ya Mt. Leo Papa  Wa  440-Siku Ya Kuzaliwa Yesu Kristo

Wapendwa, tumshukuru  Mungu Baba kupitia kwa mwanaye Yesu Kristo katika Roho Mtakatifu, kwa sababu ya upendo wake mkubwa kwetu. Alituonea huruma na tulipokuwa tumekufa kwa sababu ya makosa ya dhambi zetu, alitufanya hai pamoja na Kristo ili tuwe viumbe vipya katika yeye.

Tuutupilie mbali utu wetu wa zamani na njia zake zote mbaya. Na kama tulivyozaliwa upya katika Kristo, na tuyakatae mabaya ya dunia hii. Wewe! Mkristo kumbuka umuhimu wako na kwa kuwa sasa unashiriki hali ya Kimungu usirudie hali yako mbaya ya dhambi.

Kumbuka, ni nani aliye kichwa chako na wewe ndiwe kiungo cha mwili wake. Usisahau umetokea gizani na kuletwa katika mwanga wa ufalme wa Mungu, katika sakramenti ya ubatizo umezaliwa kwa maji na Roho Mtakatifu.

Umekuwa hekalu la Mungu. Usimfukuze mgeni wako mkuu kwa mambo yasiyofaa na kuwa tena mtumwa wa dhambi, kwa kuwa uhuru wako umepatikana kwa damu ya Yesu Kristo.

pope

 

ENGLISH: SPEECH/HOMILY OF ST. LEO POPE, THE 440TH. ON THE BIRTHDAY OF JESUS CHRIST.

Beloved, we thank God the Father through His Son Jesus Christ in the Holy Spirit, because of His great love for us. He showed us mercy and when we died because of our sins, He made us alive with Christ to become new creatures in Him.

Throw away our old personality and all its evil ways. And as we have been born again in Christ, let us reject the evil of this world. You! Christian remember your importance and now that you are involved in the divine nature do not return to your sinful state.

Remember, who is your head and you are a part of his body. Do not forget you have come from the darkness and have been brought into the light of the kingdom of God, in the sacrament of baptism you have been born of water and the Holy Spirit.

You have been made the temple of God. Do not expel your great guest for things that are wrong and become a slave to sin, for your freedom has been acquired through the blood of Jesus Christ.

 

99. Yang’wa Kamundi

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Yaliho ndimu imo ndoni yitanagwa Kabundi. Indimu yiniyo bhalibhitogilwe noi abhanhu. Indimu yiniyo yali na miso matale na gaza.

Lushigu lumo agatung’wana na munhu agamuja, “Nywani kabundi nibhuli amiso gako galigaza?” Kabundi agashosha, “Bana bhebhee! Amiso gane galigaza kulwa nguno ya linyanza lwa pwani!”

Munhu umo agabhuja, “Ehe, oshiga koi ukunuko pwani na gulibhona ilinyanza?” Kabundi agayomba, yaya. Nadinashiga ukunuko pwani nulu nadinadula gulibhona ilinyanza! Aliyo abho bhamala gushiga ipwani, bhalihaya giki ilinyanza ligabhalaluchaga amiso abhanhu.

Kiswahili: Ya Kamundi

Kulikuwapo na mnyama mmoja mdogo, aliitwa Kabundi. Mnyama huyu alipendwa mno na watu. Mnyama huyo alikuwa na macho makubwa na mekundu.

Siku moja alikutana na mtu akamwuliza., “Rafiki Kabundi kwa nini macho yako ni mekundu?” Bwana wee! Macho yangu ni mekundu kwa sababu ya bahari huko pwani! Akamuuliza tena, “Je, umewahi kufika huko pwani na kuiona bahari?”

Kabundi alikana, hapana. Sijafika huko pwani wala sijawahi kuiona bahari! Lakini wale waliopata kwenda pwani, wanasema kuwa, bahari huwafanya watu kuwa na macho mekundu.

wildlife-

ENGLISH: OF KAMUNDI (IDEAS OF A SMALL KIND OF ANIMAL).

 There was one little animal called Kamundi (an animal with big eyes). This animal was very loved by people. The animal had big and red eyes.

One day he met a man and asked, “Friend Kamundi, why are your eyes red?” Alas! My eyes are red because of the sea on the beach! He asked again, “Have you ever been to the beach and seen the sea?”

The Kamundi denied saying “ I have neither been to the beach, nor have I seen one. But those who went to the beach say, that the sea makes people have red eyes.”

 

 

98. Ntemi Ludoviko

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Ludoviko oli Ntemi o Bhufaransa Ng’waka 1214. Umayu okwe olinawikomeja bho gunlela jizunya abhize Ntemi ng’wela (Ntakatifu).

Ntemi Ludoviko na nke okwe bhali na bhana ikumi na umo. Bhuli lushigu imhimbi obhitanaga umu chumba jakwe na gubhashauli bhabhize na gunhamya Mulungu (widoha kuli Mulungu).

Ojaga bhuli lushigu gujusalila mumisa ya dilu. Olina guzunya gutale ahigulwa ya ubhuliho bho ng’wa Yesu Kristo umu Sakramenti ya Ekaristi nhakatifu.

Lushugu lumo bhadugu bhamukaya yakwe bhagansanga na gung’wila bho golecha gukumya gutale giki u Yesu Kristo agiyolecha kuli nene ng’winikili umu Ekaristi, bhagang’wikumbilija wize wangu wangu gunhola Sebha.

