Ilikujo kalikikalile ka gubhitilaga ya wiza abhanhu bho gubhambilija chiza umumakoye gabho. Ilikujo linilo ligang’winhaga widohya bho gutumama milimo chiza uyo alinalyo.
Aliyo lulu uyo adinalyo ilikujo linilo, agashoshiyagwa kubhabyaji bhakwe kugiki aginhiwe bhupya ililange linilo, kunguno adalangilwe nzila ja gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “umunhu ng’wenuyu adinikujo ukubhanhu nulu adinilange.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo otolwa ugabhadunya nulu ugabhalemela ukubhutolwa bhokwe, [ukubhukwiye]. Umunhu ng’winuyo, agitaga mihayo yabhubhi ukubhiye iyo ilikihamo na gubhadosa, bho gubhabyeda sagala kunguno ya bhugokolo bhokwe ugutumama imilimo, na nhinda jakwe jinijo, umukikilalie kakwe. Uweyi agashoshiwagwa kung’wawe kunguno ya gugayiwa ililange lya gubhakuja abhanhu abho agikalaga nabho bhenabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo adinikujo nulu ililange ilya gwikala na abhanhu, kunguno nuweyi adalangilwe ililange linilo ilya gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umunhu ng’wunuyu adinikujo ukubhanhu nulu atinilange.”
Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya kubhalanga abhana bhabho ikujo lya gwikala na bhanhu chiza, kugiki bhadule kujibheja chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Kutoka 20:12.
Mithali 9:10.
KISWAHILI: MTU HUYU HANA HESHIMA KWA WATU WALA HANA MAADILI MEMA.
Heshima ni namna ya kuishi vizuri na watu kwa kuwasaidia bila majivuno. Heshima hiyo, humpatia unyenyekevu wa kuyatekeleza majukumu yakwe vizuri yule aliye nayo.
Lakini yule asiye nayo, hiyo heshima hurudishwa kwa wazazi wake ili akafundishwe upya heshima hiyo, kwa sababu hana maadili hayo mema ya kumwezesha kuishi vizuri watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu hana heshima kwa watu wala hana maadili mema.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyeolewa akaenda kushindikana kule ukweni kwake. Msichana huyo, hutenda maovu ya kuwadharau watu kwa kuwafanyia kiburi na uvuvi wa kutokufanya kazi, kwa sababu ya kukosa maadili hayo mema kutoka kwa wazizi wake. Yeye hurudishwa nyumbani kwa wazazi wake ili akafundishwa upya, kwa sababu hana maadili hayo mema ya kumwezesha kuishi na watu kwa heshima, maishani mwake.
Msichana huyo hufanana na mtu yule asiyekuwa na heshima wala maadili mema kwa watu, kwa sababu naye huwadharau watu wa ukweni kwake, kutokana na kukosa maadili na heshima hiyo ya kumwezesha kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu hana heshima kwa watu wala hana maadili mema.”
Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwalea watoto wao kwa kuwapatia maadili mema ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu, ili waweze kuzilea na kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.
Kutoka 20:12.
Mithali 9:10.
ENGLISH: THIS PERSON HAS NO RESPECT FROM PEOPLE AND HAS NO MORALS.
Respect is a way of living well with people by helping them without pride. Such honor, in turn, gives a person humility for carrying out well his duties.
But the one who does not have this honor is returned to his/her parents so that he/she can be re-taught that honor, because he/she does not have the good values which necessary for living well with the people. That is why people say that, “This person has no respect from people and has no morals.”
This saying is likened to a married woman who went on a rampage. This girl, on the other hand, commits atrocities by insulting people, making them proud and idle fishing, because of the lack of good values from her parents. He is sent home to her parents to be re-educated, because of not having those good values for living peacifly with people in his life.
This girl is like the man who has no respect for the people, because she also despises the people who belong to her, due to the lack of morals and respect that will enable her to live well with people. That is why people say to her that, “This person has no respect from people and has no morals.”
This saying teaches parents about raising well their children by giving them good values enough to enable them live well with people, so that they can nurture and develop well, their families, in their lives.
Exodus 20:12.
Proverbs 9:10.