mother tongue

1096. BHASANGIJA MJISEME JIMO.

Bhalihoyi bhanhu abho bhali na jiliwa jabho bhuli ng’wene abho bhikalaga muchalo ja Ngeme. Abhanhu bhenabho bhagiyangula gujisangija ijiwa jabho jinijo mujiseme jimo kugiki bhadule gulya kihamo kunguno bhalibhanwanile. Abhoyi bhagajisangija ijiliwa jabho mujiseme jimo bhandya gujilya kihamo ukunhu bhalilomela chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhasangijaga mjiseme jimo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gutumama milimo yabho kihamo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagimishaga diyu bhagagutumamaga unimo uyo bhagupangaga mpaka goshila na bhandya nimo gungi, kunguno ya bhutogwa bho gwiyambilija chiza chiniko, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagayitumamaga pye imilimo yabho na gupandika sabho ninghi, umubhutumami bhobho, kunguno ya wiyambilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagajisangija ijiliwa jabho mujiseme jimo bhuyulya kihamo, kunguno nabho bhagatumamaga milimo yabho kihamo bho gwiyambilija chiza, mpaga bhapandika sabho ninghi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhasangija mjiseme jimo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gutumama milimo yabho bho gwiyambilija kihamo, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Matendo 4: 32-37.

Kutoka 12:1-4.

 

KISWAHILI: WAMECHANGIA KWENYE CHOMBO KIMOJA.

Walikuwepo watu kwenye kijiji cha Ngeme waliokuwa na chakula chake kila mmoja. Watu hao waliamua kuchanganya chakula chao kwenye chombo kimoja ili waweze kula pamoja kwa sababu walikuwa marafiki. Wao walikichanganya chakula hicho kwenye chombo kimoja wakaanza kula huku wakiongea vizuri. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “wamechangia kwenye chombo kimoja.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kufanya kazi zao kwa pamoja, katika maisha yao. Watu hao huamushana asubuhi kwenda kuyatekeleza majukumu yao mpaga wanayamaliza ndipo wanaanza kazi nyingine, kwa sababu ya upendo wao wa kusaidiana vizuri hivyo, maishani mwao. Wao huyatekeleza vizuri majukumu yao na kupata mali nyingi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliochangia chakula chao kwenye chombo kimoja wakala pamoja, kwa sababu nao hufanya kazi zao kwa kusaidiana vizuri, mpaka wanapata mali nyingi, maishani mwao. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “wamechangia kwenye chombo kimoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao kwa kusaidiana kwa pamoja, ili waweze kupata mali nyingi za kuwasaidia maishani mwao.

Matendo 4: 32-37.

Kutoka 12:1-4.

IMG_20200722_145409_8

 

ENGLISH: THEY HAVE PUT TOGETHER IN THE SAME CONTAINER.

There were people in Ngeme village who had their own food. They decided to mix their food in one container so that they could eat together because they were friends. They then started eating while talking well. That is why people told them that, “they have put together in the same container.”

This saying is compared to people who have an understanding of doing their works together, in their lives. They wake each other up in the morning for carrying out their duties, when they finish them, they start another job, because of their love of helping each other so well in their lives. They fulfill their duties well and get a lot of wealth, in their life.

These people resemble to those who contributed their food into one vessel and ate together, because they also do their works by helping each other well, until they get a lot of wealth in their lives. That is why people told them that, “they have put together in same container.”

This saying teaches people about having an understanding of carrying out their duties well by helping each other together, so that they can get many assets that can help them in their lives.

Acts 4: 32-37.

Exodus 12:1-4.

 

1095. DASANGA ILICHENE NAKALE.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile bhulanhani bho kajile kabhanhu abho bhikalaga muchalo jilebhe. Olihoyi munhu uyo akasamila muchalo ja Bukundi ubhasanga abhanhu bha kwene bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyiinha ludima bhuli ng’wene.