Aliyo yalinduhu nguno ya gunibhona unene bho miso gakwe, aliyo itoshije du ugunibhona bho miso ga guzunya. Agatogwa giki ibhize giko kuabho bhadina mhona aliyo bhalinzunya.

Kiswahili: Mtemi Ludoviko

Ludoviko alikuwa Mtemi wa Ufaransa Mwaka 1214. Mama yake alifanya bidii ya kumlea kikristo ili awe Mtemi Mtakatifu. Mtemi Ludoviko na mke wake walikuwa na watoto kumi na moja.

Kila siku jioni aliwaita chumbani kwake na kuwashauri wawe na uchaji wa Mungu. Kila siku bila kukosa pia alishiriki ibada ya Misa Takatifu. Alikuwa na imani kubwa kuhusu uwepo wa Yesu Kristo katika sakramenti ya Ekaristi.

Siku moja jamaa katika familia yake walimjia na kumwambia kwa mshangao mkubwa kwamba, Yesu Kristo, mimi mwenyewe alijionyesha katika Ekarsti wakamsihi aje upesi kumtazama Bwana.

Lakini hakuwa na haja ya kuniona mimi kwa macho yake, lakini inatosha tu kuniona kwa macho ya imani. Alipendelea kuwa na wale ambao hawajaona bali wanasadiki.

living-nativitycross-

ENGLISH: CHIEF LUDOVICK.

Ludovic was the French king  in 1214. His mother made a great effort to raise him in a christian way so that he could become a Holy King. King Ludovic and his wife had eleven children.

Every evening, he called them to his bedroom and advised them to have a godly attitude. He participated in the Sacred Mass every day without missing. He had great faith in the presence of Jesus Christ in the Eucharist.

One day the relatives in his family came to him and told him in amazement that Jesus Christ himself  had appeared in the Eucharist and asked him to come quickly to see the Lord.

However, he did not need to see Jesus with his flesh eyes, but ewith  spiritual ones for Jesus himself preferred to be with those who have not seen but believe.

97. Bhasumba Na Shetani

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Bhaliho bhasumba bhadatu  abho bhagigwa habhali ja ng’wa shetani bhudachiwa noi. Bhagiyangula kuja gujunchobha bhamulage. Aho bhashiga bhunsanga bhung’wila, “Lelo duligubhulaga.”

Ushetani agashosha, “Sawa, aliyo tamu diyeje na soda.” Umo wing’we agadenhele Soda.” Aho atali uguja ugujugula isoda, ushetani ng’wunuyo agabholekaja abhasumba bhenabho lunasi na dhahabhu, ubhawila, “Ulu ng’wunileka ugunibhulaga nagung’winha isabho jiniji.”

Halafu unsumba uumo agaja gujugula soda. Umunzila unsumba ng’wunuyo agandya guiganika umo alajipandikile isabho jinijo. Abhona igubhelela ugutuula simu umu soda jinijo, kugiki pye abho bhalamale gujing’wa na gucha, agudula gusola isabho jinijo, lunasi ni dhahabhu.

Bhasi, agita chiniko. Gashi ukunuma abhiye bhenabho bhizunilijaga giki, ung’wunuyo uyo ojaga gujugula soda, ulu oshoga abhulagwe kugiki abhoi abhabhili bhadule gugabhana isabho jinijo. Aho obhinha du isoda unsumba ng’wunuyo agabhulagwa. Aho bhamulaga bhagang’wa isoda jinijo.

 

Kiswahili: Vijana Na Shetani

Walikuwepo vijana watatu waliosikia habari za Shetani wakachukizwa. Wakaamua kwenda kumtafuta wamuue. Walipofika wakamkuta na kumwambia, “Leo tunakuua.”

“Sawa, lakini kwanza tuburudike na soda.” Mmoja wenu atuletee soda.” Kabla ya kwenda kununua soda, yule shetani aliwaonesha vijana wale almasi na dhahabu, akawaambia,  “Mkiacha kuniua nitawapa mali hii.”

Halafu kijana mmoja akaondoka kwenda kununua soda. Njiani yule kijana alifikiria jinsi ya kupata mali ile. Akaona itafaa kuweka sumu katika zile soda, ili wote baada ya kuzinywa na kufa, ataweza kumiliki  ile almasi na dhahabu. Basi akafanya hivyo.

Kumbe kule nyuma wale wenzake wakakubaliana kuwa yule aliyekwenda kununua soda, atakaporudi auwawe ili wao wawili waweze kugawana ile mali. Mara tu yule kijana alipowapatia soda, aliuawa. Baada ya kumwua, wakanywa zile soda.

business-men-werewolf

ENGLISH: YOUTH AND THE DEVIL

There were three young people who heard about Satan, and they hated it. They decided to go look for him and kill him. When they arrived, they found him and said, “Today we will kill you.”

“Well, but first let us have some soda.” Let one of you bring us soda.”Before going to buy soda, the devil showed the young people diamond and gold and said, “If you  don’t kill me I will give you this wealth.”

Then a young man went out to buy soda. On the way the young man thought about getting the wealth. He found it necessary to put poison in the soda, so that after they all drink and die, he would be able to possess the diamond and gold. So he did.

In the meanwhile, his colleagues agreed that they should kill the one who went to buy the soda when he returned so that they could share the property. As soon as the boy gave them soda, he was killed. After they killed him, they drank the soda and died too.