mother tongue

1110. KALAGU – KIZE. NINA BHANA BHATANO INGOFILA BIYIKOJIJE – NJALA.

Ikalagu yiniyo iholelile higulya ya wiikoji bho njala na katumamila kajo. Injala ijamumakono nija kumagulu jiniyo jigikalaga jiikolile kunguno jili tano ijo jigatumama milimo bho gwiyambilija chiza. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu bhanhu bhagikalaga bhidebhile chiza umukatumamile ka milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhutumama milimo bho witogwi bhutale kunguno ya ng’wigwano gobho uyo bhalinago umuwikaji bhobho. Abhoyi bhabhakujije abhichabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni njala ijo jiikojije ni ngofila na kiyambiligije ka bhutumami bho milimo, kunguno na bhoyi bhali na nhungwa jawija pye abhose ijo jigabhambilijaga kutumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ija gutumama milimo kihamo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

 

KISWAHILI: KITENGAWILI –  TEGA.

NINA WATOTO WATANO KOFIA ZAO ZINAFANANA – KUCHA.

Kitendawili hicho huongelea juu ya ufananaji wa kucha na utendaji wake wa kazi. Kucha za miguuni na zile za mikononi zinafanana kwa sababu ni tano ambazo hufanya kazi kwa kusaidiana vizuri. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa watu wale ambaho wanaelewana vizuri katika utekelezaji wa kazi zao. Watu hao hufanya kazi kwa pamoja na kwa upendo mkubwa kwa sababu ya uelewano huo wao maishani mwao. Watu hao huwaheshimu wenzao vizuri kwa sababu ya tabia yao hiyo kuwa nzuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na zile kucha zenye kofia za kufanana na ambazo hushirikiana katika kufanya kazi, kwa sababu nao wana tabia njema ambayo huwasaidia kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuyatekeleza majukumu yao wakisaidiana vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

mug-2568355__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HAVE FIVE CHILDREN WHOSE HATS ARE THE SAME – NAILS.

The above riddle talks about similarity of nails and their functions. Fingernails and toenails are similar because there are five of them that work well together. That is why people tell each other that “I have five children whose hats are the same – nails.”

This paradox is compared to people who understand each other well in the implementation of their works. These people work together and with great love because of such understanding of one another in their lives. They people respect their nobles well because of their good behaviors in their lives.

These people are similar to those nails of similar hats that cooperate in working, because they also have good behavior that helps them in carrying out their duties well. That is why people say that, “I have five children whose hats are the same – nails.”

This riddle teaches people about having a good attitude enough to enable them carry out their duties by helping each other well, so that they can achieve many successes in their lives.

John 15:9.

Galatians 3:27.

Galatians 2:20.

 

1109. ABHENABHO BHAKALIMANZILA BHABEHA MASU MINGI.

Akahayile kenako kalolile bhanhu abho bhalimaga ngunda ha bihi na nzila. Abhanhu bhenabho bhagishiyagwa na bhanhu bhingi abho bhabhitaga ha nzila yiniyo kunguno ya bhubihi bho ngunda gunuyo ni njia yiniyo. Abhoyi bhabhizaga guti giki bhalibeha masu ga bhanhu abho bhabhitaga hoyi bhabhagisha bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagabhawila giki “abhenabho bhakalimanzila bhabeha masu mingi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhakima abho bhagikalaga b’iyunga sagala umukikalile kabho. Abhakima bhenabho bhagamanaga bhugalukija bhagosha kunguno ya bhulamba bhobho bhunubho umukikalile kabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja ikaya jabho kunguno ya gumana bhiyunga sagala chiniko umuwikaji bhobho.

Abhakima bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhalimaga ha nzila iyo bhagishiyagwa na bhanhu bhingi, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhagosha bhingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “abhenabho bhakalimanzila bhabeha masu mingi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhib’embu umuwitoji bhobho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhana bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:1-9.