Umunhu ng’wunuyo agilunga nabho umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno agilanga chiza mpaga ukadebha akikalile kabho ako bhakandya kale kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalekelwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale noyi na ng’wigwano go wiza umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno ya gulikalana chiza ililange ilyawiza ilo bhalangwa na bhatale bhabho. Abhoyi bhagikalaga na jikolo nyinghi aha kaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho ugo gwiyambilija chiza chiniko uguitumama ilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulanhana ubhutumami ubho gwiinha ndima bhuli ng’wene ubho bhabhusanja gufumila kale, kunguno nabhoyi bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalangwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhoyi bhagayombaga giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kujidimila inhungwa ijawiza bho gwiyambilija chiza ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

KISWAHILI: TULIKUTA IKO VILE TOKA ZAMANI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya utunzaji wa mwenendo wa maisha ya watu katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alihamia kwenye kijiji cha Bukundi akawakuta watu wa huko wakifanya kazi kwa kupeana zamu kwa kila mmoja.

Mtu huyo, aliungana nao katika utendaji huo wa kazi kwa sababu alijifunza vizuri mpaga akauelewa mwenendo huo ya maisha ambayo ulianza zamani. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huitunza tabia njema waliyoachiwa na wazazi wao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa sana na kwa uelewano mzuri katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuyaishi vizuri malezi mema waliyofundishwa na wakubwa wao. Wao hupata mali nyingi kwenye familia zao kwa sababu ya uelewano wao huo wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliuotunza utendaji wa kazi ule kwa kupeana zamu kwa kila mmoja, kwa sababu nao huyalinda malezi mema walifundishwa na wazazi wao kwa kuyaishi vizuri, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi mema kwa kusaidiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

ENGLISH: WE FOUND IT THAT WAY FROM THE PAST.

This saying talks about the maintenance of the way of life of the people in a certain village. There was a man who moved to the village of Bukundi and found the people there working in shifts.

Such person joined them in that work because he learned well and understood the way of life that started a long time ago. That is why those people said that, “we found it that way from the past.”

This saying is compared to people who keep good behavior that was left by their parents, in their lives. These people carry out their duties with great effort and with good understanding in their works, because of living well the good upbringing that was taught to them by their elders. They get a lot of wealth in their families because of their understanding of helping each other well in their daily works.

These people are similar to those who took care of the performance of the work by giving turns to each other, because they also protect the good upbringing which they were taught by their parents by living it well, in their lives. That is why they say that, “we found it that way from the past.”

This saying imparts in people an idea of living a good upbringing by helping each other well in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 5:17-18.

John 1:1-8.

Proverbs 8:23-24.

woman-6529392__480

1094. DIGIJAGA MU NOMO UDIZUDIGIJA MU FUGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuli bho jiliwa bho bhanhu abho bhagishibhilaga ugusola ijiliwa jabho. Abhanhu bhanebho bhalyaga bhugali ubho bhameja mufugo umuchalo ja Shagihilu. Abhoyi bhamegaga ubhugali bhunubho bho nduhu ugudija amakono gabho umufugo yiniyo, kunguno ya guleka gubhatindika abhangi ugusola jiliwa moyi. Hunagwene bhiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kagalenganiyagwa kukaya iyo igalyaga jiliwa bho gwidilila chiza bhuli ng’wene, umukikalile kabho. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagikalaga nikujo lya gulya jiliwa jabho bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhilanhanile chiza aha kaya yabho, kunguno ya ng’wigano gobho gunuyo ugo gwiguja bho gwidilila chiza chiniko bhuli ng’wene, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalyaga bhugali bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene kunguno nabhoyi bhagalyaga jiliwa jabho bho likujo lya gwishibhila chiza bhuli ng’wene aha kaya yabho yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala ni kujo lya gugabhana jikolo jabho bho ng’wigwano go gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

 

