mother tongue

969. KALAGU – KIZE. AMASUMBI PYE AGOSE GAGIGASIJIYAGWA LELO LILIHO LIMO LIDIGASIJIYAGWA – LIMOTO.

Ikalagu yiniyo, ilolile bhukali bho moto. Ilimoto linilo lilijitumamilo ilo lidigasijiyagwa kunguno ligikalaga liseb’u noyi. Uyo ugema uguligasija agupya noyi. Ilyoyi liliheke na masumbi pye agose ayo gagigasijiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “amasumbi pye agose gagigasijiyagwa lelo liliho limo lidigasijiyagwa – limoto.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkali gubhilitija, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adakumiyagwa na oseose umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agabhogohyagwa abhanhu abho agikalaga nabho, kunguno ya kugumana ubhakalihila sagala duhu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikikolaga nili moto ilikali ilo lidigasijiyagwa, kunguno nuweyi alinkali uyo adakumiyagwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “amasumbi pye agose gagigasijiyagwa lelo liliho limo lidigasijiyagwa – limoto.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na bhukali bho gubhitilija umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala na bhanhu chiza, bho nduhu ugubhogohya sagala abhichabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 10:26-31.

Luka 12:2-7.

KISWAHILI: KITENDAWI – TEGA.

VITI VYOTE HUKALIWA LAKINI KIPO KIMOJA KISICHOKALIWA – MOTO.

Kitendawili hicho, huangalia ukali wa moto. Moto huo, ni kitendea kazi kisichokaliwa kwa sababu ya kuunguza kwake. Yule ajaribuye kuukalia moto huo humuunguza sana. Wenyewe uko tofauti na viti vyote vikaliwavyo, kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “viti vyote hukaliwa lakini kipo kimoja kisichokaliwa – moto.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkali wa kupitiliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa haguswi na yeyote katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye huwaogofya sana watu anaoishi nao, kwa sababu ya kuendelea kwake kuwakalipia hovyo watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule moto mkali usiokaliwa, kwa sababu naye huwa mkali kupita kiasi anayewakalipia watu wake hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “viti vyote hukaliwa lakini kipo kimoja kisichokaliwa – moto.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na ukali wa kuwakalipia hovyo watu wao, katika maisha yao, ili waweze kuishi nao vizuri bila ya kuwaogofya, maishani mwao.

Mathayo 10:26-31.

Luka 12:2-7.

blaze-

fire-1

charcoal-

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

ALL CHAIRS ARE USED TO SIT IN EXCEPT ONE WHICH IS NEVER USED TO SIT IN – FIRE.

The above riddle looks at the intensity of the fire. It is an uninhabited instrument because of its burning situation. The one who tries to sit in it ablaze. It is different from all the seats which people people sit in, because of its severity. That is why people say that, “All chairs are used to sit in except one which is never used to sit in – fire.”

This riddle is equated to the person who is extremely violent in his life. This person is not advised by anyone in fulfilling his or her duties. He/she threatens the people who stay in that family because of his/her harshness.

This person is like a fiery unrelenting fire, because he/she is also a fierce person who treats others harshly in the family. That is why people say to him/her that, “all chairs are used to sit in except one which is never used to sit in – fire.”

This puzzle teaches people about stopping the habit of harshly reprimanding their people, so that they can live harmoniously with them without intimidating anyone of them in their societies.

Matthew 10: 26-31.

Luke 12: 2-7.

 

968. UMUNHU NG’WENUYU ADINIKUJO UKUBHANHU NULU ATINILANGE.

Ilikujo kalikikalile ka gubhitilaga ya wiza abhanhu bho gubhambilija chiza umumakoye gabho. Ilikujo linilo ligang’winhaga widohya bho gutumama milimo chiza uyo alinalyo.

Aliyo lulu uyo adinalyo ilikujo linilo, agashoshiyagwa kubhabyaji bhakwe kugiki aginhiwe bhupya ililange linilo, kunguno adalangilwe nzila ja gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “umunhu ng’wenuyu adinikujo ukubhanhu nulu adinilange.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo otolwa ugabhadunya nulu ugabhalemela ukubhutolwa bhokwe, [ukubhukwiye]. Umunhu ng’winuyo, agitaga mihayo yabhubhi ukubhiye iyo ilikihamo na gubhadosa, bho gubhabyeda sagala kunguno ya bhugokolo bhokwe ugutumama imilimo, na nhinda jakwe jinijo, umukikilalie kakwe. Uweyi agashoshiwagwa kung’wawe kunguno ya gugayiwa ililange lya gubhakuja abhanhu abho agikalaga nabho bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo adinikujo nulu ililange ilya gwikala  na abhanhu, kunguno nuweyi adalangilwe ililange linilo ilya gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umunhu ng’wunuyu adinikujo ukubhanhu nulu atinilange.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya kubhalanga abhana bhabho ikujo lya gwikala na bhanhu chiza, kugiki bhadule kujibheja chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:12.

