Ikalagu yiniyo, ilolile bhukali bho moto. Ilimoto linilo lilijitumamilo ilo lidigasijiyagwa kunguno ligikalaga liseb’u noyi. Uyo ugema uguligasija agupya noyi. Ilyoyi liliheke na masumbi pye agose ayo gagigasijiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “amasumbi pye agose gagigasijiyagwa lelo liliho limo lidigasijiyagwa – limoto.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkali gubhilitija, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adakumiyagwa na oseose umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agabhogohyagwa abhanhu abho agikalaga nabho, kunguno ya kugumana ubhakalihila sagala duhu, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikikolaga nili moto ilikali ilo lidigasijiyagwa, kunguno nuweyi alinkali uyo adakumiyagwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “amasumbi pye agose gagigasijiyagwa lelo liliho limo lidigasijiyagwa – limoto.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na bhukali bho gubhitilija umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala na bhanhu chiza, bho nduhu ugubhogohya sagala abhichabho bhenabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 10:26-31.
Luka 12:2-7.
KISWAHILI: KITENDAWI – TEGA.
VITI VYOTE HUKALIWA LAKINI KIPO KIMOJA KISICHOKALIWA – MOTO.
Kitendawili hicho, huangalia ukali wa moto. Moto huo, ni kitendea kazi kisichokaliwa kwa sababu ya kuunguza kwake. Yule ajaribuye kuukalia moto huo humuunguza sana. Wenyewe uko tofauti na viti vyote vikaliwavyo, kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “viti vyote hukaliwa lakini kipo kimoja kisichokaliwa – moto.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkali wa kupitiliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa haguswi na yeyote katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye huwaogofya sana watu anaoishi nao, kwa sababu ya kuendelea kwake kuwakalipia hovyo watu wake hao, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na ule moto mkali usiokaliwa, kwa sababu naye huwa mkali kupita kiasi anayewakalipia watu wake hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “viti vyote hukaliwa lakini kipo kimoja kisichokaliwa – moto.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na ukali wa kuwakalipia hovyo watu wao, katika maisha yao, ili waweze kuishi nao vizuri bila ya kuwaogofya, maishani mwao.
Mathayo 10:26-31.
Luka 12:2-7.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
ALL CHAIRS ARE USED TO SIT IN EXCEPT ONE WHICH IS NEVER USED TO SIT IN – FIRE.
The above riddle looks at the intensity of the fire. It is an uninhabited instrument because of its burning situation. The one who tries to sit in it ablaze. It is different from all the seats which people people sit in, because of its severity. That is why people say that, “All chairs are used to sit in except one which is never used to sit in – fire.”
This riddle is equated to the person who is extremely violent in his life. This person is not advised by anyone in fulfilling his or her duties. He/she threatens the people who stay in that family because of his/her harshness.
This person is like a fiery unrelenting fire, because he/she is also a fierce person who treats others harshly in the family. That is why people say to him/her that, “all chairs are used to sit in except one which is never used to sit in – fire.”
This puzzle teaches people about stopping the habit of harshly reprimanding their people, so that they can live harmoniously with them without intimidating anyone of them in their societies.
Matthew 10: 26-31.
Luke 12: 2-7.