KISWAHILI: CHELEWESHEA MDOMONI USICHELEWESHEE KWENYE CHUNGU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia ulaji wa chakula wa watu wanaopeana zamu ya kuchukua chakula vizuri. Watu hao walikuwa wakila ugali kwa kumega kwenye chungu cha kupikia katika kijiji cha Shagihilu. Wao walimega ugali huo kwenye chingu hicho bila kuchelewesha mikono yao ndani ya chungu hicho, kwa sababu ya kuacha kuwachelewa wengine kuchukua chakula hicho humo. Ndiyo maana waliambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ya watu ambayo hula chakula kwa kumjali kila mmoja katika maisha yao. Watu wa kwenye familia hiyo, hula chakula kwa heshima ya kupeana zamu ili kila mmoja apate chakula hicho vizuri, kwa sababu ya upendo walio nao kati yao maishani mwao. Wao huishi kwa kutunzana vizuri kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya uelewano wao wenye heshima ya kumjali kila mmoja vizuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa ugali kwa kupeana zamu ya kuchula chakula hicho kila mmoja vizuri, kwa sababu nao hula chukula kwa heshima na uelewano wa kupeana zamu ya kupata chakula hicho kila mmoja vizuri, kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana wao huambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kugawana mali zao kwa uelewano wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishai mwao.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

IMG_20200722_145344_2

IMG_20200722_145417_0

IMG_20200722_145324_0

 

ENGLISH: DELAY IN THE MOUTH, DO NOT DELAY IN THE COOKING POT.

This saying looks at the food intake of people who take turns to eat well. These people were eating stiff food by breaking it in a cooking pot in a village of Shagihilu. They broke the grain in the pot without delaying their hands in that pot, because they stopped delaying others in taking food from it. That is why they said to each other that, “delay in the mouth, do not delay in the cooking pot.”

This saying is compared to a family of people who eat food by caring for each other in their lives. These people in that family eat food with the respect of taking turns so that each one gets the food well, because of the love they have for each other in their lives. They live by taking good care of each other in their family, because of their respectful understanding to care for each other well, in their lives.

Those people are similar to those who used to take turns to eat the food well, because they also eat food with respect and understanding to take turns to get the food well, in their family. That is why they say to each other, “delay in the mouth do not delay in the cooking pot.”

This saying teaches people about having respect of sharing their wealth with an understanding of helping each other well in their work, so that they can live in peace with their peers in lives.

Joshua Bin Sira 37:28-30.

Galatians 5:16-26.

 

 

 

 

 

 

 

1077. DUJILE KUWALWA BHO BHUNWANI.

Akahayile kenako, kahoyelile bhung’wi bho walwa bho bhunwani. Uwalwa bhunubho bhugang’wiwagwa na bhanhu abho bhanwanile kunguno ya guyega kihamo ukunhu bhalilumba ukuyose iyo bhayipandika umubhutumami bhobho.

Abhoyi bhagalumanaga bhabhung’wa uwalwa bhunubho bhuli makanza ulu bhamala ugutumama imilimo yabho, kunguno ya bhumo bhobho bhunubho ubho gwiyizukija iyo bhakwabhile kihamo na gunumbilija unanhani obho. Hunagwene abhagayombaga giki, “dujile kuwalwa bho bhunwani.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gunumbilija Nsumbi obho ulu bhamala ugutumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhaganamyaga Mulungu uyo agabhinhaga bhupanga na nguzu ja gutumamila milimo yabho chiza, kunguno bhalina guzunya gutale ukuli Weyi. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi na gufunya bhulumbi ukuli Sebha kunguno bhang’wisanije Weyi umutumami bho milimo yabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabhanwani abho bhang’waga walwa bho gufunya bhulumbi ukuli Nsumbi obho, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho gung’wisanya Weyi na bhaganumbaga ulu bhajipandika jikolo jabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “dujile kuwalwa bho bhunwani.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu na gunumbilija ulu bhamala ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:34-35.

Yohana 15:9 -17.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

KISWAHILI:  TUNAENDA KWENYE POMBE YA KIRAFIKI.

Msemo huo, huongelea juu ya unywaji bho pombe ya kirafiki. Pombe hiyo, hunywiwa na watu wale ambao ni marafiki kwa lengo la kufurahi pamoja huku wakikumbuka mafaniko yao waliyoyapata mpaka wakati huo.