KISWAHILI: HAO WALIMA NJIA WAMEVUTA HARUFU NYINGI.

Msemo huo huangalia watu waliolima shamba lao karibu na njia. Watu hao walikuwa wakisalimiwa na watu wengi kwenye shamba lao hilo kwa sababu ya kuwa karibu sana na njia hiyo. Wao walikuwa kama hananusa harufu za watu wote waliopitia kwenye njia hiyo. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba. “Hao walima njia wamevuta harufu nyingi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanawake wale ambao hutembea hovyo katika maisha yao. Wanawake hao, hubadilisha wanaume mara nyingi kwa sababu ya umalaya wao huo katika maisha yao. Wao hushindwa kuiendeleza miji yao kwa sababu ya kupenda kudhurula hovyo kwao huko, maishani mwao.

Wanawake hao hufanana na wale wakulima waliolima shamba lao karibu na njia wakawa wakisalimiwa na watu wengi, kwa sababu nao huishi na wanaume wengi katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba “Hao walima njia wamevuta harufu nyingi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa watulivu katika maisha yao ya ndoa, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:1-9.

farmer-2839112__480

farmer-6318173__480

asia-4465960__480

ENGLISH: THOSE TILLING THE ROAD HAVE INHALED A LOT OF SMELL.

This saying refers to the people who cultivated their fields near the road. Those people were greeted by many people on their farm because of being so close to such road. They were like smelling the scents of all the people who passed through such path. That is why people told them that. “Those tilling the road have inhaled a lot of smell.”

This saying is compared to women who walk carelessly in their lives. These women, change men many times because of their being prostitutes in their lives. They fail to develop their families because of harming their family members carelessly by misbehaving in their lives.

These women are similar to those farmers who cultivated their fields near the road and were greeted by many people, because they also live with many men in their lives. That is why people speak about them that “Those tilling the road have inhaled a lot of smell.”

This saying teaches people on how to be calm by behaving in their married life, so that they can raise well their families, in their lives.

Matthew 5:27-32.

Joshua Bin Sirach 9:1-9.

1108. ABHENAB’O B’AJA MAHUNGU.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuji bho mahungu bho bhanhu bhalebhe. Bhalihoyi bhanhu abho bhagaja gujuyela ng’wipolu ilo lyalikule na kaya yao.

Aho bhashiga koyi bhutogwa gwikala mpaga bhulema ugushoga ikaya yabho. Abhanhu bhakukaya yabho bhagagema ugubhitana abhoyi bhulema mpaga nose bhubhaleka duhu. Hunagwene abhanhu abhagayomba giki, “abhenabho b’aja mahungu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalibhalambu, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhatogilwe gujiyunga sagala bho nduhu nulu gutumama milimo kunguno ya bhulambu bhobho bhunubho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagitanagwa ‘bhakalemela’ kunguno bhabhalemela abhabyaji bhabho umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagaja ng’wipolu bhugalemela mumo kunguno nabhoyi bhalibhambu abho bhabhalemela abhabyaji bhabho umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “abhenabho b’aja mahungu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhulambu bho guzunya gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 8: 10-13.

Mathayo 21:42.

Mithali 27:11-12.

Matendo ya mitume 17:25-28.

 

KISWAHILI: HAO WAMEENDA MBALI.

Msemo huo, huongelea juu ya uenndaji mbali wa watu fulani. Walikuwepo watu ambao walienda polini ambalo lilikuwa mbali na nyumbani kwao. Walipofika huko walikupenda mpaga wakaamua kuishi huko na kukataa kurudi nyumbani kwao. Watu waliowaacha kule nyumbani waliwaita lakini wao walikataa kurudi nyumbani kwao huko. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “hao wameenda mbali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao ni wenye kiburi katika maisha yao. Watu hao hupenda kuzurura hovyo bila kufanya kazi kwa sababu ya kiburi chao hicho. Wao huitwa jila la ‘walioshindikana’ kwa sababu ya kukataa ushauri na malezi ya wazazi wao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale walioenda polini wakatalia humo kwa kuamua kuishi humo, kwa sababu nao wana kiburi cha kukataa malezi ya wazazi wao, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “hao wameenda mbali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi kwa kukubali kutumwa na wenzao na kulelewa na wazazi wao, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 8: 10-13.