Mithali 9:10.

KISWAHILI: MTU HUYU HANA HESHIMA KWA WATU WALA HANA MAADILI MEMA.

Heshima ni namna ya kuishi vizuri na watu kwa kuwasaidia bila majivuno. Heshima hiyo, humpatia unyenyekevu wa kuyatekeleza majukumu yakwe vizuri yule aliye nayo.

Lakini yule asiye nayo, hiyo heshima hurudishwa kwa wazazi wake ili akafundishwe upya heshima hiyo, kwa sababu hana maadili hayo mema ya kumwezesha kuishi vizuri watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu hana heshima kwa watu wala hana maadili mema.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyeolewa akaenda kushindikana kule ukweni kwake. Msichana huyo, hutenda maovu ya kuwadharau watu kwa kuwafanyia kiburi na uvuvi wa kutokufanya kazi, kwa sababu ya kukosa maadili hayo mema kutoka kwa wazizi wake. Yeye hurudishwa nyumbani kwa wazazi wake ili akafundishwa upya, kwa sababu hana maadili hayo mema ya kumwezesha kuishi na watu kwa heshima, maishani mwake.

Msichana huyo hufanana na mtu yule asiyekuwa na heshima wala maadili mema kwa watu, kwa sababu naye huwadharau watu wa ukweni kwake, kutokana na kukosa maadili na heshima hiyo ya kumwezesha kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu hana heshima kwa watu wala hana maadili mema.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwalea watoto wao kwa kuwapatia maadili mema ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu, ili waweze kuzilea na kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.

Kutoka 20:12.

Mithali 9:10.

model-1

ENGLISH: THIS PERSON HAS NO RESPECT FROM PEOPLE AND HAS NO MORALS.

Respect is a way of living well with people by helping them without pride. Such honor, in turn, gives a person humility for carrying out well his duties.

But the one who does not have this honor is returned to his/her parents so that he/she can be re-taught that honor, because he/she does not have the good values ​​which necessary for living well with the people. That is why people say that, “This person has no respect from people and has no morals.”

This saying is likened to a married woman who went on a rampage. This girl, on the other hand, commits atrocities by insulting people, making them proud and idle fishing, because of the lack of good values ​​from her parents. He is sent home to her parents to be re-educated, because of not having those good values ​​for living peacifly with people in his life.

This girl is like the man who has no respect for the people, because she also despises the people who belong to her, due to the lack of morals and respect that will enable her to live well with people. That is why people say to her that, “This person has no respect from people and has no morals.”

This saying teaches parents about raising well their children by giving them good values ​​enough to enable them live well with people, so that they can nurture and develop well, their families, in their lives.

Exodus 20:12.

Proverbs 9:10.

967. UMUNHU NG’WENUYU ADACHAGULILE NULU ADAYANGULAGWA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile Welelo uyo adulile jose. UWelelo ung’wene adachagulaga nulu guyangulwa giki ansole nani, kunguno agamulaga weyi dulu. Uweyi nulu yubhiza nzala agamulaga Weyi duhu igiki mbula yize, kunguno ya bhudula bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “Umhunhu ng’wenuyu adachagulile nulu adayangulagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo mpaga opandika sabho ja gubhambilija bhanhu bhakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza, kunguno alina bhutogwa bho gubhambilija bhanhu bhingi bho gutumila sabho jakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi ijo agajitumilaga bho gubhagunana abhanhu bhakwe gitumo atogelilwe weyi, kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Welelo uyo alina bhudula bho guyangula yose gitumo atogelilwe, kunguno nuweyi alina bhutogwa bho gujitumila isabho jakwe, bho gubhambilija bhanhu bhakwe gitumo atogelilwe weyi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganyilaga giki, “umhunhu ng’wenuyu adachagulile nulu adayangulagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu wa kutumama milimo na bhutogwa bho gubhambilija bhichabho bhose abho bhali na makoye, kugiki bhagule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 1:35-38.