Wao hukusanyika na kuinywa pombe hiyo kila wanapomaliza kuyatekeleza majukumu yao kwa lengo la kuuendeleza umoja wao wa kukumbushana mema walitendewa na Muumba wao na kumshukuru. Ndiyo maana wao husema “tunaenda kwenye pombe ya kirafiki.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kumshukuru Muumba wao kwa kuwapatia mafaniko yao, kila baada ya kumaliza kazi. Watu hao, humwabudu Mungu anayewapatia uhai na nguvu za kuyatekelezea majukumu yao, kwa sababu wana imani kubwa kwake. Wao hupata mafanikio mengi na kumshukuru Muumba wao kwa sababu ya kuweka matumaini yao yote kwake katika utekelezaji wa majukumu yao.

Watu hao, hufanana na wale marafiki waliokusanyika kunywa pombe ya shukrani kwa Mungu kwa wema wake, kwa sababu nao hukusanyika ili kumshukuru Mungu kwa wema mwingi anaowatendea, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tunaenda kwenye pombe ya kirafiki.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa kumtegemea Mungu na kumpa shukrani kwa wema anaowatendea, ili waweze kupata mafaniko mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:34-35.

Yohana 15:9 -17.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

beer-6335004__480

ENGLISH: WE ARE GOING FOR A FRIENDLY BREW.

This saying parleys about drinking of friendly liquor. This liquor is drunk by those people who are friends for the purpose of having fun together while remembering their successes that they have achieved up to that time.

They gather and drink this alcohol every time after finishing their duties with an aim of continuing their unity, by reminding each other of the good things which they received from their Creator and enough to Him. That is why they say that, “we are going to a friendly brew.”

This saying is compared to people who have an understanding of thanking their Creator for giving them their success, every time they finish their works. These people worship God who gives them life and strength to carry out their duties, because they have great faith in Him. They get a lot of successes enough to thank their Creator because they put all their hope in Him in fullfilling their duties.

These people are similar to those friends who gathered to drink alcohol of thanksgiving to God for His goodness to them, because they also gather to thank God for the many goodness which He does to them, in their lives. That is why they say that, “we are going to a friendly brew.”

This saying teaches people about fulfilling their responsibilities by relying on God and thanking Him for the goodness which He does to them, so that they can get a lot of successes in their lives.

Matthew 25:34-35.

John 15:9 -17.

Galatians 6:10.

Luke 16:9.

1038. NG’WENUYO OKENENWA AMAKINDIKINDI GUPONYIWA UKO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhukeneni bho ginhu jilebhe. Ugukenenha ili gwinja makindikindi ayo galimuminzi bho gusamwa hado hado kugiki gasage minzi masoga nulu jinhu jisoga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga ukulimhunhu unsoga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyawga kuli munhu uyo alinihanga lisoga ni ng’holo yakwe nsoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa ilange lya wiza na bhatale bhake ilo ligang’wambilijaga ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno ya ng’holo yakwe iya wiza yiniyo. Uweyi agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhake kunguno ya ng’hola yakwe ya bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ginhu ijo jakenenwa mpaga jubhiza jisoga kunguno nuweyi, olangwa nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilija ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilanga nhungwa ja wiza bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

KISWAHILI: HUYO AMECHUJWA NA MAKAPI YAKATUPWA HUKO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uchujaji wa kitu fulani. Kuchuja ni kuondoa makapi yaliyoko kwenye maji kwa kumimina pole pole kwenye chombo maalumu ili makapi hayo yabaki chini na kupata kitu kizuri. Ndiyo maana watu husema kwa mtu aliye na roho nzuri kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na sura nzuri na moyo mweupe, katika maisha yake. Mtu huyo, alishafundisha malezi mema ambayo humsaidia katika kuishi vizuri na watu wake, kwa sababu ya amani yake na moyo wake huo mzuri, maishani mwake. Yeye huwatendea mema watu wake kwa sababu ya amani na upendo alionao kwao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kitu kilichochujwa mpaga kikawa kizuri, kwa sababu naye amefundishwa tabia njema insaidiayo kuishi na watu kwa kusaidiana nao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwongelea kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kusaidiana vizuri, maishani mwao.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

models-1