Mathayo 21:42.

Mithali 27:11-12.

Matendo ya mitume 17:25-28.

family-portrait-5534737__480

ENGLISH: THEY HAVE GONE FAR.

This saying talks about going at a distance of some people. There were people who went to the forest which was far from their home. After reaching the place they liked it to the point of deciding to stay there by refusing to return to their home, even after being called by their place people. That is why those people said that, “they have gone far.”

This saying is compared to people who are proud in their lives. These people like to roam around idly without working because of their pride. They are called the ‘imposible ones’ because of rejecting the upbringings of their parents, in their lives.

These people resemble those who went to the forest to stay there by refusing to return to their home, because they too have the pride of rejecting the edifications of their parents, in their lives. That is why people say about them that, “they have gone far.”

This saying imparts in people an idea of abandoning pride by accepting the upbringings of their parents enough to live peacifly with their nobles, so that they can take good care of their families, in their lives.

Proverbs 8:10-13.

Matthew 21:42.

Proverbs 27:11-12.

Acts 17:25-28.

1104. SAMA YA NGALU PA IJITUMAMILO UMU MUNDUKA, UWEYI USIMIZA BHO MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile ubhusami bho mbula. Imbula yiniyo ulu lyushiga ilikanza lya goya gutula, amalunde gagandyaga guselema gayuja ng’weli.

Abhanhu ulubhugabhona amalunde genayo gagujaga ng’weli bhagamanaga iki imbula ilisama. Hunagwene bhagayombaga giki, “sama ya ngalu pa ijitumamilo umu munduka, uweyi usimiza bho magulu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadililaga jikolo jakwe bho gugulekanija umili gokwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’uwunuyo, agikalaga na jizwalo jishilile na  jiliwa jigehu aha kaya yake, aliyo isabho alinajo, kunguno ya gudilila jikolo kulebha umili gokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga ukoya na nzala aha kaya bho jigugila isabho jakwe jiniyo, kunguno ya bhujidalonja bho mili gokwe bhunubho.

Umunhu ung’winuyo agikolaga nu ntuji ojitumamilo muloli uweyi oja bho gusimiza, kunguno nuweyi agadililaga jikolo jakwe bho gugulekanijia umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “sama ya ngalu pa ijitumamilo umu munduka, uweyi usimiza bho magulu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumamila isabho jabho bho guidilila chiza imimili yabho, kugiki bhadule guyilang’hana chiza, umukikalile kabho.

Mathayo 24:32-35.

Ufunuo 14:14-16.

KISWAHILI: UHAMAMI WA MGALU KUJAZA VITENDEA KAZI VYAKE KWENYE GARI, YEYE KUTEMBEA KWA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia uhamaji wa mvua. Mvua hiyo ikifikia muda wake wa kuacha kunyesha, mawingu huanza kuelekea magharibi.

Watu wakiyaoana mawingu hayo yakielekea magharibi huelewa kwamba, mvua inahama. Ndiyo maana husema kwamba, “uhamaji wa mgalu kujaza vitendea kazi vyake kwenye gari, yeye kutembea kwa miguu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haujali vizuri mwili wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huvaa nguo zilizochakaa na hukosa chakula kwenye familia yake wakati mali anazo, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo. Yeye husumbulia na tatizo la njaa kwenye familia yake hiyo kwa kutokuzitumia mali hizo kununua chakula, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule muwekaji wa vitendea kazi vyake kwenye gari na yeye akitembea kwa miguu, maishani mwake, kwa sababu naye huvaa nguo zilizochakaa na kukosa chakula kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uhamaji wa mgalu kujaza vitendea kazi vyake kwenye gari, yeye kutembea kwa miguu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia mali zao kwa kuitunza vizuri miili yao, ili waweze kuilinda vizuri, maishani mwao.