1Wakorintho 6:14.

Waefeso 2:1, 4-6.

2Wakorintho 5:17-18.

 

KISWAHILI: MTU HUYU HACHAGUI WALA HASHAURIWI.

Methali hiyo, huongelea juu ya Mungu awezaye yote. Mungu Mwenyewe hachagui wala hashauriwi kwamba amchukue nani, kwa sababu yeye huamua lolote atakalo yeye. Yeye hata ikitokea njaa kubwa, Aweza kuamua mvua inyeshe wakati wowote, kwa sababu ya uwezo wake huo mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu hachagui wala hashauriwi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi kwa bidii mpaka anapata mali za kumwezesha kuwasaidia watu wengi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri, kwa sababu ana upendo wa kuwasaidia wengi kwa kutumia mali zake. Yeye hupata mali nyingi ambazo huzitumia katika kuwasaidia watu wake hao, kama atakavyo yeye, kwa sababu ya upendo wake huo kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Mungu atumiaye uwezo wake atakavyo, kwa sababu naye ana upendo wa kutumia mali zake katika kuwasaidia watu wake wote, kama atakavyo yeye, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu hachagui wala hashauriwi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, wakiwa na upendo wa kuwasaidia wenzao wote, walioko kwenye matatizo, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 1:35-38.

1Wakorintho 6:14.

Waefeso 2:1, 4-6.

2Wakorintho 5:17-18.

 

ethiopia-21

ENGLISH: THIS PERSON DOES NOT HEED TO ADVICE.

This proverb speaks of the almighty God. God Himself does not choose or need an advice from anyone about whom to take, because He decides whatever He wills. Even in the time of a severe famine, He may decide that it will rain at any time, because of His great power. That is why people say that, “This person does not heed to advice.”

This proverb is related to a man who works hard until he finds wealth that will enable him in helping many people in his life. Such person, in turn, strives to do his best, because he loves to help many people by using his resources. He finds numerous treasures that he uses for supporting his people, as he wills, because of his love to them, in life.

This person resembles to God who uses his power for doing good things, because he loves to use his wealth for supporting all his people, as he wills, in his life. That is why people say to him that, “This person does not heed to advice.”

This proverb teaches people about being hard workers enough to have wealth for supporting all their people who are in trouble, so that they can develop well their families in their lives.

Luke 1: 35-38

1 Corinthians 6:14.

Ephesians 2: 1, 4-6.

2 Corinthians 5: 17-18.

965. NG’WENUYO WITALWA.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo abyalwa aliheke na bhiye akahaya yiniyo. Munhu ng’wunuyo, adikolile na bhiye aliyo bhali bha myaji umo, kunguno uweyi alina ndili yape yiyene kutinda abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo witalwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhakomanyaga abhanhu bho gulola ndili jabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhudoshi bho gubhadalaha abhanhu abho bhali na ndili iyo adaitogilwe uweyi. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhamonaga witalilwe uyo obyalwa ope iyine akaya yiniyo, kunguno nuweyi agabhakomanyaga abhanhu bho gulola ndili jabho. Hunagwene agayombaga giki, “ng’wenuyo witalwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gubhakomanya abhanhu kunguno ya rangi jabho, kugiki bhadule gwikala kihamo na bho mholele, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 6:10.

Yakobo 5:19-20.

Mathayo 9:9-13.

KISWAHILI: HUYO YUKO TOFAUTI NA WENZAKE.

Msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyezaliwa akiwa tofauti na wenzake walioko kwenye familia hiyo. Mtu huyo, hafanani na wenzake waliozaliwa na mzaji mmoja, kwa sababu yeye ana ngozi nyeupe kuliko wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo yuko tofauti na wenzake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwabagua watu kwa kuangalia rangi zao, katika maisha yake. Mtu huyo, ana majivuno ya kuwadharau watu walio rangi tofauti na yake. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na watu wale waliomuona ametofautina na wenzake yule aliyezaliwa na akiwa na ngozi nyeupe pekee yake, kwa sababu naye huwabagua watu kwa sababu ya rangi zao. Ndiyo maana husema kwamba, “huyo yuko tofauti na wenzake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kubagua watu kwa sababu ya rangi zao, ili waweze kuishi kwa umoja na amani, maishani mwao.

