1113. NALINDUHU UGUKANGWA.

Akahayile kenako kanhoyelile munhu uyo olidakangagwa umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, oliang’wisanije Se uyo oli na nguzu ja gubhaheb’a pye abhose abho bhang’wibhonelaga umuchalo jakwe. Hunagwene ung’wana okwe ng’wunuyo, agayomba giki, “nalinduhu ugukangwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ang’wisanije Mulungu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo alina guzunya gutale ukuli Mulungu kunguno amanile igiki Uwei adulile yose na adikomile guhewa na Jisunva josejose. Uweyi agikalaga mhola aha kaya yakwe kihamo na bhanhu bhakwe, kunguno ya gung’wisanya Mulungu uyo agabhalang’hanaga makanza gose abhanhu, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo oliang’wisanije myaji okwe uyo oli na nguzu ningi, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alinduja o jose, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nalinduhu ugukangwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunzunya na gung’wisanya Mulungu uyo adulile gubhalang’hana chiza umubhulamu bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Zaburi 71:1-6.

Mathayo 6:25-27.

Zaburi 7:2-3.

Mathayo 11: 27-30.

Zaburi 3:2-4.

KISWAHILI: SIKO KUTISHWA.

Msemo huo huongelea juu ya mtu yule ambaye hatishwi katika maisha yake. Mtu huyo, ana baba yake anayemtegemea ambaye ana nguvu nyingi za kumwezesha kuwashinda wote wanaomuonea katika kijiji chake. Ndiyo maana mtoto wake huyo, husema kwamba, “siko kutishwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humtegemea Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, alishamwamini Mungu kwa imani kubwa kwa sababu Yeye aweza yote na hashindwi na viumbe wake. Yeye huishi salama pamoja na wanafamilia wake kwa sababu ya kumtegemea Mungu aliyeumba vitu vyote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemtegemea baba yake aliyekuwa na nguvu nyingi, kwa sababu naye pia humtegemea Mungu awezaye yote. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “siko kutishwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao.

Zaburi 71:1-6.

Mathayo 6:25-27.

Zaburi 7:2-3.

Mathayo 11: 27-30.

Zaburi 3:2-4.

father-5469311__480

fall-7584009__480

father-and-daughter-6585096__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.