1117. ULU UBHONA MAB’ELE GAMBULI UGUHAYA GA NG’HOLO ULU UB’ONA GA NG’HOLO UGUHAYA GA MBULI.

Akahayile kenako kalolile mab’ele. Amab’ele ga ndimu yoseyose gagikalaga gikolile kunguno gali gape ayo munhu adadulile gugalenya ub’upe wogo. Kuyiniyo lulu, amab’ele ga mbuli na ga ng’holo gikolile kunguno pye agose gali gape nali ga ndimu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ulu ubhona mab’ele ga mbuli uguhaya ga ng’holo ulu ubhona ga ng’oholo uguhaya ga mbuli.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na ng’hoo ya wiza iyo ili ya pe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabokelaga bhanhu bha mbika na mbika, abhawiza na bha b’ub’i kunguno ya wiza bho ng’holo yakwe bhunubho. Uweyi agabhalumanyaga chiza abhanhu abho bhiduma bho guhoya nabho chiza kunguno ya ng’holo yakwe ya wiza yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikalola na mab’ele agape genayo kunguno nuweyi ali ng’holo yape iyo igang’wambilija ugwikala chiza, na bhanhu bho guhaya nabho chiza. Hunagwene abhanhu bhaganyilaga giki, “ulu ubhona mab’ele ga mbuli uguhaya ga ng’holo ulu ubhona ga ng’oholo uguhaya ga mbuli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo ja wiza bho guhoya chiza na bhichabho uwikaji bhobho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Waebrania 2:27 – 18.

Luka 6:27 – 31.

Mathayo 18:21-23.

KISWAHILI: UKIONA MAZIWA YA MBUZI UTASEMA YA KONDOO, UKIONA YA KONDOO UTASEMA YA MBUZI.

Msemo huo huangalia maziwa. Maziwa ya mnyama yeyote huwa yamefanana kwa sababu yote ni meupe ambayo mtu hawezi kuutofautisha weupe wake. Kwa hiyo basi, maziwa ya mbuzi na yale ya kondoo hufanana kwa sababu yote ni meupe kwa vile ni ya wanyama. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ukiona maziwa ya mbuzi utasema ya kondoo, ukiona ya kondoo y utasema ya mbuzi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye moyo mwema ambao ni mweupe katika maisha yake. Mtu huyo, huwapokea watu wa aina mbalimbali, wema na waovu kwa sababu ya wema wa moyo wake huo. Yeye huwaunganisha vizuri watu waliokosana kwa kuongea nao vizuri kwa sababu ya unyoofu wa moyo wake huo katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na maziwa meupe hayo kwa sababu naye ana moyo mwema unaomsaidia katika kuishi na watu vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ukiona maziwa ya mbuzi utasema ya kondoo, ukiona ya kondoo utasema ya mbuzi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo mwema wa kuongea vizuri na wenzao maishani mwao, ili wawezi kuzilea vyema familia zao.

Waebrania 2:27 – 18.

Luka 6:27 – 31.

Mathayo 18:21-23.

cheese-4690575__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.