Mathayo 24:32-35.

Ufunuo 14:14-16.

bottle-88156__480

fiat-500-4322521__480

man-6900166__480

1103. IGOGO LYAB’ULAGA NZILA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya b’ub’ulagi bho nzila bho ligogo. Iligogo linilo lililinti ilo lyalilyazwila bihi na nzila. Ilinti linilo ligagwa lyuyichib’a nzila iyo bhabhitilaga abhanhu kunguno ya bhutale bholyo mpaga bhushesha yingi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “igogo lyab’ulaga nzila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na nguzu ja gulemeja mihayo iyo idiyawiza, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agabhalemejaga abhana bhakwe agwikala na nhungwa ija bhubhi bho gubhalela mugwita mihayo ya wiza iyo idulile gubhambilija gwitogwa chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya bhunhana bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niligogo ilo ligachib’a nzila aho lyagwa, mpaga abhanhu bhushesha nzila yingi iyagubhitila, kunguno nuweyi agayilemaga imihayo iyabhubhi bho gubhalanga nhungwa jawiza abhanhu bhakwe, mpaga bhapandika solobho ya gwikala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “igogo lyachib’a nzila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gulidimila lililange lya wiza, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

Waroma 3:21 – 24.

Luka 3: 21 – 22.

Mhubiri 11:36.

Luka 3:16.

KISWAHILI: GOGO LIMEUA NJIA.

Msemo huo, huongelea juu ya uuaji wa njia wa gogo. Gogo hilo ni mti ulioota na kukua karibu na njia. Mti huo, ulianguka ukaiziba njia ile waliokuwa wakiipitia watu kwa sababu ya ukubwa wake huo mpaga ikawabidi kutengezeka njia nyingine ya kupitia. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “gogo limeua njia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana nguzo na uwezo wa kupinga maovu katika maisha yake. Mtu huyo, huwalea watoto wake katika maadili ya kukataa uovu kwa kutenda matendo wema uwasaidiayo kuishi maisha ya upendo kati yao, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake kwa kuishi maisha ya kusaidiana vizuri katika kazi zao, kwa sababu ya kuyaishi kwake vizuri maadili hayo mema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na lile gogo lililoziba njia baada ya kuanguka, kwa sababu naye huyakataa maovu kwa kuwafundisha watoto wake kutenda mema siku zote. Ndiyo maana watu humuita kwamba “gogo limeua njia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukataa uovu kwa kuyashikilia malezi ya kutenda wema, ili waweze kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Waroma 3:21 – 24.

Luka 3: 21 – 22.

Mhubiri 11:36.

Luka 3:16.

blockage-2751236__480

ENGLISH: A LOG KILLED A PATHWAY.

This saying talks about a road blocking of the log. This was the log which is a tree that grew near the path. Such tree fell and blocked the way which people were going through because of its size, so they had to make another way through. That is why those people said that, “a log killed a pathway.”

This saying is related to a person who has an ability to resist evil in his life. Such person raises his children in values ​​of rejecting evil by doing good deeds that help them to live a life of love among themselves, because of his honesty in his life. He brings up his family well by living a life of helping each other well in their daily works, because of his living those good values ​​well, in his life.

This person is like the log that blocked the way after falling, because he also rejects evil by teaching his children to do good all the time. That is why people call him “a log killed a pathway.”

This saying teaches people about rejecting evil by upholding the formation of doing good deeds, so that they can help each other well in their daily works.

Romans 3:21 – 24.

Luke 3: 21 – 22.

Ecclesiastes 11:36.

Luke 3:16.