Wagalatia 6:10.

Yakobo 5:19-20.

Mathayo 9:9-13.

africa-2

kenya-2

ENGLISH: HE/SHE IS DIFFERENT FROM HIS/HER FELLOWS.

The overhead saying refers to a person who is born different from his or her family members. This man is not like his fellow children ​​who are born by the same parents, because of having whiter skin than his fellows. That is why people say to him that, “he/she is different from his/her fellows.”

This saying is likened to a person who discriminates against people on the basis of their race or ethnic background. This man is proud of looking down on people who have different race. He fails to raise his family well, because of his pride in lives.

This person is like those people who saw such white skin child as different from his fellows, because he also discriminates against people because of their color. That is why they say that, “he/she is different from his/her fellows.”

This saying teaches people about stopping the habit of discriminating against people because of their race, so that they can live in unity and peace, in their societies.

Galatians 6:10.

James 5: 19-20.

Matthew 9: 9-13.

964. SHOKAGA NUMA HIGALAGALO.

Olihoyi namhala umo uyo agingila kulilwande lo bhatale ulo alidinashishiwa na bhiye. Unamhala ng’wunuyo, agakakilila akikalile kamzengo gokwe, kunguno abhanamhala bhalina kikalile kabho. Uweyi oli wigele lya higalagalo ili lidinashikilijiwa ukubhatale. Hunagwene bhagang’wila giki, “shokaga numa higalagalo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga mu luganda ulo ludi lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulaganyaga umubhanhu abho bhadulile kumsagambuja ikaya yakwe, kunguno ya gugayiwa witegeleja, umukikajile kakwe. Uweyi, ugipondaga soni ng’winikili kunguno ya wigulanya bhokwe ubho gugayiwa witegeleja bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu namhala uyo agingila muligele lya bhatale aliyo aliyo aliohigalagalo duhu, kunguno nuweyi agigulanyaga mu ligele ilo lidilyakwe, umubhutumami bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “shokaga numa higalagalo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwituula mumagele ga bhatale ayo gadigabho, kugiki bhadule gwitongela chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 22:11-14.

Luka 14:22-24.

KISWAHILI: RUDI NYUMA SEBULENI.

Alikuwepo mzee mmoja aliyeingia kwenye chumba ambacho hajapitishwa na wenzake. Mzee huyo, alivunja kanuni za wazee wa kijiji chake, kwa sababu wazee hao, wana kanuni za kumwingiza kwenye kundi la wakubwa mzee anayesitahili. Yeye alisitahili kuishi sebuleni kwa sababu hajaingizwa rasmi huko. Ndiyo maana wazee hao walimwambia kwamba, “rudi nyuma sebuleni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujichanganya kwenye kundi lisilo lake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujichanganya kwa watu wanaoweza kumharibia familia yake, kwa sababu ya kukosa umakini, katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye hujiaibisha mwenyewe kwa sababu ya kutokuwa makini kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzee aliyejiingiza kwenye kundi la wakubwa ambalo hajaingizwa rasmi, kwa sababu naye hujichanganya kwenye kundi lisilo lake, katika utendaji wake wa kazi. Ndiyo maana watu humuambia kwamba, “rudi nyuma sebuleni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kujiingiza kwenye makundi ya wakubwa yasiyo yao, ili waweze kuongozana vizuri, maishani mwao.

Mathayo 22:11-14.

Luka 14:22-24.

people-111

maasia-

ENGLISH: RETURN BACK TO THE LIVING ROOM.

There was an old man who entered a room of elders before being officially initiated to it by them. This old man broke the rules of the elders of his village, because those elders have various rules for including him in the group of elders as a worthy elder. He deserved to live in the living room because he was not officially initiated to it. That is why the elders ordered him to “return back to the living room.”

This saying is applied to a person who associates himself with a group that is not his own in life. This person in turn confuses himself with people who can ruin his family, because of a lack of focus in fulfilling his duties. He becomes ashamed of himself because of his carelessness in life.

This person resembles to the old man who joined a group of elders before being officially included in it, because he also associates himself with a group that is not his own in his daily activities. That is why the elders order him to “return back to the living room.”

This saying teaches people on giving up the habits of indulging in non-adult groups, so that they can get along well with family members in their societies.

Matthew 22: 11-14.

Luke 14: 22-24.

kenya-22